Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  28 -- 29
Gonga94 · Stories

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28

Daah hadi naona haya natamani ingekuwa wtsap nikatuma voice note nimalize,,

Nilikaa pale Dubai kwa raha sana outing kama zote kiufupi nilienjoy sana sana, wakati wa kurudi Tz uliwadia, nikaanza kujiandaa kurudi, bi mkubwa akanishauri nisikae bure nitafute kitu cha kufanya, akaniambia nikifika Tz nitafute frem nzuri ya kuuza nguo then yeye atakuwa ananifungia mizigo Dubai ananitumia Tz, kweli nilikubari wazo lake,, jion ilivyofika Mahamood alirudi bi mkubwa akamwambia kuhusu wazo la biashara, Mahamood hakubisha akamwambia tu bi mkubwa aanze kunitafutia huo mzigo coz mm nikifika Tz tu naanza kutafuta flem,, kweli nilijiona mwenye bahati mnoo wala sikuwahi kuwaza kwenye maisha yangu kama ipo siku na mm nitakuwa mtu kwenye watu , niliendelea kukaa pale nikisubiri Mahamood anashuhurikia tiket,, ila nikiwa pale nikawa sielewi,, kuna chumba maalumu ambacho hakifunguliwi ovyo,, na ikitokea kimefunguliwa bc Mahamood yupo hapo au bi mkubwa anaingia ila mara moja moja mno labda kufanya usafi,,. Mhhhh mara ya kwanza nilikuwa sijali, ila kadri nilivyozidi kukaa pale nikawa natafakari sana,, mara nyingine watu wanakuja watu wenye hela ukiwaona mwenyewe unakubali kuwa hawa watu pesa wanayo,, yaan hao watu wanakuja wakati Mahamood yupo na wakija tu wanaingia kwenye hiko chumba,,, nikajiuliza hawa watu niwakina nani?? Na humu ndani wanaenda kufanya nn?? Kweli mwanzo niliumiza kichwa sana na sina wa kumuuliza,, japokuwa mm ni mke wa Mahamood ila nilikuwa sijamzoea sana kumuuliza uliza vitu ovyo nilikuwa cwez, nikasema moyoni hapa hadi nijue humo ndani kunafanyika nn,, hiko chumba kiko chini, nyumba ni ghorofa moja ila ina vyumba vingi,, iko chumba Sasa kipo chini na mm nalala juu, kwenye hio nyumba kuna sebure mbili, juu na chini,, hio sebure ya chini kiufupi haitumiki,, inafanyiwa usafi kila cku ila hawakai wote wanakaa juu,, hiko chumba chenyewe kilichonipa hofu kipo chini pembeni mwa sebure,, nikaanza uchunguzi wangu wa kimya kimya sikumuuliza bi mkubwa wala Mahamood,, chumba changu cha juu dirisha lake linatizama geti kubwa la magari,, nikiona gari linaingia getini watu wakishuka tu, nasogea hadi karibia na ngazi nachungilia kwa chini bc nawaona hao wageni wanavyoingia kwa hiko chumba,,, nilifanya upelelezi wangu ila sikugundua kitu,, nikawa na hofu nikakosa amani najiuliza hawa ni wakina nani hasa?? Mbona wana siri zao wanazificha kwangu??

Bc safari ya kurudi Tz ilizidi kuwadia zilifika kama cku tatu safari ianze, na hapo sijajua chochote kuhusu hiko chumba,,, Waarabu wanapenda sana mambo ya kutoka out sana,, kwenda kwenye pikinik,, mara kula Ice cream, yaan wanapenda sana,,, mm tangu nifike Dubai walishanipeleka sana izo sehemu,,, nakumbuka ilikuwa cku ya jumapili,, wamejiandaa vzr wote wanataka kutoka, kasoro madada wa kazi tu,,, nilikuwa chumbani kwangu,, akatumwa mtoto aje aniambie nijiandae,,, wala sikumbishia nilijiandaa vzr nikajipodoa hasa kisha nikalala,, wakaja kuniita nikawaambia kichwa kunauma sana,,, bi mkubwa akaja hadi chumbani kwangu akaniuliza Mamujee vp? Nikawaambia Dada kichwa kinaniuma sana cwez kutoka leo,, bc akaniletea dawa akaniambia nipumzike kama kuna shida yeyote niwapigie cm,, bc nikamwambia sawa,, Mahamood akuwepo cku hio

Walivyoondoka tu nikamwita Dada yangu wa kazi,, maana kabla alikuja kuniambia kuwa kuna madada wale wa kazi, Sasa wale wawili wa Tz,, wameomba cku tukiondoka bc watupe mizigo kidogo na pesa tuwapelekee ndugu zao,, nikamwambia aniitie mmoja wao,, bc alimwita nikashuka chini maana wao wanalala nje kuna vyumba sio mule ndani,, alivyokuja nikaanza kumuuliza kuhusu kwao akanielekeza vzr nikamwambia sawa nitakwenda,, nikamuuliza kuhusu pale na watu wanavyokuja,, akaniuliza kwan hujui?? Ww c mkewe?? Kwann ajakwambia Mumeo?? Nikawaambia wala hajaniambia na mm sijaolewa mda mrefu sana,, akaniambia bc nikikwambia usimwambie hadi akwambie mwenyewe,, nikawaambia wala usijali mm shida yangu kujua tu bc

Akaniambia Mumeo ni MGANGA Tena Mganga mkubwa sana Dubai,, anatubu watu wakubwa,, Viongozi na Matajiri anafahamika sana sana heeeee Mamujee mm nimeingia wapi?? Tobaaaa,,, nikaishiwa pozi mwili wote ukaingia baridi,,, nikajiuliza kumbe mara ya kwanza nilivyokutana na Mahamood akaniambia nina nyota kali sana tena ya utajiri sikujua ana maana gn kumbe yeye ni mganga??? Hata Roby alivyokuja kwangu na dawa aliziona nilijiuliza amejuaje kama roby ana madawa kumbe ni mganga??? Hata nilivyojifungua wanangu kipindi nipo Arusha alivyokuja hakuwa na haraka ya kujua watoto jinsia gn kumbe alishawaona kwa uganga wake???

Nilikosa raha kwann amenificha hakuniambia mapema?? Nikamchukia kuanzia hapo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 29

Nilijikuta namchukia Mahamood, kwann amenificha hakuniambia mapema kama yeye ni mganga?? Nirirudi ndani nikaingia chumbani kwangu nikalala, mara wakarudi waliokwenda matembezi, bi mkubwa akaja chumbani kwangu kunijulia hali, nikawaambia naendelea vzr, bc aliniletea Ice cream na zawad nyingine,, tukatoka hadi sebleni tukawa tunapiga story,, akawa ananipa mbinu za biashara na jins ya kuliteka soko,, bc nilimsikiliza,, akazidi kuniambia jins ya kufanya biashara, kwanza nikae mwenyewe dukani hata km nitakuwa na wasaidizi,, nilimshukuru sana,, akawa anasema atawakumbuka sana mapacha wangu,, anatamani wakue awachukue akae nao, nikawaambia usijali wakikua tu atakaa nao,,

Cku iliwadia safari ya kurudi Tz ikafika,, wakati tunajiandaa kuelekea airport, Mahamood alinitazama usoni akaniambia Mamujee NAKUPENDA SANA MHHH nikajiuliza au amejua nimejua? Bc nikajiandaa fasta watoto wameandaliwa, na Dada nae, hao tukaelekea airport,,

Tumefika Tz salama kabisa, ila nikawa sina amani na Mahamood,, kwann hakuniambia?? Tulikuwa tunawasiliana vzr ila sikumwambia kuhusu uganga wake,, bc nilipumzika kama wiki mbili tu, Mahamood alikuwa ananisisitizia kuhusu flem,, nikawaambia sawa naanza kutafuta,, akaniambia niende mliman cty nikatafute flem pale ndani,, kweli niliuliza nikapewa utaratibu wa kupata pale,, nilifanikiwa kupata flem pale mliman cty,, Mahamood alinitumia pesa nikalipia,, ndio duka langu la kwanza nililofungua na lipo mpaka leo,,,

Bi mkubwa alinitumia mzigo, ulikuwa mzigo mzuri wa kutosha, nguo za watoto tu kiume na wakike,,, namshukuru Mungu sana sana ndio biashara yangu ya kwanza,,, bc nikawa na biashara yangu,, niliwasiliana na Kaka yangu nikamueleza kuhusu nyumba yangu ambayo najenga mm mwenyewe,, Kaka aliniongezea tena hela ili nimalize ujenzi,, kweli nilimaliza kila kitu na kuipangisha,, kiukweli namshukuru Mungu sana,, hata kama Mahamood anaitumia Nyota yangu bc na mm nafaidika,, nyumba ya Salasala ni jina langu kwenye hati,,, gari jina langu kwenye kadi,, duka ni jina langu,, nikasema hata ivo nashukuru

Niliendelea na biashara zangu ilipita kama miezi miwili na nusu iv Mahamood akaja Bongo,,, nilipunguza mapenzi kwake nikawa namuogopa sana,, cku hio nimekaa zangu dukani kwangu nipo na mdada mfanyakazi wangu,, Mahamood alikuja dukani,, akazunguka mle dukani kama Kuna vitu anavifanya,, nilimuoa ila nikakausha,, bc kuanzia muda huo wateja wakaanza kuingia mfululizo,, tena nikauza sana tofauti na cku zote,, nikasema hili silinyamazii lazima nimuulize,,, tulirudi nyumbani tukala, wakati tupo chumbani nikamuomba nimuulize jambo, akasema niulize mke wangu,, nikamuuliza naomba uniambie pale dukani ulikuwa unafanya nn na ulipomaliza tu wateja wakajaa dukani?? Kwanza alicheka, then akataka kukataa, nikawaambia niambie ukweli na ukinificha tu mm na ww bc hatuwezi kuwa mke na Mume then tunafichana vitu,,,, ndipo akaanza kufunguka,,, yeye ni mganga amerithi kutoka kwa marehemu Baba yake,, alikuwa hapendi kufanya hio kazi ila alilazimishwa sana,,, kumbe bi mkubwa wazazi wa mwanaume walimuona anafaa ndio wakamuolea mtoto wao,, ananiambia uganga wa Baba yake umewasaidia wengi sana. Na alivyofariki mikoba akapewa yeye,, nikawaambia sasa kwa nn umenificha?? Akaniambia angeniambia tu,, akazidi kuniambia anatibu watu wengi mnoo nikamuuliza kwahyo utajiri wako unahusiana na uganga?? Akaniambia sio asilimia kubwa,, akaniambia wao ni Matajiri sana kuanzia Babu yake akaja Baba yake Sasa amerithi yeye ,, nilimsikiliza akaniambia vitu vingi sana

Akaniambia cku ya kwanza niliyokuona niliona Nyota yako, nilitaka nikutumie tu kama wanawake wengine ila nilivyomaliza kufanya nilichofanya nikaambiwa nisikuache,, nikajiuliza nitakupataje tena?? Ndio sababu nikakupa cm na zile pesa,, ila ulivyokuwa hujanitafuta nikauliza wakubwa wangu wakaniambia kila kitu kuhusu ww,, nikawa nakufanyia dawa hadi ukawasha cm Akaniambia nimekupenda hadi wakuu wangu wamekupenda ndio sababu sijakufanya tena kinyume na maumbile ni ww tu ambaye sikufanyi hivo tena coz nakupenda sana na wakuu wangu wamekupenda,, ila bi mkubwa namfanya kinyume na maumbile pamoja na bi mdogo daaahh niliishiwa nguvu

Tunaelekea mwishoni mwa season one
Season two itapatikana whatsapp kw sh 1000
Malizia vipande vichache vilivyobaki vya season one kisha upate na season two zote kwa 1000
Namba ya WhatsApp ni 0743433005

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28

Daah hadi naona haya natamani ingekuwa wtsap nikatuma voice note nimalize,,

Nilikaa pale Dubai kwa raha sana outing kama zote kiufupi nilienjoy sana sana, wakati wa kurudi Tz uliwadia, nikaanza kujiandaa kurudi, bi mkubwa akanishauri nisikae bure nitafute kitu cha kufanya, akaniambia nikifika Tz nitafute frem nzuri ya kuuza nguo then yeye atakuwa ananifungia mizigo Dubai ananitumia Tz, kweli nilikubari wazo lake,, jion ilivyofika Mahamood alirudi bi mkubwa akamwambia kuhusu wazo la biashara, Mahamood hakubisha akamwambia tu bi mkubwa aanze kunitafutia huo mzigo coz mm nikifika Tz tu naanza kutafuta flem,, kweli nilijiona mwenye bahati...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-28-29

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwarabu-huko-mi-sijazoea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  6
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

965
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

223
MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9

202
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.

201
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

194
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

192
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

171
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

142
ACHA NIKUPENDE ❤️1

ACHA NIKUPENDE ❤️1

124
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

103

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.6K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.34K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.59K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.54K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE ❤️1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Muda ulienda majira ya saa nane nilitoka nje kwa lengo la kuanua nguo za mtoto, lakini nilipofika nilikuta nguo zote ambazo nilifua na kuanika zikiwa chini Tena zilionekana kabisa kuna...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kesho yake jioni sana ndo baraka alianza kujiandaa mana alikuwa anaondoka na basi la usiku. Nilijisikia unyongea sana. Ila alinambia nivumilie mana ni miezi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
@majario LIVE

Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, ...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Asa mimi ni nani nimnyimeee weeeee sio kweli. Nikamsogelea kisha nikamuangalia kwa jicho la kulegea sana. Akatabasamu kisha akanivuta zaidi. Akanipa mdomo. Tukaanza kukisss taratibu....

MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Kisha kwa ujasiri mkubwa nikazungumza. "Madam kwanza nasema asante kwa kuniamini lakini pia kwa kunijali nikuambie kitu siwezi kuolewa na kijana wako ile hali mimi ni mfanyakazi wako, sina thamani...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
@majario LIVE

ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhina pia binti yangu. Nakupenda sana na najivunia wewe ila ubinafsi wako...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna....

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Khaaaaa mi nikamtumia sms, nikamwambia mm sipo nyumbani, naomba uondoke apoo, mambo yasiwe mengi, akaniuliza upo wapi saa 6 hii, nikamwambia nipo kazini akanmbia kazini ndo hupokei simu? Upo...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 15 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 15
@majario LIVE

. 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest