Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

Miaka 4 iliyopita mke wangu aligundua kuwa niliwahi kuchepuka na kwa bahati nikapata mtoto wa nnje ambaye ki umri alikua ni sawa na mtoto wangu wa kwanza
Gonga94 ยท Stories

Miaka 4 iliyopita mke wangu aligundua kuwa niliwahi kuchepuka na kwa bahati nikapata mtoto wa nnje ambaye ki umri alikua ni sawa na mtoto wangu wa kwanza

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
, wakati huo alikua na miaka minne. Ingawa nilikua nimeshaachana na huyo mwanamke nalea tu mtoto kwani nilitambua kosa langu lakini mke wangu alikasirika sana.

Niliomba sana msamaha lakini hakutaka kunisikiliza, aliniambia moja kwa moja kuwa nichague kati ya mtoto niliyezaa na huyo mwanamke au ndoa yangu. Aliniambia kama nataka abaki basi nisiwasiliane na huyo mwanamke na hataki kusikia kitu chochote, hata matumizi alikua hataki nimtumie.

Kwakua nilikua nampenda sana mke wangu nilikubali kukata mawasiliano kablsa na Mama wa mtoto wangu lakini sikua tayari kumtelekeza mwanangu, nilimfungulia mtoto akaunti na kila mwisho wa mwezi nilikua namuwekea mtoto bila kuwasiliana naye, sikutaka hata kujua anaendeleaje, mwanamke nilimblock kwenye kila kitu.

Nilikua nafanya hivyo kimya kimya bila mke wangu kujua. Lakini miezi miwili iliyopita nilisahau kile kikaratasi cha kuwekea pesa kwenye gari yangu, mke wangua likiona, alinibana sana nikalazimika kumuambia ukweli kuwa nilikua namhudumia mwanangu kwakua hana hatia.

Mke wangu hakunijibu, alinyamaza kimya kw aisku mbili, siku ya tatu natoka kazini nikakuta mke wangu kachukua kila kitu chake kaondoka. Ananiambia nimechagua kumhudumia mwanangu hivyo nibaki naye, nilihisi utani lakini wiki ilipita, nikamaua kutafuta watu kuongea naye.

Tukaitishwa kikao na kila mtu ila mke wangu kaweka msimamo kuwa ili anisamehe na kubali kurudi nilazima niache kumhudumia mtoto wangu na tuandikishe mahakamani kuwa simtambui huyo mtoto na kama niki*fa basi asirithi kitu chochote, naomba ushauri wako nifanye nini?

Mke wangu nampenda tena sana lakini naona shida kumtelekeza mwanangu, makosa nilifanya mimi hivyo sioni kama ni sawa kumuadhibu mwanangu! Nimemuambia basi kama ishu ni mawaisliano maana siwasiliani na Mama wa mtoto basi pesa niwe napeleka ustawi wa jamii hata nisitume kwenye akaunti yake lakini hatak.

Anachotaka ni mimi nisimhudumie mwanangu, sasa hapo naona shida maana kama ni pesa ya kuhudumia ni nayo, yeye namhudumia nampe pesa zaidi ya mara kumi ya ninazotuma kule lakini ananiambia hataki tu nimhudumie, nishauri nifanye nini?
Tangazo - Sports
Sports
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Miaka 4 iliyopita mke wangu aligundua kuwa niliwahi kuchepuka na kwa bahati nikapata mtoto wa nnje ambaye ki umri alikua ni sawa na mtoto wangu wa kwanza

, wakati huo alikua na miaka minne. Ingawa nilikua nimeshaachana na huyo mwanamke nalea tu mtoto kwani nilitambua kosa langu lakini mke wangu alikasirika sana.

Niliomba sana msamaha lakini hakutaka kunisikiliza, aliniambia moja kwa moja kuwa nichague kati ya mtoto niliyezaa na huyo mwanamke au ndoa yangu. Aliniambia kama nataka abaki basi nisiwasiliane na huyo mwanamke na hataki kusikia kitu chochote, hata matumizi alikua hataki nimtumie.

Kwakua nilikua nampenda sana mke wangu nilikubali kukata mawasiliano kablsa na Mama wa mtoto wangu lakini sikua tayari kumtelekeza mwanangu, nilimfungulia mtoto akaunti na kila mwisho wa mwezi nilikua namuwekea mtoto bila kuwasiliana naye, sikutaka hata...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miaka-4-iliyopita-mke-wangu-aligundua-kuwa-niliwahi-kuchepuka-na-kwa-bahati-nikapata-mtoto-wa-nnje-a

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miaka
 Chombezo....Oooh anko Mudy usichomoe.   SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO  ENDELEA. . .   BAADA YA MIAKA KUMI NA TANO
Chombezo....Oooh anko Mudy usichomoe. SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO ENDELEA. . . BAADA YA MIAKA KUMI NA TANO
  NAKUPENDA  Sehemu ya : 1  By Miss Hamida Simulizi yetu inakwenda kuanzia Miaka ya nyuma kabisa kabla ya kila mtu hajaanza kumiliki simu, ambapo mtu akikupa...
NAKUPENDA Sehemu ya : 1 By Miss Hamida Simulizi yetu inakwenda kuanzia Miaka ya nyuma kabisa kabla ya kila mtu hajaanza kumiliki simu, ambapo mtu akikupa...
"SITAKI MIEEE" (IMEBANAAA)  MTUNZI ๐ŸซDr(Dkt) Kangaroo Nyumbu  UMRI ๐Ÿ“ ZAIDI YA MIAKA 18  SEHEMU ๐Ÿ“01
"SITAKI MIEEE" (IMEBANAAA) MTUNZI ๐ŸซDr(Dkt) Kangaroo Nyumbu UMRI ๐Ÿ“ ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU ๐Ÿ“01
"SITAKI MIEEE" (IMEBANAAA)  MTUNZI ๐ŸซDr(Dkt) Kangaroo Nyumbu  UMRI ๐Ÿ“ ZAIDI YA MIAKA 18  SEHEMU ๐Ÿ“02
"SITAKI MIEEE" (IMEBANAAA) MTUNZI ๐ŸซDr(Dkt) Kangaroo Nyumbu UMRI ๐Ÿ“ ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU ๐Ÿ“02
๐Ÿ”ž ONYO: Hii ni hadithi ya wakubwa tu. Usisome kama hujatimia miaka 18.  ZUWENA NILIUZA BIKIRA YANGU  KIPANDE CHA 1 ๐Ÿ’”
๐Ÿ”ž ONYO: Hii ni hadithi ya wakubwa tu. Usisome kama hujatimia miaka 18. ZUWENA NILIUZA BIKIRA YANGU KIPANDE CHA 1 ๐Ÿ’”
"MKATABA WA TAIFA"      (OOOOPPSSSS)    UMRI ๐Ÿคฃ ZAIDI YA MIAKA 18  SEHEMU YA 01
"MKATABA WA TAIFA" (OOOOPPSSSS) UMRI ๐Ÿคฃ ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU YA 01
๐Ÿ”ž Onyo: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima. Inafaa kwa wasomaji waliotimiza umri wa miaka 18 Zawadi Sehemu ya 3
๐Ÿ”ž Onyo: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima. Inafaa kwa wasomaji waliotimiza umri wa miaka 18 Zawadi Sehemu ya 3
Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima. Inafaa kwa walio na umri wa miaka 18 na kuendelea. Tafadhali soma kwa uangalifu na kwa hiari yako. ZAWADI Sehemu ya 11
Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima. Inafaa kwa walio na umri wa miaka 18 na kuendelea. Tafadhali soma kwa uangalifu na kwa hiari yako. ZAWADI Sehemu ya 11
Margret Chola, bibi mwenye umri wa miaka 85 aliyejizolea umaarufu mtandaoni kutokana na aina ya mavazi
Margret Chola, bibi mwenye umri wa miaka 85 aliyejizolea umaarufu mtandaoni kutokana na aina ya mavazi
ELIE MPANZU KIBISAWALA alisaini Simba mkataba wa miaka 2
ELIE MPANZU KIBISAWALA alisaini Simba mkataba wa miaka 2
๐Ÿ”ž ONYO: Hadithi hii inafaa kwa wasomaji waliokomaa (miaka 18+). Ina maudhui ya kihisia na kimapenzi. Tafadhali soma kwa  uangalifu.  ZUWENA  NILIUZA BIKIRA YANGU M KIPANDE CHA...
๐Ÿ”ž ONYO: Hadithi hii inafaa kwa wasomaji waliokomaa (miaka 18+). Ina maudhui ya kihisia na kimapenzi. Tafadhali soma kwa uangalifu. ZUWENA NILIUZA BIKIRA YANGU M KIPANDE CHA...
""'NAPANUA"''    UMRI๐Ÿ’‹ ZAIDI YA MIAKA 18  SEHEMU ๐Ÿ’‹ 10 ๐Ÿ“๐Ÿ๐Ÿ’‹๐Ÿ๐ŸŒฒ๐Ÿ’˜๐Ÿ
""'NAPANUA"'' UMRI๐Ÿ’‹ ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU ๐Ÿ’‹ 10 ๐Ÿ“๐Ÿ๐Ÿ’‹๐Ÿ๐ŸŒฒ๐Ÿ’˜๐Ÿ
โš ๏ธ ONYO: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima. Inafaa kwa wasomaji walio na umri wa miaka 18 na kuendelea. Tafadhali soma kwa tahadhari. โš ๏ธ Post hi inafaa kwa page...
โš ๏ธ ONYO: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima. Inafaa kwa wasomaji walio na umri wa miaka 18 na kuendelea. Tafadhali soma kwa tahadhari. โš ๏ธ Post hi inafaa kwa page...
""NAPANUA"    UMRI๐ŸŒน ZAIDI YA MIAKA 18   SEHEMU๐ŸŒน04 ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
""NAPANUA" UMRI๐ŸŒน ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU๐ŸŒน04 ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
 FATE TO LOVE YOU ๐Ÿ’“1 1--2 Lina alikuwa binti wa miaka 20, mrembo mwenye haiba ya upole, macho makubwa yenye mashiko , yenye mvuto mfano wa mbaramwezi na tabasamu...
FATE TO LOVE YOU ๐Ÿ’“1 1--2 Lina alikuwa binti wa miaka 20, mrembo mwenye haiba ya upole, macho makubwa yenye mashiko , yenye mvuto mfano wa mbaramwezi na tabasamu...
MWISHO WA AI... Bill Gates: Hata baada ya miaka mia moja, kutabaki eneo moja lisiloshikika na akili bandia (AI), nalo ni kutengeneza programu(Programming).
MWISHO WA AI... Bill Gates: Hata baada ya miaka mia moja, kutabaki eneo moja lisiloshikika na akili bandia (AI), nalo ni kutengeneza programu(Programming).
""'NAPANUA"''    UMRI๐Ÿ’‹ ZAIDI YA MIAKA 18  SEHEMU ๐Ÿ’‹ 09 ๐Ÿ๐Ÿ˜…๐ŸŒฒ๐ŸŒผ
""'NAPANUA"'' UMRI๐Ÿ’‹ ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU ๐Ÿ’‹ 09 ๐Ÿ๐Ÿ˜…๐ŸŒฒ๐ŸŒผ
๐Ÿ”ž Tahadhari: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima na siyo rafiki kwa walio chini ya miaka 18. Hadithi ya Watu Wazima:  Zawadi Sehemu ya 5
๐Ÿ”ž Tahadhari: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima na siyo rafiki kwa walio chini ya miaka 18. Hadithi ya Watu Wazima: Zawadi Sehemu ya 5
""NAPANUA"    UMRI๐ŸŒน ZAIDI YA MIAKA 18   SEHEMU๐ŸŒน05 ๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ˜ญ
""NAPANUA" UMRI๐ŸŒน ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU๐ŸŒน05 ๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ˜ญ
""NAPANUA"   UMRI๐ŸŒน ZAIDI YA MIAKA 18   SEHEMU๐ŸŒน01
""NAPANUA" UMRI๐ŸŒน ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU๐ŸŒน01
SARA ni Binti Mdogo mwenye miaka 17 kutokana na umbo lake kubwa basi akajiona tayali kawa mtu mzima asie hitaji uangalifu wa wazazi..
SARA ni Binti Mdogo mwenye miaka 17 kutokana na umbo lake kubwa basi akajiona tayali kawa mtu mzima asie hitaji uangalifu wa wazazi..
Bado Kuna Miaka 2 na Miezi 7 ya Kutakiwa Kumkaba ELIE MPANZU KIBISAWALA
Bado Kuna Miaka 2 na Miezi 7 ya Kutakiwa Kumkaba ELIE MPANZU KIBISAWALA
UTAMU WA MABOSS 11 Mabel  ALIKUWA anashughulika  na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA ya wazaz wake  pamoja na Bryan.  "Keki tutakayotumia iko njiani,...
UTAMU WA MABOSS 11 Mabel ALIKUWA anashughulika na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA ya wazaz wake pamoja na Bryan. "Keki tutakayotumia iko njiani,...
""'NAPANUA"''    UMRI๐Ÿ’‹ ZAIDI YA MIAKA 18  SEHEMU ๐Ÿ’‹ 08 ๐ŸŒผ๐Ÿ˜…๐Ÿฅ€๐Ÿ
""'NAPANUA"'' UMRI๐Ÿ’‹ ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU ๐Ÿ’‹ 08 ๐ŸŒผ๐Ÿ˜…๐Ÿฅ€๐Ÿ
""NAPANUA"    UMRI๐ŸŒน ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU 07 ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐ŸŒผ
""NAPANUA" UMRI๐ŸŒน ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU 07 ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐ŸŒผ
Miaka ya 1930s wakati Urusi ikipigwa na lile janga la njaa kali kuwahi ikumba nchi hiyo. Inasemekana kuna baadhi ya watu walianza tabia za kula nyama za watu. Wapo walioenda...
Miaka ya 1930s wakati Urusi ikipigwa na lile janga la njaa kali kuwahi ikumba nchi hiyo. Inasemekana kuna baadhi ya watu walianza tabia za kula nyama za watu. Wapo walioenda...
""NAPANUA"   UMRI๐ŸŒน ZAIDI YA MIAKA 18   SEHEMU๐ŸŒน03
""NAPANUA" UMRI๐ŸŒน ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU๐ŸŒน03
""NAPANUA"   UMRI๐ŸŒน ZAIDI YA MIAKA 18   SEHEMU๐ŸŒน02
""NAPANUA" UMRI๐ŸŒน ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU๐ŸŒน02
๐Ÿ”ถMabaki ya askari wa Kijerumani bado yana kofia yake kichwani tangu mwisho wa vita miaka 80 iliyopita! Picha hii inafupisha kile ambacho maelfu ya kurasa haziwezi kusema.
๐Ÿ”ถMabaki ya askari wa Kijerumani bado yana kofia yake kichwani tangu mwisho wa vita miaka 80 iliyopita! Picha hii inafupisha kile ambacho maelfu ya kurasa haziwezi kusema.
""NAPANUA"    UMRI๐ŸŒน ZAIDI YA MIAKA 18   SEHEMU 06 ๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
""NAPANUA" UMRI๐ŸŒน ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU 06 ๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

8.9K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

5.53K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.24K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.18K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

1.93K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

1.91K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.72K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

1.65K
RUNGU LA KIPOFU 21.

RUNGU LA KIPOFU 21.

1.65K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.64K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest