Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

KWANINI NISIWAPE WAKATI HAWAONDOKI NACHO  MTUNZI; ZAMRATAVMBWANA   EPISODE 2
Gonga94 ยท Stories

KWANINI NISIWAPE WAKATI HAWAONDOKI NACHO MTUNZI; ZAMRATAVMBWANA EPISODE 2

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
KWANINI NISIWAPE WAKATI HAWAONDOKI NACHO

MTUNZI; ZAMRATAVMBWANA

EPISODE 2
?Basi wote Tuliangaliana Usoni Babu Shani aliniambia nivae upesi na kweli nilivaa upesi na alinitoa mlango wa Uwani huku na yeye akiwa kajiweka sawa na kujifanya anasoma gazeti toka mda nilikimbia upesi na kwenda Nyumbani nilipofika mbele niligundua kama niliacha viatu ! Toba jamani umalaya huu basi ilibidi niondoke hivo hivo nyumbani Bibi Shani alivyofika tu alimuuliza Mumewe kama kunamgeni yeyote aliekuwa amefika "aaa. Ap.! Kabla ajajibu Babu Shani ilisikika sauti ya mjukuu wake Shani akiuliza "Bibi kuna viatu huku nje Sijui hata vya nani ?
?"Viatu !
?"Ndiyo ! Bibi
?"Embu vilete kwanza !
?Shani alivileta vile viatu vyangu na Bibi Shani aliviangalia kwa makini alikumbuka kuwa ni viatu vyangu
?"Ivi ni Viatu vya Mariamu !
?"Viatu vya Mariamu vimefikaje !
?Shani aliuliza kwa Mshangao mno
?"Ooh! Bibi Mariamu alisema atamuagiza mariamu mboga izi tulizoludi nazo shambani aliniambia toka jana kuwa atamuagiza mjukuu wake aje kuchukua mboga nahisi ndo alikuja ! Babu Shani umesema hakuna mtu aliekuja ?
?"Alikuja Binti uko nje alikuwa anaita ita nikamwambia kuwa Aupo nikamwambia pita ndani umsubili lakini aliondoka nahisi ndo uyo !
?"Anha! Atakuwa ndo uyo uyo Mariamu Asaimekuaje hadi amesahau viatu vyake ngoja niwapelekee mboga na hivi viatu vyake . Nililudi Nyumbani huku nikiwa na upwiru yaani Babu Shani alikuwa kanishtua mashetani yangu alafu hakuyamalizia roho iliniuma sana na nilimchukia Shani na Bibi yake kuludi kwao upesi nyumbani kumenialibia Wamenikosesha utamu wa bomba la babu Shani "Mboga Yenyewe ipo wapi ?
?"Sijamkuta mtu ayupo Bibi shani !
?"Mh! Atakuwa ajaludi Shamba uyo !
?Mda huo huo tulisikia hodi na Bibi shani ndo aliingia ndani huku akiwa ameshika viatu vyangu na mkono mwengine alishika mboga moyo wangu ulishtuka mno na kuinamia chini kwa aibu nilihisi Bibi shani amejua kila kitu kuhusu mimi na mumewe
?"Shani viatu vyako hivi jamani ulikuwa unamuogopa babu shani wewe ungeingia tu ndani ukanisubili !
?Nilishtuka baada ya kusikia ivo nilienda kuchukua viatu vyangu huku nikijichekesha kinafki Basi waliongea ongea na Bibi baada ya mda bibi shani aliondoka zake .
?Nilienda chumbani kwangu na kujilaza huku nikiwa nachezea chezea kipochi manyoya changu niliwaza nitapata wapi Mtu wa kuniwasha moto basi nikiwa nimetulia alikuja Bibi yangu
?"Ivi Wewe zile mboga unataka mimi ndo nikupikie wewe ujilaze chali nenda kapike uko !
?Nilitoka huku nikiwa na hasira mno na kwenda kupika .
?Basi sikuingine tena nikiwa nimelala zangu asubuhi kuna Pambazuka alikuja Bibi kuniamsha "Leo Zamu yako Mariamu kwend Shamba !
?Loh na kibaridi hiki cha Asubuhi nilitamani kulia ndo ivo tena nilijiandaa nakuelekea shamba nikiwa njiani nilimuona mmasai akiwa anachunga mifugo yake alikuwa ni kaka wa makamo aliniangalia kwa jicho la kunitamani sana huku macho yote yakiangalia sehemu ya bomboclaaaat yangu niliogopa sana huku nikiwa nimeshika jembe langu nilikazana mno na shambani kwetu hakukuwa mbali sana nilifika nakuanza kulima nililima kwa mda kidogo punde nilimuona yule mmasai pale shambani kwetu nilijifanya nipo bize kama sijamuona
?"Hello Masai we Binti unalima peke ako mumeo iko wapi ?
?Aliniuliza huku akija ubanzi wangu
?"Sina mume ! Alafu ayakuhusu !
?Nilimjibu kimkato huku nikiwa na hasira sikutaka kabisa mazoea nae
?"Mbona una hasira sana mimi nataka isaidie !
?Nilivyosikia ivo niliacha kulima nakumuangalia nilimkabizi jembe
?Alichukua na kuanza kulima huku mimi nilikaa pembeni na kumuangalia yule mmasai yani jinsi alivyokuwa analima na nguo yake ilikuwa inapepea na kumfanya tango lake lionekane nilikodoa macho sikuamini kama naliona nililitizama kwa makini sio siri nililitamani lilionekana tango tamu sana tena linafaa kwa matumizi niliwaza nikwavipi naweza kulipata lile tango nilipiga mahesabu ya alaka alaka niliinuka nakujifanya kutembea tembea mala Gafla "Mamaaaaaaa! Nilipiga kelele kwa nguvu zilizomshtua yule mmasai na kutupa jembe pembeni na kunikimbilia mimi upesi .....
?Unajua niliona nini
?
?FULL 1000
?+255 698 095 257

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

KWANINI NISIWAPE WAKATI HAWAONDOKI NACHO MTUNZI; ZAMRATAVMBWANA EPISODE 2

KWANINI NISIWAPE WAKATI HAWAONDOKI NACHO

MTUNZI; ZAMRATAVMBWANA

EPISODE 2
?Basi wote Tuliangaliana Usoni Babu Shani aliniambia nivae upesi na kweli nilivaa upesi na alinitoa mlango wa Uwani huku na yeye akiwa kajiweka sawa na kujifanya anasoma gazeti toka mda nilikimbia upesi na kwenda Nyumbani nilipofika mbele niligundua kama niliacha viatu ! Toba jamani umalaya huu basi ilibidi niondoke hivo hivo nyumbani Bibi Shani alivyofika tu alimuuliza Mumewe kama kunamgeni yeyote aliekuwa amefika "aaa. Ap.! Kabla ajajibu Babu Shani ilisikika sauti ya mjukuu wake Shani akiuliza "Bibi kuna viatu huku nje Sijui hata vya nani ?
?"Viatu !
?"Ndiyo ! Bibi
?"Embu vilete...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/kwanini-nisiwape-wakati-hawaondoki-nacho-mtunzi-zamratavmbwana-episode-2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi kwanini-nisiwape-wakati-hawaondoki-nacho-mtunzi-zamratavmbwana-episode
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

934
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

760
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20

624
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

592
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

135
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

84
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

4

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.48K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.76K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.61K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.59K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.5K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.49K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.46K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers โ€” but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee โ€œ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. Heโ€™s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. Heโ€™s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. Itโ€™s...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest