Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  7-- 8
Gonga94 · Stories

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7

Nilimkuta yule Dada kashika cm yangu yuko na karatasi na pen anaandika namba ya Mahamood,, nikamuuliza vp mbona unachukua namba kwenye cm yangu? Akabaki kimya! Nikamwambia Dada nakuheshimu sana harafu ww ni mkubwa kwangu si vzr nikakuvunjia heshima,, akaniambia nilikuwa nataka kujua huyo Bwana wako anaekuhudumia yupo nchi gn? Ndio maana nikawa nachukua namba ili nijue ni za nchi ipi, nikamwambia aliyekwambia mm nahudumiwa na Bwana nani? Nikamwambia Sasa huyo ni Babu yangu yupo Nje,, akabaki katoa macho nikachukua ile karatasi,, nikamwambia naomba aende nataka kulala mapema kesho naenda kkoo kufata mzigo wa wateja,, bc alinyanyuka akaniambia sawa ucku mwema ila hajafurahia kabisa,,, akiwa anatoka hata mlangoni hajafika Mahamood akapiga cm nikapokea, bc Yule Dada akarudi akakaa kitandani akawa anasikiliza Mahamood akaniuliza vp umelala? Nikamwambia hapana ndio najiandaa, akaniambia ulifanikiwa kupata nyumba kubwa? Nikamwambia sio sana, akaniambia washa data nikupigie WhatsApp,, mhhhh nikaogopa asije akaona chumba kimoja,, nikamwambia sina MB na maduka yamefungwa,, akaniambia sawa ila sitaki uishi kwa mtu, wala sitaki makundi makundi, nimeamua kukuhudumia kwa kila kitu na nitabadilisha maisha yako, utaenda Nchi yeyote utakayo taka ila tu utulie,, nikamwambia sawa akakata cm,, yule Dada akawa ananiangalia kama mtu anayetamani,, nikamwambia naomba nilale bc tutaonana kesho,, akaniambia Jee unalinga sana eeh? Unajiona Queen?? Iv unauzuri gn wa kupata Bwana wa namna hio?? Nikabaki namtizama tu,, akaniambia bc nitakuonyesha akatoka akapigiza mlango

Sikumfatilia sana nikafunga mlango wangu nikalala,, asbh nikaamkia kkoo nilikuwa na oda za watu bc nikawa bize cku hio,, ilifika jion sijarudi kwangu nikapitia salon moja iv ya mteja wangu huwa nampelekea biashara zangu, yule Dada wa salon akawa ananishawishi nitengeneze nywele bc nikakubari nikaanza kufumua nilizosuka ili nioshe, Mara yule Dada wa nyumbani akanipigia cm,, Jee uko wapi? Nikamwambia nipo mahari nimekaa, akaniambia Jee ww huliziki? Yaan una Bwana anakuhudumia kwa kila kitu arafu bado unamsaliti?? Nikamwambia we Dada embu nikome sitaki mazoea ya kijinga na msaliti nani? Unajua nipo wp? Nikakata cm!! Yule Dada wa salon akaniuliza vp unagombana na nani tena? Nikamwambia jirani yangu huyu anapenda kunifatilia sana,, akaniambia ana wivu huyo achana nae,,, bc niliosha nywele nikamaliza nikarudi kwangu, nafika tu nikamkuta yupo mlangoni kwake sijamsalimia wala nn, nikaingia ndani nikavua nguo nikaenda kuoga nikafunga mlango wangu na funguo nikaingia nazo chooni,, natoka bafuni nikamkuta yupo mlangoni kwangu eti Jee mbona umefunga mlango?? Nikamwambia nimechoka sana sijisikii kuongea nataka kulala,, akaniambia unalinga eeh! ,, Kuna mpangaji mwengine pale yeye ni mke wa mtu, akamwambia yule Dada mbona unamuonea Jee?? C amekwambia amechoka ataki kuongea na mtu? Embu muache mwenzio akapumzike, alikuwa ameshika kitasa changu akakiachia nikaingia ndani nikafunga mlango wangu,,, nilikuwa nimebeba chips zangu nikawa nakula huku nachezea cm,, akanitumia msg unajifanya Queen kumbe sura mbaya!! Sijamjibu wala nn,, ila nikawa namtafakari huyu Dada nimemkosea nn? Au anamtaka Mahamood?? Angejua mwenzie maisha yangu ninayopitia bora angeniacha nipumzike tu,, mm Mahamood wala simtaki nimepokea pesa zake sababu ya umasikini wangu tu namchukia Mahamood na mjomba sana kwa kuniharibia usichana wangu ningekuwa na uwezo ningewashitaki wote,, bc nililia hadi usingizi ulinipitia nikalala

Asbh palivyokucha nikaamka nikamshukuru Mungu nikaenda zangu mjini, nilienda kufata mashuka kwenye mnada Tandika ya mitumba, nikachagua mashuka mazuri nikayakunja vzr nikaenda kuyazungusha kwa wateja wangu,, yaan Mungu ni mwema yakaisha yote na nikapata oda nyingine,, nilivyoona biashara ya mashuka inaenda vzr na vipodozi navyo vinaenda vzr nikapata wazo la kwenda kufata mashuka Kampala

Nikasema nisikurupuke kwanza ngoja nifanye utafiti

Bc maisha yangu yakaendelea hapo vita vinazidi mm na yule Dada aitwaye Edina

Itaendelea

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 8

Niliendelea kuwa bize na biashara zangu nikitoka nyumbani asbh bc kurudi ucku hata muda wa kupika sikuwa nao,, nilikuwa nasema ngoja nijichoshe kutafuta hela kwa bidii ili nisinyanyasike tena,, ilipita kama wiki iv niko bize balaa hata Edina nilikuwa sionani nae nikirudi ucku nazama chumbani kwangu,, kuna cku moja nimerudi ucku kama saa tatu iv nikaingia ndani kwangu nikajifungia, mara mlango ukagongwa nikafungua alikuwa Edina, nikamuuliza vp mbona ucku? Mm nimechoka nataka kulala, akaniambia nimekuja nataka uniazime hela nina shida Mama yangu amelazwa kisha nadaiwa kodi,, nikamwambia mm sina hela, hela zangu zote zipo kwa watu, akaniambia bc mpigie Bwana ako mwambie akutumie, nikamwambia sina Bwana na kama unaona rahisi ivo bc na ww mpigie Bwana ako akupe,, hee c akanisukuma nikadondoka chini akaniambia una linga sana? Unazarau sana? Unanijua mm ww? Nikamwambia naomba utoke ndani kwangu Edina,, akaniambia ctoki, akachukua cm yangu akawa anataka kuifungua ila akakuta nimeweka password, akaniambia toa password nichukue namba ya huyo Bwana ako, arafu tuone kama atakutaka tena mshamba ww,, nikamwambia Edina toka ndani kwangu please!! Aisee nikasema kuonewa sasa kumezidi huyu Dada ananitafutia kesi,, hasira zilinijaa za kikurya nilimshika Edina nikamkaba kwa nguvu hadi aliishiwa nguvu,, mara mlango wangu ukafunguliwa alikuwa yule Dada mwingine mpangaji mwenzetu yupo na mume wake wakanishika wakanitoa,, Yule Dada akaanza kukwambia Edina ww mkorofi umemfata mwenzio ndani kwake kwa nn? Nimekusikia muda mrefu unamuanza Jee?? Acha wivu Edina,, kwan mtoto wa watu kakukosea nn?? Edina kimyaa,, nikaanza kulia kwa nguvu na hasira kali nikakumbuka mapito yangu yote, nikajiona na mikosi tuu,, Mara cm yangu ikaita hapo watu wote wapo ndani kwangu ila yule mume wa yule Dada alitoka, nikapokea CM huku nalia alikuwa Mahamood,, vp mbona unalia una shida gani? Nikamwambia kuna jirani yangu hapa ananichukia bila sababu eti anataka namba yako ya cm ili akujue ww nani unaye nisaidia mm? Amenisukuma hadi chini , Mahamood akaniambia huyo mtu yupo hapo? Nikamwambia ndio, akasema embu weka sauti kubwa kwanza, nikaweka hapo Edina anaona aibu yule Dada mwingine anamuangalia,, Mahamood akasema anataka namba yangu ya nn? Kwanza ww Jee c nimekwambia sitaki uishi uswahilini?? Ctaki uzoeane na watu wa ajabu ajabu?? Kwan ile hela haijatosha kuishi masaki?? Nikamwambia naishi bunju napo ni pazuri,, akasema pangekuwa pazuri huyo kahaba asinge weza kuishi nakwambia iv Tafuta dalali akutafutie nyumba Masaki natuma kesho pesa,, harafu wee kahaba acha kumsumbua mke wangu Mm sichukui mwanamke ilimradi nina vigezo vyangu,, ukijiona mzuri bc jipike ujitafune sawa daah Muarabu ana maneno hadi nilishangaa,, bc akaniambia akikusumbua zaidi mripoti polisi, akakata cm

Edina lilimshuka htr, yule Dada akamwambia Edina unatia aibu doh? Unalazimisha bahati ya mwenzio?? Hadi unafikia hatua kutaka kumpiga kisa wivu?? Edina akanyanyuka akaenda zake,, Yule Dada akaniambia lala kesho tutaongea,, bc nikafunga mlango wangu hata kuoga sikuoga nikalala

Asbh palivyokucha Mahamood alinipigia kujua kiliendelea nn nikamwambia safi tu, akaniambia nikatafute dalali nikamwambia leo sipo sawa nitaenda kesho kutwa akasema sawa,, nikaamka zangu nikaoga nikasepa zangu,, nilikuwa naenda posta kwenye maofisi nilikuwa na wateja zangu nawapelekea mashuka,, bc nina mteja wangu mmoja yeye yupo serikalini ni mfanyakazi, alinizoea sana nikamwambia wazo langu la kufanya biashara ya mashuka na mapazia kutoa Kampala kuleta Dar,, akaniuliza ni biashara nzuri yeye ana mtu anaifahamu biashara hio vzr kwahyo ataniunganisha nae,, bc tulikubaliana vzr ,, nikarudi home kwangu nyumba ipo kimya nikazama ndani kwangu huku nimebeba chips zangu,, nimekaa zangu nakula Mara mlango wangu ukagongwa nikafungua ni Edina tena daah huyu Dada jmn!!!

Itaendelea
Soma muendelezo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7

Nilimkuta yule Dada kashika cm yangu yuko na karatasi na pen anaandika namba ya Mahamood,, nikamuuliza vp mbona unachukua namba kwenye cm yangu? Akabaki kimya! Nikamwambia Dada nakuheshimu sana harafu ww ni mkubwa kwangu si vzr nikakuvunjia heshima,, akaniambia nilikuwa nataka kujua huyo Bwana wako anaekuhudumia yupo nchi gn? Ndio maana nikawa nachukua namba ili nijue ni za nchi ipi, nikamwambia aliyekwambia mm nahudumiwa na Bwana nani? Nikamwambia Sasa huyo ni Babu yangu yupo Nje,, akabaki katoa macho nikachukua ile karatasi,, nikamwambia naomba aende nataka kulala mapema kesho naenda kkoo kufata mzigo wa wateja,, bc...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-7-8

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwarabu-huko-mi-sijazoea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  6
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

872
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

671
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

575
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

376
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

188
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

170
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

139
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

100
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

38
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.53K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest