Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
27 Aug 2025
88 views
VYOTE NDANI GONGA94
Miaka 4 iliyopita mke wangu aligundua kuwa niliwahi kuchepuka na kwa bahati nikapata mtoto wa nnje ambaye ki umri alikua ni sawa na mtoto wangu wa kwanza
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
, wakati huo alikua na miaka minne. Ingawa nilikua nimeshaachana na huyo mwanamke nalea tu mtoto kwani nilitambua kosa langu lakini mke wangu alikasirika sana.
Niliomba sana msamaha lakini hakutaka kunisikiliza, aliniambia moja kwa moja kuwa nichague kati ya mtoto niliyezaa na huyo mwanamke au ndoa yangu. Aliniambia kama nataka abaki basi nisiwasiliane na huyo mwanamke na hataki kusikia kitu chochote, hata matumizi alikua hataki nimtumie.
Kwakua nilikua nampenda sana mke wangu nilikubali kukata mawasiliano kablsa na Mama wa mtoto wangu lakini sikua tayari kumtelekeza mwanangu, nilimfungulia mtoto akaunti na kila mwisho wa mwezi nilikua namuwekea mtoto bila kuwasiliana naye, sikutaka hata kujua anaendeleaje, mwanamke nilimblock kwenye kila kitu.
Nilikua nafanya hivyo kimya kimya bila mke wangu kujua. Lakini miezi miwili iliyopita nilisahau kile kikaratasi cha kuwekea pesa kwenye gari yangu, mke wangua likiona, alinibana sana nikalazimika kumuambia ukweli kuwa nilikua namhudumia mwanangu kwakua hana hatia.
Mke wangu hakunijibu, alinyamaza kimya kw aisku mbili, siku ya tatu natoka kazini nikakuta mke wangu kachukua kila kitu chake kaondoka. Ananiambia nimechagua kumhudumia mwanangu hivyo nibaki naye, nilihisi utani lakini wiki ilipita, nikamaua kutafuta watu kuongea naye.
Tukaitishwa kikao na kila mtu ila mke wangu kaweka msimamo kuwa ili anisamehe na kubali kurudi nilazima niache kumhudumia mtoto wangu na tuandikishe mahakamani kuwa simtambui huyo mtoto na kama niki*fa basi asirithi kitu chochote, naomba ushauri wako nifanye nini?
Mke wangu nampenda tena sana lakini naona shida kumtelekeza mwanangu, makosa nilifanya mimi hivyo sioni kama ni sawa kumuadhibu mwanangu! Nimemuambia basi kama ishu ni mawaisliano maana siwasiliani na Mama wa mtoto basi pesa niwe napeleka ustawi wa jamii hata nisitume kwenye akaunti yake lakini hatak.
Anachotaka ni mimi nisimhudumie mwanangu, sasa hapo naona shida maana kama ni pesa ya kuhudumia ni nayo, yeye namhudumia nampe pesa zaidi ya mara kumi ya ninazotuma kule lakini ananiambia hataki tu nimhudumie, nishauri nifanye nini?
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, π₯° nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani ...
Miaka 4 iliyopita mke wangu aligundua kuwa niliwahi kuchepuka na kwa bahati nikapata mtoto wa nnje ambaye ki umri alikua ni sawa na mtoto wangu wa kwanza
, wakati huo alikua na miaka minne. Ingawa nilikua nimeshaachana na huyo mwanamke nalea tu mtoto kwani nilitambua kosa langu lakini mke wangu alikasirika sana.
Niliomba sana msamaha lakini hakutaka kunisikiliza, aliniambia moja kwa moja kuwa nichague kati ya mtoto niliyezaa na huyo mwanamke au ndoa yangu. Aliniambia kama nataka abaki basi nisiwasiliane na huyo mwanamke na hataki kusikia kitu chochote, hata matumizi alikua hataki nimtumie.
Kwakua nilikua nampenda sana mke wangu nilikubali kukata mawasiliano kablsa na Mama wa mtoto wangu lakini sikua tayari kumtelekeza mwanangu, nilimfungulia mtoto akaunti na kila mwisho wa mwezi nilikua namuwekea mtoto bila kuwasiliana naye, sikutaka hata...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miaka-4-iliyopita-mke-wangu-aligundua-kuwa-niliwahi-kuchepuka-na-kwa-bahati-nikapata-mtoto-wa-nnje-a
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miaka
Chombezo....Oooh anko Mudy usichomoe. SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO ENDELEA. . . BAADA YA MIAKA KUMI NA TANO
NILIKUTANA NA BINTI YANGU ALIEFARIKI MIAKA MBILI ILIOPITA AKIUZA MAJI HUKU AMEVALIA NGUO ALIEKUA NAYO SIKU ALIFARIKI Episode 3
NAKUPENDA Sehemu ya : 1 By Miss Hamida Simulizi yetu inakwenda kuanzia Miaka ya nyuma kabisa kabla ya kila mtu hajaanza kumiliki simu, ambapo mtu akikupa...
NILIKUTANA NA BINTI YANGU ALIEKUFA MIAKA MIWILI ILIOPITA SOKONI AKIUZA MAJI Episode 1
"SITAKI MIEEE" (IMEBANAAA) MTUNZI π«Dr(Dkt) Kangaroo Nyumbu UMRI π ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU π01
"SITAKI MIEEE" (IMEBANAAA) MTUNZI π«Dr(Dkt) Kangaroo Nyumbu UMRI π ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU π02
Nina miaka 23, niko chuo mwaka wa tatu. Mwaka jana nilikuja hapa kwa dada yangu baada ya baba yangu kufariki, ambaye alikuwa ananisomesha
π ONYO: Hii ni hadithi ya wakubwa tu. Usisome kama hujatimia miaka 18. ZUWENA NILIUZA BIKIRA YANGU KIPANDE CHA 1 π
"MKATABA WA TAIFA" (OOOOPPSSSS) UMRI π€£ ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU YA 01
NILIKUTANA NA BINTI YANGU ALIEFARIKI MIAKA MIWELI ILIOPITA AKIUZA MAJI KWA STREET Episode 2
π Onyo: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima. Inafaa kwa wasomaji waliotimiza umri wa miaka 18 Zawadi Sehemu ya 3
Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima. Inafaa kwa walio na umri wa miaka 18 na kuendelea. Tafadhali soma kwa uangalifu na kwa hiari yako. ZAWADI Sehemu ya 11
Margret Chola, bibi mwenye umri wa miaka 85 aliyejizolea umaarufu mtandaoni kutokana na aina ya mavazi
ELIE MPANZU KIBISAWALA alisaini Simba mkataba wa miaka 2
π ONYO: Hadithi hii inafaa kwa wasomaji waliokomaa (miaka 18+). Ina maudhui ya kihisia na kimapenzi. Tafadhali soma kwa uangalifu. ZUWENA NILIUZA BIKIRA YANGU M KIPANDE CHA...
""'NAPANUA"'' UMRIπ ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU π 10 πππππ²ππ
β οΈ ONYO: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima. Inafaa kwa wasomaji walio na umri wa miaka 18 na kuendelea. Tafadhali soma kwa tahadhari. β οΈ Post hi inafaa kwa page...
""NAPANUA" UMRIπΉ ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMUπΉ04 ππππ
FATE TO LOVE YOU π1 1--2 Lina alikuwa binti wa miaka 20, mrembo mwenye haiba ya upole, macho makubwa yenye mashiko , yenye mvuto mfano wa mbaramwezi na tabasamu...
""'NAPANUA"'' UMRIπ ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU π 09 ππ π²πΌ
π Tahadhari: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima na siyo rafiki kwa walio chini ya miaka 18. Hadithi ya Watu Wazima: Zawadi Sehemu ya 5
""NAPANUA" UMRIπΉ ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMUπΉ01
MWISHO WA AI... Bill Gates: Hata baada ya miaka mia moja, kutabaki eneo moja lisiloshikika na akili bandia (AI), nalo ni kutengeneza programu(Programming).
""NAPANUA" UMRIπΉ ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMUπΉ05 ππππ
UTAMU WA MABOSS 11 Mabel ALIKUWA anashughulika na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA ya wazaz wake pamoja na Bryan. "Keki tutakayotumia iko njiani,...
Bado Kuna Miaka 2 na Miezi 7 ya Kutakiwa Kumkaba ELIE MPANZU KIBISAWALA
SARA ni Binti Mdogo mwenye miaka 17 kutokana na umbo lake kubwa basi akajiona tayali kawa mtu mzima asie hitaji uangalifu wa wazazi..
""'NAPANUA"'' UMRIπ ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU π 08 πΌπ π₯π
""NAPANUA" UMRIπΉ ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMUπΉ03
""NAPANUA" UMRIπΉ ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU 07 ππππΌ
Maoni