Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Miaka 4 iliyopita mke wangu aligundua kuwa niliwahi kuchepuka na kwa bahati nikapata mtoto wa nnje ambaye ki umri alikua ni sawa na mtoto wangu wa kwanza
Gonga94 Β· Stories

Miaka 4 iliyopita mke wangu aligundua kuwa niliwahi kuchepuka na kwa bahati nikapata mtoto wa nnje ambaye ki umri alikua ni sawa na mtoto wangu wa kwanza

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
, wakati huo alikua na miaka minne. Ingawa nilikua nimeshaachana na huyo mwanamke nalea tu mtoto kwani nilitambua kosa langu lakini mke wangu alikasirika sana.

Niliomba sana msamaha lakini hakutaka kunisikiliza, aliniambia moja kwa moja kuwa nichague kati ya mtoto niliyezaa na huyo mwanamke au ndoa yangu. Aliniambia kama nataka abaki basi nisiwasiliane na huyo mwanamke na hataki kusikia kitu chochote, hata matumizi alikua hataki nimtumie.

Kwakua nilikua nampenda sana mke wangu nilikubali kukata mawasiliano kablsa na Mama wa mtoto wangu lakini sikua tayari kumtelekeza mwanangu, nilimfungulia mtoto akaunti na kila mwisho wa mwezi nilikua namuwekea mtoto bila kuwasiliana naye, sikutaka hata kujua anaendeleaje, mwanamke nilimblock kwenye kila kitu.

Nilikua nafanya hivyo kimya kimya bila mke wangu kujua. Lakini miezi miwili iliyopita nilisahau kile kikaratasi cha kuwekea pesa kwenye gari yangu, mke wangua likiona, alinibana sana nikalazimika kumuambia ukweli kuwa nilikua namhudumia mwanangu kwakua hana hatia.

Mke wangu hakunijibu, alinyamaza kimya kw aisku mbili, siku ya tatu natoka kazini nikakuta mke wangu kachukua kila kitu chake kaondoka. Ananiambia nimechagua kumhudumia mwanangu hivyo nibaki naye, nilihisi utani lakini wiki ilipita, nikamaua kutafuta watu kuongea naye.

Tukaitishwa kikao na kila mtu ila mke wangu kaweka msimamo kuwa ili anisamehe na kubali kurudi nilazima niache kumhudumia mtoto wangu na tuandikishe mahakamani kuwa simtambui huyo mtoto na kama niki*fa basi asirithi kitu chochote, naomba ushauri wako nifanye nini?

Mke wangu nampenda tena sana lakini naona shida kumtelekeza mwanangu, makosa nilifanya mimi hivyo sioni kama ni sawa kumuadhibu mwanangu! Nimemuambia basi kama ishu ni mawaisliano maana siwasiliani na Mama wa mtoto basi pesa niwe napeleka ustawi wa jamii hata nisitume kwenye akaunti yake lakini hatak.

Anachotaka ni mimi nisimhudumie mwanangu, sasa hapo naona shida maana kama ni pesa ya kuhudumia ni nayo, yeye namhudumia nampe pesa zaidi ya mara kumi ya ninazotuma kule lakini ananiambia hataki tu nimhudumie, nishauri nifanye nini?

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Miaka 4 iliyopita mke wangu aligundua kuwa niliwahi kuchepuka na kwa bahati nikapata mtoto wa nnje ambaye ki umri alikua ni sawa na mtoto wangu wa kwanza

, wakati huo alikua na miaka minne. Ingawa nilikua nimeshaachana na huyo mwanamke nalea tu mtoto kwani nilitambua kosa langu lakini mke wangu alikasirika sana.

Niliomba sana msamaha lakini hakutaka kunisikiliza, aliniambia moja kwa moja kuwa nichague kati ya mtoto niliyezaa na huyo mwanamke au ndoa yangu. Aliniambia kama nataka abaki basi nisiwasiliane na huyo mwanamke na hataki kusikia kitu chochote, hata matumizi alikua hataki nimtumie.

Kwakua nilikua nampenda sana mke wangu nilikubali kukata mawasiliano kablsa na Mama wa mtoto wangu lakini sikua tayari kumtelekeza mwanangu, nilimfungulia mtoto akaunti na kila mwisho wa mwezi nilikua namuwekea mtoto bila kuwasiliana naye, sikutaka hata...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miaka-4-iliyopita-mke-wangu-aligundua-kuwa-niliwahi-kuchepuka-na-kwa-bahati-nikapata-mtoto-wa-nnje-a

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miaka
 Chombezo....Oooh anko Mudy usichomoe.   SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO  ENDELEA. . .   BAADA YA MIAKA KUMI NA TANO
Chombezo....Oooh anko Mudy usichomoe. SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO ENDELEA. . . BAADA YA MIAKA KUMI NA TANO
 NILIKUTANA NA BINTI YANGU ALIEFARIKI MIAKA MBILI ILIOPITA AKIUZA MAJI HUKU AMEVALIA NGUO ALIEKUA NAYO SIKU ALIFARIKI Episode 3
NILIKUTANA NA BINTI YANGU ALIEFARIKI MIAKA MBILI ILIOPITA AKIUZA MAJI HUKU AMEVALIA NGUO ALIEKUA NAYO SIKU ALIFARIKI Episode 3
  NAKUPENDA  Sehemu ya : 1  By Miss Hamida Simulizi yetu inakwenda kuanzia Miaka ya nyuma kabisa kabla ya kila mtu hajaanza kumiliki simu, ambapo mtu akikupa...
NAKUPENDA Sehemu ya : 1 By Miss Hamida Simulizi yetu inakwenda kuanzia Miaka ya nyuma kabisa kabla ya kila mtu hajaanza kumiliki simu, ambapo mtu akikupa...
NILIKUTANA NA BINTI YANGU ALIEKUFA MIAKA MIWILI ILIOPITA SOKONI AKIUZA MAJI Episode 1
NILIKUTANA NA BINTI YANGU ALIEKUFA MIAKA MIWILI ILIOPITA SOKONI AKIUZA MAJI Episode 1
"SITAKI MIEEE" (IMEBANAAA)  MTUNZI 🫐Dr(Dkt) Kangaroo Nyumbu  UMRI πŸ“ ZAIDI YA MIAKA 18  SEHEMU πŸ“01
"SITAKI MIEEE" (IMEBANAAA) MTUNZI 🫐Dr(Dkt) Kangaroo Nyumbu UMRI πŸ“ ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU πŸ“01
"SITAKI MIEEE" (IMEBANAAA)  MTUNZI 🫐Dr(Dkt) Kangaroo Nyumbu  UMRI πŸ“ ZAIDI YA MIAKA 18  SEHEMU πŸ“02
"SITAKI MIEEE" (IMEBANAAA) MTUNZI 🫐Dr(Dkt) Kangaroo Nyumbu UMRI πŸ“ ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU πŸ“02
Nina miaka 23, niko chuo mwaka wa tatu. Mwaka jana nilikuja hapa kwa dada yangu baada ya baba yangu kufariki, ambaye alikuwa ananisomesha
Nina miaka 23, niko chuo mwaka wa tatu. Mwaka jana nilikuja hapa kwa dada yangu baada ya baba yangu kufariki, ambaye alikuwa ananisomesha
πŸ”ž ONYO: Hii ni hadithi ya wakubwa tu. Usisome kama hujatimia miaka 18.  ZUWENA NILIUZA BIKIRA YANGU  KIPANDE CHA 1 πŸ’”
πŸ”ž ONYO: Hii ni hadithi ya wakubwa tu. Usisome kama hujatimia miaka 18. ZUWENA NILIUZA BIKIRA YANGU KIPANDE CHA 1 πŸ’”
"MKATABA WA TAIFA"      (OOOOPPSSSS)    UMRI 🀣 ZAIDI YA MIAKA 18  SEHEMU YA 01
"MKATABA WA TAIFA" (OOOOPPSSSS) UMRI 🀣 ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU YA 01
 NILIKUTANA NA BINTI YANGU ALIEFARIKI MIAKA MIWELI ILIOPITA AKIUZA MAJI KWA STREET Episode 2
NILIKUTANA NA BINTI YANGU ALIEFARIKI MIAKA MIWELI ILIOPITA AKIUZA MAJI KWA STREET Episode 2
πŸ”ž Onyo: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima. Inafaa kwa wasomaji waliotimiza umri wa miaka 18 Zawadi Sehemu ya 3
πŸ”ž Onyo: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima. Inafaa kwa wasomaji waliotimiza umri wa miaka 18 Zawadi Sehemu ya 3
Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima. Inafaa kwa walio na umri wa miaka 18 na kuendelea. Tafadhali soma kwa uangalifu na kwa hiari yako. ZAWADI Sehemu ya 11
Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima. Inafaa kwa walio na umri wa miaka 18 na kuendelea. Tafadhali soma kwa uangalifu na kwa hiari yako. ZAWADI Sehemu ya 11
Margret Chola, bibi mwenye umri wa miaka 85 aliyejizolea umaarufu mtandaoni kutokana na aina ya mavazi
Margret Chola, bibi mwenye umri wa miaka 85 aliyejizolea umaarufu mtandaoni kutokana na aina ya mavazi
ELIE MPANZU KIBISAWALA alisaini Simba mkataba wa miaka 2
ELIE MPANZU KIBISAWALA alisaini Simba mkataba wa miaka 2
πŸ”ž ONYO: Hadithi hii inafaa kwa wasomaji waliokomaa (miaka 18+). Ina maudhui ya kihisia na kimapenzi. Tafadhali soma kwa  uangalifu.  ZUWENA  NILIUZA BIKIRA YANGU M KIPANDE CHA...
πŸ”ž ONYO: Hadithi hii inafaa kwa wasomaji waliokomaa (miaka 18+). Ina maudhui ya kihisia na kimapenzi. Tafadhali soma kwa uangalifu. ZUWENA NILIUZA BIKIRA YANGU M KIPANDE CHA...
""'NAPANUA"''    UMRIπŸ’‹ ZAIDI YA MIAKA 18  SEHEMU πŸ’‹ 10 πŸ“πŸπŸ’‹πŸπŸŒ²πŸ’˜πŸ
""'NAPANUA"'' UMRIπŸ’‹ ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU πŸ’‹ 10 πŸ“πŸπŸ’‹πŸπŸŒ²πŸ’˜πŸ
⚠️ ONYO: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima. Inafaa kwa wasomaji walio na umri wa miaka 18 na kuendelea. Tafadhali soma kwa tahadhari. ⚠️ Post hi inafaa kwa page...
⚠️ ONYO: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima. Inafaa kwa wasomaji walio na umri wa miaka 18 na kuendelea. Tafadhali soma kwa tahadhari. ⚠️ Post hi inafaa kwa page...
""NAPANUA"    UMRI🌹 ZAIDI YA MIAKA 18   SEHEMU🌹04 πŸ’˜πŸ’˜πŸ’˜πŸ’˜
""NAPANUA" UMRI🌹 ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU🌹04 πŸ’˜πŸ’˜πŸ’˜πŸ’˜
 FATE TO LOVE YOU πŸ’“1 1--2 Lina alikuwa binti wa miaka 20, mrembo mwenye haiba ya upole, macho makubwa yenye mashiko , yenye mvuto mfano wa mbaramwezi na tabasamu...
FATE TO LOVE YOU πŸ’“1 1--2 Lina alikuwa binti wa miaka 20, mrembo mwenye haiba ya upole, macho makubwa yenye mashiko , yenye mvuto mfano wa mbaramwezi na tabasamu...
""'NAPANUA"''    UMRIπŸ’‹ ZAIDI YA MIAKA 18  SEHEMU πŸ’‹ 09 πŸπŸ˜…πŸŒ²πŸŒΌ
""'NAPANUA"'' UMRIπŸ’‹ ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU πŸ’‹ 09 πŸπŸ˜…πŸŒ²πŸŒΌ
πŸ”ž Tahadhari: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima na siyo rafiki kwa walio chini ya miaka 18. Hadithi ya Watu Wazima:  Zawadi Sehemu ya 5
πŸ”ž Tahadhari: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima na siyo rafiki kwa walio chini ya miaka 18. Hadithi ya Watu Wazima: Zawadi Sehemu ya 5
""NAPANUA"   UMRI🌹 ZAIDI YA MIAKA 18   SEHEMU🌹01
""NAPANUA" UMRI🌹 ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU🌹01
MWISHO WA AI... Bill Gates: Hata baada ya miaka mia moja, kutabaki eneo moja lisiloshikika na akili bandia (AI), nalo ni kutengeneza programu(Programming).
MWISHO WA AI... Bill Gates: Hata baada ya miaka mia moja, kutabaki eneo moja lisiloshikika na akili bandia (AI), nalo ni kutengeneza programu(Programming).
""NAPANUA"    UMRI🌹 ZAIDI YA MIAKA 18   SEHEMU🌹05 πŸ“πŸ“πŸ“πŸ˜­
""NAPANUA" UMRI🌹 ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU🌹05 πŸ“πŸ“πŸ“πŸ˜­
UTAMU WA MABOSS 11 Mabel  ALIKUWA anashughulika  na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA ya wazaz wake  pamoja na Bryan.  "Keki tutakayotumia iko njiani,...
UTAMU WA MABOSS 11 Mabel ALIKUWA anashughulika na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA ya wazaz wake pamoja na Bryan. "Keki tutakayotumia iko njiani,...
Bado Kuna Miaka 2 na Miezi 7 ya Kutakiwa Kumkaba ELIE MPANZU KIBISAWALA
Bado Kuna Miaka 2 na Miezi 7 ya Kutakiwa Kumkaba ELIE MPANZU KIBISAWALA
SARA ni Binti Mdogo mwenye miaka 17 kutokana na umbo lake kubwa basi akajiona tayali kawa mtu mzima asie hitaji uangalifu wa wazazi..
SARA ni Binti Mdogo mwenye miaka 17 kutokana na umbo lake kubwa basi akajiona tayali kawa mtu mzima asie hitaji uangalifu wa wazazi..
""'NAPANUA"''    UMRIπŸ’‹ ZAIDI YA MIAKA 18  SEHEMU πŸ’‹ 08 πŸŒΌπŸ˜…πŸ₯€πŸ
""'NAPANUA"'' UMRIπŸ’‹ ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU πŸ’‹ 08 πŸŒΌπŸ˜…πŸ₯€πŸ
""NAPANUA"   UMRI🌹 ZAIDI YA MIAKA 18   SEHEMU🌹03
""NAPANUA" UMRI🌹 ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU🌹03
""NAPANUA"    UMRI🌹 ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU 07 😭😭😭🌼
""NAPANUA" UMRI🌹 ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU 07 😭😭😭🌼
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

573
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

490
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

249
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

229
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

223
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

219
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

187
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

127
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

109
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

80

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.72K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.54K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.43K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.34K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, πŸ₯° nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba πŸ₯°πŸ˜† yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

SHAMIRA 8   MPK  12 Post Mpya
SHAMIRA 8 MPK 12
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ sehemu ya 8 Mwandishi; lissa wa huru media Sikuwa na habar na kushangaa kwake mm nilikuwa na mkatikia sio powa. watu wanashangalia sio powa nikaona yule kaka kajitoa chapu, kabaki ananishangaaaa yule...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest