Naitwa Vicktoria , nina umri wa miaka 30, mwaka 2020 niliajiriwa katika mkoa wa tabora, wilaya ya kaliua kwenye shule ya secondary ya muongozo kama mwalimu wa somo la hesabati na chemia, nilikuwa nina mwili mdogp sana, na rangi ya kahawia, na umbo maridadi sana, kana kwamba ungeliona umbo langu kabla ya kuniona mimi huenda ungehisi lile umbo sio la kwangu….
Wakati naajiriwa nilikuwa nimeshaolewa kama miaka minne nyuma, ila kwa bahati mbaya au nzuri, niliondoka kwenye ndoa miaka mitatu baada ya kuolewa na nilitoka kwenye ndoa, maana mwanaume alinioa alikuwa mlevi na anapiga sana nikaona cha kujifia nini, hivyo nikatoka kwenye ndoa nikiwa ni mama wa mtoto mmoja…
Wakati nakuja kuajiriwa hakuna mtu hata mmoja ambae alijua kuwa nimeshawah kuolewa au hata kuzaa kutokana na umbo langu na namna ambavyo uzazi na kuzaa hakukunibadilisha chochote kile kwenye mwili wangu…
Wakati nafika sio wanakijiji, wanafunzi au hata walimu wenzangu walikuwa wananitolea macho ya matamanio, sikujali maana kutongozwa kwangu kilikuwa ni kitu cha kawaida sana, kiasi kwamba maneno na mishangao ya wanaume hakikuwa kitu cha kunishangaza tena kwenye maisha yangu….
Nilipangiwa kufundisha kidato cha tatu na cha nne, nikawa naingia darasani, ila nilikuwa ni mtu wa utani mno, hata ufiundishaji wangu ulikuwa ni ufundishaji wa masikhara sana, na ndio yalikuwa maisha yangu…
Sasa kuna mwanafunzi alikuwa anaitwa kendrik kwenye shule ambayo nilikuwa nafundisha, alikuwa ni mwanafunzi ambae alikuwa anafanya vizuri sana, hakuwahi kuwa namba moja au mbili, ila mar azote alikuwa yupo kwenye tano bora ya shule, ila siku moja alikuwa amechelewa kuja, na kikawaida mimi huwa nina kawaida ya kuita watu majina mazuri, akawa anagonga na nilishamuona kuwa ni yeye, nikasema “ come in babaaa….
Lilikuwa ni neno la kawaida sana kwangu, kwa maana nimeshazoea kuwaita wanafunzi hivyo, kumbe nilitengeneza hisia flani kwa Yule mtoto bila mimi kujua, kwa maana hakuwahi kuitwa vizuri namna ile…
Basi kuanzia siku hio Yule mtoto akawa ananishangaa tu, sasa nilijua ni baleghe zinamsumbua hivyo sikuwa namzingatia kabisa, na kuna muda nikawa namtania kwa kumuambia kuwa “ mbona unaniangalia sana kama unanitaka…
Akawa anaona aibu na kucheka cheka tu, ila sikuwa namtilia maanani hata kidogo…
Basi huyo mwanafunzi akaanza kushindwa kusoma kama nikiwa mbali, yaan akiwa hajaniona ni atajipitisha pemben ya ofisi mno mpaka nimuone, nilikuwa simfatilizi pia, kumbe alishaanza kunipenda, mimi sina ninachojua…
Kendrick akawa hawezi kusoma bila kuniona, akawa hawezi kufanya jambo lolote lile nikiwa sipo kazini, akawa anatengeneza mazingira ya kuonana na mimi kwa maana hakuna kitu chake chochote kile kinachoenda sawa bila kuniona…
Basi mimi hapo sina ninachojua naishi zangu kawaida, na matani yangu yakawa yanaendelea na kawaida yangu ya kuita wanafunzi majina mazuri kama my dear, sweet wangu, kipenzi ikawa inaendelea kama kawaida, kumbe mwanafunzi huku ameshaanza kuwachimba mikwara wanafunzi wenzake ambao wataniongelea kwa namna yoyote ile , akaanza kujiita handsome wa Vicky, akaanza kuandika jina langu kwenye diary yake, na akawa ananichora maana alikuwa ni mchoraji mzuri sana, alafu kumbe hadi nyumbani kwao alikuwa ana lala na picha yangu ambayo alikuwa amenichora….
Nilikuja kujua baadae sana, baada ya miaka kadhaa kupita…
Kendrik akawa kila siku ambayo hakuna mwalimu darasani kwao anakuja kuniita niwafundishe hata kama sio somo langu
, kumbe anataka niwe karibu nae na anataka kuniona hapo mimi sina ninachoelewa naendelea zangu na maisha yangu…
Kipindi hicho sikuwa nataka mazoea kabisa na wanaume, sikuwa najua kama nitakuja kuangukia mikononi mwa mwanafunzi wangu siku moja, maana mapenzi ya kweli hayajawahi kufa hata kwa bahati mbaya, ndivyo ilivyokuwa kwangu na mimi pamoja na Kendrick…
Sasa hii shule ambayo nilikuwa nafundisha, ilikuwa ina program za kwenda kusimamia wanafunzi usiku wakiwa wanajisomea, na mimi nikawa ni mmoja wa walimu ambao natakiwa kusimamia wanafunzi, siku hio nimeenda kusimamia wasome, nikashangaa kendrick hasomi, ni kama alikuwa anatafuta kitu, ikabidi niingie nimuulize unatafuta nini wewe, badala usome unakaa kushangaa shangaa, umekuja kushangaa hapa…
“ samahani madam nilikuwa nakutafuta wewe, akaniambia..
“ unanitafuta mimi?, kwa sababu gani ulikuwa unanitafuta mimi? Ikabidi na mimi nimuulize maana sikuwa namuelewa..
Akaangalia chini kwa sekunde kadhaa kisha kwa sauti ya unyonge akanambia “ naomba unifundishe madam…
Ikabidi nisogee mpaka alipo tukaanza kufanya kwa pamoja maswali ya math, nikashangaa miguu yake inaanza kutetemeka, nikashangaa huyu vipi, ikabidi nimuulize “ kendirick upo sawa?...
Hakusema na mimi, akasimama haraka haraka kisha akatoka nje haraka sana, nikahisi kama kuna kitu ambacho hakipo sawa kuhusu yeye, nikataka kumfata, ila nikajizuia, maana sikujua anashida gani, na sikutaka kumsumbua, maana nilikuwa nimekaa nae, kama angekuwa anashida yoyote ile basi angeniambia…
Ila mpaka tunaenda nyumban hakurudi, sikumfatiliza, ila kesho yake shuleni ikabidi nimtafute nimuulize alikuwa anashida gani mpaka akaamua kuacha kusoma, kwa lengo la kutaka kujua anashida gani…
Akaangalia chini kisha akanambia “ sina shida madam…
“ nakujua Kendrick, kumbuka mimi ndio mwalimu wa malezi hapa shuleni, naomba unambie una shida gani? Ikabidi niulize tena…
Akaniangalia kwa sekunde kadhaa kisha akawa anataka kuondoka kana kwamba hakuwa anataka kunambia shida yake ni nini…
“ una nidharau si ndio, Kendrick si ninaongea na wewe, una shida gani? Ikabidi nimuulize kwa mara nyingine tena…
Akawa anaondoka zake, akiwa anaelekea kwenye darasa moja ambalo huwa vifaa vya usafi vya shule huwa vinawekwaga hapo…
Nilihisi kama kuna kitu kina mtatiza, nikaona bora nimfate nijue anashida gani, ila sio kwa lengo baya, ila niliamini kuwa akikaa vizuri kiakili kama mwanafunzi basi hata maendeleo yake ya kishule yanaweza kuendelea kama kawaida…
Kweli nikaenda mpaka kwenye hio sehemu ya kuhifadhia vifaa, nilikuwa kwa dirishani, nikamuona kama ameshika karatasi analibusu, na kwa namna ambavyo alikuwa analibusu kwa hisia kubwa sana, nikaanza kuamini huenda kuna mwanamke anamchanganya, ikabidi nienda mpaka kwneye lile darasa, nilitaman kujua huyo mwanamke ni nani, huenda tukamsaidia kimawazo na kifikra…
“ Kendrick usitake kunambia kuwa umeshaanza kuwa kwenye mahusiano kiasi kwamba haujui umuhimu wa elimu yako, embu nambie huyo mwanamke ambae anakuchanganya kiasi hicho ni nani?, mpaka unafanya vibaya shuleni, nikaendelea kumuuliza huku nikimsogelea kutaka kujua aliekuwa anamuangalia mpaka anambusu ni nani? …
Tukaanza kupurukushani kuwa Yule kijana hakuwa anataka kunionesha huyo mwanamke ni nani..
Mwisho akanipa karatasi mwenyewe, kisha akawa ananiangalia usoni kana kwamba kuna kitu anasoma kwangu, nilishangaa maana sikutegemea kabisa kukuta picha yangu kwa Kendrick kisha akaanza kusema kuwa “ ni wewe madam, nimejikuta nashindwa kuzuia hisia zangu , nimejikuta nashindwa kabisa kusoma maana nakufikiria sana madam wangu, ukweli ni kwamba nakupenda sana….
ITAENDELEA..
Full 1000
Whatsp 0784468229.
Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.
Maoni
Click here to login and comments