Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 03
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 03

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 03

Tulifika nyumbani nikaamua kumuuliza Cyborg ni wapi alipolala usiku wa jana nae alinijibu.
"Jana nilipata dili la usiku kipenzi ndiyo maana sikurudi nyumbani"
"Dili gani hilo la usiku au uliwakumbuka malaya zako wa zamani na uliamua kulala huko huko" nilimwambia sababu tayari nilikuwa na wivu dhidi yake hasa wa kulala nje.

Sijui Cyborg alinipa nini kwani upendo niliokuwa naye kwake ulikuwa ni wa kipekee ndiyo sababu iliyonifanya nikubali kuolewa nae.

Cyborg badala ya kunijibu kile nilichomuuliza alinisogelea karibu na kushika kiunoni changu. Mapigo yangu ya moyo yalianza kwenda kasi.
"Hakuna malaya anayeweza kufikia utamu wako mke wangu"
"Kwani mimi na utamu gani mpaka uniambie hayo yote!?" nilimuuliza lakini mwenzangu alianza kuvua shati lake.
"Subiri nikuonyeshe utamu ulionao Malaika wangu"
Jamani jamani nilikuwa sijiwezi kwa Cyborg kwani alijua kuziamusha hisia zangu.

Siku hiyo sijui ata utundu wa kumchezea mwanamke aliutoa wapi, nilihisi labda ametoka kuongeza ujuzi kwa kuangalia picha za X.

Cyborg alinichezea kwa usitadi mkubwa na kunifanya nisikie raha ambazo sijawahi kuzisikia toka nizaliwe.

Tulifanya mapenzi na baadae kila mtu alilidhika na kuendelea na mambo yake.

Yakiwa ni majira ya  usiku kuna kijana alikuja nyumbani na alihitaji kuongea na Cyborg.

Cyborg alitoka na kwenda kuongea na kijana aliyekuja pale nyumbani na sikujua waliongea kitu gani ila Cyborg alirudi ndani na kuniambia.
"Malaika kuna sehemu naenda na nikirudi kitu cha kwanza nitakachokifanya nikukuzagamua mke wangu"
"Kwani unasafari ya kwenda wapi usiku huu!?" nilimuuliza ila Cyborg hakutaka kunijibu, aliondoka na kuniacha njia panda.

Nilishindwa kuelewa ni wapi anapoenda na nilianza kuhisi amerudi kwenye kazi zake za kiharifu tena kwa mara nyingi. nikiwa kama asikari nilipanga kumpeleleza mme wangu ili nijue nisehemu gani anayoenda usiku.

Mda wa kulala ulifika pasipo Cyborg kurudi nyumbani na nikiwa nimelala nilisikia nikipapaswa hivyo ilinibidi nishituke, nilimshuhudia Cyborg akiwa tayari amesharudi na ndiye aliyekuwa akinipapasa kwenye mkalio yangu.
"Kabra hujaanza kunizagamua niambie kwanza ni wapi ulipokuwa umeenda!?"
"Kwani una wasiwasi na mimi Malaika wangu!?, siunajua kabisa kwako sijiwezi mpenzi!?. kipindi naingia chumbani nimekukuta umelala huku umebinua makalio yako juu hapa nilipo nimepandwa na stimu za kukutia kipenzi"
Cyborg aliongea huku akijiandaa kunizagamua.

Nilimtuliza kwanza nakumwambia mpaka aniambie ni wapi alipokuwa ndipo na mimi nitamruhusu anitie. Cyborg aliniambia.
"Malaika wangu kwani umesahau kipindi nakufukuzia nilikuambia nini!?"
Cyborg aliniuliza na mimi nilishindwa kumwelewa sababu kabra hatujaoana aliniahidi vitu vingi.

Nilimwambia anikumbushe ni kitu gani ndipo alipoamua kusema.
"Tukiachana na kuzagamuana kila mda nilikuahidi nitakufanya ufurahi Malaika, kwahiyo nimeamua kurudi kwenye kazi yangu ya zamani"
"Kelvin umeamua kurudi kwenye kazi zako za wizi!?"
"Kwa ajili yako Malaika nataka nikununulie gari na kazi ya kunipa hela ya haraka nikuiba na kupola watu"
Cyborg aliongea bira ata kuogopa kuwa na mimi ni asikari.

Niliona kama anataka kunitania hivyo niliamua kumwambia.
"Nataka uninunulia zawadi kama hiyo kwa pesa za halali na sio za wizi, kama unataka niendelee kuwa mke wako acha kazi unayoifanya"
Nilimwambia na Cyborg aliniahidi ataacha kuiba kuanzia siku hiyo.

Tulilala na ilipofika asubuhi nilijiandaa na kwenda kazini kwangu. Nilifika nakukutana na malalamishi ya mtu aliyekuwa amekuja kufungua kesi. Mtu yule alidai alivamiwa usiku uliopita na vibaka na walichukua vitu vya thamani ikiwemo pesa, cheni za dhahabu na vinginevyo.

Mkuu aliniita nakuniambia natakiwa nifanye kazi ya kupeleleza kwa kina vibaka walioiba hivyo vitu.

Nilienda kuchukua maelezo kwa aliyeibiwa ili nipate pakuanzia ila nikiwa namhoji Afande Davi aliweza kufika akiwa kaongozana na Afande Maria aliyekuwa akimtaka mme wangu Cyborg kipindi cha nyuma.

Afande Davi kwa dharau alisogea mahali nilipokuwa nakumwongelesha mtu niliyekuwa namhoji.
"Pole sana ndugu yangu ila unatakiwa uwe makini tu kwani kuna asikari wengine wanaishi na wezi hivyo unaweza kujikuta ukiibiwa kwa mara nyingine tena" Afande Davi aliongea kimafumbo na moja kwa moja nilijua ananilenga mimi.

Nilijiuliza ina maana huyu afande kumnyima kitumbua changu imekuwa kesi mpaka awe ananiongelea vibaya na kusahau kama mimi ni asikari mwenzake!?.

Sikutaka kuongea kitu bali niliendelea kuchukua maelezo kwa mhusika aliyekuja kureport.

Mda wa kazi ulipoisha nilirudi nyumbani na siku hiyo nilimkuta Cyborg akiwa amesharudi kutoka kwenye mihangaiko yake na alikuwa kambeba mtoto wetu huku akicheza nae.
Alimkabizi mtoto kwa mfanyakazi wetu nakuniambia "twende chumbani mke wangu".

Sijui Cyborg alikuwa akitumia vitu gani kwani kila mda alikuwa akishikwa na upwiru ni tofauti na baadhi ya wanaume ambao kushikwa na hamu ya kuweza kumtia mwanamke mpaka watumie dawa za kujibust.........ITAENDELEA.

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 03

PENZI LA MHALIFU 03

Tulifika nyumbani nikaamua kumuuliza Cyborg ni wapi alipolala usiku wa jana nae alinijibu.
"Jana nilipata dili la usiku kipenzi ndiyo maana sikurudi nyumbani"
"Dili gani hilo la usiku au uliwakumbuka malaya zako wa zamani na uliamua kulala huko huko" nilimwambia sababu tayari nilikuwa na wivu dhidi yake hasa wa kulala nje.

Sijui Cyborg alinipa nini kwani upendo niliokuwa naye kwake ulikuwa ni wa kipekee ndiyo sababu iliyonifanya nikubali kuolewa nae.

Cyborg badala ya kunijibu kile nilichomuuliza alinisogelea karibu na kushika kiunoni changu. Mapigo yangu ya moyo yalianza kwenda kasi.
"Hakuna malaya anayeweza kufikia utamu wako mke wangu"
"Kwani mimi na utamu gani mpaka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-03

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

557
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

551
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

471
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

389
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

383
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

262
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

223
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

187
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

142
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

139

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.39K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest