Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ *1 - - - - - 5* SEHEMU YA 1 Naitwa Naima; ila wengi wananifahamu kwa jina la Ney. Naishi na mama yangu ambaye alinilea
Gonga94 Β· Stories

π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ *1 - - - - - 5* SEHEMU YA 1 Naitwa Naima; ila wengi wananifahamu kwa jina la Ney. Naishi na mama yangu ambaye alinilea

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
peke yake baada ya baba kupoteza maisha nikiwa tumboni kwa mama yangu. Hivo mwenzenu sikufanikiwa kumuona baba. Kuhusu shule aisee mwenzenu niliishia darasa la 3 primary yaani na hivo ni baada ya kuwa naleta fujo kila siku shuleni. Naima mimi: vigodoro nimo,kwenye kupigana,kufumania yaani kila ghasia nimo.Ila na ujinga wangu wote mwenzenu sijawahi yale mambo yale ya kikubwaπŸ™ˆ na kunywa pombe pia. Mama Ney alisema saana na kudhani nishatumika kitambo kumbe wala Naima mimi. Genge la mama Naima ndio lilitupa chakula na malazi pia. Japo kuna mambo nilikuwa nikimsaidia kwa kuuza mboga mboga aina ya mchicha.Mama alinipenda sana na kunidekeza mno hadi majirani wakaona wivu. Yaani watu bana nipendwe mimi waumie wao khaaa😏.
"Mama samahani kesho nitawahi kurudi mapema usikasirike tu!"nilikuwa nikimuomba mama yangu msamaha na hiyo ni baada ya kurudi nyumbani saa kumi tangu alfajiri narudi nyumbani saa kumi.
"hata usijitetee najua sana ulikokuwa mjinga wewe!Ney najua wewe huwezi kutulia ukisikia ngoma hivo ulikuwa kwa kina shani vijora maana leo kaingiza mzigo.Na olewako utoke ety unaenda kuzindua tutagombana!"mama Ney aliniambia hivo nakuendelea kupanga uzi wake ili aendelee kufuma shuka.
Nyie huu mama Ney hajui tu utamu unaokuwaga kwenye ngoma aisee hasingeongea chochote hata πŸ™.Nilijipa shughuli ya kufua nikapika mwenzenu nikaoga na kukaa karibu yake sasa.Muda wote huo alikuwa kaacha kufuma ananitazama tu.
"mama nishamaliza sasa"niliongea huku nikitabasamuπŸ™‚.
"nimeona .Yani ungekuwa hivi siku zote ungekuwa mtoto mzuri sana. Leo tutakula mapema sasa"mama aliongea huku akiachia tabasamu la upendoπŸ₯°.
"usijali mama nitafanya hivo siku zote. Haya mi natoka sas"niliongea huku nikinyanyuka.
"nilijua tu yaani huko kujituma kwako kuna jambo. Sasa huendi popote leo kama huna kazi kapumzuke hutaki njoo unisaidie kupanga uzi niendelee kufuma kabla umeme haujakata hapa"mama Ney alinikata maini baada ya kuongea hivo.Lakini kabla sijajibu kiliingia kikosi changu jeshi la watu 3 akiwemo mim sasa Naima a.k.a Ney tunakuwa 3. Swaumu na Jamilla walikuja kunichukuwa mida hiyo ha saa 12 jioni. Walisalimia kwa heshima na kukaa kwenye mkeka.
"baada ya salamu msijisumbue kumsumbiri huyu kifaranga wangu leo hatoki" mama aliongea na kuzidi kukazia hapo.
Basi kwa vile nampenda mama na hawezi kukubali mwanae nichukie au nilie akiwa anaona. Alinikubalia kwa sharti la kurudi mapema. Niliondoka na wenzangu ambapo sote tulivaa sare za vijora toka kwa vunja bei au Shani vijora. Sasa tukiwa njiani, ilipita ndinga kali na kuturushia matope tukaloa chakari!na vile kulikuwa kumenyesha mvua baasi tuliloeshwa wenzenu.Uzuri gari lilisimama akashuka mkaka ambaye sasa ni ex wangu anaitwa Saimon.
"aisee!samahanini sana!nilikuwa nawahi kumpeleka mgonjwa hospitali naombeni samahani sana"Saimon alituomba sana basi hatukumletea fujo kama alivyotuzoea, tukawa tumemruhusu aondoke. Sasa kabla hajageuka kurudi nyuma,akashuka mdada mrembo hadi tukashanga sote kama mwarabu au muhindi.
"hivi nyie mnataka tuwaguse miguu ndio mtusamehe au?"aliuliza mdada huyo baada ya kutufikia.
Sisi badala tujibu tuliangua kicheko maana kiswahili kilovyotamkwa aisee majanga!utafikiri anatonge la wali mdomoni πŸ˜‚.
"Saimon niondoe hapa stupid girls!" kaliongea kadada kale na kuondoka.
Ndugu zangu mim Naima nitukane umalize ila usiweke lugha ambayo siisikii maana utakuwa umewasha moto. Kabla gari halijaondoka nilimfata na kusimama kwenye kioo.
"We paka shume! usirudie kuingia anga za wahuni tutakutega mjinga wewe. Kwanza ulivyonitukana sijakusikia ila nakujibu hivi tusi lile ni wewe na ukoo wenu mzima!"baada ya majibu gari liliondoka tukazidi kuzomea hadi lilivyoishia.
Tulifika kwenye uzinduzi huo tukasheherekea. Baadae nikaaga na kuondoka. Nikiwa nakaribia kufika nyumbani nikaona Mama amekaa na Saimon kwenye mkeka. Nikajua baasi saimon kampa mama mkasa mzima wa kilichotokea.Nikasogea nikasalimia nikataka kuingia moja kwa moja ndan.Lakini mama alinitaka nikae maana anamazungumzo na mimi.
"hata hivo mama ndio nilikuwa naondoka maana sijafika nyumbani"Saimon aliaga na kuodoka bila kuongea kitu.
Mama nae akanigeukia huku akipaga vigelegele na kusema "jamani mwanangu nimekuza!Mungu bariki hii furaha kwa soteπŸ’ƒ! "jamani mama Ney duuh.

Itaendelea..........
SEHEMU YA 2
"Mama Ney jamani! tulia uniambie nijue nini kinafanya ushangilie hivo"
"mwanangu Naima leo nakwita Jina lako lote Naima Abdallah Shombe. Simon aliniletea taarifa nzuri nimezifurahia"
"Mama bana unazunguuka kama umepokea milioni. Mama Ney kama ni swala la kuolewa sahau kabisa mi siolewi sasa hivi.Na sio na Simon"
"Tulia kenge wa blue wewe!haya Simon anakasoro gani? na kwanza alivyo mtulivu siwezi kukubali apeleke moto kwake.Haya mwanangu ni hivi:Simon amenipatishia kazi huko anakofanyia yeye hivo kesho naanza kazi"
"Mama Ney 😳 unaenda kufanya kazi kwa wahindi kweli duuh!sijui nitawaambia nini kina Swaumu sasa"
"Umeanza kunipa habari za hao mashankupe wenzio! koma we mtoto tena koma mara mia koma! mimi natafuta pesa sitaki kujua wewe na hao makenge wenzio mnawaza nini"
Baada ya kuongea hayo mama Ney aliingia ndani akaleta chakula tukala. Alikuwa na furaha sana maana kesho anaianza kazi yake rasmi kwa wahindi. Asubuhi aliniacha akaondoka huku akiniachia pesa za matumizi ya siku nzima na kuniambia atarudi usiku.
Ney wa kubaki nyumbani mmmh sio kweli. Na mimi niliondoka hapo hadi kwa kina Swaumu. Sikufika moja kwa moja mlangoni kwao ila nilisogea kwenye mti ulioko mbali kidogo na kwao. Nilimwita kwa ishara akaja haraka. Maana mama yake hapendi urafiki wetu.
"Ney unasemaje shosti maana mmmh!habari tunazo kwamba mama Ney sasa hivi anachezea matako ya wahindi!"
"Swaumu tutagombana sasa! habari hizo umetoa wapi?Mama Ney anatumika kwa wahindi lakini kazi ya kuuza bidhaa dukani"
Tukiwa tunaongea alifika Zuri shoga yetu nae akachangia kunicheka .Niliona hawa watakuja wanipe kesi ya kuumiza mtu bure niende jela. Nikaondoka haraka na upesi. Hasira sasa ilikuwa kama yote namsaka Simon mbwa huyu. Kaamua kwenda kutangaza. Ghafla nilimuona akiwa anakuja upande wangu.
"mshenzi mkubwa wewe! haya unautofauti gani na kina Swaumu wewe!mwanaume mzima kazi kuzagaza umbea ebu tulia utakuja uolewe !"
"Ney mamy tafadhali ongea taratibu utanidhalilisha sasa! ni hivi: pale napofanyia kazi mimi kuna mtu kajitoa kazini. Sasa wakanipa ruhsa ya kumpa mtu kazi pale. Nikaona fursa nimpe mama Ney"
"sasa ukaona mama yangu ndio anauwezo wa kuchezea makalio yao au?msamaha wako Simon ni wewe kunipeleka kwa mama yangu"
"Ney unajua kabisa nakupenda ndio maana siwezi kukataa niahidi basi tutarudiana"
"twende bana tutaongea tukirudi"
jamani Simon wangu nampenda hata kama kauzu. Alikubali tukapanda bajaji na kuondoka.Mwendo ulifika hadi kwenye nyumba kubwa sana geti jeusi kali kinoma yani.
Niligeuka nakumtazama kwa ukali Simon nae akawa kashapata jibu nini afanye. Basi taratibu alibisha getini hapo na akafunguliwa na mlinzi.
Tukakaribishwa hadi ndani.
"Simon karibu sana! naona una mgeni"
"aaah usijali huyu ni binti anaekuja kumuona mama yake yule mgeni aliyeshika nafasi ya mama Mwaju"
Tulizidi kusogea ambapo niliona bustani nzuri sana na kutamani kugusa mauwa yake. Lakini kwa mbali nikamuona mama Ney akiwa anampa bibi kizee moja hivi maji. Nilimuacha Simon akinitazama mi nikakimbia nikamkumbatia.
"mama ulidhani sikupati! nilikumiss mama yangu. Nilimiss uniseme kwa kitu kidogo tu"
"jamani Ney nani kakuleta hapa"
Mama hakusubiri jibu maana alimuona Simon akiwa anajifinya vidole.
"Ney nenda nyumbani nitakukuta"
Nilisita kumuacha mama yangu pale maana alikuwa kavuja jacho kuonyesha kafanya kazi sana.
"what's going on here?"
hawa watu si watutukane kwa kiswahili nipate kuwajibu vizuri.

Itaendelea............
SEHEMU YA 3
Ney?" Sote tuligeuka kutazama sauti ilipotokea. Tobaaaa!😳 jamani Ney leo kakamatika. Emu mtu aniazime uchawi halafu nitamrushia pesa kwa njia ya mpesa. Alikuwa ni yule mdada niliyempa maneno ya shombo siku ile akiwa na Simon kwenye gari. Alisogea na kumpa miwani bibi huyo. Bibi nae akavaa baadae kisha akauliza kwa upole.
"mama Ney nini kinaendelea?"
"samahani bibi Dadima ni binti yangu alikuja kuniona. Ameletwa na Simon"
"eh karibu mjukuu wangu we nimrembo sana"
Yule binti alikuja na miwani alisogea na kumkamata bibi vizuri tena kwa upole.
"bibi ungepumzika kwanza si unaona umekaa nje mda mrefu". Alimuondoa bibi kisha sote tukafuata ndani humo. Mwenzenu nilibaki kuwasha ambulance moyoni tu. Tuliingia hadi sebuleni tukakaa. Simon alikuwa akinitazama sana na kutabasamu. Nikamkonyeza kwamba nini?hakujibu chochote.
"Simon kaka Mohan ameenda kupokelewa. So i need kumpa zawadi aipendayo"
Aliongea binti yule mashauzi mengi nyuma ni mwenzangu na mimi😁.Simon alinyanyuka na kumfuata. Mimi nilibaki na bibi yule ."mwanangu unaitwa nani?""naitwa Naima ila Nazoeleka kwa jina la Ney". Mimi na bibi yule tulionekana kufanana akili. Hivyo, tulipiga story na kucheka kwa pamoja saana. Sikusahau kumpa story ya sambusa za mama Pili. Mzee wa watu alicheka hadi nikaona mapengo. Mida ya kula tuliweka chakula mezani kisha wafanyakazi tukajiweka kwenye meza yetu. Lakini bibi Dadima alitaka nile nae meza moja. Tukapewa chakula cha kiafrika maana pili pili situmii. Binti mashauzi bana alizidi kunitazama vibaya, mimi nikiwa kwenye msosi wala sikuwaza. Alichukuwa maji nakumpa bibi."asante sana Amla"
Hapo ndipo nikajua kama mashauzi anaitwa Amla. Kwenye meza ya wafanyakazi nilimuona binti rika langu. Baada ya chakula nikamfuata alipo tukaanza maongezi.
"mambo naitwa Naima au Ney"
"oh naitwa Mwaju"
Alijibu huku akiwa busy kuangalia mlangoni ."Kuna mtu unamsubiri hapa? mbona unaangalia mlangon?"
"we mwenyewe utamsubiri baada ya kumuona. Anakuja mtoto wa kwanza wa familia hii mjukuu pendwa wa Dadimaa handsome huwezi amini"
"eh ndio aliyekusubirisha hapa au?"
Mwaju badala anijibu alinionyesha kwa ishara mlangoni. Jamani jamani nyie nyie aliingia mkaka mmoja handsome kwanza kapaa hewani macho makubwa mweupe .Nikadhani Sharuh Khan sasaπŸ₯°.
"karibu sana mjukuu wangu handsome wangu. Alikaribishwa kijana huyo na ndipo nikashtuliwa na sauti hiyo ya Dadimaa.
"bibi yangu mrembo aisee naona umezidi kuwa mrembo sana lazima nikuowe sasa!"kijana alizidi kukumbatia familia yake.
"Mohan yupo wapi Raj? maana aliaga anakuja kukuchukuwa airport" "mama amepitiliza club atakuja usiku" mama huyo alichukia baada ya kusikia mwanae ameenda club. Mohan alitambulishwa kwetu na sisi tukatambulishwa kwake. Mohan alinitazama sana na kutabasamu tu. Basi familia ilisambaratika kwenda kupumzika maana walihitaji Mohan apumzike. Wafanyakazi wote tuliambiwa tutabaki hapo maana kesho kuna kazi nyingi.
"excuse me!"
"eeh eeh mimi kaka Mohan"
"hapana huyo mwenzio" Mohan alimshushua Mwaju hadi aibu nyie. Mwaju alikereka na kuondoka kwa hasira. Mim nikamfuata Mohan.
Alinisogele hadi nikabanana na ukuta kisha akaiweka mikono yake ukutani hapo. Huyu Mohan naona anaanza uhuni mapema eheeeee.

Itaendelea......
SEHEMU YA 4
Mohan alinisogelea hadi nikahisi sitapumua tena. Akalisogelea sikio. Nikajua sasa anataka kunikiss. Kisha kwa sauti nzito ile ya kiume akasema nimtayarishie matunda. Baada ya hapo aliniacha na kupandisha ngazi chumbani kwake. Emu ngoja kwanza ndugu msomaji; hivi na mimi nilikuwa nasubiri kiss ya Mohan au shetani shindwa sitaki kumuacha Simon wangu. Aliponiachia sasa ndio nikapumua utadhani nilikuwa nimezamishwa baharini na huyu kiumbe anaitwa Mohan kuomba matunda ndio tubananishane ukutani chefu😏.Niliingia jikoni nikiwa na hasira. Mwaju nae alikuwa kajaa kuliko. Sikumsemesha kitu.
"sasa unavuta mdomo na wewe ulikuwa na handsome?acha maigizo!"
"Mwaju acha hujuwi tu kilichonikuta. Yaani saa hizi watu wamelala, yeye anataka atengenezewe matunda"
"eh fursa hii hapa!emu tengeneza nimpelekee mimi"
Baada ya kutengeneza nilimpa kisha akajiweka vizuri nakupokea.Nilimshangaa kawa na furaha ghafla wakati alikuwa kauvuta mdomo kama kibanio cha mtoto mdogo. Baada ya mwaju kuondoka ,nikaanza kufuata maelekezo ya chumba alichoko mama Ney. Lakini kabla nikifikie chumbani, nilivutwa nikazibwa na mdomo. Muda nafurukuta nijinasue nilihisi mwili unabaridi. Kutazama alikuwa ni Mohan akiwa kifua wazi amevalia taulo. Alionekana anatoka kuoga .Anilinishika kiuno na kunisogeza vizuri kifuani mwake. Mwenzenu kule kujivuruga niachiwe kukaisha shawaaa😁 nikatulia huku sasa tukitazamana usoni.
"matunda nilikuagiza yapo wapi?"
"nili...Nili..."
"shuuuuutt!"
Mohan aliweka kidole chake cha shahada mdomon kwangu nikabak kimya.Nilimsukuma kidogo nikajitoka nakubaki nikiangalia chini. "Mohan hujalala mjukuu wangu?!" niliposikia sauti ya bibi nilijificha nyumba ya mlango."Ah bibi nimemaliza kuoga ndio nataka kulala"Bibi alimtakia usiku mwema kisha akaondoka. Sikusubiri nirudi kushikwa kiuno na huyu mshenzi niliondoka. Nikiwa naelekea chumban kwa mama yangu ghafla nikaitwa na bibi chumbani kwake. "bibi kumbe hujalala" "hapana nilikuwa nikisubiri Raj arudi nimseme lakini naona anakawia wacha nilale"nilimtakia usiku mwema nikaondoka huku nikiahidi kumuuliza maswali kuhsu mjukuu wake. Asubuhi kulikucha mama akiwa anahisi kuumwa hivo Simon akaambiwa ampeleke nyumbani na mimi nikimaliza kazi nitamkuta."Ney mpelekee Raj maji hapo bustanini na kisha Mohan yupo chumba cha Gim"mama aliniagiza akiwa kwenye hekaheka za yote. Nikaona bora nianze na Mohan maana akisikia nampelekea pia na Raj hatanifanya nichelewe. Na kweli nilivofikiria ndivyo ilikuwa. Raj alikuw akiruka kamba huku akiongea na simu. Wazi kwamba alik4uwa akiomba msamaha kwa demu wake sijui hata walikorofishana nini. Hakufua dafu demu alimkatia. Ndipo akageuka na kukutana na sura yangu."ah asante sana nipoze na hasira ziishe""unajua mimi nikiwa na hasira hua nakula tu sambusa za kwa mama Pili"
Raj alishtuka sana na kutaka kufaham meng kuhusu mama Pili huyo. Bas namimi nikampa umbea wote tulicheka kwa pamoja hadi nikasahau ninamgonjwa nyumbani. Msomaji siku zilikatika bila mimi kuonekana kwa kina Mohan tena kwasababu ya kumuangalia mama. Raj alikuja kuniona mara nyingi tu sana na alipenda kula sambusa za kwa mama Pili.Basi usiku mmoja nikiwa nimesharudi kufanya kazi nyumbani kwao,nilitoka kwenda jikoni nikachukue maji. Lakini kabla sijanywa Mohan alikuja na kunikumbatia kwa nyuma. Ghafla kuliwaka mwanga wa camera . Mohan aliniachia nakutoka kutazama ni nani ila hakukuta mtu.

Itaendelea.......
SEHEMU YA 5
Mohan baada ya kukuta hakuna mtu, alirudi nilipo. Kabla hajasema chochote nilimuwahi nikamwambia aniache nikalale. Alitabasamu tu. Ghafla sim yangu ikaingia ujumbe. Nikakumbuka kuwa Simon alisema atanitafuta. Mohan baada ya kuona natoa macho kwenye sim alininyang'anya nakusema kama naitaka nimfuate. Mi sikumfuata wala nini nikamuacha maana najua sim inapassword. Anataka tu nimfuate aanze kunishika kiuno😏. Asubuhi niliamka akiwa bado amelala. Basi nikaenda kumuona mama baada ya kumaliza kazi zangu. Simon alinisindikiza ,alikuwa kanuna balaaa😠.Nikaona nimuombe msamaha kwa kilichotokea jana .
"Simon jana simu..""Ney ushafika kwenu shuka niondoke nina kazi za kufanya nyingi tu"
"Simon nataka tuongee kwa kilichotokea sikuweza ku.."
"Ney mimi sio mtoto mdogo. Tazama ujinga huu na hivi unataka kusema nin"
Simon alinionesha upande wa sms .Msomaji nilishangaa kukuta mazungumzo na nakumbuka kama sim ilibaki na Mohan. Inamaana Mohan ndiye alikuwa akichatt na Simon😳.Simon hakutaka nijieleze sana alirusha vumbi mbio nikabaki kukohoa tu. Nikamuona mama mida ya jioni nikarudi kazini.
"Ney emu njoo unisaidie kuinuka hapa nikapumzike miguu inauma"
"oh bibi wacha nikufanyie masaage tu"nilianza kumkanda bibi miguu hadi akasinzia. Nikawa natoka sasa nimfuate Mohan chumbani kwake anipe sim yangu. Amla alinijia kwa mbele nikiwa kwenye ngazi. Akanivuta hadi bustanini: Mohan na Raj ndio walikuwa wanawasili nyumbani hapo. Simon nae alikuwa na Mwaju.
"Hivi unataka kazi au unataka kushawishi vijana wa humu ndani?" mimi sikujibu zaidi nilimfuata Mohan na kumwambia nina maongezi nae. Walishtuka sana. Amla akauliza."maongezi gani hayo ambayo sisi hatutakiwi kuyajua?".Watu wote walioko hapo walionyesha kutaka kujua nini kinaendelea. Mohan nae alinisogelea na kusema."exactly kitu gani hicho kwann usiseme hapa hapa"Nilikereka na ujinga wa Mohan nikajikuta nimesema kwa sauti "Mohan naomba sim yangu"
"sim??!"Simon na Amla waliuliza kwa mshangao na mshtuko.
"Amla tafadhali wacha Mohan atoe majibu"niliongea hivo baada ya kuona Amla anakiherehere sana.
"sim aliacha chumbani akiwa kitandani kwangu"

Itaendelea.......

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ *1 - - - - - 5* SEHEMU YA 1 Naitwa Naima; ila wengi wananifahamu kwa jina la Ney. Naishi na mama yangu ambaye alinilea

peke yake baada ya baba kupoteza maisha nikiwa tumboni kwa mama yangu. Hivo mwenzenu sikufanikiwa kumuona baba. Kuhusu shule aisee mwenzenu niliishia darasa la 3 primary yaani na hivo ni baada ya kuwa naleta fujo kila siku shuleni. Naima mimi: vigodoro nimo,kwenye kupigana,kufumania yaani kila ghasia nimo.Ila na ujinga wangu wote mwenzenu sijawahi yale mambo yale ya kikubwaπŸ™ˆ na kunywa pombe pia. Mama Ney alisema saana na kudhani nishatumika kitambo kumbe wala Naima mimi. Genge la mama Naima ndio lilitupa chakula na malazi pia. Japo kuna mambo nilikuwa nikimsaidia kwa kuuza mboga mboga aina ya mchicha.Mama alinipenda sana na...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-kijana-wa-kihindi-1-5-sehemu-ya-1-naitwa-naima-ila-wengi-wananifahamu-kwa-jina-la-ney-naish

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-kijana-wa-kihindi
 π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ    SEHEMU YA 15 Alinisogelea kabisa na kunishika mikono huku akiliita jina langu na machozi ya furaha yakamtoka
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 15 Alinisogelea kabisa na kunishika mikono huku akiliita jina langu na machozi ya furaha yakamtoka
 π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ   SEHEMU YA 10 Kwa kweli hali niliyo kuwa nayo sikutaka hata kumjibu,alimaliza akaondoka.
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 10 Kwa kweli hali niliyo kuwa nayo sikutaka hata kumjibu,alimaliza akaondoka.
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 12 Hapo sikusubiri masimango na kudhalilika kwa zaidi, maana jibu alilotoa
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 12 Hapo sikusubiri masimango na kudhalilika kwa zaidi, maana jibu alilotoa
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 17 - 18 Mohan alitoka nje ili mkuu wa shule asijue chochote
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 17 - 18 Mohan alitoka nje ili mkuu wa shule asijue chochote
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 16 Niliwabembeleza watoto wakakubali kula japo kwa mbinde sana
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 16 Niliwabembeleza watoto wakakubali kula japo kwa mbinde sana
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ Itaendelea.... SEHEMU YA 14 Swaumu pia alishtuka akakimbia. Mi
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ Itaendelea.... SEHEMU YA 14 Swaumu pia alishtuka akakimbia. Mi
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 11 Kwanza nilijitoa mikononi mwa Mohan. Kisha familia ikatusogelea. Mama Mohan aliuliza kwa mshangao sana. "nini hiki Mohan?" "mama mimi siwezi
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 11 Kwanza nilijitoa mikononi mwa Mohan. Kisha familia ikatusogelea. Mama Mohan aliuliza kwa mshangao sana. "nini hiki Mohan?" "mama mimi siwezi
 π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ    SEHEMU YA 19 - 20 Baada ya cake kuletwa watoto wangu wote walisogea, birthday boy
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 19 - 20 Baada ya cake kuletwa watoto wangu wote walisogea, birthday boy
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 13 Niligeuka kwa uoga pole pole nilishangaa kumuona Swaumu
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 13 Niligeuka kwa uoga pole pole nilishangaa kumuona Swaumu
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ  SEHEMU YA 8 Nilikimbia ndani kwa Zuri na kujifungia. Aliyekuja
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 8 Nilikimbia ndani kwa Zuri na kujifungia. Aliyekuja
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ ___________________________________  SEHEMU YA 6 Amla na Simon walishtuka sana na jibu la Mohan. Hata mimi nilishtuka maana kasema uongo
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ ___________________________________ SEHEMU YA 6 Amla na Simon walishtuka sana na jibu la Mohan. Hata mimi nilishtuka maana kasema uongo
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ   SEHEMU YA 7 Niligandaa baada ya kumuona Zuri akiwa mbele na Simon akiwa nyuma yake
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 7 Niligandaa baada ya kumuona Zuri akiwa mbele na Simon akiwa nyuma yake
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 9 Mwenzenu picha zilikuwa zile ambazo tulipigwa na Mohan
π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ SEHEMU YA 9 Mwenzenu picha zilikuwa zile ambazo tulipigwa na Mohan
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 100

MY WANGU❀️ sehemu ya 100

771
MY WANGU❀️ sehemu ya 103

MY WANGU❀️ sehemu ya 103

710
MY WANGU❀️ sehemu ya 101 na 102

MY WANGU❀️ sehemu ya 101 na 102

611
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 65πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 65πŸ’˜πŸ’˜

500
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 54 na 55

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 54 na 55

462
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 51

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 51

439
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 53

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 53

397
REALLY LOVE* Chapter 17

REALLY LOVE* Chapter 17

180
REALLY LOVE* Chapter 18

REALLY LOVE* Chapter 18

161
REALLY LOVE* Chapter 19

REALLY LOVE* Chapter 19

143

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.19K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.92K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.69K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.09K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.48K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.42K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.32K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.31K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107
@majario LIVE

Mh. Mie nikajituliza zangu kimyaa. Nishaambiwa mie sio mtamu. Kuma imepanuka nafanyaje sasa . Ila kama ndo kupanuka labda nilivyozaa ila sikuwa na wanaume kabisaa mimi. Yani mpaka nafikia umri...

REALLY LOVE* Chapter 19 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 19
@majario LIVE

muda ulisonga mbele hatimae jioni ya saa kumi ilifika seven akiwa ofisini alinza kujiandaa kitoka kisha akapitia ofisi ya john, aliingia na kumkuta yuko bize na compyuta ""nakuona upo bize jamaa...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 54 na 55 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 54 na 55
@majario LIVE

54 MPAKA 55 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee, nikaanza kuelezea mm. Akaja yeye. Ahaa akasema tu.mimi uyu sijazaa nae . Mh yupo serious. Akasema sijazaa nae kabisa. Kama alivyosema mwenyewe . Alinipa pesa nikatoe mimba...

MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON Post Mpya
MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON
@majario LIVE

Mamlaka ya mawasiliano ya Gabon (HAC), imepiga marufuku huduma za Mitandao ya kijamii kote nchini humo hadi ilani nyingine itakapotolewa. Uamuzi huo unalenga kuzuia unyanyasaji unaofuata na matumizi mabaya ya...

πŸ‡§πŸ‡·β€οΈβ€πŸ©Ή Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr. Post Mpya
πŸ‡§πŸ‡·β€οΈβ€πŸ©Ή Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr.
@majario LIVE

β€œThe CBF stands in solidarity with VinΓ­cius JΓΊnior, victim of yet another act of racism this Tuesday, after scoring for Real Madrid against Benfica in Lisbon." "Racism is a CRIME. It...

Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu.  Kutoka milima ya Anatolia Post Mpya
Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu. Kutoka milima ya Anatolia
@majario LIVE

hadi milango ya Ulaya, kutoka Baghdad mpaka Cairo, bendera ya Uislamu ilipeperushwa juu ya majumba, masoko, na misikiti mikubwa iliyojengwa kwa fahari. Watu waliamini kuwa dola hii ingedumu milele...

REALLY LOVE* Chapter 18 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 18
@majario LIVE

huku sebleni walipo calor walisikia ugomvi wa wazazi wao wanagomben sana chumbani, calor alihisi kabisa itakuwa kuna tatizo tena sio dogo "kwani kun nini jaman cathe mbona kelel nyingi sielewi nimerudi hakuna...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 53 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 53
@majario LIVE

Basi bwana ikabidi nifate ushauri wa mzeee Kesho yake mapema sana .mimi niliamkia ustawi wa jamii posta. Makao makuu kabisa. Nilivyofika pale nikakuta na mwanamama pale . Anaitwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 103 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 103
@majario LIVE

Nimeingia natetemeka mnoo. Mh kulikuwa na taa ya chemli pale. Mlmi na yeye tulionana vizuri. Akanmbia njoo ukae apa nataka tuongee. Kweli mm nikasoge nikaenda kukaa pale. Akaningalia sana yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 101 na 102 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 101 na 102
@majario LIVE

Nikasema ni kweli yusta nimemfanyia mengi mabaya. Najutia na naumia . Ukipata mda mwambie anisamehe sana. Yusta akasema wee wala sitaki kumtibua mume wangu kipenzi. Yani mume wangu akisikia jina...

MY CRAZY BOSS 1 - 5 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 1 - 5
@majario LIVE

MWANZO "Nikiwa nimeketi kwenye benji mimi pamoja na wenzangu kama ishirini hivi nnje ya kampuni ya All Over iliyopo Mikocheni B , ikiwa ni majira ya saa moja kamili asubuhi ambapo...

🚨 ππ‘π„π€πŠπˆππ†: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya VinΓ­cius JΓΊnior Post Mpya
🚨 ππ‘π„π€πŠπˆππ†: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya VinΓ­cius JΓΊnior
@majario LIVE

AKIWA UWANJANI. ⚠️🚫 Mchezaji wa Benfica alimwita NYANI!!! ‼️ VINI AKATAA KUCHEZA!! 😀❌

WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO....... Kazi ya ualimu inahitaji moyo sana jamani, msione kwamba watoto wenu wanafaulu vizuri tu lakini upande mwingine huwa wanapitishwa πŸ˜‚ Sijui mnanielewa bandugu, yani kama sisi walimu wa...

π†π€π‹π€π“π€π’π€π‘π€π˜ πŒπ€πŠπ„ πˆπ“ π…πˆπ•π„! β€οΈπŸ’›πŸ–πŸΌ  𝐖𝐇𝐀𝐓 𝐀 π†π€πŒπ„! 🍿 Post Mpya
π†π€π‹π€π“π€π’π€π‘π€π˜ πŒπ€πŠπ„ πˆπ“ π…πˆπ•π„! β€οΈπŸ’›πŸ–πŸΌ 𝐖𝐇𝐀𝐓 𝐀 π†π€πŒπ„! 🍿
@majario LIVE

Juventus hoi huko kipogo Cha maana kabisaaa hichi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 65πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 65πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Mmmhhh kwa hiyo hemed kumbe ni kamalaya😣😣 hebu ngoja nimpigie simu nimuulize yuko wapiπŸ˜’πŸ˜’ au niende nikamfumanie ili nipate sababu ya kuachana naye kaishaanza kuniudhi et bora niondoke kwake nimuache...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest