Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 10 Baada ya dakika kadhaa Romex aliwasha gari akaondoka na kuelekea mgahawani. Alimkuta
Gonga94 · Stories

ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 10 Baada ya dakika kadhaa Romex aliwasha gari akaondoka na kuelekea mgahawani. Alimkuta

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Lilian ameshafika, Lilian alimpokea kwa bashasha.

Karibu.

"Asante, pole kwa kutangulia.

"Hata sina muda mrefu tangia nimefika.

Wakiagiza chakula wakawa wanakula huku wakiendelea na maongezi. Siku zote walizokuwa waliona Lilian na Romex, Lilian alikuwa mpole, mwenye aibu, muda mwingi alikuwa Bize na simu yake. tabia zake zilikuwa tofauti na Salsa ambae alikuwa muongeaji na mwenye ushawishi wa kutamani uendelee kukaa nae.

Siku zilizidi kwenda salsa alikuwa Bize na kazi zake hakutaka kabisa kuendelea kuwa na mazoea na Romex hata alipompelekea chakula Salsa alikipokea tu lakini hakuwa na furaha nacho kama zamani na wakazi mwingine alikuwa anagawa kwa watu wengine.

Siku moja Romex akimpeleka biriani na sifa ya pepsi baridi ile alipotoka tu salsa alichukua simu na kumpigia Nzela.

"Nzela umeenda lunch?

"Hapana shoga yangu leo sina hela napiga pass

ndefu.

"Njoo ofisini kwangu kuna chakula hapa.

Nakuja sasa hivi shoga yangu.

Nzela alikata simu na haraka akanyanyuka na kwenda kwenye lift na kuelekea ghorofa ya nne ofisini kwa Salsa.

"Niambie mama kija.

"Chukua hicho hapo.

Nzela alifunua.

"Weee kitu cha biriani, nichukue na hii soda?

"Ndio chukua.

Asante Mwaya Nzela alibeba chakula na

kutoka ofisini kwa Salsa, alipofika mlangoni akakutana na Romex. Romex alipoona kile

chakula alijisikia vibaya akaenda ofisi kwa Salsa. "Mbona umegawa chakula? Hivi umekula kweli?

"Nimeshiba.

"Umekula nini?

"Viazi vya bibi kwani huoni tumbo lilivyokuwa

kubwa mimi nimeshashibishwa Romex haina haja ya wewe kuhangaika na mimi usilete tena

chakula chako hapa. Acha tubaki kama boss na mfanyakazi wake.

"Salsa hicho unachokiongea kinatoka moyoni? "Ndio sababu kilichonileta hapa sio kuonewa huruma bali ni kazi.

"Sawa mama kuanzia sasa kutakuwa na mipaka

kati yetu mimi sio Romex jifunze kuniita Boss.

Sawa BOSS. alitamka salsa kwa herufi kubwa tena kwa kujiamini.

Romex akitoka pale ofisini kwa Salsa akaelekea ofisini kwake

Siku zilisinga na mambo yakibadilika, salsa alikuwa anafanya kazi zake kwa bidii, alieoiluka maongezi ya kawaida na Romex waliongea

kuhusu kazi tu.

Salsa aliendelea kuonyesha tabasamu huku akishirikiana na wafanyakazi wengine.

Kwa upande wa Romex hakuwa na amani kabisa

japo alijaribu kuficha hisia zake lakini ilimuumiza sana kuwa mbali na Salsa alikuwa kamzoea sana, akumiss maneno yake na vitendo vyake

vya ucheshi.

Japo kuwa walikuwa anatoka sana na Lilian lakini hakuwa anafurahia alikuwa anaboreka na kuna wakati alikuwa akijisahau na kumuita Lilian jina la Salsa.

Siku moja jioni Salsa alikuwa akiandaa chakula chake, ugali na matembele pamoja na dagaa wa

kukaanga. Alifanya kazi kwa shida huku tumbo lake kubwa la miezi saba lilikuwa likionekana. Baada ya kupika aliandaa chakula chake chini

kwenye mkeka, wakati akiwa anajiandaa kukaa "

chini mara mlango uligongwa. Nani tena huyo jamani?

Mlango uligongwa tena salsa akaamua kumkaribisha.

"Pita mlango uko wazi. *Surprise...

Mlango ulifunguliwa na Meena aliingia

"Meena? Salsa alishangaa, Meena alimfuata na kutaka kumkumbatia lakini ghafla aliacha na macho yake yakaanza kwenye tumbo la Salsa.

*Salsa hiki ni nini?

Salsa alishusha pumzi ndefu kisha akasema

"Karibu dada, kaa kwanza. Salsa alikaa chini na Meena alikaa juu ya kochi.

"Mbona unakaa huko kaa chini tule. "Mmmmh siwezi salsa, siwezi kula wakati nina

shauku ya kutaka kujua, hiyo mimba niya nani na mbona hakusema mapema mpaka tumbo limekuwa kubwa hivyo? Ona ulivyochoka.

Salsa alimuangalia dada yake hakujua aanzie wapi kumuelezea.

Nataka kusikia kitu kutoka kwako Salsa. Aliongea Meena huku akiwa kamkazia macho usoni.

"Ni mimba ya boss wangu. "Ya boss wako? Mungu wangu, salsa unefanya

nini sasa? "Haikuwa dhamira yangu. Alisema salsa kwa

unyonge kisha akaanza kumuelezea kila kitu kilichokuwa kimetokea siku ile mpaka kupelekea

kupata mimba.

Meena alitulia kwa muda kama vile akiwa anatafakari kitu.

Nimekuelewa mdogo wangu umekosea ulitakiwa kusema mapema na hata muhusika ajue hill..

Hapana dada, Romex sasa ana mchumba wanataka kufunga ndoa ni bora asijue chochote kuhusu hii mimba. Nitajusimamua mwenyewe

kwa kila kitu, huyu mtoto ni baraka kwangu.

Alisema salsa huku akishika tumbo lake. Meena aliachia tabasamu kisha akamkumbatia. Haya ni mapigo tu mdogo wangu kila kitu kitakuwa sawa.

"Vipi baba na mama wakijua?

"Hata wakijua hawana la kufanya watakubaliana na ukweli. Nitaongea nao na wataelewa tu.

Itaendelea.....

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 10 Baada ya dakika kadhaa Romex aliwasha gari akaondoka na kuelekea mgahawani. Alimkuta

Lilian ameshafika, Lilian alimpokea kwa bashasha.

Karibu.

"Asante, pole kwa kutangulia.

"Hata sina muda mrefu tangia nimefika.

Wakiagiza chakula wakawa wanakula huku wakiendelea na maongezi. Siku zote walizokuwa waliona Lilian na Romex, Lilian alikuwa mpole, mwenye aibu, muda mwingi alikuwa Bize na simu yake. tabia zake zilikuwa tofauti na Salsa ambae alikuwa muongeaji na mwenye ushawishi wa kutamani uendelee kukaa nae.

Siku zilizidi kwenda salsa alikuwa Bize na kazi zake hakutaka kabisa kuendelea kuwa na mazoea na Romex hata alipompelekea chakula Salsa alikipokea tu lakini hakuwa na furaha nacho kama zamani na wakazi mwingine alikuwa anagawa kwa watu wengine.

Siku moja Romex akimpeleka biriani na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/one-night-one-mistake-chapter-10-baada-ya-dakika-kadhaa-romex-aliwasha-gari-akaondoka-na-kuelekea-mg

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi one-night-one-mistake-chapter
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 12 Romex alibaki kaduwaa huku macho yake yakiwa kwenye zile hereni.  Hili linawezekana vipi? Kwahiyo salsa ndio
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 12 Romex alibaki kaduwaa huku macho yake yakiwa kwenye zile hereni. Hili linawezekana vipi? Kwahiyo salsa ndio
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 13  Romex alikuwa na wasiwasi alihisi huenda Lilian akawa amesikia
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 13 Romex alikuwa na wasiwasi alihisi huenda Lilian akawa amesikia
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 9 Baba Ake Romex alikubali na ombi la mtoto wake.  *Sawa acha tukupe muda wa kuzoeana nae.
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 9 Baba Ake Romex alikubali na ombi la mtoto wake. *Sawa acha tukupe muda wa kuzoeana nae.
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 15  Baada ya sauti nzito ya baba yake Romex kimnya kilitawala, Mama yake alikuwa bado ameshikilia kanga yake mkononi.
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 15 Baada ya sauti nzito ya baba yake Romex kimnya kilitawala, Mama yake alikuwa bado ameshikilia kanga yake mkononi.
 ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ Chapter 5 Ukali wa Romex ulimfanya achanganyikiwe, Salsa  Romex alimshika mkono na kumuangalia usoni kwa macho ya hasira lakini Salsa alikuwa na wasiwasi sana
ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ Chapter 5 Ukali wa Romex ulimfanya achanganyikiwe, Salsa Romex alimshika mkono na kumuangalia usoni kwa macho ya hasira lakini Salsa alikuwa na wasiwasi sana
 ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ chapter 4 Siku zilienda na kazi ziliendelea kama kawaida Salsa alijua Romex kaamua kupotezea nae hakuona haja ya kujielezea
ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ chapter 4 Siku zilienda na kazi ziliendelea kama kawaida Salsa alijua Romex kaamua kupotezea nae hakuona haja ya kujielezea
 ONE NIGHT ONE MISTAKE🍎 Chapter 3   Salsa hakuwa na furaha ya kukaa kwenye sherehe moja kwa moja alielekea getini kwaajili ya kuondoka, alipofika nje ya hotel alichukua...
ONE NIGHT ONE MISTAKE🍎 Chapter 3 Salsa hakuwa na furaha ya kukaa kwenye sherehe moja kwa moja alielekea getini kwaajili ya kuondoka, alipofika nje ya hotel alichukua...
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 14 Maswali yote aliyoulizwa Romex hakuna hata moja ambalo salsa alijibu. Romex walinyoosha mkono wake akamgusa
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 14 Maswali yote aliyoulizwa Romex hakuna hata moja ambalo salsa alijibu. Romex walinyoosha mkono wake akamgusa
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

918
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

790
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

621
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

450
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

201
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

121
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

94
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

83
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

56
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest