Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  17 -- 18
Gonga94 · Stories

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17

Tulikumbatiana pale na Kaka yangu huku shangazi nae akitusii tunyamaze, shangazi akamkaribisha Kaka ndani , tuliingia ndani yaan tunaangaliana na Kaka hatumalizani kila mtu ana mengi kwa mwenzie, Kaka aliandaliwa chakula akala, mie sikutaka kula cha mtu, mjomba akatoka akakaa nae sebleni maongezi yanaendelea, nilipigiwa cm na Mahamood nikatoka nje kuongea nae, nikamwambia nipo kwa shangazi yangu na Kaka yangu amekuja, bc alifurahi sana akasema bora amepatikana mtu wa kupokea mahari yangu, nirirudi ndani, Kaka akaanza kunitania Amamu umekuwa mrembo, kweli dar haiongopi tulicheka pale yaan ilikuwa raha tu, mda ulifika nikawaaga niende kwangu, Kaka akashangaa Kwan hukai hapa? Shangazi akajibu c umesema amependeza sasa atakaaje hapa wakati amekuwa sasa? Mhhhh bc Kaka akasema twende nikupeleke hadi kwako, shangazi akarukia utampeleka vp wakati na yeye ana gari lake? Jmn shangazi anajibu kila kitu, Kaka akashangaa Amamu una gari?? Embu njoo nje kwanza tuongee vzr unipe Siri ya mafanikio yako,, tukatoka nje ila shangazi akili yake yote ipo kwetu,, akaniuliza hii ndio gari yako? Nikamwambia ndio, nikaifungua tukaingia ndani, akaniuliza vp ulimaliza kusoma hio kozi yako?? Nikamuuliza kozi gn tena? Wakati tangu afe Baba shule ilinishinda? Akasema kwan hukumaliza form 4?? Nikamwambia Kaka bhana usinichoshe kumaliza huko ananisomesha nani? Kaka alishangaa, akasema mbona aliambiwa na shangazi kuwa nimemaliza F4 na nipo tu nyumbani ndio Kaka kutoa hela niende chuo kumbe shangazi alichukua pesa kwa Kaka ili niende chuo niliumia sana nikamwambia Kaka elimu yangu ni ile ile aliyoniacha nayo Baba sina Zaid, bc akaniambia tutaongea vzr kesho maana shangazi alikuwa hana amani mara katoka nje mara kaingia ndani

Nikarudi ndani kuaga then nikaenda zangu kwangu,, tulihaidiana na Kaka atakuja kwangu mapema tu,, nilichukua namba ya cm ya Kaka, bc asbh nimeamka nikafanya zangu usafi, nikaenda buchani nikanunua samaki sato wangu ili nimpikie kaka ugali, kwetu chakula chetu kikubwa ni ugali tena wa mtama

Kaka alinipigia nimuelekeze kwangu nikamuelekeza akafika, yaan alifika mapema hata chai hakunywa nikamuuliza mbona mapema, akasema Amamu umenivuruga ulivyoniambia hujamaliza hata F4 , nikamwambia ndio ivo Kaka, nikamuuliza kwan shangazi ajakuambia chochote nilivyoondoka? Akasema aliongea kuwa ww umeamua kuhama nyumbani ila anahisi umepata mwanaume mwenye pesa, nikamwambia bc unywe kwanza chai, akaniuliza Amamu hapa unaishi na nani? Nikamwambia kunywa chai kwanza then tutaongea,, alikunywa tukamaliza tukaanza maongezi,, nilimuhadisia jinsi nilivyoondoka kwa shangazi na nilivyobakwa na mjomba Kaka angu alilia kwa sauti akaniambia Amamu, mbona hukunitafuta? Nikamwambia ningeanzia wapi? Nikamwambia hadi nilivyorudi kijijini, Baba mdogo alivyonipiga nusu kuniua eti kwann nimechelewa kufika nilikuwa wapi? Na walivyonigeuzia kesi eti mm ndio nilitaka kumbaka mjomba aisee Kaka alilia kama mwanamke , ikabidi nimnyamazishe Kaka yangu, akaniambia, kila cku nilikuwa nakuwaza mdogo wangu ila shangazi ananiambia upo chuo, nimemtumia milion mbili ya kukulipia ada ya chuo kumbe muongo,, bc tukanyamazishana na Kaka, akaniuliza kuhusu pale ikabidi nimwambie tu ukweli kuhusu Mahamood, ila kuhusu kutolewa marinda sikumwambia jmn hii ni aibu yangu mwenyewe ndio maana namwambia adimin furaha asiniweke hadharani ctaki, wamama mtanichamba Mamujee mm

Bc tuliongea mengi kunihusu na Kaka, ndipo na yeye akaanza kuniambia ya kwake,, kumbe Kaka yangu nae kapitia mazito ( wanawake muombeni Mungu awape maisha marefu mlee wanenu Uyatima mbaya sana ) Kaka yangu nae alichukuliwa na shangazi yangu mwengine, tulifanywa kugawanywa mie kuja dar yeye Arusha, alifika Arusha mwanzoni maisha yake yalikuwa mazuri tu, yeye mwenzangu alifanikiwa kumaliza F4 , bc aliishi kwa shangazi pale Arusha ila kama house boy shangazi wa Arusha nae ni mfugaji ko Kaka alikuwa anachunga mifugo,, Sasa cku moja kapeleka ngombe malishoni, cjui ikawaje ngombe mmoja akapotea, alitafuta kote, kwa wenzie wote anae chunga nao bila mafanikio, ndipo kumuambia shangazi, ila shangazi alishindwa kuelewa akampeleka Kaka polisi, akakaa sero wiki tatu hata wa kumuwekea dhamana hayupo, ndipo mapolisi kwa huruma wakamtoa, akawa hana pa kuishi anaishi stendi, ndipo akakutana na vijana wenzie wa mitaani wakaamua waende migodini kwenye machimbo,, Miaka miwili kasota machimboni ila Mungu si Mwanadamu, Kaka yangu katusua

Itaendelea

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 18

Tuliongea mengi na Kaka yangu akaniambia kuhusu biashara zake na nyumba yake kubwa anayoishi Arusha Maeneo ya Unga limited, nikamwambia na mm nyumba yangu ya Salasala, kuhusu Mahamood Kaka hakuwa na shida aliniambia tu mm ni mtu mzima hawezi kunipangia maisha, wakati tupo tunaongea na Kaka, shangazi akampigia cm Kaka kumuuliza upo wp? Kaka akamjibu nipo mjini huku nitakuja huko muda c mrefu niwaage, naanza safari ucku huu, shangazi alikataa cm,, Kaka akaniambia sina hamu hata ya kwenda pale kwa shangazi, nitafute hotel nzuri nikae siku mbili tatu, nikamwambia kwann usikae hapa kwangu? Alikataa kata kata, bc tulitoka na gari yake hadi maeneo ya mwenge tukalipia hotel, akarudi kwa shangazi kuaga lkn shangazi akawa hataki Kaka aondoke pale, ilibidi kaka alazimishe tu, alimpa laki moja akasepa zake

Tulihaidiana na Kaka asbh atakuja kwangu ili nimpeleke kwenye ujenzi wa nyumba yangu Salasala, bc alinifata kwangu tukaelekea, tukakuta mafundi wanaendelea na kazi, Kaka alishangaa kuona Dada yake naenda kumiliki ghorofa, akaniambia Amamu hongera sana, nataka na mm nitoe mchango wangu hapa kwenye nyumba yako,, nikamwambia Kaka kwnn sasa? Akasema ww ni mdogo wangu wa damu nisipo kusaidia ww bc nitakuwa mchawi, ungekuwa huna gari bc ningekununulia ila gari unayo tena mpya kabisa, acha nichangie ujenzi,, nikamwambia Kaka asante sana na Mungu azidi kukufanikisha, akaniuliza nina akaunti benk gn, nikamjibu, nikampa namba za akaunti yangu, Kaka yangu aliniingizia milion kumi cash akaniambia nikikwama chochote bc nimjulishe, nilimshukuru sanaa,, hatimae cku zikaisha Kaka akasepa zake Arusha

Mawasiliano na Mahamood yalizidi kushamili cm kutwa kucha, mimba yangu inazidi kukua tu,, nilikuwa napendwa hadi naona kero, ilifika mahari akawa hataki niendeshe gari mwenyewe nikitaka kutoka bc niite uber au nimwambie yeye anitumie dereva

Nakumbuka siku hio nimeamka zangu asbh kama kawaida yangu lazima nitapike kwanza ndipo maisha yaendelee, nipo chooni, Cm yangu ikawa inaita, nikasema nikitoka nitaichukua acha iite tu, nikaendelea na yangu ila cm inazidi tu, nikasema nani huyo jmn? Nikatoka kwa hasira kuchukua cm kuangalia namba shangazi, mhhhh nikasema kulikoni tena?? Nikaipokea, shangazi akaanza kilio Amamu mwanangu nipo hospital hapa mjomba wako kapata ajari ya pikipiki hee!! Makubwa haya tena, nikamuuliza hospital gn akaniambia muhimbili,, nikamwambia sawa nakuja,, nikamcheki Mahamood watsp kumpa zile taarifa akaniambia anamtuma mfanyakazi wake anifate anipeleke, nikaamua kumcheki Kaka kumpa zile taarifa kumbe na yeye aliambiwa na shangazi tena akamuomba hela ila Kaka akamjibu sina, ndipo kunipigia mm,, Kaka akaniambia usiende popote achana nao, ila roho ya huruma ikaniingia nikamwambia Kaka ngoja nikaone tu,, bc tulimalizana na Kaka, nikajiandaa fasta nilivaa baibui langu hadi nikabu ukiniona hunijui Mamujee mm

Dereva akaja tukaenda hospital, nilivyofika kwanza hakunijua nilimkuta nje ya wodi ya Moi anatia huruma kajishika shavu nikasema ngoja nijifanye sijamuona nimpite nikakae mbele yke nimchore kwanza ila roho ya huruma ikaniingia, nikamfata nikamwita shangazi akaitika kwa sauti kubwa Abeee huku ananitazama usoni, maana naonekana macho tu nikaona isiwe shida nikatoa nikabu, hee Amamu mwanangu sijakujua Mama nikamuamkia sikutaka mambo mengi, nikamuuliza vp ilikuwaje, akaanza kuniambia chanzo cha ajari, mjomba alibebwa nyuma cjui ikawaje akajikuta yupo uvungu wa lory,. Na miguu hainyanyuki, hapo wameletwa tangu jana yake ila bado hajapelekwa Opareshen eti kuna foleni wagonjwa wa ajari wapo wengi kwa hiyo asubiri, au alipie Emmegency, nikamwambia sasa c walipie hio kuliko kuendelea kusubiri mguu c utaoza?? Akaniambia Amamu mwanangu hao wanataka hela cash na mm sina hio hela, nikamuuliza sh ngp?? Milion moja na laki saba,, nikamwambia sawa bc ngoja niende benk nikampe,, shangazi alibaki kaduwaa hata jibu hana,, nikavaa nikabu yangu nikatoka kumfata dereva anipeleke benk,, hatukuchelewa kurudi nikampa shangazi milion mbili cash, kisha nikamuaga, akaniuliza huingii ndani kumuona mgonjwa?? Nikamwambia nitakuja cku nyingine,, bc shangazi machozi yakamtoka huku kawa mdogo,, mie huyo nikasepa zangu

Nilikaa kama wiki iv shangazi akanipigia mumewe anaendelea vzr ila wamemuweka vyuma

Maisha yakaendelea nipo zangu kwangu huku mimba yangu inazidi kukua gafra tumbo likawa kubwa ajabu, mhh mbona tumbo linakuwa haraka iv,, sikuanza kliniki coz Mahamood hakuwepo na aliniambia nimsubiri yeye anipeleke, bc nakumbuka mimba yangu ilifika miez sita kwenda saba sijaanza kliniki,, cku hio Mahamood akanipigia akaniambia anakuja kesho kutwa nijiandae, kweli alifika nikampokea vzr zawad kibao zingine nimetumiwa na mke mkubwa, cheni ya gord, pete na kikukuu vyote gord, nirifurahi nikaongea nae kwa cm kumshukuru,, nikapelekwa kliniki pale kairuki wala hatukusemwa kwa nn tumechelewa Mahamood aliongea na doctor sababu ya kuchelewa kuanza clinic, bc nilifanyiwa vipimo vyote hadi ultrasound,, mhhhh niliogopa ultrasound ilionesha nina mapacha,,,,,,,

Itaendelea
Soma muendelezo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17

Tulikumbatiana pale na Kaka yangu huku shangazi nae akitusii tunyamaze, shangazi akamkaribisha Kaka ndani , tuliingia ndani yaan tunaangaliana na Kaka hatumalizani kila mtu ana mengi kwa mwenzie, Kaka aliandaliwa chakula akala, mie sikutaka kula cha mtu, mjomba akatoka akakaa nae sebleni maongezi yanaendelea, nilipigiwa cm na Mahamood nikatoka nje kuongea nae, nikamwambia nipo kwa shangazi yangu na Kaka yangu amekuja, bc alifurahi sana akasema bora amepatikana mtu wa kupokea mahari yangu, nirirudi ndani, Kaka akaanza kunitania Amamu umekuwa mrembo, kweli dar haiongopi tulicheka pale yaan ilikuwa raha tu, mda ulifika nikawaaga niende kwangu, Kaka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-17-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwarabu-huko-mi-sijazoea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  6
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

592
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

494
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

475
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

322
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

226
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

86
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

74

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest