Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  9 -- 10
Gonga94 · Stories

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9

Nilivyofungua mlango nikamkuta Edina, nikamuuliza vp? Akaniambia jee naomba tuongee, nikamwambia sawa ila sio ndani kwangu tukae hapo nje, akasema sawa, tukakaa akaanza kuniambia nisamehe sana kwa yote niliokufanyia, cjui nimekutwa na nn nazani nimechanganyikiwa tu maisha magumu,, nikamwambia ucjal yameisha,, akaendelea kuniambia Jee please naomba na mm nitafute Danga kama lako maana mm pia biashara yangu ni kuuza mwili wangu ila kwa sasa kila kitu hakiendi? Akaendelea, nilikuwa na Bwana Mzungu alikuwa ananisaidia sana ila nilikuwa nampa nyuma Sasa kaondoka kwao na kurudi cjui atarudi lini,, mhhh nikasema tobaa, mbona Dunia iko iv jmn?? Jee mie nitaweza ya Mahamood kweli?? Nikamwambia Edina mie sina Bwana, yule ananitaka kweli ila mm hapana,, eti bc Jee niunganishe mm nikasema bc ngoja niongee nae kwanza muhusika,, bc alifurahi Edina akaanza kuniambia ohh mie nimefanya sana umalaya ila sijapata Bwana wa kunionga nikaripia, nimeenda Zanzibar sana kutafuta wazungu na waarabu ila naambulia laki, laki mbili ikizidi tano, ila ww una bahati Jee bc nikamwambia mie naingia kulala kesho niingie mzigoni

Nilimtafakari sana Edina, nikasema iv akimpata Mahamood huyu c nitamwagwa mazima mie? Vp kuhusu maisha yangu yataenda vzr? Nikamkumbuka Shangazi yangu alivyonipiga kama Mbwa mumewe alivonibaka, nikakumbuka kipigo cha Baba mdogo hadi kuzimia, nikasema nikimpoteza Mahamood kwa sasa nimekwisha,, hapo benki nina kama milion 4 iv, nikasema hapa lzm niwe mjanja, mm ni yatima sina yeyote kila mtu hanitaki nisipo jisimamia mwenyewe haya maisha bc nitaendelea kuwa mtumwa,

Sio kwamba nilikuwa ctaki kuipanga nyumba kama Mahamood alivyokuwa anataka ila nilikuwa naogopa akija Tanzania c atafikia hapo? C atakuwa ananiingilia nyuma kila cku

Zilipita km cku tatu nawasiliana na Mahamood vzr ila swala la nyumba akawa halizungumzii coz nilimwambia nitamjulisha nikiwa vzr,, bc Edina hakuacha kuniulizia km ombi lake nimemfikishia kwa muhusika namwambia bado

Cku moja nimerudi zangu mihangaikoni nilikuwa nina hamu ya ugali, bc nikawa nasonga ili nile nilale, Mahamood akanipigia cm, akaniambia Jee nakupenda sana, unajua kwa nn nimekupenda? Nikamwambia hapana akasema ww una Nyota kali mnoo,, nilivyokuona mara ya kwanza tu nikaona unawaka kama jua,, nilikupita na gari lkn nikageuza kukufata,, Jee ww hujui tu ww ni Tajiri ,, nikabaki nashangaa, utajiri upi anao uzungumzia Mahamood?? Aliongea mengi sana, akaniambia yeye ana wake wawili mke mkubwa yupo Dubai, na mdogo yupo Uengereza,, na hapa Tanzania ana hard kubwa sana anauza magari hapa Dar na Zanzibar, akaniambia kama nitakuwa tyr nitakuwa mke wake wa tatu na nitaishi hapa Tanzania,, mhh Jee mie jmn nilipenda maongezi yake ila kifiro tu mhhh bc tuliagana

Kumbe Edina alikuwa ananisikiliza yote yale, nashangaa asbh ananiambia namdanganya tuu nimeshindwa kumuunganisha na huyo Bwana, nikamwambia hapana nilieongea nae sio huyo

Bc ilipita kama cku tatu, Edina aliniita akanipa chakula, akaniambia Jee leo usipike kula hiki chakula, nilishakataaga maana haijawahi kunipa chakula hata cku moja tangu nimehamia pale,, ila nikakipokea na kumshukuru nikaingia ndani kwangu

Itaendelea

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 10

Vipenzi mnisamehe tu kwa kuichelewesha hii story, ila niliwaambia kabla jmn nipo bize mnoo, niliamua kuileta huku coz nilijua mtaweza kuvumilia hamna midomo michafu kama magrupu mengine maana ningekuwa grupu lingine bc ningejuta story yangu mwenyewe lkn ingenitoa kisirani,, mnivumilie tu!!

Nikapokea chakula nilichopewa na Edina nikaingia ndani,, nikakiweka kile chakula chini wala sikukila wala nn na wala sikufikilia kama kuna ubaya wowote ila nilikuwa nimeshiba zangu chips, napenda sana chips mwenzenu na zimenitoa kitambi ila siachi , asbh naamka najiandaa kutoka kama kawaida , Edina anagonga,, vp Jee kwema? Nikamwambia kwema tu cjui ww,, ulikula kile chakula?? Naomba sahani nioshe, nikamwambia wala sijala nilichoka sana jana mwenzio,, bc Edina akaniambia kwa hasira naomba sahani yangu na hiko chakula mhhhh nikajiuliza kwan kulikoni? Chakula hiki hiki au kuna mengine?? Nikachukua chakula chake nikampa,, akasonya bonge la sonyo, mhhhh nikasema hapa ipo namna sio bure,,, bc kuanzia siku hio ndio bifu langu na Edina likaanza rasmi,, nikitoka vijembe, nikirudi vijembe, akaanza kunichafua mtaaani kuwa mm mchawi naroga wanaume ili wanihudumie,, nilivyoona hali ya pale inazidi kuwa mbaya na mm ugomvi siuwezi nikaamua nilikubari wazo la Mahamood la kupanga nyumba nzima,, nikaongea na Mahamood kuwa anitumie hio hela nipange nyumba, ila ni kule kule bunju siwezi kukaa sehemu nyingine tofauti na kule bc alikubali bila kipingamizi

Nilitafuta dalali nikamwambia aina ya nyumba ninayo itaka akanitafutia nikaiona ni nzuri tu ipo kwenye geti ipo peke yake,, nikamwambia Mahamood akasema nipige picha nimtumie, nikafanya hivo bc akanitumia hela ya kulipia ya mwaka mzima,, nilimshukuru Mahamood ila nikifikiria kifiro naishiwa nguvu,,, bc nikajiandaa kuhama pale, nikaongea na yule Dada mwingine akaniambia nitafute mtu anirudishie garama zangu, nikamwambia sawa ila mm naondoka akipata mtu wa kuhamia pale bc atanitumia hio hela,, nilisubiri Edina katoka nikaleta gari nikabeba vitu vyangu nikasepa

Maisha nikaanza upya kwenye nyumba mpya huku naishi mwenyewe nyumba nzima,, nilimkumbuka Kaka yangu aliyekuwepo huko Arusha nikatamani nimtafute aje tuishi wote ili tupambane na maisha yetu ila sikuwa na mawasiliano nao na nikitaka namba zao lazima niende kwa shangazi ndio ana namba zao, na mm sikutaka kabisa kukutana na shangazi wala mjomba

Bc zilipita km cku tatu iv Edina akanipigia cm, wala sikupokea ilivyokata nikamblok moja kwa moja, cku zilienda maisha yakaendelea huku nawasiliana na Mahamood vzr ,, nakumbuka hio cku nimeamka zangu kwangu nikafanya usafi ndani na nje maana nyumba kubwa Sasa nikawa nimechoka, nikasema leo sitoki ngoja niende sokoni ninunue ndizi zangu nipike nilimisi sana kupika,, bc nikajiandaa vzr ile nataka kutoka tu cm yangu ikaita kuangalia namba ngeni mhhh, nikajiuliza nani tena? Halow Mamujee mpnz mzima? Mhh nikashangaa huyo anae niita mm mpenzi nani?? Ila sauti yke nikiisikiliza vzr kama Mahamood? Sasa mbona hii namba kama ya Tanzania?? Bc nikamjibu nzuri,, akasema mm Mahamood nipo Tanzania njoo mliman cty sasa iv
Soma muendelezo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9 -- 10

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 9

Nilivyofungua mlango nikamkuta Edina, nikamuuliza vp? Akaniambia jee naomba tuongee, nikamwambia sawa ila sio ndani kwangu tukae hapo nje, akasema sawa, tukakaa akaanza kuniambia nisamehe sana kwa yote niliokufanyia, cjui nimekutwa na nn nazani nimechanganyikiwa tu maisha magumu,, nikamwambia ucjal yameisha,, akaendelea kuniambia Jee please naomba na mm nitafute Danga kama lako maana mm pia biashara yangu ni kuuza mwili wangu ila kwa sasa kila kitu hakiendi? Akaendelea, nilikuwa na Bwana Mzungu alikuwa ananisaidia sana ila nilikuwa nampa nyuma Sasa kaondoka kwao na kurudi cjui atarudi lini,, mhhh nikasema tobaa, mbona Dunia iko iv...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwarabu-huko-mi-sijazoea-9-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwarabu-huko-mi-sijazoea
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 12 --13
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 36 -- 37 SEASON TWO,
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 15 -- 16
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 23 -- 24
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 17 -- 18
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 19 -- 20
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 25 -- 26
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 28 -- 29
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 30 -- 31
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA  6
MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

872
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

671
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

576
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

376
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

189
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

170
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

139
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

100
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

38
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.53K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest