Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  19 -- 20
Gonga94 · Stories

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19

Bc bhana yale majibu ya Dactari yalitupa mshituko sana hasa mie, nikamwambia Mahamood itakuwaje? Mahamood akanitia moyo akaniambia ngoja turudi nyumbani KWANZA,, nilihisi kudata jmn, bc hatukwenda hata nyumbani tulienda hotel pale Mahamood anapenda kufikia, alinitoa wasiwasi sana akaniambia yeye ni Baba na hatahakikisha watoto wake wanazaliwa salama kwa gharama yeyote ile labda iwe mapenzi ya Mungu,, bc alimpigia cm bi mkubwa kumpa zile taarifa walikuwa wanaongea kiarabu,, nikashangaa napewa cm niongee na bi mkubwa, nikazungumza nae anaongea Kiswahili kama cha mombasa ila ni muarabu, akaniambia Mamujee usijali itabidi MUME wangu akuoe rasmi kisha uje huku Dubai ukae hadi ujifungue ndipo urudi Tanzania, nikabaki. Mhh!! mhhh!!! Mhhhh, haya!! Kiufupi nilishikwa na kigugumizi japo kuwa kwa maumbile yangu harisi nina kigugumizi ila pale kiliongezeka bc nikarudisha cm kwa Mahamood

Nakumbuka siku hio nilikuwa kama mfalme wa inchi za kiarabu, mara nabebwa, mara nashushwa, mara naulizwa nikufanyie nini yaan tafrani tu nikaulizwa km nipo tyr kufunga ndoa nikasema ndio, akaniomba namba za Kaka yangu, akampigia akajitambulisha , akamuambia kuhusu ndoa, Kaka hakupinga kabisa ila akamwambia utaratibu ufanyike, bc Mahamood akamwambia kaka kama yupo tyr ampelekee mahari Arusha, Kaka akamwambia asubiri kwanza atampa majibu, wakakubariana ndani ya cku mbili majibu yatakuwa tyr

Tukiendelea kusubiri majibu ya Kaka ndipo Mahamood akaamua amuambie mkewe mdogo wa Uingereza coz hawezi kufunga ndoa bila ya kumpa taarifa, kabla hajamwambia akaniambia Mamujee huyu mke wangu ni mkorofi balaa cjui kama atanielewa, ila vyovyote vile mm ni mwanaume,, bc akampigia cm, Mhhhhh cjui ikawaje maana Mahamood alitoka nje kuongea na cm mm kaniacha ndani ila alivyorudi kapoa kawa mwekunduu,, mhhhh niliogopa nikamuuliza vp,, kabla hajajibu cm yake ikaita ni huyo mkewe,, Mahamood akapokea bc ile halow aliishia hapo hapo mwanamke anaongea yeye tu, Mahamood akitaka kuongea anakatishwa,,, nikasema Amamu mie mbona mikosi kwangu haiishi jmn,, bc waliongea mwisho Mahamood akapaniki akakata cm,, nilivyoona ile hali nikanyanyuka nikachukua pochi yangu nikashuka chini,, nikahisi moyo unaenda mbio htr,, mara namuona Mahamood nae ananifata Mamujee, Mamujee, sikugeuka nyuma hadi nje ya geti, alivyoona vile akarudi ndani nadhani alifata funguo ya gari,, nikatoka nje nikaita bajaji, nikamwambia nipeleke mwenge, hapo nimepanga niende ile hotel aliyofikia Kaka, bc ikanipeleka hadi mwenge nikapata wazo, nikamwambia nishushe hapa hapa sikutaka aone ninapo elekea maana ile bajaji nilichukulia pale Hotelini chini nikahofia anaweza kuuliza,, nikamlipa hela yake nikarudi nyuma kidogo nikachukua bajaji nyingine hadi pale Hotelini, nikaripia nikaingia room, hapo cm yangu inaita hatari,, nikavua nguo zote nikawasha AC nikaanza kulia, nililia hadi nikajiona mwepesi cm yangu iliendelea kuita tu ni Mahamood anapiga wala sikupokea, kumbe na yeye alitoka akaanza kunifatilia akaenda hadi kwangu akakuta cjafika, akaamua apaki gari nje anisubiri maana funguo nilikuwa nazo, akapiga cm weeee wala sikupokea, Mara naona cm ya Kaka yangu, nikapokea akaniuliza upo wp nikamjibu nipo mwenge kwan vp akasema amna nilitaka kujua then nikwambie mwanaume wako anataka kuleta mahari ila nimemwambia anipe mda wa cku mbili,, nikamwambia sawa, kumbe Kaka ametumwa na Mahamood anipeleleze,, tukaongea na Kaka akaniambia Sasa mwenge unafanya nn mida hii ww mtoto wa kike, nikamwambia leo nalala Hotelini kwako ulipo fikia ukiwa dar,, kumbe Kaka ananichora tu,, akaniuliza room gn upo hapo, nikamtajia, bc akaniaga akaniambia tu kesho nenda kwako,, nimekaa kama nusu saa mlango wangu ukagongwa nikajua Muhudumu, nafungua tu nakutana na Mahamood,, akanibeba huku analia, nisamehe mke wangu,, naomba usipate presha ukaharibu huo ujauzito,, hujui ni kiasi gn nimetafuta mtoto,, imefikia hatua hadi kutaka kupandikiza,, naomba Mamujee nielewe nitakupa hakuna wa kunizuia kama mke wangu atakuwa tayari nimpe taraka bc nitafanya ivo lkn lzm nikuoe Mamujee,, nililia mm tukalia wote,, tukasameheana, , cm ya bi mdogo ikazidi kuita Mahamood hakupokea, tulilala pale hadi asbh,, tukajiandaa kuondoka kwetu

Nikawa namtafakari bi mdogo, kwann hataki mi niolewe?? Mbona yeye hakukataliwa na bi mkubwa?? Nilimuwaza sana,. Hapo ndo hajui kama mm mjamzito,, bc bi mdogo alivyoona Mahamood apokei cm yake akampigia bi mkubwa,, bi mkubwa akampigia cm Mahamood wakaongea kiarabu huku wanachanganya na Kiswahili kidogo,, kumbe bi mdogo kasema ole wake amuoe huyo mwanamke, kama shida ni mtoto yupo tyr akapandikizwe, bi mkubwa akamwambia muache aoe tu kwan shida nn?? Akasema akilazimisha kumuoa bc sitakuwa radhi leo hadi kesho kiama mhhhh cjui nitamuweza mie huyu bi mdogo??? Vita ni vita Muraa

Itaendelea

All reactions:

1.6K1.6K

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 20

Bc bhana vita ikaanza rasmi kati yangu na bi mdogo, nilikuwa naogopa balaa, nashukuru Mahamood na bi mkubwa walikuwa upande wangu na walinitia moyo sana, hasa Mahamood hakutaka kabisa nipate presha, cm zilizidi kupigwa kutoka kwa bi mdogo akimpigia mume wake akimsisitiza asioe,, zile cku mbili walizokubaliana Kaka na Mahamood zikafika na Kaka alipiga cm kwa Mahamood na kumpangia mahari, bc ilibidi tusafiri na Mahamood kwenda Arusha kwa Kaka, Mahamood alichukua watu wake watatu wawili walikuwa wa ofisini kwake na mmoja ni muarabu mwenzie, tuliondoka na magari mawili hadi Arusha, Mungu alitusaidia tulifika salama kabisa, tulikuta Kaka anatusubiri alishaandaa watu wake, mhhhh nilivyofika kwenye nyumba ya Kaka,, kweli Mungu c Mwanadamu,, nilikuta nyumba kubwa ina kila kitu, magari yake matatu kapaki hapo kwake, mhhhh nikamtania Kaka, angalia usijekuwa Freemason Kaka akanijibu umejuaje na lazima nikutoe ww kafara tulicheka pale nikaingizwa chumbani,, nilikuta house girl wawili na house boy mmoja,, Mahamood hakutaka kuchelewa alisema anatoa mahali na ndoa hapo hapo, bc ikabidi Mahamood mwenyewe atoke akatafute mashehe,, ikabidi nisilimishwe kwanza ndipo ndoa ifungwe, tukafanikiwa kufunga ndoa rasmi na Mahamood,, vitu vyote hivo tunafanya hatujashirikisha ndugu yetu yeyote nipo mm na kaka tu,, ndoa ilipita salama bc Mahamood akaongea na Kaka kuhusu ujauzito wangu unahitaji mtu wa kuniangalia na yeye haishi Sana Tanzania , so anaomba aondoke na mm kwenda Dubai,, Kaka yangu alikataa kata kata akamwambia hapana shemeji,, huyu ndugu yangu ndio mimba yake ya kwanza inabidi ajifungulie kwetu isitoshe tupo wawili tu kama macho,, cwez kumruhusu ndugu yangu kwenda huko kwa hali yake hii japokuwa ni mkeo,, bc Mahamood akakubali mm nibaki Arusha hadi nijifungue, ila yeye atakuwa anakuja kuniona,, tulikubaliana hivo,, wale wageni wakaondoka kuja dar nikabaki na Mahamood tukawa tunakaa Hotelin wiki Mahamood anarudi dar anakaa kama wiki mbili anakuja Arusha,,

Nilivyokaa na Kaka ndio nikajua vzr maisha yake,, alikuwa na Maisha ya starehe htr, pombe sana wanawake ndio usiseme kila cku naletewa wifi mpya kutambulishwa nadhani mnawajua watu wa madini,, Kaka yangu ni mfanya biashara mkubwa wa madini,, yaan pale Arusha anajulikana htr yupo kwenye kundi la watu wenye pesa,, Sasa wanawake nao hawapo nyuma kila cku analeta mpya,, nikaona hapana,, cku moja Kaka karudi mapema amerudi peke yake cku hio, mzima hata pombe hana kichwani,, kwake pia kuna kaunta huwa kama ajanywa nje bc analewea ndani Sasa cku hio karudi mkavu,, huwa anakawaida akirudi hata iwe saa ngapi lazima aite Amamuuuu tena kwa fujo,,,. Njoo ndugu yangu wa damu, wewe ndio unajua thamani yangu kuliko mtu yeyote yule njoo mdogo wangu,, cku hio karudi kimya kimya, nikajiuliza kulikoni?? Nikamfata chumbani kwake kugonga,, nikasikia analia tena sauti kubwa,, nikamwita Kaka vp? Unaumwa?? Akaniambia hapana Amamu,, nikamwambia bc fungua mlango,, akanifungulia huku analia, nikasema vp, kapoteza pesa?? au kaachwa?? Mhhhh,, nikamuuliza vp mbona unaniogopesha mwenzio? Akaanza kuniambia, nawakumbuka wazazi wetu sana,, nakumbuka maisha niliyopitia mm,, na ww Dada yangu?? Eti ulibakwa na mjomba na wakakupiga nusu ya kukuua?? Nikamwambia Kaka tuyaache hayo achana nayo tuangalie maisha yetu upya,, akaniambia hapana,, kesho naenda Musoma, nataka nikamfate Baba mdogo aniambie kwann alitaka kukuua?? Nikamwambia hapana Kaka,, nikamuomba sana apunguze starehe sio nzuri, hata wazazi wetu huko walipo hawawezi kufurahia wakijua unaishi haya maisha,, bc alinihahidi kubadilika ila kuhusu Baba mdogo lazima akaonane nae

Mahamood alisafiri kwenda kwa bi mdogo mm kabla cjajifungua ila nilikuwa mwishoni sana,, alikuwa anawasiliana na mm kwa shida sana kama kawaida yake,, inaweza kuisha wiki bila salamu, cku akikutafuta sory zinakuwa nyingi,, nikawa ctaki kujipa presha na ukizingatia nimechoka,, Kaka yangu alikuwa ananipa kila kitu ( kasoro sex) nilijikuta nina amani ya moyo wala sikuwaza kuhusu Mahamood,, nakumbuka siku hio nimeshika cm yangu ile nafungua wtsap tu nakutana na voice note, nikaifungua, hee! Mke wa Mahamood cjui namba yangu kapata wapi,, nikaisikiliza ni matusi jmn,, tena anatukana Kiswahili anachanganya na kingereza,, eti ww malaya,, huwezi kuolewa na Mume wangu, na ole wako uendelee kudil na Mume wangu utajua ujui,, yaan vitisho vingi na matusi,, kiukweli niliumia sana nikasema shida yote hii ya nn?? Kwanza huyo mumewe wala sikumpenda kwa hiali yangu, kukosa kunibaka ningekuwa nae mm?? Niliumia nikaanza kulia nikasema Mahamood akinitafuta namwambia ckutaki na anikome,, ilipita wiki hakunitafuta nikamtumia voice note na mm Mahamood,, nikamwambia kwann ulinibaka wakati ulijua fika upo na wake zako?? Na kwa nn uliniingilia kinyume na maumbile yangu?? Nakuchukia!! Mwambie huyo mkeo ukweli,, asinitukane mm, sina makosa,, pia naomba unitumie taraka yangu kwenye cm pindi tu utakapo upokea ujumbe huu,, na nikijifungua hawa watoto nitawaambia ukweli Baba yenu alinibaka kwanza kabla sijampenda,,,,,, nilivyomaliza kuongea nikatuma,, nikatuma na ile voice note ya mkewe,, nikakaa zangu kimya haikupita nusu saa cm ya Mahamood inaingia

Soma mpaka mwisho kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19

Bc bhana yale majibu ya Dactari yalitupa mshituko sana hasa mie, nikamwambia Mahamood itakuwaje? Mahamood akanitia moyo akaniambia ngoja turudi nyumbani KWANZA,, nilihisi kudata jmn, bc hatukwenda hata nyumbani tulienda hotel pale Mahamood anapenda kufikia, alinitoa wasiwasi sana akaniambia yeye ni Baba na hatahakikisha watoto wake wanazaliwa salama kwa gharama yeyote ile labda iwe mapenzi ya Mungu,, bc alimpigia cm bi mkubwa kumpa zile taarifa walikuwa wanaongea kiarabu,, nikashangaa napewa cm niongee na bi mkubwa, nikazungumza nae anaongea Kiswahili kama cha mombasa ila ni muarabu, akaniambia Mamujee usijali itabidi MUME wangu akuoe rasmi kisha uje...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-19-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwarabu-huko-mi-sijazoea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  6
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

565
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

533
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

403
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

335
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

239
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

180
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

47

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest