Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  25 -- 26
Gonga94 · Stories

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25

Ile sim ya shangazi wala haikunistua, nilishazoea lawama mie, nilimuacha aongee hadi alivyochoka yeye akakata cm, nikatafakari yale maneno ya Mahamood, kuwa huyu ndugu yangu kaja kwangu kwa nia mbaya,, na nilivyoona zile dawa kwenye begi la roby niliamini kabisa kuwa shangazi hana nia nzuri na Maisha yangu,, nilimpigia cm Kaka yangu nikamueleza kila kitu kinachoendelea, alinishangaa sana, akaniambia Mamujee hayo yote umeyataka mwenyewe, iv hao watu kwa wema upi waliokufanyia hadi una waweka karibu yetu?? Nilikwambia tangu mwanzo achana nao,, akaniambia subiri kwanza,, akakata cm,, kumbe akampigia cm shangazi akamwambia achana na Mamujee please, ni ndugu yangu, kama umeona hakuna umuhimu wa kutupenda bc tuachee,, Kaka akanipigia cm, akaniambia shangazi akinipigia cm nisipokee, nikamwambia sawa,, niliendelea na Maisha yangu , Mahamood tulizidi kuwasiliana na alizidi kuwapenda wanae sanaa,, ilipita kama miezi miwili iv Mahamood bdo yupo Dubai kwa mke wake, alinipigia cm akaniambia ananifanyia mpango wa visa na passport ili niende huko nipeleke watoto akawatambulishe ndugu zake maana asilimia kubwa ya ndugu wa Mahamood wapo huko,, nikamwambia sawa,, ila nilikuwa muoga mnoo but sikuwa na jins lazima wanangu wapajue kwao , akaniambia nichague Dada mmoja kwa ajili ya kunisaidia watoto, namshukuru Mungu sana Dada zangu wa kazi wote nimeishi nao vzr kama ndugu zangu, yaan ukifika kwangu huwezi kumtambua Dada wa kazi ni yupi na ndugu ni yupi,, nikamchukua yule nilietoka nae Arusha kwa Kaka, tukaandaa picha kila kitu Mahamood alimuagiza mtu akawa anashuhurikia hilo jambo,, nilitafuta mlinzi wa getini kutoka kwenye kampuni ili nikiondoka niache usalama nyumbani kwangu,, nilimtaarifu Kaka yangu kuhusu safari, alinitakia kila la heri,, bc tukaendelea kusubiri vitu vikamilike ili tuondoke,,, nakumbuka siku hio nipo tu nyumbani kwangu nilikuwa nafua,, huwa nafanya kazi za nyumbani kwangu japo kuwa nina wasichana wawili, napenda sana kufanya kazi,, cm yangu ikaita kuangalia namba ngeni,, nikapokea nikasikia sauti ya mwanaume,, Halow Amamu hujambo?? Nikamsalimia vzr, nikamuuliza nani mwenzangu?? Akaniambia mm ni Baba yako mdogo nikamsikiliza,, akaniambia yupo dar amemleta mtoto wake hospital ya oshen rod anasumbuliwa na kansa, walikuwa Bugando hospital Mwanza ndipo wamepewa rufaa kuja huku,, na amepimwa amekutwa na kansa ya utumbo nikampa pole,, akaniambia anaomba akutane na mm tuongee vzr,, nikamwambia sawa ila nitakujulisha,, nilishangaa sana, nikajiuliza namba yangu kapata wapi,, nikapata jibu ni shangazi tu,, nilikumbuka kile kipigo cha mbwa mwizi alichonipiga hadi nikapoteza fahamu,, wakaniburuza hadi chumbani,, mhhhh!! Dunia hii jamani, haina mwenyewe kwa kweli,, leo hii Amamu mm najulishwa kwenye matatizo,, mhhhh,, nikasema hapa nikimwambia kaka hili Jambo, atampandia gari amfate maana ana uchungu nae sana huyu Baba mdogo, nikanyamaza zangu,, na wao pia wanamuogopa matatizo yao yote wanaleta kwangu mie mnyonge wao,, bc niliendelea kusubiri vitu vikamilike vya safari yetu,, ikaisha kama wiki mbili, sijamjulisha Baba mdogo kitu chochote wala sim sijampigia,,, Mahamood alituambia kila kitu tyr tujiandae kwa safari wiki inayofata tunaondoka, bc tukazidi kufanya maandalizi mimi na Dada, huku tunacheka wenyewe na Dada, tunaambiana huko kwa waarabu tutaenda kuongea vp na watu bc tunacheka wenyewe,, mara tunaulizana iv tukichunwa ngozi jee tunachekaa huku tunajipa moyo, bhana wee liwalo na liwe

Safari iliwadia ilibaki kama cku tatu iv,, nipo zangu kwangu napiga story na madada zangu pamoja na mlinzi,, tupo nje,, nakumbuka siku hio tulikuwa tunabishana Kati ya Diamond na Kiba nani mkali wawili wanamtetea kiba, wawili wapo kwa Mond,, yaan tuligawana, bc ikawa kelele tunabishana haswa,, gafra geti likagongwa,, mlinzi akafungua kuangalia, wakaanza kujitambulisha, maana mlinzi alikuwa mgeni,, akaniuliza niwaaingize? Wanasema ni shangazi yako,, nikamwambia waache wapite,, jamani jamani,, alikuwa shangazi,, Baba mdogo, Roby,, eti wamemleta Baba mdogo nyumbani kwangu aje akae kwa kipindi chote anachouguza mtoto wake, na niwe nampa nauli kila cku ya kutoka Salasala kwenda oshen rod na ya chakula chake na mgonjwa,, kiufupi niwahudumie,, niliwasikiliza vzr hata sikujibu kitu,, nikamwambia Dada awape chakula,, nikaingia chumbani kumlaza mtoto alilala,, nikampigia cm Kaka nikamueleza kila kitu,, akaniambia waache hapo hapo usiwaambie chochote,, Naanza safari mda huu kuja huko,, nataka nionane nao mwenyewe,, usiwaambie chochote kama mm nakuja maana watakimbia,,

Itaendelea

NILIVYOANZA KUINGILIWA KINYUME NA

MAUMBILE
sehemu 26

Jmn wanawake wenzangu nimepitia Coment zote leo, najua wengi wananilaumu kuwa mm nashindwa kujitetea mwenyewe,, kiufupi mm sio muongeaji sn,, tangu nikiwa mdogo najulikana na ndugu wote kuwa Amamu sio muongeaji, nimerithi kutoka kwa Mama yangu, alikuwa mpole mnoo,, ndugu wa Baba walimfanyia kila aina ya vituko lkn Mama yangu hakuwai kunyanyua mdomo,, bc nimerithi kila kitu cha Mama yangu na iv watu wanasema cha kurithi kinazidi bc naona mie nimezidi

Bc nikarudi sebleni baada ya kuongea na Kaka,, nikawakuta wageni bado wanakula,, yaan Roby ndio kamuona Mama yake ndio anazidi kufanya makusudi, mara ashike hiki mara aulize hiki yaan ilimradi tu,, Mara da Amamu nifundishe kuendesha gari kwa gari yako,, au nimpigie rafiki yangu aje kesho anifundishe,, nikamjibu usijali nitakupa,, tumekaa tunaongea namuona Baba mdogo jicho halitulii Mara kangalia huku mara kageukia huku yaan anaonekana ni mtu mwenye maswali mengi kichwani kwake,, nilikaa zangu kimya nawaangalia tu,, ucku umefika nashangaa shangazi na mwanae hata hawaagi kuondoka maana walisema wamemleta Baba mdogo?? Nikashangaa hadi saa nne bdo wapo nikamuita Dada nikamwambia akaandae chumba cha mgeni wa kiume,, hao wengine watalala nao chumbani kwao,, niliwaaga nikawaambia naingia kulala,,, shangazi akaniambia na wao watakao hapa ili asbh tuwahi hospital kwa pamoja nikamwambia sawa,, nikaingia zangu chumbani kwangu,, niliwasiliana na Mahamood kama kawaida huku alinishangaa nisibebe minguo mingi nichukue chache au nisibebe kabisa eti kwenye ndege mizigo inapimwa uzito sasa nisije acha mizigo mingine airport,, bc tuliongea mengi ila sikumwambia kuhusu ule ugeni,, nilivyomaliza kuongea nae nikampigia Kaka nijue kafika wap maana ilikuwa kama saa sita ucku IV, akaniambia ndio anaitafuta charinze,, bc nikamwambia Mungu amlinde nikalala zangu

Asbh kumekucha hata sebleni sijashuka Roby kanifata chumbani,, eti Dada fungua,, nikamuuliza vp kwani?? Eti Mama kasema muanze kujiandaa,, hata sijamjibu na mlango sikufungua nikaendelea kulala,, mara mlinzi ananipigia cm, kuna mgeni getini amejitambulisha ni Kaka yako, nikamwambia aingie, bc kaka akawa amefika kwangu tyr, nikashuka hadi chini, nilifurahi sana kumuona Kaka, akaniuliza vp huyo Baba yako mdogo yupo wp?? Nikawaambia chumbani, akasema nenda kamwambie namwita nikamwambia atatoka mda c mrefu , hadi shangazi yupo hapa,, akasema na shangazi kalala hapa?? Nikawaambia ndio,, akasema kwa sauti,, HUU UKOO MASIKINI HUU nikamwambia Kaka usiseme ivo watasikia,, akaniambia unamuogopa mtu??? Mara shangazi anashuka kwa mbwembwe mwenyewe huku anaimba ( nimeuona mkono wa Bwana nimeuona) ghafra anakutana uso kwa uso na Kaka eti Mwita umelala hapa?? Upo dar hii hii?? Yaan Mwita hajajibu hata swali moja tyr kashamuuliza kumi Mwita akamjibu nimekuja leo,, Mara Baba mdogo nae huyoo,, alivyomuona Mwita akawa mpole,, eti shangazi ananiambia mie, Amamu bado haujajiandaa, nikawaambia bado,, Kaka akauliza kwani mna safari asbh yote hii?? Akasema ndio, Obara anaumwa amelazwa oshen rod wiki ya tatu sasa amegundulika ana kansa ya utumbo,, Kaka akasema sasa Amamu ndio anahusika nn huko hospital?? Shangazi kabla hajajibu, Kaka akamwambia, shangazi iv kwa nn mnapenda sanaa kunyanyasa watu?? Huyu Amamu ana watoto wadogo bado mbaya aende huko kwenye magonjwa ya hatari hatari aje alete shida kwa watoto?? Shangazi akasema amna sio lazima aingie ndani,, Kaka akamwambia shangazi sikia,, huyu Mamujee haendi kokote,, iv we Baba mdogo unakumbuka ulivyompiga huyu Amamu kiasi cha kutaka kumtoa uhai wake?? Sasa ungemuua leo hii ungelala nyumba ya nani? Nani angekupeleka huko hospital?? Baba mdogo kimya,, akamgeukia shangazi, akamwambia shangazi naomba muachane na Amamu please, mumempitisha kwenye shida mnoo na mateso, leo Mungu amempa nafuu bado mnamfata tena? Shangazi akasema Mwita mwanangu, tusikumbushe yaliyopita tugange yajayo,, Mwita akasema yajayo ndo kumfata fata nyumbani kwake? Iv hamuoni hata aibu kuja kujazana hapa? Mnadhani mumewe Amamu atawachukuliaje? Bc walijitetea ila aibu ikawashika,, Kaka akamuuliza Baba mdogo kwani ulivyotoka nyumbani kuja hapa dar ulimtaarifu amamu kama unakuja dar?? Akasema hapana,, Sasa kwa nn unamwambia kwa kumshtukizia kuwa unakaa kwake?? Ba mdogo, kimyaa,, Kaka akawaambia hapa kwa Amamu hakai yeyote kila mtu atakaa kwake au alipofikia, kama msaada unahitajika bc niambieni mm sio Amamu,, acheni kujitia aibu,, mnajidharirisha tu,, mhhhh Kaka aliongea jmn wote kimya,, Kaka akanigeukia mm,, ww Amamu sio unapokea pokea watu tu hapa kwako, umeolewa juzi tu leo mumeo anakuta ukoo wako wote umejaa hapa c atakuzarau?? Acha huruma ya kijinga, hapa mjini kila mtu apambane na familia yake heee Kaka anaongea kihuni tu bc walikubaliana shangazi amchukue ndugu yake akae nae kama misaada tutamsaidia huko huko

Bc tulipanda gari ya Kaka hadi hospital tukamuona mgonjwa kweli hali mbaya

Kaka akasepa zake nikarudi zangu kwangu

Safari ikawadia haoo tukaondoka zetu Dubai

Itaendelea

Soma mpaka mwisho kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25

Ile sim ya shangazi wala haikunistua, nilishazoea lawama mie, nilimuacha aongee hadi alivyochoka yeye akakata cm, nikatafakari yale maneno ya Mahamood, kuwa huyu ndugu yangu kaja kwangu kwa nia mbaya,, na nilivyoona zile dawa kwenye begi la roby niliamini kabisa kuwa shangazi hana nia nzuri na Maisha yangu,, nilimpigia cm Kaka yangu nikamueleza kila kitu kinachoendelea, alinishangaa sana, akaniambia Mamujee hayo yote umeyataka mwenyewe, iv hao watu kwa wema upi waliokufanyia hadi una waweka karibu yetu?? Nilikwambia tangu mwanzo achana nao,, akaniambia subiri kwanza,, akakata cm,, kumbe akampigia cm shangazi akamwambia achana na Mamujee please,...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-25-26

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwarabu-huko-mi-sijazoea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  6
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

590
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

483
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

472
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

320
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

215
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

86
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

73

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest