Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  39
Gonga94 ยท Stories

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
"Mahamood" nilisema kwa mshangao huku nikijaribu kumsogelea anazidi kujibaranguza kule na huku, ghafla kelele zikaanza analia kwa nguvu
"Niache.....Ya Allaaaaaaah aaaaii" alikuwa anasema hivyo Mahamood nikaanza kuogopa na kuita kwa nguvu
"Happy" hilo ni jina la dada wa kazi ambaye alikuwa anaishi pale, kweli haikuchukua muda akatoka chumbani kwake akamshangaa "eh eh"

Ubaya mmoja alikuwa kama vile ana mapepo mwanaume yule, Happy akaniuliza "Amekuwaje tena?"

Nikasema huku nikilia "mi sijui, sijui ana mapepo?" Mara happy akaanza kumuombea shindwa, shindwa.....kwa muda mrefu mpaka pale Mahamood alipotulia na kuwa sawa kabisa
Nikamuuliza "mume wangu vipi umepatwa na nini?" Akatikisa kichwa na kusema "hapana ni kawaida"

Nikamuuliza kawaida vipi mbona sijawahi kukuona na hii hali? Niambie ukweli una tatizo gani? Akaniambia tukaongelee chumbani tukiwa peke yetu.

Mi nilianza kuogopa hata chumbani naendaje naye lakini sikuwa na kipigamizi ilinibidi niende naye chumbani tukakaa na kuongea akaniambia kwamba hiyo ni adhabu anayoipata baada ya kumpa mimba yule mwanamke ambaye alikuwa haruhusiwi kuzaa naye
Nikamuuliza mbona mimi nilipopataga mimba ya mapacha na mtoto wa pili haikuwa hivyo? Akasema eti nyota yangu mimi inang'aa ndiyo maana
Niliwaza sana, kwa hiyo anatumia nyota yangu ili mambo yaende? Lakini sikuweza kumuambia kabisa, nilimuuliza tu sasa utafanyeje? Akasema anajua jambo la kufanya
Tuliendelea kulala japo sikusinzia tena mpaka asubuhi, maisha yakaendelea Mahamood akaogopa kurudi tena Dubai kwa kuhisi mizimu itaenda kumtesa.
Biashara za Mahamood zilianza kuwa ngumu ghafla, kule kwenye biashara ya magari wateja wakawa hawaji tena, afya yake naye ikazidi kudorora, mara kwa mara ile hali ya kuzimia ikawa inamtokea na kuwa kama vile ana mapepo.

Siku moja akajifungia chumbani mwenyewe akawa anaomba dua ili mambo yake yakawa sawa, mimi nikiwa sebleni na watoto pamoja na Happy tulisikia kama kishindo ndani, halafu ghafla akaanza kupiga kelele kwa nguvu chumbani

Nikaenda haraka nikajaribu kufungua mlango umebanwa kwa ndani, nagonga lakini yeye anazidi kulalamika kama vile anapata maumivu makali sana
Fungua mahamood, fungua tafadhali, lakini wapi hakunifungulia ikabidi happy aje anisaidie tukavunja mlango na kuingia ndani, nilimkuta amelala hoi anatoka damu puani na mdomoni halafu amepoteza fahamu.

Nikawaza mambo mengi, mimi naye nikajikuta nalia sana, tukajitahidi kumbeba tukashindwa hivyo tukatoka nje na kuomba msaada na kumtoa nikampakiza gari na kumuwahisha hospitalini haraka sana.

Tulipofika hospitali alifanyiwa matibabu, saa 10 usiku alishtuka mimi bado sijalala namtazama tu aliponitazama nikashtuka na kumshika mashavuni "umeamka?"
Hakunijibu nikasema Mahamood unajisikiaje? Una tatizo gani niambie ukweli? Akasema mke wangu wanataka kunichukua, wanataka kunichukua alisema huku akitokwa na machozi
Kina nani hao? Nilimuuliza akaendelea tu kulia huku akisema wanataka kuniua mimi, kiukweli nilichanganyikiwa

Maliza kwa sh 1000
Wahi WhatsApp 0743433005
Tangazo - usiku mmoja tu alidata
usiku mmoja tu alidata
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
"Mahamood" nilisema kwa mshangao huku nikijaribu kumsogelea anazidi kujibaranguza kule na huku, ghafla kelele zikaanza analia kwa nguvu
"Niache.....Ya Allaaaaaaah aaaaii" alikuwa anasema hivyo Mahamood nikaanza kuogopa na kuita kwa nguvu
"Happy" hilo ni jina la dada wa kazi ambaye alikuwa anaishi pale, kweli haikuchukua muda akatoka chumbani kwake akamshangaa "eh eh"

Ubaya mmoja alikuwa kama vile ana mapepo mwanaume yule, Happy akaniuliza "Amekuwaje tena?"

Nikasema huku nikilia "mi sijui, sijui ana mapepo?" Mara happy akaanza kumuombea shindwa, shindwa.....kwa muda mrefu mpaka pale Mahamood alipotulia na kuwa sawa kabisa
Nikamuuliza "mume wangu vipi umepatwa na nini?" Akatikisa kichwa na...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-39

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwarabu-huko-mi-sijazoea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  6
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.14K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.27K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.48K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.57K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.31K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.12K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.11K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.04K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.96K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest