Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  9 -- 10
Gonga94 · Stories

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9

Nilivyofungua mlango nikamkuta Edina, nikamuuliza vp? Akaniambia jee naomba tuongee, nikamwambia sawa ila sio ndani kwangu tukae hapo nje, akasema sawa, tukakaa akaanza kuniambia nisamehe sana kwa yote niliokufanyia, cjui nimekutwa na nn nazani nimechanganyikiwa tu maisha magumu,, nikamwambia ucjal yameisha,, akaendelea kuniambia Jee please naomba na mm nitafute Danga kama lako maana mm pia biashara yangu ni kuuza mwili wangu ila kwa sasa kila kitu hakiendi? Akaendelea, nilikuwa na Bwana Mzungu alikuwa ananisaidia sana ila nilikuwa nampa nyuma Sasa kaondoka kwao na kurudi cjui atarudi lini,, mhhh nikasema tobaa, mbona Dunia iko iv jmn?? Jee mie nitaweza ya Mahamood kweli?? Nikamwambia Edina mie sina Bwana, yule ananitaka kweli ila mm hapana,, eti bc Jee niunganishe mm nikasema bc ngoja niongee nae kwanza muhusika,, bc alifurahi Edina akaanza kuniambia ohh mie nimefanya sana umalaya ila sijapata Bwana wa kunionga nikaripia, nimeenda Zanzibar sana kutafuta wazungu na waarabu ila naambulia laki, laki mbili ikizidi tano, ila ww una bahati Jee bc nikamwambia mie naingia kulala kesho niingie mzigoni

Nilimtafakari sana Edina, nikasema iv akimpata Mahamood huyu c nitamwagwa mazima mie? Vp kuhusu maisha yangu yataenda vzr? Nikamkumbuka Shangazi yangu alivyonipiga kama Mbwa mumewe alivonibaka, nikakumbuka kipigo cha Baba mdogo hadi kuzimia, nikasema nikimpoteza Mahamood kwa sasa nimekwisha,, hapo benki nina kama milion 4 iv, nikasema hapa lzm niwe mjanja, mm ni yatima sina yeyote kila mtu hanitaki nisipo jisimamia mwenyewe haya maisha bc nitaendelea kuwa mtumwa,

Sio kwamba nilikuwa ctaki kuipanga nyumba kama Mahamood alivyokuwa anataka ila nilikuwa naogopa akija Tanzania c atafikia hapo? C atakuwa ananiingilia nyuma kila cku

Zilipita km cku tatu nawasiliana na Mahamood vzr ila swala la nyumba akawa halizungumzii coz nilimwambia nitamjulisha nikiwa vzr,, bc Edina hakuacha kuniulizia km ombi lake nimemfikishia kwa muhusika namwambia bado

Cku moja nimerudi zangu mihangaikoni nilikuwa nina hamu ya ugali, bc nikawa nasonga ili nile nilale, Mahamood akanipigia cm, akaniambia Jee nakupenda sana, unajua kwa nn nimekupenda? Nikamwambia hapana akasema ww una Nyota kali mnoo,, nilivyokuona mara ya kwanza tu nikaona unawaka kama jua,, nilikupita na gari lkn nikageuza kukufata,, Jee ww hujui tu ww ni Tajiri ,, nikabaki nashangaa, utajiri upi anao uzungumzia Mahamood?? Aliongea mengi sana, akaniambia yeye ana wake wawili mke mkubwa yupo Dubai, na mdogo yupo Uengereza,, na hapa Tanzania ana hard kubwa sana anauza magari hapa Dar na Zanzibar, akaniambia kama nitakuwa tyr nitakuwa mke wake wa tatu na nitaishi hapa Tanzania,, mhh Jee mie jmn nilipenda maongezi yake ila kifiro tu mhhh bc tuliagana

Kumbe Edina alikuwa ananisikiliza yote yale, nashangaa asbh ananiambia namdanganya tuu nimeshindwa kumuunganisha na huyo Bwana, nikamwambia hapana nilieongea nae sio huyo

Bc ilipita kama cku tatu, Edina aliniita akanipa chakula, akaniambia Jee leo usipike kula hiki chakula, nilishakataaga maana haijawahi kunipa chakula hata cku moja tangu nimehamia pale,, ila nikakipokea na kumshukuru nikaingia ndani kwangu

Itaendelea

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 10

Vipenzi mnisamehe tu kwa kuichelewesha hii story, ila niliwaambia kabla jmn nipo bize mnoo, niliamua kuileta huku coz nilijua mtaweza kuvumilia hamna midomo michafu kama magrupu mengine maana ningekuwa grupu lingine bc ningejuta story yangu mwenyewe lkn ingenitoa kisirani,, mnivumilie tu!!

Nikapokea chakula nilichopewa na Edina nikaingia ndani,, nikakiweka kile chakula chini wala sikukila wala nn na wala sikufikilia kama kuna ubaya wowote ila nilikuwa nimeshiba zangu chips, napenda sana chips mwenzenu na zimenitoa kitambi ila siachi , asbh naamka najiandaa kutoka kama kawaida , Edina anagonga,, vp Jee kwema? Nikamwambia kwema tu cjui ww,, ulikula kile chakula?? Naomba sahani nioshe, nikamwambia wala sijala nilichoka sana jana mwenzio,, bc Edina akaniambia kwa hasira naomba sahani yangu na hiko chakula mhhhh nikajiuliza kwan kulikoni? Chakula hiki hiki au kuna mengine?? Nikachukua chakula chake nikampa,, akasonya bonge la sonyo, mhhhh nikasema hapa ipo namna sio bure,,, bc kuanzia siku hio ndio bifu langu na Edina likaanza rasmi,, nikitoka vijembe, nikirudi vijembe, akaanza kunichafua mtaaani kuwa mm mchawi naroga wanaume ili wanihudumie,, nilivyoona hali ya pale inazidi kuwa mbaya na mm ugomvi siuwezi nikaamua nilikubari wazo la Mahamood la kupanga nyumba nzima,, nikaongea na Mahamood kuwa anitumie hio hela nipange nyumba, ila ni kule kule bunju siwezi kukaa sehemu nyingine tofauti na kule bc alikubali bila kipingamizi

Nilitafuta dalali nikamwambia aina ya nyumba ninayo itaka akanitafutia nikaiona ni nzuri tu ipo kwenye geti ipo peke yake,, nikamwambia Mahamood akasema nipige picha nimtumie, nikafanya hivo bc akanitumia hela ya kulipia ya mwaka mzima,, nilimshukuru Mahamood ila nikifikiria kifiro naishiwa nguvu,,, bc nikajiandaa kuhama pale, nikaongea na yule Dada mwingine akaniambia nitafute mtu anirudishie garama zangu, nikamwambia sawa ila mm naondoka akipata mtu wa kuhamia pale bc atanitumia hio hela,, nilisubiri Edina katoka nikaleta gari nikabeba vitu vyangu nikasepa

Maisha nikaanza upya kwenye nyumba mpya huku naishi mwenyewe nyumba nzima,, nilimkumbuka Kaka yangu aliyekuwepo huko Arusha nikatamani nimtafute aje tuishi wote ili tupambane na maisha yetu ila sikuwa na mawasiliano nao na nikitaka namba zao lazima niende kwa shangazi ndio ana namba zao, na mm sikutaka kabisa kukutana na shangazi wala mjomba

Bc zilipita km cku tatu iv Edina akanipigia cm, wala sikupokea ilivyokata nikamblok moja kwa moja, cku zilienda maisha yakaendelea huku nawasiliana na Mahamood vzr ,, nakumbuka hio cku nimeamka zangu kwangu nikafanya usafi ndani na nje maana nyumba kubwa Sasa nikawa nimechoka, nikasema leo sitoki ngoja niende sokoni ninunue ndizi zangu nipike nilimisi sana kupika,, bc nikajiandaa vzr ile nataka kutoka tu cm yangu ikaita kuangalia namba ngeni mhhh, nikajiuliza nani tena? Halow Mamujee mpnz mzima? Mhh nikashangaa huyo anae niita mm mpenzi nani?? Ila sauti yke nikiisikiliza vzr kama Mahamood? Sasa mbona hii namba kama ya Tanzania?? Bc nikamjibu nzuri,, akasema mm Mahamood nipo Tanzania njoo mliman cty sasa iv
Soma muendelezo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9

Nilivyofungua mlango nikamkuta Edina, nikamuuliza vp? Akaniambia jee naomba tuongee, nikamwambia sawa ila sio ndani kwangu tukae hapo nje, akasema sawa, tukakaa akaanza kuniambia nisamehe sana kwa yote niliokufanyia, cjui nimekutwa na nn nazani nimechanganyikiwa tu maisha magumu,, nikamwambia ucjal yameisha,, akaendelea kuniambia Jee please naomba na mm nitafute Danga kama lako maana mm pia biashara yangu ni kuuza mwili wangu ila kwa sasa kila kitu hakiendi? Akaendelea, nilikuwa na Bwana Mzungu alikuwa ananisaidia sana ila nilikuwa nampa nyuma Sasa kaondoka kwao na kurudi cjui atarudi lini,, mhhh nikasema tobaa, mbona Dunia iko iv...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-9-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwarabu-huko-mi-sijazoea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  6
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

585
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

477
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

470
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

320
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

215
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

86
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

70

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest