Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 12
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 12

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 12

Jamani nilikuwa kwenye wakati mgumu kwa kipindi hicho na yote yalisababishwa na mkuu wangu wa kazi, kuna mda nilikuwa nikijilaumu kwa jinsi mungu alivyoniumba maana ndiyo sababu ya yote hayo kutokea. Nilijiuliza mbona wenye K wapo wengi tu kwanini boss atake ya kwangu peke yangu na asitafute K zingine?.

Kiukweli wapenzi wasikilizaji nilichukia kuwa na umbo na sura ya kuwavutia wanaume.

Nikiwa kwenye mawazo mda huo huo mkuu wetu alikuwa akiingia kituoni na alipita sehemu niliyokuwa nimesimama na kuniangalia pasipo kuzungumza chochote ata nilipompatia salama hakuipokea kabisa.

Sikutaka kuhangaika nae bali niliamua kwenda kwenye ofisi yangu ila nikiwa njiani nilisikia sauti ikiniongelesha kwa nyuma na ilikuwa sauti ya Afande Davi.
"Huu mwaka utaisoma namba mpaka utaitoa tu K yako kwa mkuu siulininyima mimi" aliongea na kunipita sehemu niliyokuwa nimesimama.

Baada ya Afande Davi kuniambia vile nilianza kuhisi huenda yeye ndiye anayempa habari zangu mkuu na ndiyo sababu inayomfanya asiache kunifatilia. sikuwa na jibu lolote lile na baadae niliamua kwenda kuendelea na kazi zingine.

Nakumbuka siku hiyo mda wa kazi uliisha bira kupata usumbufu wowote ule kutoka kwa mkuu wangu na siku hiyo kidogo moyo wangu ulikuwa na amani ata Cyborg alivyorudi nyumbani alinikuta nikiwa kwenye tabasamu la kimalaika kwenye uso wangu.

Mda wa kulala ulifika na kama ilivyokawaida ya Cyborg hakuwahi kuuchoka mwili wangu na usiku huo alinizagamua kisawa sawa  na tukiwa kwenye mizagamuo simu yangu iliita na huwa sizimi simu usiku hiyo ni kutokana na sheria ya kituo chetu ya kutokuzima simu usiku.

Nilipigiwa mara kadhaa lakini Cyborg hakutaka kunipa nafasi ya kwenda kuipokea zaidi ya sisi kuendelea kufanya mapenzi.

Baada ya Cyborg kumaliza kunizagamu ndipo nilipopata nafasi ya kwenda kushika simu yangu. Nilikutana na missed call kutoka kwa Afande Neema, Afande Davi pamoja na mkuu mwenyewe.

Nilijiuliza imekuwaje mpaka wanitafute wote watatu tena usiku kiasi hicho hivyo niliamua kumtafuta Afande Neema kwa ajili ya kumuuliza.

Afande Neema aliniambia kuwa Mkuu alikuwa na shida na mimi usiku huo na nilitakiwa kwenda kazini mida hiyo kwenye operation ya usiku.

Niliona kama wanataka kunitania japo sheria ilikuwa inakataza kuzima simu ila niliamua kuizima nakuendelea kuuchapa usingizi nikiwa na Cyborg wangu.

Asubuhi na mapema ilifika, nilichukua simu yangu na kuiwasha.

Nilikutana na jumbe mbali mbali huku baadhi zikitoka kwa mkuu mwenyewe na ujumbe mmoja ulikuwa ukinitaka niwahi asubuhi na mapema nikareport kwenye ofisi ya mkuu wangu wa kazi.

Sikutaka kuwahi kama alivyoniambia kwani na mimi nilikuwa nimeshachoka usumbufu wa mkuu wangu.

Nilifika mida ya saa mbili na nilimkuta tayari akiwa ndani ya ofisi yake hivyo niliamua kuingia ndani ya ofisi yake kwa ajili ya kumsikiliza.
"Naona una kiburi sana wewe binti, nilikutumia ujumbe wa kuwahi mapema ila mimi mimefika kabra yako" mkuu aliongea bira ata kutoa salamu kwangu.
"Nilichelewa kuona ujumbe wako mkuu" Baada ya kumjibu aliongea.
"Kama ujumbe ulichelewa kuuona simu ulizokuwa ukipigiwa jana usiku ulikuwa huzioni au ulijifanya umelala huku utaratibu wa kazi unaujua kuwa mda wowote unatakiwa uwe tayari kupokea simu!?" Aliongea kwa mara nyingine huku akiwa na hasira.
"Nimeshasema ilikuwa bahati mbaya mkuu" nilijikuta na mimi nikimjibu kwa dharau baada ya kuona hataki kunielewa ndipo nilipomkasilisha zaidi.
"Unajifanya una kiburi basi kuanzia leo utakuwa kwenye operation za usiku mpaka pale akili zitakapo kukaa sawa" aliongea bira kuniangalia usoni huku akiangalia pembeni.
"Mkuu!!" Nilimwita kwa mshangao sababu sikutegemea kama atachukua maamuzi hayo.

"Nimeshamaliza na kama unataka nibadilishe maamuzi nipe utamu nikuzagamue humu humu kwenye ofisi yangu"

Baada ya yeye kuongea vile niliamua kuondoka huku nikiwa na mawazo kwani asikari wengi tulikuwa hatupendi kupangiwa usiku hasa kwenye operation za kuzunguka.

Nilifika kwenye ofisi yangu na kumkuta Afande Neema na mwonekano niliokuwa nao alijua moja kwa moja kuna tatizo linalonisibu.
"Angel kuna tatizo gani mbona uko hivyo!?" Afande Neema aliniuliza.
"Mkuu kanipangia kwenye operation za usiku"
"Ndio amefikia huko kisa umekataa kumuonjesha penzi lako!?" Afande Neema aliongea na kunipa pole na baadae aliamua kunipa ushauri ulionishangaza.

Afande Neema alinishauri nikubali kufanya mapenzi na Mkuu wetu wa kazi ili niishi kwa amani nakufanya kazi kwa amani lakini sikukubaliana na ushauri wake kwani niliamini ningezidi kuongeza matatizo zaidi hasa Cyborg angegundua.

Siku hiyo nilirudi mapema nyumbani kwa ajili ya kujiandaa ili ikifika jioni ya siku hiyo niende kwenye operation.

Cyborg alirudi nyumbani mida ya jioni na kunikuta nikijiandaa kwenda kazini kitu kilichomshangaza nakuamua kuniuliza.
"Malaika unenda wapi tena!?"
"Naenda kazini, kisa nilikataa kufanya mapenzi na mkuu kaamua kunibadilishia majukumu" nilimjibu na Cyborg alikuwa kama hajasikia vizuri kile nilichokizungumza, aliniuliza zaidi ya mara mbili lakini nilimjibu kuwa naenda kazini.

"Temu hii sitaki kuona unanizuia tena" Cyborg aliongea na kuondoka bira kuniambia ni wapi anapoenda.

Nilichokuwa nikikisikia kwake kipindi anaondoka nikutukana matusi ya kila aina kwa hasira alizokuwa nazo Cyborg....ITAENDELEA

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 12

PENZI LA MHALIFU 12

Jamani nilikuwa kwenye wakati mgumu kwa kipindi hicho na yote yalisababishwa na mkuu wangu wa kazi, kuna mda nilikuwa nikijilaumu kwa jinsi mungu alivyoniumba maana ndiyo sababu ya yote hayo kutokea. Nilijiuliza mbona wenye K wapo wengi tu kwanini boss atake ya kwangu peke yangu na asitafute K zingine?.

Kiukweli wapenzi wasikilizaji nilichukia kuwa na umbo na sura ya kuwavutia wanaume.

Nikiwa kwenye mawazo mda huo huo mkuu wetu alikuwa akiingia kituoni na alipita sehemu niliyokuwa nimesimama na kuniangalia pasipo kuzungumza chochote ata nilipompatia salama hakuipokea kabisa.

Sikutaka kuhangaika nae bali niliamua kwenda kwenye ofisi yangu ila nikiwa njiani nilisikia...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-12

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

898
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

480
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

434
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

413
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

301
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

209
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

206
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

88

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest