Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 KICHAA NA MIMBA YA BOSS SEHEMU YA KUMI NA NANE*  Shahidi bado alikuwa upande wa Shania hakusukiliza la mtu
Gonga94 · Stories

KICHAA NA MIMBA YA BOSS SEHEMU YA KUMI NA NANE* Shahidi bado alikuwa upande wa Shania hakusukiliza la mtu

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
.

Sawa shahidi kuona utafika wapi na huyo kichaa wako.

*Yani mama sijui wewe ni mama wa aina gani kwangu, badala uangalie furaha yangu na faraja yangu ilipo na kunisapoti mwanao lakini wewe ndio unakuwa mtu wa kwanza kunikatisha

tamaa na kuvunja moyo.

*Yani kuhusu swala la kichaa nitauvunja moyo wako vipande vipande na kamwe sitakuwa upande wako.

Siku zilienda Shania alimaliza uzazi wake na alikuwa anampenda sana mtoto wake na kumuita Ilham na yule mdoli hakuwa na nafasi

tena kwake.

Shida moja aliyokuwa nayo Shania alikuwa hajui jinsi ya kumbembeleza mtoto wake alipokuwa analia na ikitokea mtu aende kumsaidia Shania alikuwa mkali sana hakutaka mtoto wake aguswe na mtu.

Kuna siku mtoto alikuwa analia Tessy akaenda kumchukua kwa nguvu ili ampe maziwa, katika purukushani za kunyang'anyana mtoto shsnua akimng'ata Tessy mkononi ikabidi Tessy amuachie mtoto.

Ilipofika jioni Tessy alikaa na Shahid.

Boss hili swala linaenda kuwa zito sana na kumbuka hakuna kichaa anaemuachia kirahisi mtoto wake.

Sasa wafanyaje na mtoto bado mdogo na doctor aliniambia mpaka mtoto aache kunyonya. Sijaona unyonyaji wa mtoto zile mtoto

ananyonya mara chache sana anaweza akaachishwa na Shania akaanza matibabu. "Ni wazo zuri nitakufanyia kazi.

Kesho yake Shahid akiwasiliana na Daktari

akamuelezea kila kinachoendelea. Sasa ni muda muafaka kwa yeye kupata

matibabu.

*Sawa doctor nipo tayari kwa hilo. "Unatakiwa kumleta.

*Leo hii?

"Ndio sasa hivi. Tukutane Mizo mental hospital. "Sawa

Shania alianza matibabu lakini alikuwa mkorofi sana alikuwa akimtaka mtoto wake. Kila

alipoanza kufanya fujo alichomwa sindano па kupitiwa na usingizi mzito. Shahidi alipambana sana na Tessy ndio alikuwa

mlezi wa mtoto alihakikisha anampa huduma zote anayostahili kupewa mtoto.

Siku zilienda hali ya shsnua ilizidi kubadilika taratibu hali yake ilianza kukaa sawa na hatimae

akili zake zilianza kurudi lakini hakuwa na kumbukumbu kuna baadhi ya mambo alikuwa

hakumbuki kabisa. Siku moja akiwa amekaa na shangazi yake

akaingia doctor na Shahid huku Shahid akiwa kambeba mtoto wao.

*Shania unamfahamu huyu? Doctor alimuuliza na Shania alimuangalia vizuri Shahid kisha akatingisha kichwa kwamba hamjui.

*Hebu niangalie vizuri. *Hapana simfahamu. Alijibu kwa upole.

Huyu ni mume wako Shahid na huyu ni mtoto wako.

Shania alinyoosha mikono akapewa mtoto wake. Alimpakata yule mtoto akamuangalia sana kisha

akatoa tabasamu la mbali na kusema. "Mtoto wangu Ilham.

"Ndio na huyu ni mume wako.

*Hapana sijawahi kuolewa, sina mume. Shahidi alijikuta anakata tamaa kukataliwa na Shania lakini doctor akamshika begani.

"Shania huyu ni baba wa Ilham. Alisema mama Farida.

Hapana shangazi.

Mama isitumie nguvu kubwa kumkumbusha atakumbuka taratibu kama alivyokukukumbuka wewe na vitu vingine. Shahidi nifuate.

Shahidi na doctor walitoka nje.

Shahidi mkeo kapona ila hawezi kurudisha

kumbukumbu kwa mara moja itafika wakati atakumbuka tu.

"Sawa doctor nimekuelewa.

Siku ya kurudi nyumbani Shahid alimchukua na

kurudi nae nyumbani kwake Mama Farida

*SEHEMU YA KUMI NA TISA*

Shahidi bado alikuwa upande wa Shania hakusukiliza la mtu.

Sawa shahidi kuona utafika wapi na huyo kichaa wako.

*Yani mama sijui wewe ni mama wa aina gani kwangu, badala uangalie furaha yangu na faraja yangu ilipo na kunisapoti mwanao lakini wewe ndio unakuwa mtu wa kwanza kunikatisha

tamaa na kuvunja moyo.

*Yani kuhusu swala la kichaa nitauvunja moyo wako vipande vipande na kamwe sitakuwa upande wako.

Siku zilienda Shania alimaliza uzazi wake na alikuwa anampenda sana mtoto wake na kumuita Ilham na yule mdoli hakuwa na nafasi

tena kwake.

Shida moja aliyokuwa nayo Shania alikuwa hajui jinsi ya kumbembeleza mtoto wake alipokuwa analia na ikitokea mtu aende kumsaidia Shania alikuwa mkali sana hakutaka mtoto wake aguswe na mtu.

Kuna siku mtoto alikuwa analia Tessy akaenda kumchukua kwa nguvu ili ampe maziwa, katika purukushani za kunyang'anyana mtoto shsnua akimng'ata Tessy mkononi ikabidi Tessy amuachie mtoto.

Ilipofika jioni Tessy alikaa na Shahid.

Boss hili swala linaenda kuwa zito sana na kumbuka hakuna kichaa anaemuachia kirahisi mtoto wake.

Sasa wafanyaje na mtoto bado mdogo na doctor aliniambia mpaka mtoto aache kunyonya. Sijaona unyonyaji wa mtoto zile mtoto

ananyonya mara chache sana anaweza akaachishwa na Shania akaanza matibabu. "Ni wazo zuri nitakufanyia kazi.

Kesho yake Shahid akiwasiliana na Daktari

akamuelezea kila kinachoendelea. Sasa ni muda muafaka kwa yeye kupata

matibabu.

*Sawa doctor nipo tayari kwa hilo. "Unatakiwa kumleta.

*Leo hii?

"Ndio sasa hivi. Tukutane Mizo mental hospital. "Sawa

Shania alianza matibabu lakini alikuwa mkorofi sana alikuwa akimtaka mtoto wake. Kila

alipoanza kufanya fujo alichomwa sindano па kupitiwa na usingizi mzito. Shahidi alipambana sana na Tessy ndio alikuwa

mlezi wa mtoto alihakikisha anampa huduma zote anayostahili kupewa mtoto.

Siku zilienda hali ya shsnua ilizidi kubadilika taratibu hali yake ilianza kukaa sawa na hatimae

akili zake zilianza kurudi lakini hakuwa na kumbukumbu kuna baadhi ya mambo alikuwa

hakumbuki kabisa. Siku moja akiwa amekaa na shangazi yake

akaingia doctor na Shahid huku Shahid akiwa kambeba mtoto wao.

*Shania unamfahamu huyu? Doctor alimuuliza na Shania alimuangalia vizuri Shahid kisha akatingisha kichwa kwamba hamjui.

*Hebu niangalie vizuri. *Hapana simfahamu. Alijibu kwa upole.

Huyu ni mume wako Shahid na huyu ni mtoto wako.

Shania alinyoosha mikono akapewa mtoto wake. Alimpakata yule mtoto akamuangalia sana kisha

akatoa tabasamu la mbali na kusema. "Mtoto wangu Ilham.

"Ndio na huyu ni mume wako.

*Hapana sijawahi kuolewa, sina mume. Shahidi alijikuta anakata tamaa kukataliwa na Shania lakini doctor akamshika begani.

"Shania huyu ni baba wa Ilham. Alisema mama Farida.

Hapana shangazi.

Mama isitumie nguvu kubwa kumkumbusha atakumbuka taratibu kama alivyokukukumbuka wewe na vitu vingine. Shahidi nifuate.

Shahidi na doctor walitoka nje.

Shahidi mkeo kapona ila hawezi kurudisha

kumbukumbu kwa mara moja itafika wakati atakumbuka tu.

"Sawa doctor nimekuelewa.

Siku ya kurudi nyumbani Shahid alimchukua na

kurudi nae nyumbani kwake Mama Farida

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

KICHAA NA MIMBA YA BOSS SEHEMU YA KUMI NA NANE* Shahidi bado alikuwa upande wa Shania hakusukiliza la mtu

.

Sawa shahidi kuona utafika wapi na huyo kichaa wako.

*Yani mama sijui wewe ni mama wa aina gani kwangu, badala uangalie furaha yangu na faraja yangu ilipo na kunisapoti mwanao lakini wewe ndio unakuwa mtu wa kwanza kunikatisha

tamaa na kuvunja moyo.

*Yani kuhusu swala la kichaa nitauvunja moyo wako vipande vipande na kamwe sitakuwa upande wako.

Siku zilienda Shania alimaliza uzazi wake na alikuwa anampenda sana mtoto wake na kumuita Ilham na yule mdoli hakuwa na nafasi

tena kwake.

Shida moja aliyokuwa nayo Shania alikuwa hajui jinsi ya kumbembeleza mtoto wake alipokuwa analia na ikitokea mtu aende kumsaidia Shania alikuwa mkali sana hakutaka mtoto wake...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/kichaa-na-mimba-ya-boss-sehemu-ya-kumi-na-nane-shahidi-bado-alikuwa-upande-wa-shania-hakusukiliza-la

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi kichaa-na-mimba-ya-boss-sehemu-ya-kumi-na-nane-shahidi-bado-alikuwa-upande-wa-shania-hakusukiliza-la
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

499
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

227
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

224
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

220
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

136
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.05K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.35K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11
@majario LIVE

“hivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamika… “ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

“ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema “ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hivi…. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest