Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  21--22
Gonga94 · Stories

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21

Cm ya Mahamood ikaingia, nikajiuliza nipokee au niachane nayo? Nikasema ngoja nipokee maana ni Mume wangu, halow Mamujee unaendeleaje? Nikamwambia cjambo, eti mke wangu naomba univumilie, najua unaumia sawa, ila nivumilie mama, huyu mwanamke ni mkorofi sana, amechukua namba yako kwenye cm yangu, ctaki kumwambia kuhusu swala la mimba, nahofia anaweza kufanya hata kitu kibaya, ndio sababu nipo kimya kwa sasa, nasubiri ujifungue kwanza,, nilimuoa huyu mwanamke sababu ya bi mkubwa kukosa uzazi , ckujua kama hata yeye atachelewa kuzaa, wakati namuoa yeye nilimuhakikishia kuwa sitaoa tena yeye ndio wa mwisho, Sasa ningefanya nn na yeye uzazi umekuwa wa shida kwake? Ina maana nikae bila mtoto kweli?! Hapana naomba univumilie,, kama unashida yeyote ya pesa bc nikutumie, naomba utulie, acha presha, ujifungue kwanza,

Aliongea mengi sana kunibembeleza nikamwambia sawa inatosha, maana tyr nilikuwa naona kabisa presha yangu iko juu

Nikamuuliza tu vp ujenzi wangu kule Salasala, maana alimuachia mtu ausimamie, akaniambia unaendelea vzr na wameanza kupaua,, bc nikamwambia sawa bye

Niliendelea kukaa pale kwa Kaka ila akawa amepunguza kidogo Mambo ya wanawake, anawaleta ila wawili, wenyewe hata hawajuani kila mtu anajijua yupo mwenyewe na mm nilikuwa hata siwaopoi maana mie kwangu tupo watatu maisha yaliendelea na cku zikazidi kuisha,, tulikubaliana na Mahamood kabla kuwa nisubiri uchungu niombe Opareshen coz tulihofia watoto wawili harafu marinda sina mhhhh, bc tukawa tyr tunajua mm ni Opareshen tu, hata wakati nipo dar doctor wangu aliniandikia ivo so kwenye fairi langu ilikuwa ipo wazi kuwa nataka opp, nazani mnajua hospital za kulipia hazina shida zinakusikiliza mteja unataka nn,, na nilivyofika Arusha tyr nilishatafuta hospital ya kujifungulia, trh yangu ya opp ilifika nikaenda hospital vzr nilipelekwa na Kaka pamoja na wifi mmoja, nilifika hospital nikalazwa ili kuandaliwa kwa opp,, Kaka alimtafuta Mahamood ila hakupatikana, nikafanyiwa opp vzr nikajifungia salama watoto wa kiume,, nilifurahi sana pamoja na Kaka yangu maana tyr tumeongezeka, tulikuwa wawili ila sasa tupo wanne bc nilikaa hospital kama cku tano iv nikaruhusiwa kurudi nyumbani, niliendelea kula uzazi pale kwa Kaka wala sikuwa na hofu tena kuhusu Mahamood nilisema akinitafuta sawa ila asiponitafuta pia sawa , nilikaa hadi namaliza 40 Mahamood kimya ukimtafuta pia hapatikani, nikasema mhhhh hii sio kawaida kulikoni? Namba ya bi mkubwa sina huwa naongea nae kupitia cm ya Mahamood, nikaona hii hali sio ya kawaida,, namtafuta vp sina njia nyingine? Ila namba ya bi mdogo ninayo aliyonitumia matusi, ila cwez mtafuta!! Nikaongea na Kaka kuhusu ile hali na wasiwasi wangu,, Kaka aliniuliza tu ile ghorofa hati yake jina la nani?? Yaan Kaka unaacha kufikilia wanangu kuhusu Baba yao unawaza ghorofa?? Akaniambia Amamu hao watoto ni wangu, Baba yao awepo au asiwepo wala usijali, niambie tu hati ya nyumba yako inajina la nani?? Nikamwambia inajina langu,, akaniuliza tena una uwakika?? Nikamwambia ndio, akasema bc achana nae yaaan Kaka mipombe imemuaribu jmn,, cjui na mirungi pia, maana anaongea kihuni tu, aliniuliza kuhusu gari yangu nimeacha wap nikamwambia pale pale kwangu ila usalama upo tu, huwa nampigiaga jirani yangu ananiangalizia, bc Kaka akasema kama huumpati huyo mumeo achana nae nikamwambia bc mm nikifikisha miezi mitatu narudi kwangu, akaniambia sawa, kula uzazi kwanza kwa Kaka yako,, bc niliendelea kukaa kwa Kaka ila ckuacha kumtafuta Mahamood ila mafanikio hakuna

Cku moja nipo zangu tu sina hili wala lile, nishaanza kupendeza uzazi umenipenda mwenyewe kuhusu mengine nimemuachia Mungu,, nashangaa mlinzi wa Kaka ambaye ndio house boy, anakuja kuniita eti kuna mgeni wangu,, nimetoka namuona Mahamood, alivyoniona alifurahi, akaniambia nilijua tu tyr umejifungua, nikamwambia kwahyo ulifanya makusudi?? Nikamwambia karibu ndani,, akasema hapana siingii ndani, naomba toa maelekezo kwa watu wako humo ndani tutoke mara moja,, bc nikawaaga madada nikatoka na Mahamood, tukaenda kwenye hotel moja iv, tukaagiza chakula na vinywaji hatukuchukua room,, wakati tunakula na kunywa ndipo akaanza kuniomba samahani, kumbe bi mdogo alivunja cm na alikata kata laini zote za cm, kwahyo alikosa mawasiliano kabisa, mhhhh nikaamua kumuelewa tu, ndipo akaniuliza umejifungua watoto gn?? Nikamwambia wa kiume, maana mda wote huo alikuwa hajauliza chochote kuhusu watoto, akaniambia naomba picha nikamuonyesha ,, Watoto wangu wote machotara nywele Sasa kama Baba yao Mahamood alifurahi akasema nilitegemea hili,, bc alikuwa na cm nyingine kweli tofauti na ile ya mwanzo, akampigia cm bi mkubwa,, yaan bi mkubwa alifurahi jmn yule mwanamke cjui ana roho gn jmn, nikaongea na bi mkubwa akanipa hongera,, Mahamood akamtumia bi mkubwa picha,, bc Mahamood akaweka status yake watoto wake akaandika inshallah, hatimae nimekuwa Baba,, nikamwambia huogopi?? Akasema nilikuwa nasubiri wazaliwe salama tu mm sio mjinga wa kupelekeshwa na wanawake he mara ananionyesha status ya bi mkubwa nae kawaweka watoto kaandika My babies , nikasema bi mdogo lazima aue mtu

Itaendelea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 22

Adimin sory sana pamoja na wajumbe, nilitamani kurudi ila bize sanaa walah! Hii sikukuu kwa sisi wafanya biashara ndio wakati wetu wa kupata chochote, sasa nimejikuta hata muda wa kushika cm sina kabisa!!! Natamani kuimaliza hii story......

Bc tulikaa pale Hotelini tukimaliza chakula chetu,,, tulirudi nyumbani ili Mahamood akawaone watoto wake, bc alifurahi sana kuwaona wanae akasema hii kweli damu yngu,, alikaa pale akimsubiri Kaka ili amshukuru,, akaniambia Mamujee naomba turudi dar, nikamwambia sawa ila tulipatana na Kaka watoto wafikishe miezi mitatu, akaniambia hapana, nataka tuwahi nikasimamie ile nyumba iishe kwa haraka, kabla sijarudi Dubai muwe mmehamia na watoto, nikamwambia sawa, MUDA uliisha Kaka hakurudi mapema cku hio, Mahamood aliondoka kulala Hotelini,, bc Kaka aliporudi nilimpa zile habari akakubali mm kurudi dar na Mahamood,, bc asbh tuliamka mapema sana tukajiandaa kuondoka, Kaka akanipa msichana wa kazi mmoja nije nae, Mahamood alitufata tukaanza safari ya kurudi

Tumefika dar vzr tukaanza maisha mapya ya ulezi wa mapacha ( Mtanisamehe majina ya watoto wangu sita yataja kurinda heshima ya familia yangu maana humu tupo wengi na tayari nishajitaja jina langu Mamujee so watu watanijua) bc Mahamood alinitafutia msichana mwengine kwa watu wa makampuni nikawa na wasichana wawili,, tuliishi vzr sana Mahamood alipenda sana watoto wake, nyumba yangu iliisha kabisa, namshukuru Mungu mnoo, nikahamia kwenye nyumba yangu na familia yangu,, kipindi hicho chote choko choko za bi mdogo zinaendelea, mara anitumie matusi, yaan shida tupu, Mahamood alinisisitiza sana nisimjibu kitu hadi pale atakapo yaweka sawa

Nipo zangu kwangu Salasala nishaanza kuzoea maisha yangu na Mahamood yupo anaenda kwenye biashara zake anarudi jioni,, nakumbuka cku moja shangazi yangu alinipigia cm nimuelekeze kwangu anataka aje anishukuru,, mumewe amepona,, nikamwambia shangazi usijali haina haja akasema hapana nielekeze kwako nije,, nikaongea na Mahamood kwanza akaniambia sawa mwache aje,, nikamwambia shangazi kwa sasa mm naishi Salasala, akasema sawa nitakuja jumapili nikitoka kanisani, bc jumapili ilifika kweli shangazi akaja na familia yake , amefika pale kwangu hakuamini akakosa furaha akawa mnyonge sana,, watoto wake wakawa wananiuliza Dada hapa ni kwako? Nikawaambia ndio,, shangazi alishangaa mm kujifungua bila kumjulisha, nikamwambia nilikwenda Arusha kwa Kaka, bc Mahamood alionana na shangazi yangu wakafahamiana ,. Ila shangazi alishikwa na butwaa sana hakuamini Amamu mm kuishi nyumba kama ile na Mume wangu Muarabu bc tuliongea mengi akanishukuru kwa ile pesa niliyompa kumuuguzia mumewe, nikamwambia shangazi usijali sisi ni ndugu uwe na amani,, muda wao wa kuondoka uliisha wakaondoka zao

Kumbe yale maisha yangu aliyoyaona shangazi yangu hapa kwangu yalimpa maswali sana na akaingia na chuki moyoni mwake, shangazi yangu ana mtoto wake wa kike mkubwa tu, tunalingana na mm kiumri ila mm ni mkubwa kama mwaka,(anaitwa Roby) pia na yeye alikuja nyumbani kwangu na mama yake, nashangaa Roby ananipigia cm Dada naomba nije kwako nina shida na ww,, hapo sijui chochote wala sifikirii kama anaweza kunifanyia jambo baya,, nikamwambia sawa njoo,, hapo Mahamood anajiandaa kusafiri kwenda Dubai,, alikuja kwangu vzr nilitegemea labda anakuja na kuondoka kumbe amekuja kuishi nashangaa amefika na begi kubwa, nikajiuliza kulikoni? Dada wa kazi akampokea vzr akaingiza room kwao,, hee kumbe mgeni kaenda kuoga kabadilisha na nguo kabisa Sasa nguo aliyoenda kuivaa jmn bora aliyovua,, kavaa kipensi kifupii na kisingrendi tumbo lote nje,, kaja kakaa sebleni hapo sebleni nimekaa na Mume wangu,, yaan mara ashushe mguu mara apandishe juu hadi Mahamood akashindwa kukaa akaenda chumbani,, kweli sikujua lengo lake ila kwa vitendo vile tu nilijua hapa ametumwa na Mama yaje anichukulie Mume

Itaendelea

Soma mpaka mwisho kwa Tsh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21

Cm ya Mahamood ikaingia, nikajiuliza nipokee au niachane nayo? Nikasema ngoja nipokee maana ni Mume wangu, halow Mamujee unaendeleaje? Nikamwambia cjambo, eti mke wangu naomba univumilie, najua unaumia sawa, ila nivumilie mama, huyu mwanamke ni mkorofi sana, amechukua namba yako kwenye cm yangu, ctaki kumwambia kuhusu swala la mimba, nahofia anaweza kufanya hata kitu kibaya, ndio sababu nipo kimya kwa sasa, nasubiri ujifungue kwanza,, nilimuoa huyu mwanamke sababu ya bi mkubwa kukosa uzazi , ckujua kama hata yeye atachelewa kuzaa, wakati namuoa yeye nilimuhakikishia kuwa sitaoa tena yeye ndio wa mwisho, Sasa ningefanya nn na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-21-22

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwarabu-huko-mi-sijazoea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  6
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

595
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

500
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

475
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

323
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

229
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

86
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

75

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest