Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  12 --13
Gonga94 · Stories

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12

Hayaaaaa mjeeeeeee maana lawama ndoo mbili

Bc tulienda kula vitu vya baharini c mnajua tena Zanzibar, pweza cjui ngisi, mm sikutaka hata kula chochote, Mahamood alikula then tukarudi hotel,, tupo zetu hotel naogopa hata kulala nahofia asiniingilie tena,, Mahamood akatoa laptop yake akaanza kunionyesha picha zake na familia yake,, kiukweli alikuwa Tajiri hasa maana ananyumba nzuri kubwa tena ghorofa, yaan kama zile tunazoziona kwenye video , akaniambia Mamujee naomba unizoee, nakuahidi nitakupenda na kukupa chochote utakacho,, nikamwambia hapana mm cwez hivo unavyonifanyia , akasema bc sawa sikufanyii tena, ila niahidi utakuwa wangu peke yngu,, nikamwambia sawa!!! Bc akaniambia nilale tu nisiogope anifanyi kitu tena, bc usingizi ukanipitia kweli, kuja kushtuka asbh nimefunikwa shuka vzr na Mahamood amelala fofofo,, nikaamka nikawa nachezea cm, nikakuta msg kutoka kwa Edina,, Jee mambo? Nimekuja hapa kwako mbona haupo?? Sikumjibu ila nikajiuliza huyu kwangu amapajuaje?? Nikaamua niachane nae,,, bc Mahamood aliamka akanikuta nishaoga kabisa na yeye akaenda kuoga akavaa tukashuka chini kula,, akaniambia sasa tunaondoka turudi dar,, tulifatwa na gari yake tukaenda kwanza kwenye hard yake then tukapanda ndege hadi dar

Tumefika dar moja kwa moja hadi Hotelini alipofikia,, tukala tukawa tunapiga story, kiukweli jmn Mahamood ni muungwana sana ila tabia yke chafu ndio inanifanya nimuone shetani,, bc tuliongea mengi hadi kuhusu familia yangu,, akaniambia Mamujee usijali mke wangu,, mara anishike hapa, mara anibusu bc kero tu!! Nikamwambia nataka niende kwangu,, akaniambia subiri nitakupeleka,, tuliendelea kukaa pale bila kunifanya chochote

Jioni ilipofika akaniambia haya twende huko kwako, tulitoka hadi kwangu, alivyofika tu akaanza kuzunguka nyumba nzima, akaniambia Mamujee hapa ndipo umepapenda? Nikamwambia ndio,, akasema haya bhana, tuliingia ndani, sebleni kwangu hakukua na kitu chochote, tv ilikuwa chumbani na kitanda bc akaniambia mbona huna kochi? Sikumjibu maana kama hela nilikuwa nayo ila bc tu,, akakaa kidogo tu akaniambia mm nasepa,, nikamuuliza unaenda wp? Akaniambia Hotelini, mhhhh, nikamwambia Kwan hulali hapa? Akacheka akasema silali kwenye nyumba ya mwanamke mhhhh nikamwambia sawa ila nikajifanya nimenuna, akaniuliza vp una shida yeyote? Nikamwambia sina, bc akanibusu akasepa zake,, mhhhh nikaanza kuona wivu jmn nikajikuta moyo unauma cjui kwann nikajiuliza kwann Mahamood ameondoka? Au ameenda kwa wanawake wengine?? Nikajikuta nalia hata sikula kitu nikalala

Asbh naamka naangalia cm nakuta missed call kibao za Mahamood, nikakumbuka alivyonifanyia jn nikashikwa na wivu upya nikaoga najiandaa nikanywe supu hapo jirani kuna bar kubwa tu, mara cm yangu ikaita kuangalia Mahamood, akaniambia njoo unifungulie geti, nafika getini naona magari mawili, la kwake na kenta ya mizigo,, nikafunga gari la mizigo likaingia,, jmn jmn kumbe Mahamood alinifanyia shopping ya nyumba nzima tena kutoka GSM sofa seti, tv kubwaaa nch 52, friji kubwa Boss, jiko kubwa la gesi, oven, microwave, masefuria yale mazito meza na viti vya chakula, zuria, na showcase daah cjui niseme nn mie bc akamwambia wale watu waingie wanipangie vzr,, walivyomaliza wakaondoka tukabaki na Mahamood,,. Akaniuliza mbona jana hukupokea cm? Nikamwambia nililala,, nikajikuta namkumbatia na kumbusu mhhh,, akaniambia Mamujee naomba bc maana hilo busu lako,, nikamwambia ctaki nyuma, akasema hata mm sitaki nyuma bc kwa mara ya kwanza aliniingilia mbele ila kwa tabu sana maana tangu nibakwe na mjomba sikuwahi kupagusa tena,, bc alifurahi sana maana alikuta kama bikra tu japokuwa mjomba aliitoa bikra yangu

Tulivyomaliza tukaoga akaniambia anipeleke kwenye hard yake ya magari ili akanitambulisha!!!

Itaendelea

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 13

Samahanini jmn ile niliyoposti Jana badala ya kuwa namba 12 nikajikuta naandika 11, kwhyo 11 zitakuwa mbili,,, tuendelee

Nikajiandaa vzr nikavaa baibui jipya ila ndani nikavaa jeans, Mahamood alinisifia sana na kuniambia nimependeza,, tulitoka pale safari ya kuelekea huko kwenye biashara yake,, tumetoka tu nje nikamwambia njaa inaniuma tuingie pale bar ili tunywe supu, alinishangaa, akaniambia Mamujee unaenda bar?? Nikamwambia tunywe tu supu, akaniambia sipendi mwanamke anae kwenda bar, ujue bar ni sehemu ambayo inavishawishi sana sasa unanishangaza unavyoniambia mtoto wa kike peke yako kuwa unaingia bar eti kunywa supu?? Mhhh nikasema hii tena kazi, nilikaa kimya sikuendelea kuongea tena,, bc wote tukawa kimya ,. Nikashangaa gari linaingia mliman cty , akashuka yeye akaroki milango nikabaki mwenyewe kwenye gari, hazikupita hata dakika 20 akarudi kabeba take away,, akaniambia haya kula, ctaki tena kusikia umeingia bar mhhhh jmn!! Nilifungua kile chakula nikakuta kuku, egg chop, kachori, sambusa za nyama, yaan vitu vingivingi tu na juice,, huyo kawasha gari tukaendelea na safari kimya kimya eti amenuna mm kuingia bar ,,, bc nikawa nakula zangu nikachukua nyama nikamlisha nilijikuta naanza kumpenda Mahamood jmn bc alikula vzr, Mara tukafika hio sehemu, alishuka akaniambia maliza kula kwanza, nikabaki kwenye gari ila jicho langu lote nje naangalia ile sehemu ni kubwa magari ni mazuri ni mengi hatari, nikaona wafanyakazi wake wanaume na wadada, bc kuna kidada kimoja kizuri kina shepu, alivyomuona Mahamood anaingia akamkonyeza mwenzie nikawaona wanajiweka vzr nguo zao, yule mwenye kishepu akajiangalia tako lake huku anajiweka vzr nawachora tu c mnajua tena kwenye gari vioo vya giza, wa nje haoni ndani ila wa ndani anaona nje bc Mahamood akawasogelea akawapa mikono huku wanatabasamu wenyewe ,, Mahamood alivyokuwa anaingia ndani nikaona wanaongea huku wanamuangalia anavyo ondoka,, nikajiuliza hivi Mahamood hawa wadada ajawafanya nyuma kweli?? Mhhhh!! Nikamaliza kula, mara cm yangu ikaita nikaona namba ile aliyotumia Edina kunitumia msg, nikapokea nikamuuliza nani?? Mie Edina naomba tuonane tuongee,, nikamwambia sipo dar kwa sasa nipo Musoma,, nikakata cm,,, Mara Mahamood akaja huku kaongozana na mbaba mtu mzima iv,, akafungua mlango akanishusha huku amenishika mkono,, akamwambia yule mbaba huyu ni mke wangu mdogo,, nikamsalimia yule Baba, tukaingia humo ndani,, wale wadada wakawa wanaangalia kwa mbali, Mahamood akawa ananizungusha kwenye magari ananielekeza aina za magari huku kanishika mkono, tukaingia hadi ofisini kwake, nikakuta picha yake imebandikwa ukutani,, ofisi nzuri,, bc akawaita wale wafanyakazi wote nikatambulishwa kwao,, nikaona wale wadada wanatizamana cjui walikuwa wanajiuliza huyu bosi huyu Dada kampendea nn maana Mamujee mm mwembamba mrefu mweusi sina hata tako

Mara nikashangaa kumuona msanii mmoja mkubwa sana hapa bongo wa bongo freiva, kaja kuchukua gari yake,, akawa anaongea na Mahamood,, bora bosi leo nimekukuta mwenyewe bwana, hawa watu wako wamegoma kabisa kunipunguzia,, Mahamood akauliza gari gn umelipia? Akaambiwa, akamwambia hio gari ipo juu sana bosi hio bei waliokupa ni sawa kabisa,, bc tulikaa pale ofisini wale wafanyakazi walitoka nikabaki na Mahamood ,, tukawa tunapiga story tu

Tulivyotoka pale tukaenda Hotelini alipofikia, tukala tukaanza kuongea,, ndipo akaniambia vzr cku aliyoniona alikuwa anatoka msimbazi police pale kkoo alikuwa anaenda kuonana na mtu pale sasa wakati anarudi kuelekea Hotelini ndipo akaniona nimesimama zangu stendi , akaniambia Mamujee nimekupenda mnoo,, akaanza kunitania ulivyosimama kishamba shamba pale stendi cjui kama vibaka hawakupanga kukuibia nikampiga kibao, akachukua mto akanipiga nao tukaanza kukimbizana mle ndani tukajikuta tumesex tena njia ya kawaida tu

Alinihahidi vitu vingi sana hasa kufunga ndoa na kunijengea nyumba,, akaniambia akitoka huku Tanzania bc anaenda kwanza Uingereza kwa mke wa pili then atarudi tena Tanzania,, Dubai hatoenda kwa sasa coz alikuwa huko juzi,, akaniambia akitoka Uingereza anakuja kunitafutia eneo ili anijengee nyumba yangu kwanza ndipo tufunge ndoa,, kweli nilijikuta napata faraja namuona kama Malaika aliyeshushwa kuniokoa,, akaniambia kuanzia Sasa hio biashara zangu niache nitafute fremu maeneo ya kkoo niuze mabaibui na magauni, yeye atakuwa ananiagizia mzigo kutoka Dubai,, ila akaniambia ole wako unisaliti nakuua Mamujee mhhhh, bc tulilala pale hadi asbh hata kwangu sikurudi

Asbh yake yeye alikuwa anaenda kazini kwake na mm nikamuomba niende kwangu, bc tulikubaliana akaniitia gari likanipeleka hadi kwangu,, nilivyofika kwangu nikaanza kuvikagua vile vitu nikashukuru Mungu

Nikakumbuka mapito yangu yote jinsi nilivyokuwa nafanyishwa kazi kwa shangazi kama mtumwa, naamka saa kumi napiga kazi, mara nipo kwa kuku, maana shangazi alikuwa anafuga kuku, ngombe, bc hadi kukamua mazoea ilikuwa ni mm na hakunilipa hata mia mbovu, shukurani yake kunifukuza kama mbwa wakati mumewe kanibaka nilijikuta nalia, nikafungua begi langu nikatoa namba za cm za Kaka aliyenisaidia pale ubungo ucku, nilikosa matumaini, sijui pakwenda, ila Kaka alinisitiri hata hakuofia usalama wake ila aliangalia usalama wangu

Nikapiga cm iliita sana bila kupokelewa, ckukata tamaa nilizidi kupiga tu ndipo ilipokelewa na sauti ya mwanamke, nikaomba niongee na Kaka Denis,, akaniuliza ww nani?? Nikamwambia mie mdogo wake Mamujee, ukimwambia hivo ataelewa,, bc yule mtu alitulia kimya kwanza kisha akaniambia Denis amefariki ana wiki mbili sasa mwenzenu nina mkosi gn Mamujee mm nilitegemea nimepata ndugu yangu,, kumbe haikuwa ivo Kaka Denis amefariki?? Nilipiga kelele moja nikapoteza fahamu nipo peke yngu ndani

Itaendelea
Soma muendelezo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12

Hayaaaaa mjeeeeeee maana lawama ndoo mbili

Bc tulienda kula vitu vya baharini c mnajua tena Zanzibar, pweza cjui ngisi, mm sikutaka hata kula chochote, Mahamood alikula then tukarudi hotel,, tupo zetu hotel naogopa hata kulala nahofia asiniingilie tena,, Mahamood akatoa laptop yake akaanza kunionyesha picha zake na familia yake,, kiukweli alikuwa Tajiri hasa maana ananyumba nzuri kubwa tena ghorofa, yaan kama zile tunazoziona kwenye video , akaniambia Mamujee naomba unizoee, nakuahidi nitakupenda na kukupa chochote utakacho,, nikamwambia hapana mm cwez hivo unavyonifanyia , akasema bc sawa sikufanyii tena, ila niahidi utakuwa wangu peke yngu,, nikamwambia...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-12-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwarabu-huko-mi-sijazoea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  6
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

565
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

533
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

402
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

335
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

239
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

180
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

46

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest