Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  34
Gonga94 · Stories

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34

Yale maneno ya mke mwenzangu yalinifanya nitafakari anayosema ni kweli au ameamua kugombanisha sababu kapewa taraka? Nikazidi kuchanganyikiwa mbona kama asemacho ni kweli mbona adui zangu wanazidi kuongezeka Mamujee mm? Nilibaki na bumbuwazi sijui nifanye nn? Nimuamini mke mdogo wa Mahamod? Au nimuamini Mahamod kwa kumleta mkewe nyumbani kwangu anisaidie kazi? Nilipooza nikawa mnyonge sana huku shangazi na mwanae sijui wanapanga nn juu yangu? Huku nako naambiwa haya?

Sikuongea chochote maana Roby alikuwa ananiangalia kama anataka kujua nimeongea na nani na nimeongea nn

Nikaanza kupata wasiwasi cjui ulitokea wapi ila nilipata hofu sana

Roby alikaa kwangu kama siku tatu iv akaniaga anaondoka nikamwambia sawa wasalimie sikumpa hata mia

Aliondoka zake nikabaki napambana na maisha yangu,, bi mkubwa sikumwambia chochote kuhusu ile cm ya mke mwenzetu nilikaa kimya

Maisha yakaendelea hatimae mimba ilifika miez tisa na ujifunguaji wangu ni Opp nikaandikiwa cku ya kufanyiwa opp bc nilikaa kujiandaa ila nipo nimechanganyikiwa nafikilia maneno ya bi mdogo bado yapo kichwani hata nijisaulishe vp ila hayatoki,,,, mume wangu ananipigia cm kunitia moyo maana presha ndio lilikuwa tatizo kwangu inapanda mara kwa mara nilitamani nipate mtu wa kumuhadisia yale maneno ila sikumpata nimwambie nani? Kaka yangu? Hapana sina uhakika nayo kama sio ya kweli huoni nitakuwa nimeweka doa kwa kaka yangu juu ya Mahamod?? Cjui nimwambie nani matatizo yangu sina Wazazi hata shangazi yangu simuamini yeye ndio yupo tayari kufurahia kifo changu

Nikapata wazo ngoja nimuhadisie Dada yangu wa kazi yeye nipo nae kwa mda mrefu ananifahamu vzr na anawafahamu vzr wakina Mahamod nilishaenda nae Dubai

Zilibaki kama wiki mbili ndio tarehe yangu ya Opp nilimuaga bi mkubwa kama nanyoosha miguu kidogo nafanya mazoezi, huwezi kufanya mazoezi kipindi hiki huoni unajitafutia matatizo Mamujee?? Bi mkubwa alikuwa ana wasiwasi na hali yangu, nikamwambia siendi mbali nanyoosha miguu tu pia sitakuwa peke yangu naenda na Dada, bc aliruhusu ila kishingo upande nikamwita Dada nikamwambia twende tukafanye mazoezi

Tukiwa njiani na Dada nikaanza kumsimulia yale maneno niliyoambiwa na bi mdogo, Dada akaniambia Dada Mamujee usikatae wala simuamini Mwanadamu yule unaemuamini ndio huyo ana kuhumiza? Aisee Dada wa kazi alinipa kauli ambayo ilinifanya niamini kuwa inawezekana bi mkubwa na mumewe hawana nia nzuri na mm na hivi Mahamod ni mganga na chumba chake cha Uganga haruhusiwi kuingia mtu yeyote zaidi ya Mahamod mwenyewe na bi mkubwa tu

Nikamuuliza Dada sasa mm nifanyaje? Akaniambia nenda kwenu kama ulivyoambiwa,, mhh kwetu wapi? Inamaana niende Musoma? Kwa nani yule Baba mdogo aliyeshirikiana na mkewe kunipiga hadi kunusurika kifo?? Nilijiuliza mwenyewe baada ya Dada yangu wa kazi kunambia niende kwetu,, nikawaza au niende tena kwa Kaka Arusha nikajifungue huko kama hawa mapacha?? Lkn kaka namwambia nn? Hata ivo kaka mwenyewe hata mke hana kila cku kunibadirishia wanawake tu mara waje wanipe makesi yao niwasuruhishe yaan ni shida tu

Bc nikasema liwalo na liwe nitakaa hapa hapa nione

Nilirudi nyumbani na Dada nikamkuta bi mkubwa ana wasiwasi kweli vp mbona mmechelewa nilijua umepata shida bado kidogo nikupigie cm kumbe cm hukubeba? Nikamwambia Dada ondoka shaka nipo sawa

Cku zilikimbia hatimae cku ya kujifungua ilifika nikapelekwa hospital nikalazwa ili kesho yake nifanyiwe opp nikiwa pale hospital nikaanza kuota mandoto ya ajabu ajabu mara nimejifungua mtoto kafa mara mtoto wangu kaibiwa

Usiku presha ikapanda sana nikapewa vidonge Dactar akaniambia Mamujee acha kupaniki relax, nikamwambia docta mbona najiona nipo sawa? Akaniambia presha ipo juu sana so jitahidi kutoa mawazo, bc asbh palikucha kabla sijaingia kwenye chumba cha Opp nimeingia kwenye vipimo mapigo ya mtoto hayaonekani nikawaisha kwenye operation presha bado ipo juu ikabidi nipewe vidonge kwanza operation isubiri presha ishuke, badala ya saa 4 asbh nimekuja kufanyiwa opp saa kumi jioni,,, nimekuja kupata fahamu nipo wodini kitu cha kwanza nikaomba mtoto nikaambiwa subiri upate nguvu nimekaa mtoto sipewi jmn mwisho nikaamua kuuliza mtoto wangu yuko wapi? Nimekuja kupewa jibu usiku kwamba mtoto wangu amefariki
OH My God njooni msome yote mpaka mwisho kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34

Yale maneno ya mke mwenzangu yalinifanya nitafakari anayosema ni kweli au ameamua kugombanisha sababu kapewa taraka? Nikazidi kuchanganyikiwa mbona kama asemacho ni kweli mbona adui zangu wanazidi kuongezeka Mamujee mm? Nilibaki na bumbuwazi sijui nifanye nn? Nimuamini mke mdogo wa Mahamod? Au nimuamini Mahamod kwa kumleta mkewe nyumbani kwangu anisaidie kazi? Nilipooza nikawa mnyonge sana huku shangazi na mwanae sijui wanapanga nn juu yangu? Huku nako naambiwa haya?

Sikuongea chochote maana Roby alikuwa ananiangalia kama anataka kujua nimeongea na nani na nimeongea nn

Nikaanza kupata wasiwasi cjui ulitokea wapi ila nilipata hofu sana

Roby alikaa kwangu kama...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-34

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwarabu-huko-mi-sijazoea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  6
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

597
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

501
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

475
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

323
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

233
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

86
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

77

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest