Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  14
Gonga94 ยท Stories

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14

Tusameheane bize kupambana na life....

Bc nilivyopokea zile taarifa za kifo cha kaka Denis nikajikuta naishiwa nguvu na kulala hapo hapo , nilikuja kushtuka baadae sana nimechoka kichwa kizito, nikatafakari sana maisha yangu nikasema hapa nijikomboe tu mwenyewe maana sina yeyote wa kumkimbilia, nilikuwa na namba ya yule Dada jirani ya Kaka Denis, nikampiga lkn haikupatikana, nikajinyanyua zangu pale nikaingia bafuni kuoga, nimekaa zangu huku nina mawazo lukuki, Mahamood akanipigia cm akaniambia atakuja kulala, bc nilimuuliza niandae chakula gn?, akaniambia chakula atakuja nacho yeye, bc niliandaa chumba vzr nikapuliza udi, Mahamood aliniletea huo udi kutoka Dubai,, nikakaa zangu sebleni nimevaa kinguo cha kulalia namsubiri Mahamood,, kiukweli nilianza kumzoea na kumuona mtu wangu wa karibu,,,,

Mahamood alifika tukakumbatiana nilianza kumpenda na kumuona wa kawaida tu,, akaniambia Mamujee ngoja nikaoge kwanza nimechoka sana,, aliingia bafuni nikawa naandaa chakula ili tule,,, CM ya Mahamood ikawa inaita sn,, wala sikujihusisha nayo, alivyotoka mwenyewe ndio akaichukua, alikuwa mke wake mdogo wa Uingereza, wakaanza kuongea kiarabu wenyewe huku wanachanganya na kingereza,, yaan kama vile Mahamood alikuwa anajitetea flani iv,, waliongea mda mrefu sana,,, mm nipo kimya naangalia tv tu,, cm ilivyokata ndio akaanza kuniambia, huyu mke wangu wa pili mkorofi sana, yaan anataka kila wakati niwe nae tu? Ukiwa nae mbali hata miezi miwili tu anaanza kelele? Kila kitu anacho na yeye anasimamia kampuni yetu kubwa huko ila mkorofi tu, mwenzake mke mkubwa hana shida ata ukikaa miezi sita hujamuona wala hajali,,, nikasema mhhhh sasa hapa nitapaweza kweli mkurya mie bc nikazidi kuwa mpole,, tulikula chakula vzr huku tukipiga story tofauti tofauti,, akazidi kunisisitiza kuwa anataka kunioa na nimzalie watoto wawili tu,, bc tulilala na tukafanya mchezo ila kwa njia ya kawaida,, asbh tuliamka akajiandaa ili aende kazini kwake

Tulikaa na Mahamood pale hakwenda Hotelini tena alikuwa anakaa kwangu,, kweli nilimzoea nikimuona kama ndugu, rafiki, yaan nilimuona kila kitu,, safari yake ya kuondoka ilikaribia akaniambia hataki tena nifanye biashara zangu za kuzunguka zunguka, akaniahidi akirudi atakuja kunifungulia biashara,, bc aliniingizia hela ya kutosha kwenye akaunti yangu na kuondoka zake,, kiukweli nilikuwa na hela ya kutosha,, nikaanza maisha yangu huku nikimiss Mahamood,,,

Sikutaka kumsikiliza sanaa Mahamood nikaanza biashara zangu upya, yaan hela ya benki nilikuwa siitoi hata mia natumia hela za biashara zangu tu,, ilipita kama wiki bila ya mawasiliano na Mahamood, ila nikawa mvumilivu coz kama cm bc lzm anipigie yeye,,, niliendelea na mishe zangu huku nakaa mwenyewe nyumba kubwa ila nikazoea

Asbh moja nimeamka nikaanza kujisikia vbya kizunguzungu, hadi nashindwa kutoka kitandani,, nikahisi ni maleria maana sijaumwa mda mrefu,, nilivyopiga mswaki ndio nikatapika haswa yaan njano tupu, nikasema ngoja niende hospital, nikajiandaa kwenda hospital, nikachukua bajaji hadi hospital, ni hospital ya kulipia, nimefika hospital tu naanza kujiandikisha mapokezi nikashangaa mtu amenigusa bega,, kugeuka namuona shangazi huyu hapa nikamsalimia vzr, akaanza kuniambia vp unaumwa? Nikamwambia ndio,, bc akaniambia nenda kwa Dactari then nakusubiri palee,,, mhhhh nikasema sawa,, bc nikaingia zangu kwa doctor nikaandikiwa vipimo vzr, nikaingia kupima,, majibu yalivyotoka mhhhhh

Soma muendelezo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005
Tangazo - General kumbe ulinipenda kweli eee
General kumbe ulinipenda kweli eee
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14

Tusameheane bize kupambana na life....

Bc nilivyopokea zile taarifa za kifo cha kaka Denis nikajikuta naishiwa nguvu na kulala hapo hapo , nilikuja kushtuka baadae sana nimechoka kichwa kizito, nikatafakari sana maisha yangu nikasema hapa nijikomboe tu mwenyewe maana sina yeyote wa kumkimbilia, nilikuwa na namba ya yule Dada jirani ya Kaka Denis, nikampiga lkn haikupatikana, nikajinyanyua zangu pale nikaingia bafuni kuoga, nimekaa zangu huku nina mawazo lukuki, Mahamood akanipigia cm akaniambia atakuja kulala, bc nilimuuliza niandae chakula gn?, akaniambia chakula atakuja nacho yeye, bc niliandaa chumba vzr nikapuliza udi, Mahamood aliniletea huo udi kutoka Dubai,,...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwarabu-huko-mi-sijazoea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  6
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.14K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.27K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.48K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.57K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.31K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.12K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.11K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.04K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.96K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest