Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa

""NAPANUA" UMRI๐ŸŒน ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU๐ŸŒน02

5th Aug, 2025 Views 12

""NAPANUA"

MTUNZI ๐ŸŒนDr(Dkt) Kangaroo Nyumbu

UMRI๐ŸŒน ZAIDI YA MIAKA 18

SEHEMU๐ŸŒน02
๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹ gari inafunga breki miguuni na akashuka Taujat Kwa haraka na kufunga mlango ila Kwa bahati mbaya mlango ulibana shati lake na ushungi ila hakujali na alipotumia nguvu kulitoa likachanika vifungo na kifua kikiacha dodo wazi,dodo ambazo ni nyeupe na zilizosimama bala bala Hali ambayo ilinifanya macho kunitoka sana ila yy hakujali Wala kushituka kuwa ajifiche

Taujat.....Jumaa naomba tuzungumzee usinifanyie hiviii!!

Juma.....mbona Kila kitu tumeisha maliza?

Taujat.....nifanye nn Ili usiende sema sema kitu

๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜Nikaona Sasa nisicheleweshe Kwani hata mm uchu WA kuangalia dodo za mwarabu huyu na kumeza mate zimenichosha na liwalo na liwe nikavuta pumzi na kushusha huku baadhi ya majirani wakianza fungua mageti ikiwa na maada wanaenda miangaikoni

Juma .....shida hapa mm siwe

๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญKabla sijamalizia taujat akanishika mkono na kuniingiza garini

Taujat....Juma Embu niambie unataka nn?

๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“Hapo akili ninawaza kushika dodo tu na sikumjibu nikamkazia macho na wote tukawa tunaangaliana,nikapeleka mkono mpaka kifuani kwake na kushika dodo,Hapo niliona akishituka na kurudi nyuma huku macho ya woga na wasiwasi yakimtawala na mikono fasta kifuani na kujifunika vzr Kisha

Taujat......juma nakuheshimu sana kufikia hatua ya kunishika dodo zangu ni kunifezehesha hivi sikutegemea,niliposema sema chochote Haina maana ya kuwa Hadi mwili wangu

Juma....Kila mtu na shida zake hapa duniani na mm hiyo ndio shida yangu na kama nimekukela samahani

๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸซUkimya ukapita kama dakika 6 hivi Kisha

Taujat.....ni kweli hautaki kunisaidia ?

Juma.....Hapo sijui Kwani ww ni kweli hautaki kunisaidia?

Taujat.....kingine sawa ila sio Kwa mwili wangu

Juma....na mm kingine nitafanya hata kutokwenda nyumbani ila sio kurudi kwako

Taujat....Mungu ni kwann unanipa mtihani huu katika maisha yangu?

๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“Nikaona anataka kunitoa kwenye reli Kwa kutamka mambo ya Mungu nikashika kitasa Cha mlango.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

""NAPANUA" UMRI๐ŸŒน ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU๐ŸŒน02  >>> https://gonga94.com/semajambo/napanua-umri-zaidi-ya-miaka-18-sehemu-02
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
offa ya msimu wa nanenane
offa ya msimu wa nanenane

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest