Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ*  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
Gonga94 ยท Stories

MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Gilbert alishtuka kidogo kwa ukali wa maneno ya Leon.
" Mbona umekuwa mkali kiasi hicho Leon ilikuwa ni kwaajili ya chakula tu.
" Ndio Leon mpe nafasi secretary wako akutane na watu wengine ili kubadilisha mawazo. Leyna aliongea .
" Kwani kuja ajenda gani inayoendelea hapa?
Nimesema hapana hapana , hatukuja hapa kubadilishana mawazo bali ni kwenye mkutano wa kibiashara kama mkutano umeisha sioni haja ya mambo mengine.
" Sawa leon nimekuelewa. Jasmine nitakutana na wewe kwa wakati mwingine ukiwa nje ya kazi. Pia karibu sana kwenye kampuni yangu ya G&G ....
Kabla hajamaliza kuongea Jasmine alisema
" Sawa, sawa nitakuja.
" Ok kwaheri.
" Mr Girbet wakati mwingine naomba ikumbukwe kuwa jasmini hayupo hapa kama bidhaa ya kuchaguliwa na mtu anayetaka bali yupo kazini na ni mali ya kampuni.
Girbet alitabasamu alafu akasema
" Hongera sana Jasmine boss wako ana kujali sana
Girbet aliaga alafu akaondoka

Leyna akakunja midomo kana kwamba hajapendezwa na kile alichosema Leon. Akamgeukia Leon, kwa sauti ya kike yenye kejeli akasema.
โ€œKwa nini uwe mkali hivyo? Ni chakula cha mchana tu, sio harusi. Au kuna kitu kingine unachoficha?โ€

Maneno yale yalimgusa Jasmine moja kwa moja moyoni. Alimgeukia Leon taratibu, macho yake yakiwa na furaha ya siri, lakini moyoni mwake alihisi ameshinda hatua kubwa.

Leon hakutoa jibu kwa Leyna alinyanyuka na kusema. Jasmine beba mkoba wangu tangulia kwenye gari. Jasmine alibeba haraka mkoba kisha akaondoka kwa mwendo wa Madaha.
"Leyna huwa sipendi kupangiwa kwenye mambo yangu kumbuka kila mtu ana utaratibu wake kwenye haya maisha.
" Ila umeonyesha picha mbaya sana , watu watajua unatembea na secretary wako.
" Sijali chochote kuhusu watu wanafikiria nini juu yangu. Nafuata kile ninachokiamini na ninachotaka mimi.
" Yani wewe ni kijeuri kupitiliza huwezi hata kubadilika.
" Labda ndivyo nilivyo. Kwa heri.
Leon aliondoka akamuacha Leyna akimuangalia.

Leon alifika miaka parking lakini hakumkuta Jasmine.
" Huyu nilimwambia aje hapa kaenda wapi tena.
Aliangaza macho lakini hakuona dalili ya kumuona . Ilibidi arudi tena kumuangalia .
Akiwa anatoka maeneo ya parking alimuona Jasmine kwa mbali akiwa kasimama na kijana mmoja alisimama na kuwaangalia huku akiwa kakunja uso.
" Huyu msichana ni kichaa hivi anataka nipige kelele na kila mtu hapa?
Alitoa simu yake ya mkononi na kumpigia.
" Boss......
" Unafanya nini hapo?
" Hili eneo ni kubwa na mimi ni mgeni hivyo nilikuwa nimepotea..... Kabla hajamaliza kuongea akamkatisha
" Acha usumbufu wa kijinga angalia kushoto kwako na uje haraka sana.
Jasmine aligeuka kushoto akamuona Leon kasimama. Alikata simu na kumfuata aliko.
" Wewe una mambo ya ajabu sana sijui kwanini unaleta mambo ya Uswahili huku.
" Kuongea na watu ni mambo ya Uswahili?
" Unaongea nao una wajua, ni kaka zako au baba zako wale?
" Basi punguza hasira mr arrogant usije ukapasuka.

Walienda kupanda kwenye gari na kuanza safari muda wote kulikuwa kimnya . Mara ghafla Jasmine akaanza kucheka.
Leon alimuangalia
' unacheka nini?
โ€œBoss hebu sema ukweli umenizuia kuungana na mr Girbet kwa sababu ya kaziโ€ฆ au kwa sababu ya moyo wako?
โ€œUsijaribu kufasiri vibaya, Jasmine. Hii ni kazi, na hutakiwi kujiweka karibu na watu wasiohusiana na kazi. Umeelewa?โ€
โ€œSawa Boss,โ€ Jasmine akajibu kwa utulivu, lakini tabasamu dogo la ushindi likabaki likicheza mdomoni mwake. Leon alimuangali kwa siri jinsi alivyokuwa anatabasamu .
Mara ghafla Leon akafunga breki kali kando ya barabara yenye miti mirefu, kisha akamgeukia kwa hasira na ukali:
" Jasmine nitahudhukia vikao vingi nikiwa na wewe mambo ya kucheka cheka na kujitajirisha mbele za watu sitaki yajirudie wewe ni binti mkubwa hutakiwi kujirahisisha hivyo.
" Boss jamani unajua mimi ni binti sina mwanaume wala sijaelewa sasa kujifanya mgumu ni kukikosesha bahati huenda kwenye ule mkutano ningejiopolea mume wa maisha yangu.
Leon akashusha pumzi kwa nguvu, akijishika nywele zake kwa mkono mmoja.
โ€œHuu mchezo wako Jasmine unanipeleka pabaya.
Jasmine akasogelea karibu na kusema
"kama nitakupeleke pabaya kwenye moyo wangu Utakubaliโ€ฆ au utaendelea kujificha nyuma ya kisingizio cha kazi?
" Unamaanisha nini , unataka niseme nini?
" Sema tu kuwa unanipenda.
Leon alimuangalia usoni na Jasmine nae alimkazia macho bila kupepesa .
" Huwezi kunifanya kunguru muoga ngoja nikuonyeshe kuwa siogopi chochote. Alijisemea Leon kisha ghafla alimvamia Jasmine na kuitandika mabusu matata.

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


profile
majario 28 Aug 2025 05:09
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ*

*SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*



Gilbert alishtuka kidogo kwa ukali wa maneno ya Leon.
" Mbona umekuwa mkali kiasi hicho Leon ilikuwa ni kwaajili ya chakula tu.
" Ndio Leon mpe nafasi secretary wako akutane na watu wengine ili kubadilisha mawazo. Leyna aliongea .
" Kwani kuja ajenda gani inayoendelea hapa?
Nimesema hapana hapana , hatukuja hapa kubadilishana mawazo bali ni kwenye mkutano wa kibiashara kama mkutano umeisha sioni haja ya mambo mengine.
" Sawa leon nimekuelewa. Jasmine nitakutana na wewe kwa wakati mwingine ukiwa nje ya kazi. Pia karibu sana kwenye kampuni yangu ya G&G ....
Kabla hajamaliza kuongea Jasmine alisema
" Sawa, sawa nitakuja.
" Ok kwaheri.
" Mr Girbet wakati mwingine...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mr-arrogant-sehemu-ya-kumi-na-moja

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mr-arrogant-sehemu-ya-kumi-na-moja
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

496
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

226
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

223
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

208
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

132
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.72K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.55K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.43K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.34K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, ๐Ÿฅฐ nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba ๐Ÿฅฐ๐Ÿ˜† yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest