KICHAA NA MIMBA YA BOSS SEHEMU YA KUMI NA SABA* Siku hiyo shahidi aliondoka akiwa hana furaha kabisa alimuonea sana
makubwa tangia alipokuwa mdogo sita kuacha pekee yake nitapambana nae mpaka mwisho.
Alifika nyumbani akamkuta Shania akiwa anatembea tembea pale ndani huku ameshikilia mdoli wake huku akiimba
Happy birth day to you x 2
Happy birth dear Ilham wangu. Mwaaa Mwaaa.
Nakupenda Ilham baba anakuja na keki leo tunakata keki tuna kula ammmmm tunatafuta tunamezaEE Ilham wangu huyo
nakupenda pendaaa.....
Shania alionekana kuwa na furaha sana na mdoli wake wakati huo Shahid alikuwa amesimama mlangoni akimuangalia, Shania alikuwa hajamиопа.
Shahidi alijikuta machozi yalimtoka, mara Tessy alitokea.
Boss upo sawa? Shahidi alifuta machozi haraka kishaakamwangalia Tessy. *Vipi?
*Safi, leo hali ndio kama unavyoiona ni birth day ya mdoli na alikuwa anataka Keki nimekupigia
Siku ya leo imekuwa nzito sana kwangu.
simu hapokei na messege pia hujibu.
"Inaonekana boss wangu pole sana jamani.
Mmmm acha nikatafute keki kwanza.
"Usisahau na maenbe, apple.
"Nilinunua jana tu.
"Amekula yote.
Sawa nitaleta. Tessy naomba umuangalie sana
Shania mtunzi vizuri.
"Usijali boss wangu.
Shahidi aliondoka na kwenda kutafuta vitu alivyotaka Shania.
Baada ya kufanya manunuzi alirudi nyumbani alipofika tu Shania alianza kumdai keki.
Baba Ilham nataka keki leo birth yangu na Ilham.
*Keki hii hapa imewaletea.
Shahidi alifungua keki, Shania alipoiona aliruka kwa furaha mpaka Shahid akapata hofu na ile
hali yake ya ujauzito.
Shania usiruke bwana utamuumiza mtoto.
Shania alitulia kidogo huku akiwa anamuangalia
Shahid usoni, kisha akamuangalia Tessy
aliekuwa kasimama pembeni alafu kwa sauti ya chini akauliza. "Mtoto yuko wapi?
Yupo huku Kalala. Shahidi alimwambia huku akimuonyesha tumboni kwake.
Shhhhh.... Nipige kelele mtoto wa watu ataamka.
Muda huo huo Shania akaanza kuimba kwa sauti ya juu.
"Kata keki tule, kata keki tule... Tessy alishindwa
kujizuia akajikuta anacheka. "Wewe usicheke imba muimbie mtoto Ilham.
Shania akiwalazimisha wakaanza kuimba huku wanapiga makofi baada ya hapo walikata keki
wakala.
"Shania leo umerukaruka sana sasa ni muda wa kupumzika njoo ulale. Nataka kuomba...
*Tutaimba tena kesho. Shahidi alimbembeleza sana mpaka Shania akakubali kulala. Walienda
chumbani wakipanda kitandani Shahid akamfunika vizuri na kuanza kumbembeleza mpaka akapigwa na usingizi.
Baada ya Shania kurudi Shahid alirudi sebleni alikaa kwenye kochi huku akiwa mbali kimawazo
alikuwa anafikiria sana Shania na jinsi ya kumaliza tatizo lake maana aliamini hakuna msaada hakuna wakisaidiana nae anatakiwa.
kupambana mwenyewe. Akiwa kwenye dimbwi la Tessy alifika na
kumuita mara tatu lakini hakusikia mpaka alipomgusa begani ndipo Shahid alishituka na kumuangalia.
"Boss una matatizo gani?
Aaaaah Tessy nina mengi sana nafikiria kwenye hiki kichwa changu.
Mawazo mengi yatakuurniza boss kumbuka kuna majukumu yanakuja mbele sasa wewe
ukiwa hujitambui na Shania nae hajielewi mtoto wenu atapelekwa na nani?
Ni kweli unachokisema ila kwenye hili swala
najiona kabisa nipo mwenyewe hakuna alikubaliana na mimi kuhusu kuwa na Shania. Familia yangu haitaki kabisa sababu ya huo ugonjwa wake.
"Najua sio rahisi watu kukubali hili ila wewe ndio
umesha penda mpambanie iwezavyo pengine kesho watajiita shujaa na kumuona Shania anathamani. Mimi nimekupenda bure boss. wangu huku kimbia majukumu, hukuona aibu kutangaza hisia zako kwa Shania, kumuacha
mpaka mpenzi wako kwasababu yake. Nakwambia kwa hicho ulichokifanya Mungu
atakupa ushindi na mimi Tessy nipo na nitakuwa bega kwa bega na wewe boss wangu sababu
naziona jitihada zako na hisia zako kwa huyu Shania.
Asante sana Tessy wewe ni mtu wa kwanza kunitia moyo.
Kuwa na amani, tupo pamoja mpaka mwisho wa hili.
Asante sana Tessy, nashukuru kwa kunipa moja na kuwa pamoja na mimi.
*SEHEMU YA SABA*
Siku zilizidi kusonga mbele Tessy na Shahid walimuangalia vizuri na kumpa matunzo mazuri
Shania.
Siku moja majira ya jioni Shania hakuwa kwenye utulivu alikuwa akizunguka pale ndani kama anafanya ukaguzi. Tessy alimfuata na sahani ya matunda.
Shania rafiki yangu tangia asubuhi haujala. hebu njoo ule maembe na badae nitakupa juice
tamu.
Shania alikunja sura na kusukuma sahani ya matunda, sahani ilianguka na kuvunjika.
Una nini wewe mbona leo sikuelewi?
Shania aliinama huku akiwa kashika kiuno
alionekana kuingilia maumivu ya kimnya kimnya.
Tessy aligundua alikuwa anaumwa uchungu.
Alichukua simu yake haraka akampigia Shahid.
Wakati huo Shahid alikuwa amekaa sehemu na wenzake walikuwa wakiogelea maswala ya biashara.
*Samahani. Shahidi alisogea pembeni kidogo na kupokea simu.
*Niambie Tessy.
Shania anaumwa uchungu.
Shahidi alishituka
Naomba umuandae kila kitu kipo pale
chumbani kabatini, namtumaa mtu aje kuwachukua awawahishe hospitali kwa sasa mimi nipo mbali kidogo naweza kuchelewa
kufika hapo.
Sasa nampelekea hospitali gani?
St Thomas ukifika pale utapokelewa kuna
doctor mawasiliano nae.
Sawa boss jitahidi ufike mapema boss.
Nitajitahidi, tukutane hospitali.
Sawa.
Shahidi alikata simu na kurudi kwa wenzake.
Jamani nimepata tatizo natakiwa kuondoka mtanijukisha kinachoendelea.
Shahidi aliondoka haraka na kwenda kupanda kwenye gari lake safari ya hospitali ikaanza.
Huko nyuma wenzake walianza kumuongelea. Kwani kuna tatizo gani?
Umesikia hospitali itakuwa kichaa wake anataka kujifungua. Alisema mmoja na wengine walicheka ila kuna mmoja hakupendezwa.
*Acheni mambo ya kipumbavu nyie ni wanaume
wenye kujiheshimu umbea hauwapendezi hata kidogo. Yale ni maisha ya mtu binafsi na huyo kichaa mnaemzungumzia ni chaguo lake. Kuheshimu na muwe na aibu. Alimaliza kuongea
kisha akanyanyuka na kuondoka. Sasa unaondoka vipi na hatujamaliza? Siwezi kukaa na watu wambea.
Upande wa Tessy akiniandama Shania na
kubeba kila kifaa kinachotakiwa, na wakati huo kuna mtu alifika na gari akawa chukua na kuwapeleka hospitali.
Shania alipokelewa na doctor Alex pamoja na manesi wakamuwahisha leba kwaajili ya kupika njia. Walimaliza Shania kitandani.
Basi kama nilivyokwambia mnatakiwa kutoa misaada huyu ni mgonjwa wa akili.
Sawa doctor.
*Kuweni makini sana.
Sawa.
Manesi walipima njia.
Njia imeshaanza kufunguka.
Shahid alifika na kumkuta Tessy akiwa
kasimama nje..
*Vipi?
*Kuingizwa ndani.
Mungu wangu naomba unisaidie kwa hili,
Shania atoke salama
Mungu ni mwema boss. Shahidi alitoa simu yake na kumpigia dr Alex.
*Hallow doctor nini kinaendelea huko?
Mke wako tumempokea na yupo kwenye usimamizi wa manesi.
Sawa.
Shahid aliendelea kuzunguka pale hospitali huku
akiomba dua kwa Mungu wake.
Boss hivi umewaambia ndugu zake?
Aaaaaaa siku fikiria hilo kabisa ngoja nimpigue shangazi
Shahidi alimpigia mama Farida na kumpa taarifa za kuumwa kwa Shania.
Baada ya muda mama Farida alifika wakaungana pamoja kusubiria matokeo.
Baada ya saa moja na nusu kupita Shania. alijifungua salama mtoto mzuri wa kike.
Walienda wodini wakamkuta Shania kapakata mtoto wake huku akimuangalia. Shani hakuruhusu mtu amguse mtoto wake alikuwa mkali sana kwahiyo watu walimuangalia kwa mbali. Lakini kwa upande wa shahidi ilikuwa ni furaha tu kuwaona vipenzi wake wakiwa salama.
Siku ya pili yake walirudi nyumbani na huduma za kumlisha uzazi ziliendelea huku mama Farida akiwa pale kwaajili ya kumuangalia Shania.
Kwa upande wa ndugu wa Shahid maneno yalianza.
*Yani wewe mwanangu huna akili kabisa badala ya kuchukua maamuzi ya kuachana na yule kichaa ndio kwanza unazidi kujaza ndugu wa
yule kichaa wako, hivi upo sawa kweli wewe?
Mama Shahid aliongea na mwanae kwa ukali. Mama ulisema mtaniacha na maisha yangu basi niachieni na kamwe maneno yenu hayata badilisha chochote kwangu Shania atabaki kuwa mke wangu na mtu wa thamani kwangu
Offer offer
Soma yote kwa sh 500
Whatsp 0784468229
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni