Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 02
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 02

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 02

Nilichukua kitambaa changu nakufunga jeraha langu nakuelekea walipo wenzangu. tuliwafikisha kituoni vijana tuliowakamata nakuanza kuwahoji ni wapi walipokuwa wakizitoa bangi na nani anayewauzia bangi  pamoja na madawa ya kulevya.

Tuliamua kutumia nguvu kwa kuwapiga mpaka walianza kusema wenyewe ni nani anayewauzia bangi.
"Kila mtu huwa ana sehemu yake ya kununua bangi kwangu mimi huwa na nunua kwa Cyborg"
"Emu rudia umesema huwa unanunua bangi kwa nani!?" Afande Davi alimuuliza kijana aliyesema kuwa huwa ananunua bangi kwa mme wangu.
"Kwa Cyborg Afande"
Kijana hiyo alimjibu na Afande Davi alinigeukia nakuniambia.
"Mme wako anauza bangi nenda kamkamate mwenyewe uje nae kituoni hapa"
"Mbona sijawahi kumuona akiuza bangi na ata hivyo hatuwezi kwenda kumkamata mtu bira kuwa na ruhusa kutoka kwa mkuu" niliongea na nilipingana na kile alichoniambia Afande Davi.

Afande Davi aliamua kwenda kuongea mwenyewe na mkuu ili wakafanye msako nyumbani kwangu waone kama watabahatika kuona bangi ndani. mkuu aliwaruhusu na mimi niliamua kuongozana nao mpaka nyumbani. Tuliweza kumkuta mme wangu Cyborg akiwa kambeba mtoto wetu.

Cyborg hakushituka alivyotuona kwani alijua wale ni maafande wenzangu ila alikunja sura yake baada ya kumuona Afande Davi.

Cyborg alimuweka mtoto chini nakunisogelea na alipotazama mkono wangu aliona sehemu niliyokuwa nimefunga jeraha langu.
"Malaika nani kakuumiza mkono wako nikakate shingo yake sasa ivi!?"
Cyborg aliongea bira kujali kama nimekuja na asikari wenzangu.
"Hayo mahaba yenu mtaonyeshana baadae tumekuja kufanya ukaguzi humu ndani tuone kama tutapata bangi unazowauzia watu"
"Bangi!!, humu ndani nani kawaambia kuwa kuna bangi!?" Cyborg aliwauliza na mimi nilimwambia awaache wakague waone kama watazipata bangi.

Cyborg alitaka kukichafua kwani macho yake yalibadilika na kuwa kama mtu aliyetoka kuvuta bangi mda mfupi uliopita.

Afande Davi aliingia ndani pamoja na afande wengine tuliokuja nao na mimi ilibidi niwafate. walikagua kila sehemu na hawakuweza kuona bangi yoyote ile ndani.

Afande Davi alifungua droo ninayotunzia chupi zangu nakuanza kukagua chupi moja baada ya nyingine.
"Afande mpaka huko!?"
Mwenzetu aliongea mda huo mimi nilikuwa kimya.
"Mtu akishaolewa na jambazi na yeye anaweza kuwa jambazi mda wowote ule" Afande Davi aliongea huku akiendelea kukagua chupi zangu na aliweza kushika moja ya chupi iliyokuwa imeanza kuisha kwani ilikuwa imechanika.
"Mpaka chupi anashindwa kukununulia" Afande Davi aliongea na mimi niliona anataka kunizoea.

"Naomba tuheshimiane afande!, Cyborg ni mme wangu na ananitia mimi wewe kinachokuuma ni nini!?" nilimuuliza sababu nilijua kinachomusumbua ni wivu wa mimi kuolewa na Cyborg.

Sauti yangu ilimfikia mme wangu aliyekuwa nje na aliamua kuingia ndani na kukuta chupi zangu zimetupwa tupwa hovyo na Afande Davi.
"Yani unashika kabisa chupi za mke wangu wewe malaya!?" mbele ya asikari wenzangu Cyborg alimfata Afande Davi nakuanza kumpiga bira kujali uwepo wetu sisi.

Licha ya mafunzo aliyoyapitia Afande Davi ila hakuwa na uwezo wa kupigana na mme wangu hivyo maafande wenzangu waliingilia na kuwatuliza baada ya kuona Afande Davi kazidiwa.

Kutokana na mme wangu kupigana na asikari walimchukua nakumpeleka kituoni na alipofikishwa alianza kuongea maneno ya kila aina.
"Huyo mjinga mleteni hapa nimfunze adabu haiwezekani ashika chupi za mke wangu" ilikuwa ni aibu kwangu kwa maneno aliyokuwa akiongea mme wangu.

Mkuu wetu wa kazi aliniita baada ya kusikia maneno aliyokuwa akizungumza Cyborg na mimi nilimweleza kila kitu kilichotokea na sikutaka kumficha.

Nilimwambia jinsi Afande Davi alivyokuwa akihitaji niwe mpenzi wake na yote yaliyotokea nyumbani kwangu, kwakuwa mkuu wangu alikuwa akiniheshimu alitoa ruhusa ya Cyborg kuachiwa na mimi nilimchukua mme wangu nakurudi nae nyumbani.

Tukiwa njiani Cyborg aliniuliza.
"Malaika ina maana na wewe ulikuwa unaamini  kuwa kuna bangi ndani ya nyumba yetu?"
"Hapana mme wangu kuna mtu alituambia kuwa umemuuzia bangi"
"Mimi huyu niuze bangi!? huwa nabust tu nikiwa na hamu ila sio kuuza bangi"
Cyborg aliongea na alishangazwa na kile nilichomwambia.

Nilimsimulia kila kitu kilichotokea kuanzia pale tulipopewa kazi na mkuu wetu ya kwenda kukamata wavuta bangi mpaka mimi kupata jeraha kwenye mkono wangu.
"Niambie ni nani huyo aliyekusababishia jeraha kwenye mkono wako nikamfunze adabu sasa ivi, yani mwanamke unayenipa utamu kwenye mizagamuo alafu anatokea mpuuzi na kukuumiza!?" alizungumza huku akiwa na hasira na mimi nilijua ananipenda sana na yupo tayari kufanya chochote kile kwa ajili yangu hivyo niliamua kumtuliza.
"Uliniambia umebadilika kitabia mme wangu kumbe bado upo kama mwanzo?"

Licha ya mimi kuongea vile ila Cyborg alisema "Nikweli nimebadilika ila mtu yoyote atakayekugusa lazima nimfunze adabu na bado afande mwenzako nae nitamfunza adabu haiwezekani ashike chupi zako, kitendo cha yeye kushika chupi zako ni kama amekutia mke wangu"

Kiukweli nilikuwa nikijivunia jinsi Cyborg alivyokuwa akinipenda na kunijali, alikuwa tayari kufanya chochote kile kwa mtu yoyote yule atakaye jaribu kunisogelea na kunikosea. Cyborg aliamini hamna mwanaume mwingine mwenye haki ya kunisogelea zaidi yake........ITAENDELEA.

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 02

PENZI LA MHALIFU 02

Nilichukua kitambaa changu nakufunga jeraha langu nakuelekea walipo wenzangu. tuliwafikisha kituoni vijana tuliowakamata nakuanza kuwahoji ni wapi walipokuwa wakizitoa bangi na nani anayewauzia bangi  pamoja na madawa ya kulevya.

Tuliamua kutumia nguvu kwa kuwapiga mpaka walianza kusema wenyewe ni nani anayewauzia bangi.
"Kila mtu huwa ana sehemu yake ya kununua bangi kwangu mimi huwa na nunua kwa Cyborg"
"Emu rudia umesema huwa unanunua bangi kwa nani!?" Afande Davi alimuuliza kijana aliyesema kuwa huwa ananunua bangi kwa mme wangu.
"Kwa Cyborg Afande"
Kijana hiyo alimjibu na Afande Davi alinigeukia nakuniambia.
"Mme wako anauza bangi nenda kamkamate mwenyewe uje nae kituoni hapa"...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-02

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

896
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

478
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

432
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

411
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

293
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

209
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

194
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

84

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.42K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest