Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NASEMA KWA MAMA 28--29 ENDELEA.
Gonga94 Β· Stories

NASEMA KWA MAMA 28--29 ENDELEA.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
28--29
ENDELEA.
????NASEMA KWA MAMA
Zilikuwa ni gari za polisi....

Waliingia Askari kama sita na kuwachukua akina Razac...

Lidya alipewa karatasi fulani akaweka saini yake kisha kuwakabidhi...

Naombeni nimkute Central Dar es Salam.. Aliongea Lidya akiwapa maagizo wale Askari...

Nilikuwa kimya.... Wakati huo akina Razac na wenzie wanaondolewa mule ndani na Askari.....

Tulitoka pia na kupanda gari la polisi hadi kwenye Lodge tulipowahi kurekodiwa na mama yake Dayana..

Tulimkuta Dada wa mapokezi ametulia tu anaangalia TV..

Lidya aliingia hadi kwenye chumba cha mapokezi na kumtoa....

Aliagiza Askari wampakie kwenye Gari pia.....

Gari liliondolewa haraka lakini mimi na lidya tulibaki Moshi mjini...
*******

Muda ulikuwa umeenda ilikiwa ni mchana kwa wakati ule..

Tulitafuta sehemu tukala chakula cha mchana kisha kupanda Tax kurudi nyumbani kwa Dokta...

Tulifika na kuketi sebuleni hadi saa kumi jioni alipokuja Mama yake Dayana kutoka kazini kwake.....

"" "" Watoto wa yule mama walikuja na kuketi sebuleni wakiwa wanamfurahia sana mama yao...

Lakini mimi nilikuwa kimya tu namwangali Dayana..

Nilikuwa nikimtafakari udogo wake na baadhi ya mambo aliyokuwa akiyafanya..

"" "" " Mama pole na majukumu.. Nadhami nilikwambia kazi yako ni ndogo sana...
Aliongea Lidya....

" "" "kwanini unasema hivyo Mwanangu lidya.???
Aliongea yule mama....

" "" Nimeshaupata mkanda mzima wa yale matukio.....

Muhusika mkuu ni kijana mmoja anaitwa Razac... Ndio aliweka utaratibu wote hadi kukurekodi....

Pia nimewashika na wametangulizwa Dar es salam wote pamoja na Muhudumu....

Naomba tupande ndege tuwahi dar es salam ili wakifika watukute na tupate habari kamili...

Alimaliza kuongea Lidya na kumtazamaa yule mama.

Muda huo macho yangu yote yalikuwa kwa Dayana nimuone atafanyaje kwasababu niliamini kabisa anamjua vyema huyo Razac.

Chaajabu Dayana hakuwa na dalili ya kuogopa chochote....
Alikuwa ametulia tu kamkumbatia mdogo wake wanapiga story kama vile haelewi mazungumzo yetu...

"" β€œ"" Nashukuru sana.. Kwasasa naomba tukaoge tuvae tuende Airpot tuanze safari.. Aliongea mama yake Dayana...

Waliinuka na kwenda kuoga kisha kuvaa, walikuja kutuaga na kuondoka zao....

Nyumba ilibaki kimya sana.. Dayana hakuwa na hamu hata kunitazama....

"" "" Dada.. Twende ndani mimi sitaki kumuona Frenk... Aliongea Mariana.....

Nenda tangulia ulale mimi nitakuja baada ya mda ngoja tuongee na Frenk..

Mariana aliinuka na kuingia ndani...

Dayana alinitazama na kunisogelea pale nilipo kaaa....

"" "" frenk nakupenda ila tamaa inakuzidi sana,
Ungekuwa unajitambua ungepata kila kitu, tatizo malaya sana wewe kaka..

Nimekuvumilia vyakutosha ila umenichanganya sana baada ya kutembea na mdogo wangu....

Umeamua kumpa mdogo wangu pia Maradhi niliyo kupa.....

Nashukuru sana.... Lakini nimeumia sana ila nitafanyaje sasa....
ALIONGEA DAYANA....

"" "" "Unasemaje Dayana.??? Maradhi gani tena....
Niliongea kwa upole hadi machozi yalikiwa yanaanza kunitoka....

" "" "Nimeathirika... Kwahiyo sasa nyumba nzima tumeambukizana.?? Hata Afsa wa upelelezi umemuambukiza pia.???? Kwasababu nilishaambiwa kuwa ulifanya nae mapenzi pale Lodge...
Aliongea Dayana kwa kujiamini na kuinuka kwemda ndani kwao.....

Nilitulia kimya nikitafakari maisha yangu huku mapigo ya moyo yakiwa mbio sana...

Nilikuwa bize kufuta machozi,

Nililia sana baadae mimi pia niliinuka ili niingie ndani kwangu....

Nilivyo simama tu kwenye kochi kabla sijapiga hata hatua moja nilishangaa nimepigwa na kitu kizito kichwani..

Nilidondoka chini kama gunia... Sikuelewa tena nini kiliendelea pale.

ENDELEA....


*******
*******

Lidya na mama yake dayana walikuwa ndio wanafika Dar es Salam..
Bila ya kuchelewesha muda walichukua tax hadi Central kituo kikuu cha polisi kwa pale jijini...

Lidya aliingia na kutaja namba zake za usajili,
ziliingizwa kwenye kompyuta,
ilitokea picha yake na cheo chake kisha kuruhusiwa kuingia ndani ya kituo kama afisa wa jeshi la polisi...

Aliingia na kuelekea moja kwa moja hadi ofisini kwa mkuu wa kituo kile...
Kilikuwa ni juu ya ghorofa...
Lidya akiwa na mama yake Dayana walipanda ngazi hadi kwa mkuu...

Walianza na kutoa maelekezo kwa secretary lakini waliambiwa kuwa mkuu anao wageni hivyo walipaswa wakae kusubiri...

Lidya na mwenzie hawakuwa na tatizo,
walienda kwenye kiti karibu na mlango wa kuingilia kwa mkuu na kutulia huku wanapiga stori mbili tatu..

*******
"" "" Hivi lidya.. Ulivyoniambia kuwa huenda muhusika wa haya yote anatoka kwangu ulikuwa unamaanisha nini.??? Aliongea mama yake Dayana...

"" "" "" Mama.. Unadhani jana asubuhi tulivyofika moshi mwanao alikuwa anatoka kwenda wapi.???
Ulijiuliza kiundani au ulipotezea tu.????

Niliamini kama huenda kuna baadhi ya vitu ulianza kuhisi kumbe bado...

"" "" Mama ukweli ni kwamba..
Tangu umesafiri na mwanao alitoka,
hakurudi nyumbani hadi siku unakaribia kurudi..
Alikuwa nyumbani kwa mwanaume mmoja anaitwa Razac..
Huyo mwanaume ni mfanya biashara wa madawa na amehusika kutengeneza sinema yote ya picha zako za uchi ili apate pesa kwa mrija..

Yupo humu huyo kaka ni miongoni mwa tulio wakamata...
Pia alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanao Dayana..
Nadhani ndio sababu ya hadi mwanao kukataa chuo....

ALIONGEA LIDYA KWA MSISITIZO SANA HUKU ANAMTAZAMA MAMA YAKE DAYANA...

"" "" "" Uuuuuuuhhhhhhh... Mama yake dayana alishusha pumzi na kujiegemeza kwenye kiti..

Sikutegemea kama Dayana angekuwa mpumbavu kiasi hiki..
Aliongea mama yake dayana.....

Wakati huo Mlango wa mkuu wa kituo ulikuwa unafunguliwa...

Alitoka mkuu wa kituo na wageni watatu nyuma yake....

Alikuwepo Boss wa kampuni ya "" PEACE OCEAN""" ya uingizaji wa mizigo kutoka china,

Mzee huyo alikuwa ni boss wa lidya kwani lidya alikuwa ni Secretary kwa mzee yule, na kule alikuwa akimpeleleza kuhusu rushwa ya ngono..

Ushahidi wote alikuwa nao Lidya na alikuwa akimhesabia siku tu za kumkamata....

"" "" Lidya aliiinuka baadaa ya kumuona yule mzee katoka ofisi kwa Mkuu wa kituo tena wakiwa wanacheka...

Nyuma ya yule mzee alikuwemo Razac na mkaka mmoja aliekuwa amevalia Suti nyeusi..
Nadhani alikuwa ni mlinzi wa yule mzee....

"" "" "" " Shkamoo mkuuu... Aliongea Lidya kwa sauti ya upole baada ya kumsogelea mkuu wa kituo....

" "" "Samahani nilikuwa na shida na wewe..
Pia hawa hapa ni wageni wangu.. Wanaenda wapi.??

Aliendelea kuuliza Lidya..

Yule mzee alicheka kwa dharau na kumwambia......

" "" "" "Sikiliza binti...... Jambo usilo lijua ni usiku wa giza.. Utalijua taratibu. Naomba tu uwe mpole...

Pia Razac ni kijana wangu wa kumzaa... Hapa nilikuja kumuwekea dhamana na tayari naondoka nae..
ALIONGEA YULE MZEE NA KUMSHIKA RAZAC MKONO ILI WATOKE...

"" "" " Mkuu... Hawa ni watuhumiwa wangu. Nilipaswa mimi ndio nije kuwahoji kwasababu najua sababu za kuwakamata. Unapowaachia unakuwa unanikosea mkuu wangu....

Aliongea Lidya....

Mkuu wa kituo alimtazama tu lidya bila kumwambia chochote....

Lidya aliogopa sana na kubana miguu yake kisha kupiga saluti kwa unyenyekevu sana

Mkuu wa kituo akaondoka na wageni wake....

Lidya aligeuka nyuma kumtazama Mama yake Dayana lakini hakumuona....

Alishtuka kidogo na kuamua kwenda kumuuliza Secretary wa mkuu wa kituo....

Alishangaa kumuona Mama yake Dayana kajificha nyuma ya Secretary...

"" "" Mbona hivyo mama.???
Aliuliza Lidyaaa.....

"" "" "Mwanangu. Lidya naomba tuondoke hapa.....
Yule mzee alietoka humo ndani ni mzee hatari sana.
Ndiye aliniteka na kuagiza watu wake wanibake na kwenda kunitupa porini.....

Sikutaka anione jamani..." "" uuuuuhhhhhhhh..
Naomba tuondoke....

Aliongea Mama yake Dayana na kumshika Lidya mkono kisha kuanza kushuka ngazi za kituoni kwa kasi sana.....

ENDELEA.......

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NASEMA KWA MAMA 28--29 ENDELEA.

28--29
ENDELEA.
????NASEMA KWA MAMA
Zilikuwa ni gari za polisi....

Waliingia Askari kama sita na kuwachukua akina Razac...

Lidya alipewa karatasi fulani akaweka saini yake kisha kuwakabidhi...

Naombeni nimkute Central Dar es Salam.. Aliongea Lidya akiwapa maagizo wale Askari...

Nilikuwa kimya.... Wakati huo akina Razac na wenzie wanaondolewa mule ndani na Askari.....

Tulitoka pia na kupanda gari la polisi hadi kwenye Lodge tulipowahi kurekodiwa na mama yake Dayana..

Tulimkuta Dada wa mapokezi ametulia tu anaangalia TV..

Lidya aliingia hadi kwenye chumba cha mapokezi na kumtoa....

Aliagiza Askari wampakie kwenye Gari pia.....

Gari liliondolewa haraka lakini mimi na lidya tulibaki Moshi mjini......

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nasema-kwa-mama-28-29-endelea

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nasema-kwa-mama
NASEMA KWA MAMA*  *SEHEMU YA 41, 42, 43, 44, 45 & 46*
NASEMA KWA MAMA* *SEHEMU YA 41, 42, 43, 44, 45 & 46*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 23, 24 na 25*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 23, 24 na 25*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 33, 34 & 35
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 33, 34 & 35
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 15 na 16* ********
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 15 na 16* ********
NASEMA KWA MAMA 38,39,40  *38*
NASEMA KWA MAMA 38,39,40 *38*
NASEMA KWA MAMA*  *SEHEMU YA SITA 06, 07,
NASEMA KWA MAMA* *SEHEMU YA SITA 06, 07,
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 30, 31, 32,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 30, 31, 32,
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 26, 27,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 26, 27,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 19 na 20*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 19 na 20*
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 21, 22,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 21, 22,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 13 na 14* *****
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 13 na 14* *****
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 17, 18,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 17, 18,
NASEMA KWA MAMA* 1-----2
NASEMA KWA MAMA* 1-----2
NASEMA KWA MAMA  **** 3--4
NASEMA KWA MAMA **** 3--4
NASEMA KWA MAMA  *SEHEMU YA NANE 8--9
NASEMA KWA MAMA *SEHEMU YA NANE 8--9
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 10*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 10*
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 11, 12
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 11, 12
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

1.04K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53

753
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

158
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55

141
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

7

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.69K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.82K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.85K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.7K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.69K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.64K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55
@majario LIVE

Daah yani asubuh ile sa 10 ndo nikamwambia basi mke wangu pumzika na mtoto.sasa, zena akanambia sawa mpenzi, na wewe upumzike sasa, nikasema sawa nakupenda sana zena , wewe...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53
@majario LIVE

Basi mtoto akiwa anaendelea kunishika shika, daah simu inaitaa, alafu nacheki zena ndo anagonga call ,ahaa nikanyanyuka chapu, nikavuta simu, nikamwambia jalia samahani naomba kuongea na simu, ni simu...

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest