Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 09
Gonga94 ยท Stories

PENZI LA MHALIFU 09

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 09.

Upendo ndani ya ndoa yangu uliongezeka na kuwa wa kipekee zaidi, tangu mara ya mwisho nimuone Cyborg akivuta bangi sikuwahi kumuona tena akivuta bangi hali iliyonifurahisha zaidi.

Siku kadhaa zilipita na kwenye kituo changu cha kazi kulitokea mabadiliko na hapo ndipo kimbembe kingine kilipoanzia kwani mkuu wetu wa kazi aliyekuwepo mwanzo alibadilishwa na kuletwa mwingine aliyekuwa akiitwa Robert.

Akiwa ana siku mbili tu kwenye kituo chetu alituitisha kikao na tulipokuwa kwenye kikao nilishangaa kuona akiniangalia kwa macho ya matamanio huku akichezesha miguu yake nahisi alikuwa ameshasimamisha tayari.

Alitupa utaratibu mpya wa kazi na baada ya kikao kumalizika nilisikia jina langu likitajwa.
"Angel unatakiwa ubaki na maongezi na wewe" Robert aliongea na Asikari wenzangu waliondoka na kuniacha mwenyewe nikiwa na mkuu huyo mpya.

Baada ya kubaki wawili Mkuu aliniambia nisogee sehemu aliyokuwa amekaa kitu kilichozidi kunichanganya. Nilifanya kama alivyoniambia kwa kusogea karibu yake ili nisikilize kitu alichotaka kuniambia.

Nilishangaa kuona akianza kushika makalio yangu na hakutosheka kwani mikono yake alianza kuipeleka kwenye kisima changu, haraka nilisimama na kusogea pembeni ila mkuu alinizuia na kuongea.
"Unaenda wapi Angel sogea basi hapa leo nataka nikupashe" mkuu aliongea bira kuwa na aibu.

Niliona anataka kunitania kwanza alishika makalio yangu bira ruhusa yangu na mtu aliyekuwa na haki ya kushika makalio yangu ni Cyborg tu na sio mwanaume mwingine.

"Mkuu kuwa na adabu unataka umpashe nani!?" Nilimuuliza huku nikiwa sina masihara ata kidogo.
"Mimi ndiyo mkuu wako wa kazi lazima ukubali kutiwa na mimi lasivyo unajitafutia matatizo kwenye hichi kituo na sio wewe tu wanawake wote hapa lazima nipashe kwenye miili yao"
Mkuu huyo aliongea kwa majigambo na mimi niliona kama ni kazi basi ndiyo imeanza.

Nilitaka kutoka nje lakini aliniwahi na kunishika.
"Unaenda wapi huku bado hatujamalizana!?" aliongea huku akiwa kaushika mkono wangu.
"Achia mkono wangu kabra sijapiga kelele kuwa unataka kunibaka bira ridhaa yangu" nilimwambia na vitisho vyangu vilisaidia kwani mkuu aliniachia na mimi nilipata nafasi ya kuondoka huku akiniambia lazima anikomeshe na nitajuta kukataa kumpa utamu.

Nilifika kwenye ofisi yetu ya kazi na kumkuta Afande Neema, aliyeshitushwa kwa ujio wangu kwani sura niliikunja kwa hasira nilizokuwa nazo ata lile tabasamu langu linalowavutia wanaume wengi sikuwa nalo tena.

Afande Neema hakuzoea kuniona nikiwa kwenye hali hiyo hivyo aliamua kuniuliza.
"Afande Angel kuna tatizo gani huko ulikotoka!?"
"Huyu mkuu mpya mjinga sana anataka anitie" nilimwambia bira kumficha Afande Neema.
"Makubwa!!! jana tu kuna asikari mwenzetu nasikia amemzagamua kwenye ofisi yake"
Afande Neema alizungumza na tuliendelea kumjadili mkuu wetu mpya ambae ata wiki alikuwa hajamaliza kwenye kituo chetu lakini tayari alikuwa ameshamzagamua mmoja wetu.

Mda wa kazi uliisha na niliporudi nyumbani sikumkuta Cyborg kwani alikuwa bado hajarudi.

Mida ya saa tatu usiku Cyborg alirudi na alionekana ni mtu mwenye mawazo kitu kilichonishangaza hivyo ilibidi nimuulize.
"Kipenzi unatatizo gani!?"
Nilimuuliza lakini kabra hajanijibu aliniangalia kwanza nakuongea.
"Nimepata habari kuwa kuna mkuu wenu wa kazi mpya anataka umpatie penzi huko kazini kwenu" Cyborg aliongea na kunifanya nishituke sababu ndiyo ilikuwa siku ya kwanza na sikujua nani kampa taarifa zile.

Nilimuuliza lakini hakutaka kuniambia mtu aliyemwambia ila aliniambia atamuua huyo mkuu endapo atajaribu kunizagamua.

Usiku huo ulipita na ilipofika asubuhi nilikuwa na hamu ya kufika kazini mapema ili nikamuulize Afande Neema kama ndiye aliyemwambia Cyborg.

Nilifika kwenye kituoni na nilienda kumuuliza moja kwa moja Afande Neema.

Afande Neema alikubali kuwa ni yeye ndiye aliyemwambia Cyborg ili aweze kunichunga zaidi kitu ambacho sikukubaliana nacho kabisa.
ilibidi nimwambie Afande Neema "usije tena kumwambia habari zangu Cyborg sababu anahasira za karibu ipo siku atasababisha matatizo mwisho anisababishie mimi kuwa kwenye wakati mgumu"
Nilimwambia na Afande Neema alinijibu kuwa hatarudia tena kumwambia Cyborg.

Nakumbuka ilikuwa ni mida
ya saa 8 mchana nililetewa taarifa kuwa nahitajika nje na mkuu wetu wa kazi, nilienda nakumkuta akiwa ndani ya gari lake.

"Panda twende" mkuu aliongea bira kuniangalia machoni.

Niliamua kupanda kwenye gari lake huku nikiwa sujui ni wapi tunapoenda japo niliamini kuwa tunaenda kwenye mambo yetu ya kikazi. nikiwa ndani ya gari nilitumiwa ujumbe na Afande Davi.
"Wengine siunatunyima utamu wako, ngoja tuone kama na huyo utamnyima leo lazima ukaliwe" ulikuwa ni ujumbe wa Afande Davi ulionishitua na kunifanya nitambue kuwa mkuu hana nia njema na mimi.

Ilibidi nimuulize baada ya kusoma ujumbee niliotumiwa na Afande Davi " mkuu kwani tunaenda wapi!?"

Aliniangalia na kunijibu " subiri utaona mwenyewe, ila jua tu tunaenda kwenye mambo ya kikazi" aliongea na baadae alikaa kimya.......ITAENDELEA.

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 09

PENZI LA MHALIFU 09.

Upendo ndani ya ndoa yangu uliongezeka na kuwa wa kipekee zaidi, tangu mara ya mwisho nimuone Cyborg akivuta bangi sikuwahi kumuona tena akivuta bangi hali iliyonifurahisha zaidi.

Siku kadhaa zilipita na kwenye kituo changu cha kazi kulitokea mabadiliko na hapo ndipo kimbembe kingine kilipoanzia kwani mkuu wetu wa kazi aliyekuwepo mwanzo alibadilishwa na kuletwa mwingine aliyekuwa akiitwa Robert.

Akiwa ana siku mbili tu kwenye kituo chetu alituitisha kikao na tulipokuwa kwenye kikao nilishangaa kuona akiniangalia kwa macho ya matamanio huku akichezesha miguu yake nahisi alikuwa ameshasimamisha tayari.

Alitupa utaratibu mpya wa kazi na baada ya kikao kumalizika nilisikia jina...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-09

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

748
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

344
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

342
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16

316
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

162
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

118
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

117
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

106
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

18

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.41K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.74K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.59K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.43K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.41K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.38K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.33K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor โ€” both just starting out โ€” probably had no idea they were about to become such huge stars. Thereโ€™s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. Theyโ€™re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
@majario LIVE

Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba. "Mama umekuja kufanya nini hapa?" Kila mtu akashtuka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote๐Ÿฅฑ. Sasa Dada watu akawa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest