Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  30 -- 31
Gonga94 · Stories

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30
,, bi mkubwa na bi mdogo walikuwa wanaingiliwa kinyume na maumbile na Mume wao, ila sio mara zote au sio nyuma tu hata mbele kwenye njia ya uzazi walikuwa wanaitumia pia ndio sababu walitafuta watoto,, binafsi Mahamood aliniingilia kinyume mara mbili tu yaan cku mbili tofauti ila kwa kiasi gani sijui coz alikuwa ananiwekea madawa maana nilikuwa sijitambui kabisa ila nikiamka ndio najikuta nimechafuka na maumivu makali

Bc alivyoniambia vile nikashikwa na butwaa, akaniambia Mamujee NAKUPENDA SANA , ww ni mwanamke ambaye nimekupenda mm mwenyewe, nilikuona nikakufata, sio kama sijawahi kuwa na wanawake wengine kabla yako? Nilikuwa nao wengi tu ila ww nimekupenda kutoka ndani ya moyo wangu, nikawaambia sasa kwann unaendelea kuwaingilia hao wake zako kinyume?? Akaniambia wao wenyewe wamezoea wanaona kawaida tu mhhhh nikaziacha hizo habari maana nilikuwa naona kama naumiza moyo wangu nikikumbuka alivyoniingilia na mm

Akaniuliza Mamujee mbona unafanya vitu vyako kimya kimya na hunishirikishi mm?? Mhhh nikashangaa nikamuuliza vitu gn? Akaniambia ww mwenyewe unajua ni vitu gn unavifanya,, nikamwambia niambie ni vitu gn bhana,, akaniambia mbona umejenga nyumba bila kunishirikisha?? Mhhh, nikamwambia kweli Kaka yangu alinipa hela kwa mara ya kwanza nilivyokutana nae ndio nikanunua kiwanja na kujibana ndio nikajenga, akasema wala sikulaumu kujenga,, ni vzr na una akili nzuri, tatizo kwa nn umenificha?? Nikamwambia nilitaka nije nikwambie, bc akanyamaza, kiufupi Mahamood ni mtu muelewa sana,, kuhusu uganga wake ulizidi kunipa mashaka sana, niliogopa sana, kiufupi siwapendi waganga wa kienyeji nawaona kama wachawi tu,

Maisha yaliendelea huku nipo bize na biashara yangu, Mahamood nae yupo bize na biashara zake,, akiwa huku Tz hafanyi uganga wake,, Mahamood alikaa sana Tz kama miezi minne iv, mzigo dukani kwangu ukapungua, nikamuagiza tena bi mkubwa akanitumia, mawasiliano yangu na bi mkubwa yalizidi kuongezeka, tukatoka kwenye uke wenza tukawa marafiki wakubwa tu, bi mdogo akazidi kumsumbua mumewe anataka taraka,, Mahamood akaniambia Mamujee ngoja niende kwa bi mdogo nikampe taraka yake nikamwambia sababu nn ya kumpa taraka?? Akasema sitaki kupangiwa maisha, mhhh nikayaacha km yalivyo,, wakati Mahamood anajiandaa kusafiri,, nilipatwa homa kali sana, nikapimwa nikagundulika mjamzito,, hapo mapacha wangu wana miaka miwili kama na nusu iv,,. Mahamood alifurahi mapenzi yakazidi kwangu,, akajisahau kabisa kama ana wanawake wengine,, safari ya kwa bi mdogo iliwadia akaondoka zake,, mimba ilinisumbua sana tofauti na mimba ya mapacha, nikawa mtu wa kulala ndani tu,, dukani ikanibidi niongeze mtu mwingine,, nashukuru Mungu nilipata watu waaminifu sana,,, bc Mahamood alifika kwa bi mdogo akamwambia umetaka taraka nimekuja kukupa, bi mdogo akaanza kulia akimlaumu Mahamood kuwa yeye ndio chanzo cha yeye kuomba taraka,, hata ivo hataki taraka bado anampenda mumewe , bc waliyazungumza wao wakasameheana ,, Mahamood alikuwa ananipa taarifa zote za huko,, bi mdogo akakubali Mamujee kuwa mke mwenzie na kuniachia cheo cha bi mdogo

Bi mdogo alinipigia cm tukaongea akanikaribisha nyumbani kwake kwanza then yeye ndio aje kwangu,, tuliongea vzr, ila kuhusu mimba yangu hakuwa anajua chochote

Kiufupi mm sikuwa na shida na yeyote yule wote nilikuwa nawaona sawa, Mahamood hakukaa sana kwa bi mdogo alikaa kama wiki tatu tu akarudi Tz,, akakaa kwangu hadi mimba yngu ikafika miezi sita,, ile hali ikamkasirisha bi mkubwa,, nikashangaa tu nikimpigia cm hapokei, nikimtumia msg hajibu kwa wakati,, sikumwambia Mahamood kama bi mkubwa hapokei cm zangu, nikaanza kupata nafuu kidogo kidogo,, nikaongea na Mahamood nikamwambia nipo sawa Sasa aende kwake,, Mahamood akawa hataki kabisa kuniacha,, nakumbuka siku hio karudi zake nyumbani vzr,, nikakaa nae chini nikaongea nae kwa hekima,, nikamwambia Mume wangu,, ukumbuke ww una wanawake watatu,, sio Mamujee peke yake,, Sasa hao wanawake wengine nao wanakuhitaji nenda kawape haki zao,, nilimbembeleza sana mwisho akakubali kwenda Dubai,, akaniambia ila hatokaa sana,, nikamwambia hapana nenda kakae na mkeo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 31

Mahamood aliondoka zake kwenda kwake, nikabaki mwenyewe najiuguza huku nikisaidiwa na madada zangu wa kazi, hali yangu iliendelea vzr, ilipita kama wiki tangu Mahamood aondoke ila tulikuwa tunawasiliana mara kwa mara, nikashangaa napigiwa cm na bi mkubwa, nikajiuliza kulikoni tena? Maana yeye CM zangu alikuwa hapokei, nikapokea vzr nikamsalimia wala sikuwa na shida, akaniitia Mama wawili, eti ww mjamzito?? Nikawaambia ndio Dada, akaniambia sasa kwa nn umenificha?? Nikawaambia Dada nilimuachia Mahamood akwambie mwenyewe kwan hakukwambia?? Akaniambia wala hakuniambia,, Sasa kwa nn umenificha mdogo wangu?? Mm nakulaumu kwa kosa la kuruhusu Mume wetu akae kwako mda mrefu, kumbe upo na shida? Bc nisamehe sana mdogo wangu, sikujua kama mjamzito na inakusumbua kiasi hicho, nikawaambia Dada usijali, nisamehe na mm kwa kukosa kukwambia mapema, akaniambia Mamujee huyu mwanaume ni Mume wetu wote, ukiona anafanya kitu cha kumuonea mwingine inabidi uikemee hio hali, usiiache ikakomaa, tumekubali wote kuwa wake wenza, bc tupendane tuishi kwa kupendana, ungeniambia mapema kama ni mjamzito wala nisinge kulaumu,, bc tuliongea mengi na Dada tukasameheana,

Nilipigiwa cm na shangazi kunipa taarifa za msiba, yule mgonjwa mtoto wa Baba mdogo amefariki, nikampigia Kaka kumpa taarifa kumbe na yeye tyr amazipata, msiba utasafirishwa kupelekwa nyumbani Musoma, bc nikamwambia kaka hali yangu ya afya tukakubaliana Kaka ndio ataenda mm nipumzike, bc nikawa nipo tu nyumbani kwangu,. Shangazi akawa anapiga cm kama ugomvi, we Amamu kwann huji msibani? Maana msiba waliweka nyumbani kwake kwanza taratibu za kusafirishwa zikiendelea, nikamwambia shangazi mm naumwa, bc kama nilimchokoza, unaumwa? Kuumwa ndio kukufanye usije msibani?? Nyie watoto mnaringa sana, mnajiona mmefanikiwa ndio mmekuwa na dharau, Sasa itajulikana tu, kwanza nyie sio damu yetu ingekuwa damu yetu bc mngekuwa mnatusikiliza na kutuheshimu,, shangazi aliongea hadi alichoka,, cm ilivyokata nikampigia Kaka nikamueleza, Kaka akaniambia Mamujee tulia niachie mm, mm nakuja huko leo, nikawaambia mbona mda umeenda sana utaanza safari usiku? Akasema atakuja kwa ndege,. Bc nikamsubiri Kaka aje ili tujadiriane tunafanyaje, nikampigia cm Mume wangu kumpa taarifa za msiba, alinipa pole akaniambia atanitumia pesa ya mchango ila mm nisiende popote,,

Kaka alifika alikuja moja kwa moja nyumbani kwangu, tukakubaliana yeye ataenda hadi Musoma, bc nikamwambia awahi kwenda msibani maana shangazi asizidishe lawama zake, Kaka alienda, shangazi alipomuona Kaka akapumua maana alichanganyikiwa kuhusu msiba ila alitaka huzuni zake azilete kwangu, nikajulishwa kuhusu mchango, wakati huo Mahamood alikuwa tyr amenitumia na mm nikatuma mchango wangu, walisafirisha msiba hadi nyumbani, wakazika vzr, Kaka alinipigia na kunipa wazo la kuwajengea wazazi wetu makaburi nikamwambia kaka sawa, ngoja nikutumie hela, Kaka akaniambia ni vzr na ww utoe hela ili wazazi wetu huko walipo waone tunawathamini, bc nilimtumia Kaka hela na yeye akatoka yake tukawajengea wazazi wetu , makaburi ya wazazi wetu yapo karibu,, tulimshukuru Mungu kutupa uwezo na akili ya kuwakumbuka wazazi japokuwa wametangulia mbele za haki,,

Biashara yangu iliendelea vzr mauzo yakawa makubwa cjui Mahamood alifanya kitu gn jmn ila nikazidi kumshukuru Mungu, na watu niliowaweka dukani walikuwa waaminifu kwa kiasi furani

Mimba yangu ilipofika miezi 8 hapo bado Mahamood yupo Dubai, Mahamood alinipigia cm akaniambia bi mkubwa anakuja kwangu kunihudumia hadi nijifungue, nikashukuru nikamwambia sawa, bc bi mkubwa nae akaniambia kuhusu safari yake, ila ananifungia mizigo kabisa anaanza kuusafirisha, bc tukakubaliana ivo,, kweli nilipokea mzigo wangu, wiki iliyofata bi mkubwa akaingia Tz, nilienda kumpokea airport na mimba yangu, aisee bi mkubwa alifurahi kuniona mie mjamzito, tulikumbatiana pale safari ya nyumbani ikaanza tuliongea mengi maana bi mkubwa hakutaka kabisa kulala chumba cha wageni tulilala pamoja, mtoto tumboni akicheza bc anashika tumbo langu anafurahi mwenyewe ananiambia cku akipata mimba bc Dubai nzima itajua ilikuwa raha sana bi mkubwa alivyo kuja kwangu, akanipa wazo la biashara lingine, akaniambia Mama wawili, iv unaonaje hapa kwako ukajenga fremu? Then ukawa unauza vitu vya umeme kutoka Dubai?? TV, friji, brenda NK? Nikawaambia Dada wazo zuri, akaniambia bc lifanyie kazi, hata sikuchelewa nikawaita mafundi wakaanza kunijengea fremu

Itaendelea

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 32
Wakati fremu inaendelea kujengwa mimi na bi mkubwa tukikuwa tunaishi kwa furaha nyumbani, mara nyingi yeye alikuwa ananipikia mimi napumzika lakini alishirikiana na wadada wa kazi kwa sababu waarabu kidogo vyakula vyao tofauti na vya kibongo hivyo alipenda kupika ili naye ale vizuri
Basi nikawa nafurahi, narelax nakaa tu, mara kwa mara nilikuwa naisimamia kikamilifu fremu yangu wakati mafundi wakiwa wanaijenga, huku nikiendelea kufanya biashara zangu taratibu
Nikiwa nimekaa nyumbani nikapokea simu ya kaka akaniambia, shangazi anataka kukuletea mtu aje kukaa hapo akusaidie majukumu nikamuambia mimi nina watu wamenizunguka sina shida ya mtu wa kunisaidia majukumu
Akasema kaa makini sana na huyo shangazi sijui anataka nini kwako, punguza upole akija mfukuze kama mbwa yule mama anaamini sana mambo ya kishirikina nikamuambia sawa sitampokea. Sawa
Siku mbili nimekaa tu nawaza na nishasahau kuhusu shangazi yangu ndo nashangaa dada mmoja wa kazi anaingia na begi kubwa analiendesha, nikaguna mhhhh ma kumuuliza Mahamood amerudi? Kabla hajanijibu ndipo nikaona Roby anaingia na miguu yake yenye vikuku kavaa kijora halafu akanisalimu kwema? Nikasema kwema halafu nikafuatia swali, vipi kuna nini mbona umekuja na mabegi
Akaketi kisha akasema mama yangu kaniambia nije niishi hapa kwa kipindi hiki ana hali mbaya ya uchumi hivyo nikae nikusaidie huku na nyie mnipe hata chakula
Shangazi ndo kakutuma? Roby akaniangalia juu mpaka chini akasema ndiyo hutaki au halafu akainuka na kwenda chumbani akaniacha mimi nimeduwaa
NAAAM HUU NDIO MWISHO WA SEASON ONW
SEASON TWO INAPATIKANA WHATSAPP KWA SH 1000
NJOO UIMALIZE LEO
NAMBA NI 0743433005 YAANI (+255743433005)
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30
,, bi mkubwa na bi mdogo walikuwa wanaingiliwa kinyume na maumbile na Mume wao, ila sio mara zote au sio nyuma tu hata mbele kwenye njia ya uzazi walikuwa wanaitumia pia ndio sababu walitafuta watoto,, binafsi Mahamood aliniingilia kinyume mara mbili tu yaan cku mbili tofauti ila kwa kiasi gani sijui coz alikuwa ananiwekea madawa maana nilikuwa sijitambui kabisa ila nikiamka ndio najikuta nimechafuka na maumivu makali

Bc alivyoniambia vile nikashikwa na butwaa, akaniambia Mamujee NAKUPENDA SANA , ww ni mwanamke ambaye nimekupenda mm mwenyewe, nilikuona nikakufata, sio kama sijawahi kuwa na wanawake wengine kabla...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-30-31

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwarabu-huko-mi-sijazoea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  6
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

565
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

530
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

396
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

335
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

236
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

153
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

41

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest