Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  35
Gonga94 · Stories

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35

Mtoto wangu alizaliwa amekufa alikuwa ni mtoto wa kike iliniuma sn nikakumbuka yale maneno ya bi mdogo ndio yalizidi kuniumiza nilikaa hospital kwa muda wa siku tatu then nikarudi nyumbani tatizo la presha halikuniacha likazidi kunisumbua but sio kama wakati wa ujauzito, nilikosa amani nukimfikiria mtoto wangu kwann amekufa??

Bi mkubwa hakukaa sana tangu nimejifungua alihakikisha nipo vzr bc akaanza maandalizi ya safari kurudi nyumbani kwake

Muda mwingi Mahamod alikuwa akinipigia cm kunitia moyo sikutaka kumwambia chochote kama mke wake mdogo ameniambia kuhusu wao na mtoto wangu,,, bi mkubwa alisafiri kurudi nyumbani kwake nikabaki na familia yangu zilipita kama cku tatu tangu bi mkubwa aondoke bi mdogo wa kati alinipigia cm kunipa pole na kuniambia si nilikwambia Mamujee? Mbona hukunisikiza? Nilikwambia nenda kajifungulie nyumbani kwenu? Ona sasa umepoteza mtoto wako? Nikamwambia sawa ila kama binadamu ndio amenifanyia haya bc Mungu atamlipa ila kama ni kazi ya Mungu bc acha nishukuru akaniambia nakutumia hela ya pole ndugu yangu ila ipo cku nitakuja Tz ngoja tumalize mgogoro na Mume wangu nikamwambia nashukuru sn

Maisha yangu yaliendelea nikapata nguvu nikapona kabisa nikarudi kwenye mishe zangu watoto wangu wawili walifika miaka miwili na nusu nikaamua kuwapeleka shule

Nikajikita san kwenye kufanya biashara zangu bi mkubwa bado alikuwa ananigizia mzigo kutoka huko kwao nikaona nifungue duka lingine la nguo

Nikaongea na Mahamod aniongezee pesa nataka kufungua duka la nguo jumla na rejareja bc hakusita sana akaniambia subiri

Bc pale nyumbani kwangu zile fremu ziliisha nikaamua niweke duka la vyakula (Duka laMangi) kwakuwa nilikuwa na wasichana wa kazi wawili bc mmoja nikamuweka dukani hapo nje mmoja akabaki ndani na watoto wanashinda shule,,,, wasichana wangu nilikuwa naishi nao kama ndugu niliwafanya kuwa ndugu zangu na walikuwa waaminifu sana hata ukisahau pesa bc utaikuta

Niliamua nizidi kupambana nijisimamie mwenyewe kuhusu kuzaa niache kwanza

Mume wangu alinitumia pesa ya kuongeza mtaji wangu hapo ndio nikafungua duka kariakoo na mzigo wangu wa kwanza wa hapa dukani kwangu nilichukulia China, nakumbuka hii safari nilisafiri kimya kimya bila ya kumuaga Mume wangu nilifika china nikakaa kama wiki mbili nikarudi Tz niliwaaga wasichana wangu wa kazi wa nyumbani kwangu tu

Lkn nikiwa China Mahamod alinitumia msg Whtsp ukirudi huko ulipo utaniambia nije Tanzania nione watoto nilishangaa nikasema amejuaje kama mm sipo Tz?

Nilirudi Tz nikapumzika kama wiki nikaanza biashara kariakoo sikumtafuta Mahamod nikawa niko bize nashukuru Mungu nilianza biashara kariakoo kipindi sikukuu zinakalibia na nilikuwa na mzigo wa kutosha nauza jumla na rejareja biashara ikapamba moto

Mahamod alinipigia cm anataka kuja Tanzania nikamwambia sawa bc niliendelea na maisha yangu

Mahamod alifika Tz, alifurahi na watoto wake nilijiwahi nikenda kuweka vijiti vya uzazi wa mpango sikutaka kuzaa na Mahamod tena kila nikikumbuka nilivyoteseka na mimba then mwanangu kufariki nilikuwa nachukia kuzaa na Mahamod

Mahamod aliniuliza kwann umeenda China bila ruhusa yake? Nikamwambia nilifata mzigo wa biashara bc alikasirika akafoka kwamba kuniacha nifanye biashara kusinipe kiburi anauwezo wa kuniachisha hio biashara nikakaa nyumbani,, nikamwambia nisamehe Mume wangu bc alikubali yakaisha tulienda nae hadi kariakoo akaona biashara

Itaendelea

Mamujee

Furaha naomba nijibu baadhi ya comment, maana story yangu nakaribia kumaliza,, kuna watu wanacoment eti sina marinda, ni kweli kabisa ndio sababu nimeleta kisa mjifunze wengine, maana kuna baadhi ya wasichana wanavunja utu wao kwa makusudi kuingiliwa kinyume na maumbile bila ya kupata chochote, then wapo wengine wanadhani hii story ni ya kutungwa, wapenzi hii ni true story tena ni yangu mm mwenyewe, maisha yangu niliyopitia hadi sasa nilipo, leo ukiniona natembelea gari nzuri naishi nyumba nzuri unaweza ukatamani maisha yangu ila nilipotoka huwezi kupita,, then kuna mtu amecoment kuwa kwann naandika kwamba akanipeleka hadi kwenye hard yake ya magari?? Naandika ivo ili watu wote wanielewe maana uwelewa tumetofautiana, ningeweza kuandika TU akanipeleka kwenye hard yake,,, haya maisha nimepitia mm Amamu,, ni kama past tu, ila kwa Sasa nina maisha tofauti kabisa, wengi hawajui nilipotoka ila wakiniona naendesha prado wananiona mchawi

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36

SEASON TWO,
Wapenzi wasomaji pole nimewachelewesha sana kupata msimu wa pili, nilikuwa naumwa kwa kipindi kirefu ila sasa alhamdulillah namshukuru Mungu naenderea vizuri.

Tuendelee
Mimi na Mahamood tuliendelea kuishi kwa kipindi kirefu huku akionekana hataki kwenda kwa wake zake wengine, ikafika kama miezi 3 nikamuomba aende kwa sababu sikutaka ugomvi mimi na wake wenza ambao walikuwa wamenitangulia, akasema hatokwenda ndio nikamuuliza kwanini
Mahamood aliniambia kwamba hataki kwenda kwa sababu kuna masharti mke mkubwa ameweza kuyavunua hivyo ingeweza kuleta matatizo kati yake na mizimu kwa sababu alikuwa amewakosea

Nikamuuliza kwanini unanificha mambo yako, si uniambie ni masharti gani hayo? Akasema mke mkubwa kaamua kushika mimba bila ridhaa yake wakati masharti kipindi anamuoa basi alikuwa anatakiwa asizae na mwanamke huyo.

Nilishangaa nikamuuliza kwa hiyo alivyokuwa ananiambia kwamba hana uzazi ilikuwa ni uongo? Akasema ndiyo ni masharti

Kwa hiyo mbona mimi ulinizalisha watoto akasema haikuwa kwenye mpango wake kuzaa lakini nilipokataa asiniingilie kinyume basi ilitokea kwa bahati mbaya na hata alivyojaribu kuongea na mizimu aliambiwa mimi ni mwanamke mwenye nyota kali hivyo asiniache kabisa

Kwa hiyo mkeo huyo utaacha kumfuata? Akaniambia ili aende lazima huyo mwanamke atoe kwanza hiyo mimba maana akienda kule na mwanamke yule ana mimba basi atapata matatizo makubwa sana.

Nilishangaa mno na niliogopa nikasema ile ni familia ya aina gani mbona ina mambo magumu kiasi hicho? Ghafla tukiwa tunaongea, mke mdogo wa kati ya bi Fatima ambaye alikuwa anaishi Uingereza, alimpigia simu Mahamood.

Mahamood akasema huyu vipi ananisumbua, anataka kuniambia nini? Mimi nilikaa kimya sikuongea lakini Mahamood alipokea simu na kuongea naye.
Walianza kuongea kiswahili kilichochanganyika na kiarabu na kiingereza humo humo, mwanamke akasema "Mahamood tafadhali nahitaji taraka yangu sasa, nimechoka kupoteza muda duniani
Mahamood akamuuliza kwanini mnanitesa hivi nyie wake zangu? Yaani hamniachi nipumue muda wote visa tu? Mbona huyu mdogo yeye hana mambo mengi

Huyo si ni mwafrika ni maskini unadhani ataweza kukuacha wakati una hela? Mimi nnahitaji talaka yangu nataka nikaanze maisha yangu nimechoka maisha ya kuishi miezi mitano bila mum
Maneno ya kwamba mimi mwafrika nina maisha magumu siwezi muacha yaliniuma, nikajikuta nalengwa na machozi.

Mahamood alinitazama machoni, alipogundua natokwa na machozi akakata simu na kuniwekea mkono begani akaniambia "mke wangu nakupenda sana, na ndio maana niliondoka Dubai badala niende uingereza nikaja kwako ni kwa sababu wewe ni mke bora" niliendelea kulia

Najua maneno ya Fatima yamekuudhi lakini naomba usilie piga moyo konde kumbuka tulipotoka
"Ameniita mimi maskini? Nilisema kwa uchungu huku kilio kikiongezeka"

Kwa hasira, Mahamood aliinuka akaenda chumbani na kutoka akiwa na kalamu na karatasi, akaanza kuandika talaka ya yule mwanamke, halafu akaipiga picha.

Nikamuuliza unafanya nini akasema anamtumia kweli talaka maana si kaitaka nikajaribu kumkataza lakini alimtumia kupitia whatsapp huku ikisindikizwa na voice note kwamba original copy atampelekea wiki inayofuata akiwa anaelekea uingereza kuzifuatilia biashara zake

Naam usijisubirishe kusoma muendelezo kama ununuavyo bando kila siku, leo nunua simulizi hii kwa sh 1000 uisome mpaka mwisho
Njoo WhatsApp 0743433005

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35

Mtoto wangu alizaliwa amekufa alikuwa ni mtoto wa kike iliniuma sn nikakumbuka yale maneno ya bi mdogo ndio yalizidi kuniumiza nilikaa hospital kwa muda wa siku tatu then nikarudi nyumbani tatizo la presha halikuniacha likazidi kunisumbua but sio kama wakati wa ujauzito, nilikosa amani nukimfikiria mtoto wangu kwann amekufa??

Bi mkubwa hakukaa sana tangu nimejifungua alihakikisha nipo vzr bc akaanza maandalizi ya safari kurudi nyumbani kwake

Muda mwingi Mahamod alikuwa akinipigia cm kunitia moyo sikutaka kumwambia chochote kama mke wake mdogo ameniambia kuhusu wao na mtoto wangu,,, bi mkubwa alisafiri kurudi nyumbani kwake nikabaki na familia yangu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-35

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwarabu-huko-mi-sijazoea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  6
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

870
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

671
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

560
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

354
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

169
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

168
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

131
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

100
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

33
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.53K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest