Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NISAMEHE MAMA 😭  SEHEMU YA: 02
Gonga94 Β· Stories

NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 02

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


SONGA NAYO..................

Nilistuka Sana baada ya kuona mama amevuja damu nyingi Sana maeneo ya kuchwani Kama binadamu huruma iliniingia haraka nikatoka nje na kuita tax, nilimuomba anisaidie tukampeleka mama hospital lakini pia sikuweza kumuacha kamili nyumbani nilienda nae muda wote alikuwa akilia njaa, ingawa kamili alikuwa na mapungufu yake lakini alikuwa na akili ya kuelewa Mambo kwa wepesi sana.

Tulifika hospital akapokelewa haraka na kuanza kupatiwa huduma kwa haraka sana, muda huo huo boy friend wangu ambaye alikuwa akiishi magomeni akanipigia

" Mbona simu zangu upokei eeeh ulikuwa wapi ...??"

" Ungeacha kwanza ilo gubu lako Niko hospital Jana tulivamiwa lakini Niko sawa ila shangazi yangu huyu ninayeishi nae amejeruiwa kichwani "

Nilianza kutoa kilio cha uongo na kweli, kipindi iko nilikuwa sitaki kabisa Kama watu wajue kuwa huyu Ni mama yangu yote kutokana na kuwa na muonekano mbaya, na wengi walikuwa wakimsema vibaya lakini sikujali wala Nini kikubwa wao hawajui kuwa Ni mama yangu

" Nakuja Sasa hivi "

Alizungumza boyfriend wangu aliyejulikana Kama Julius nilizoea kumuita baby J, baada ya muda aliwasili alikuta Bado mama amepoteza fahamu na muda huo huo dokta akaitaji kuongea na Mimi hivyo Julius alikuwa akifatilia kujua kiundani niliingia nae kwenye chumba Cha dokta

"Umemchelewesha Sana kumleta shangazi yako hiyo imepelekea hali yake kuwa mbaya Sana lakini usijali atakuwa sawa "

Julius alidakia

" Jitaidi dokta shangazi anatakiwa kuwa sawa "

" Tumuombe Mungu pia "

Muda wote nilikuwa nikijitilisha huruma tu, Julius alikuwa kijana mzuri sana ambaye amelelewa kwenye maisha mazuri lakini pia yangu dini na alikuwa na pesa nyingi baada ya kuwa na biashara nyingi nyingi na alijaaliwa huruma Sana

" Nikitaka kusahau yule mtoto anajaa Sana hivyo unaweza mnunulia chakula, mama akiamka tunataka kumfanyia vipimo Zaidi hiyo Ni Kama huduma ya kwanza tu "

Alimaliza kutoa maelezo pale tukainuka na kutoka nje

" Sikia subili nichukue chakula Cha kamili hapa nenda kakae nao"

Alizungumza Julius na kutoka nje niliingia wodini na kumkuta kamili akiwa amekaa akimuangalia mama kwa uzuni yote yaliyokuwa yakiendelea yalikuwa yananiboa tuu

" Huyu nae sijui amekuja kufanya Nini uku ningewaacha hapa nikaondoka zangu"

Nilichukua Simu na kumpigia Julius

" Eeeeh Kuna shida gani tena me Niko nje hapa nachukua chakula kwanza utakula nini....??"

" Nitakula nikarudi"

"Unaenda wapi Sasa....??"

"Naenda nyumbani kubadili nguo lakini pia kuchukua nguo za kamili na shangazi "

"Usichelewe"

" Usijali lakini pia ukishampa chakula naomba uondoke shangazi asije akaamka akakukuta sijui utamwambia wewe Ni Nani SI unajua shangazi yangu anaona me Bado mdogo ndomana hata kutoka tu saa 12 anataka uwe usharudi "

"Naelewa"

Nikakata simu na kuachia msonyo wa hatari, muda huo kamili alikuwa akiniangalia tu

" Kwani da saada huyu kumbe sio mama ako"

Nilimsogelea na kumvuta mashavu kisha nikaondoka alibaki akiniangalia "

Nilifika nyumbani na kubadilisha nguo Kisha huyo nikaondoka zangu kwenye mizunguko yangu mingine, nilizima na simu kwani Julius alikuwa akipiga sana nikaona kuwa ananisumbua tu na hakuna Cha maana ataniambia Zaidi ya mambo ya hospital.

Julius alikaa sana hospital mpaka giza likaingia, alipata wasiwasi Sana kuona sipatikani alisapigia marafiki zangu kadhaa lakini kila mtu Alisema ajui nilipo hi yote kwasababu niliwaambia wajibu hivyo

Asubuhi namapema nikaenda hospital nikiwa na laki na nusu mkononi kwaajili ya malipo na hii yote ilikuwa ni kipata sababu ya kujitetea kwa Julius, nilishangaa kumkuta Julius akiwa hospital Tena na mavazi yaleyale niliyomuacha nayo jana, alikuwa na hasira sana akanishika kwa nguvu na kunitoa nje Moja kwa Moja mpaka kwenye gari yake

" Ulikuwa wapi na simu iko wapi....??"

Nilianza kujiliza kwani namjua Julius Ni mtu wa huruma Sana akajiachia kwani alikuwa akinivuta nywele

" Sasa unalia Nini na wakati nauliza "

" Me nimechoka jamani nimechoka, kila siku Ni Mimi kila siku likitoka hili linaingia hili, Kama unavyojua shangazi yangu ametengwa na ukoo kwaajili ya uchawi mimi ndio nimeamua kumsaidia na huyu mtoto wake na nimetengwa na ukoo pia"

" Hayo si umewai kuniambia, nauliza Jana ulikuwa wapi na kwanink upatikani simu iko wapi kwanza ....??"

" Unakuwaga na hasira tu wewe, nimeenda kazini Jana kwa muhindi hi yote nipate hela ya kulipa hospital, lakini pia nimefanya overtime mpaka mda huu wamenipa elfu 50 tu ikabidi niweke simu Bondi kwa laki moja "

Julius aliumia Sana alijikuta akinikumbatia na kuruhusu nilale kifuani kwangu, nikabaki nikimzomea chinichini tu

" Lakini Mimi si nipo na nimelipa ghalama za jana zote "

Niliinuka na kujifanya nimestuka ingawa nilikuwa najua kabisa lazima atalipa

" Jamani kila siku wewe unatatua matatizo yangu basi chukua hi pesa "

" Hapana itakusaidia Mambo madogo madogo, lakini pia inabidi uwe na nguvu ya kuvumilia ambayo naenda kukwambia mda huu"

" Kuna Nini Tena unanitisha sana "

" Shangazi aliamka usiku"

"Kauona....??"

Nilimuuliza kwa jazba Sana kutokana na wasiwasi niliokuwa nao

" Yaaaah lakini nilimwambia Mimi ni kijana ambaye natokea kwenye shirika la huruma la watoa huduma "

"Mmmmmmmmmmh"

Nilishusha pumzi ndefu

"Alifanyiwa vipimo na kuonekana kuwa Yuko na kansa kwenye ubongo ndio kwanza imeanza yaani Ni ndogo sana, lakini Kama ujuavyo mambo ya ubongo Ni hatari kufa kupona katika kufanyiwa upasuaji lakini anaweza kufanyiwa upasuaji"

"Hapana hapana naogopa sana Mimi jamani naogopa "

"Aaaah unatakiwa uwe na amani "

Mada hizo za kumzungumzia mama mda wote zilikuwa zinanikela Sana

" Naomba nikamuone mama kwanza unaweza kwenda nyumbani kupumzika "

" Usijali me Niko sawa nitakaa na wewe "

" Si unanipenda...??"

Nilimuuliza

" Ndio "

"Basi nenda kapumzike kipenzi 😍 changu please nakuomba sana ..."

Akakubali Kisha akaniacha kiasi Cha pesa iliiuwa kama laki 5 hivi nilifurahi Sana , tukaagaa Kisha Mimi nikaenda wodini kwa mama

Nilimkuta akiwa anakula, akatabasamu asiponiona

" Kinachokuchekesha.....??"

Nilimuuliza nikiwa nimekasilika, alibaki akinichekea tu

" Kwahiyo unafurahi unavyosumbua watu mda wote tunaonekana kwenye majumba ya hospital si ndio, Sasa we SI mchawi konk na huu mzukure wako si ujiponye au mfe tu "

Nilizungumza kwa hasira uku machozi yakinitoka, nilikuwa nikiwachukia Sana , mama haujibu kitu Zaidi niliona akisogeza kile chakula na kukiweka pembeni Kisha akajilaza na kugeukia upande wa pili akilia kimya kimya, hakuwai kuruhusu machozi yake mbele yangu hata siku moja.

Nilitoka nje nikiwa na hasira niligongana na mbaba kwa na kumuangushia miwani yake, nilimuokotea na kumpatia, baada ya kumuangalia niliita

"Baba"

Ingawa baba aliondoka nikiwa mdogo sana lakini nilikuwa nikimjua Sana sikuweza kumsahau hata kidogo, aliniangalia tu kuonesha kuwa anikumbuki au anijui kabisa maana nimekuwa mdada mkubwa nimependeza na ule uzuri ndo kabisa, akanishika mkono na kunitoa nje kutaka kuongea na Mimi

"Binti unanijua Mimi au unavamia tu watu eti baba, unafikili mke wangu angesikia ingekuwaje ??"

" Na kuoa umeoa ukasahau Kama una mtoto kweli...??"

" Kwani wewe Ni Nani mbo......."

Kabla ajamaliza kuzungumza nilimkatisha kwa kutajia jina langu, alishtuka na kuniomba tusogee pembeni kabisa

" Daaaah saada mwanangu umekuwa kiasi iko vipi ulimaliza shule....??"

" Niliacha "

" Kwanini , nikuulize wewe kwanini uliniacha Bora ungenichukua kuliko kuniacha na yule mchawi na mtoto wake asiyeeleweka "

" Amekuloga na wewe, saada binti yangu sikuwa na Nia hiyo lakini mama ako alikataa Mimi kuondoka na wewe lakini pia ubaya wake ndio ulikuwa unanifanya nikose kuwa na maisha mazuri lakini sasa hivi Nina familia mpya na nashukuru kukutana na wee mwanangu "

" Yaani baba najua kabisa baba yangu una moyo mzuri hivi ulimtoa wapi yule mwanamke naona hata aibu kumuita mama "

" Tutaongea zaidi, chukua mawasiliano yangu haya utanipigia, Nina mdogo wake amevunjika mguu mpirani Yuko amelazwa hapa"

" Sawa baba nakupenda "

Akatoa kiasi Cha pesa na kunipatia Nika..............................

ITAENDELEA...............

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 02



SONGA NAYO..................

Nilistuka Sana baada ya kuona mama amevuja damu nyingi Sana maeneo ya kuchwani Kama binadamu huruma iliniingia haraka nikatoka nje na kuita tax, nilimuomba anisaidie tukampeleka mama hospital lakini pia sikuweza kumuacha kamili nyumbani nilienda nae muda wote alikuwa akilia njaa, ingawa kamili alikuwa na mapungufu yake lakini alikuwa na akili ya kuelewa Mambo kwa wepesi sana.

Tulifika hospital akapokelewa haraka na kuanza kupatiwa huduma kwa haraka sana, muda huo huo boy friend wangu ambaye alikuwa akiishi magomeni akanipigia

" Mbona simu zangu upokei eeeh ulikuwa wapi ...??"

" Ungeacha kwanza ilo gubu lako Niko hospital Jana tulivamiwa lakini Niko sawa...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nisamehe-mama-sehemu-ya-02

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nisamehe-mama-sehemu-ya
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama  SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama  SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama SEHEMU YA: 07
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA  SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 5
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 5
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 03
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 03
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 04
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 04
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

1.15K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

1.09K
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

674
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

253
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

249
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

236
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

235
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

158
ACHA NIKUPENDE ❀️ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 to 5

112
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

102

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.39K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.81K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.3K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.82K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS πŸ₯° yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. πŸ”΄ Maamuzi yaliyotangazwa: πŸ’΅ Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL ⚽. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL ⚽.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest