Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 15.
Gonga94 ยท Stories

PENZI LA MHALIFU 15.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 15.

Nakumbuka ilikuwa siku ya jumatano, siku hiyo nilikuwa kazini kwenye ofisi niliyokuwa nikikaa mimi pamoja na Afande Neema. Kwenye chumba hicho cha ofisi yetu Afande Neema hakuwepo zaidi ya mimi peke yangu nilikuwa nimekaa mwenyewe tu.

Nilisikia mtu akigonga mlango na kabra sijaenda kufungua aliingia Mkuu wetu na moja kwa moja alinifata mpaka nilipokuwa nimekaa.

Mkuu baada ya kunifikia alianza kunikumbatia huku akitumia nguvu, kitu kilichoanza kuniogopesha kwani mlango hakuufunga baada ya yeye kuingia kwenye ofisi yetu na mtu yoyote kama angetuona basi lazima angehisi natoka nae kimapenzi.
"Unakichaa mkuu!?" nilimwambia lakini bado alizidi kunikumbatia huku akiniziba nisiweze kuona mlangoni.

Baadae niliamua kutumia nguvu kwa kumsukuma. aliamua kujitoa kwenye mikono yangu nakuondoka mwenyewe huku akiwa anatabasamu.

Sikujua ni kwanini aliamua kufanya vile ila mimi niliachana nae na kuendelea na kazi zangu.

Siku hiyo ilipita na siku iliyofata nyumbani kwangu niliona mabadiliko makubwa kutoka kwa Cyborg kwani alipunguza kunichangamkia na alionekana ni mtu mwenye mawazo.

Nilijaribuย  kumuuliza Cyborg tatizo nini mpaka awe kimya kiasi hicho ila Cyborg hakutaka kuniambia.

Siku tatu zilipita huku Cyborg akiwa hana raha kabisa.

Nilizidi kushangaa kwani alikuwa hataki kufanya mapenzi na mimi, na kila tulipokuwa kitandani Cyborg alikuwa akigeukia upande mwingine kabisa kwa kifupi alikuwa hataki tugusane.

Siku hiyo usiku niliamua kumuuliza.
"Cyborg tatizo nini mme wangu mbona sio kawaida yako!?" nilimuuliza ila Cyborg aliniangalia kwa hasira na kuamua kutoka nje bira kunijibu chochote, Kiukweli nilishindwa kuelewa tatizo nini.

ilipita wiki tukiwa hatuna maelewano ndani ya nyumba na Cyborg hakuwahi kufanya mapenzi na mimi.

Ilibidi nimtafute kaka yake na Cyborg na kwenda kuongea nae ili ajaribu kuongea na Cyborg na amuulize tatizo nini. Shemeji aliniambia ataongea na mdogo wake na atayaweka mambo sawa hivyo alinisihi niendelea kuwa mvumilivu na nisichukue maamuzi ya kuachana na mdogo wake.

Maisha hayo niliyazoea japo yalikuwa yananiweka kwenye wakati mgumu kwani nilipoteza tabasamu hasa nilipokuwa kazini, nakumbuka nilikuwa ofisini mimi pamoja na Afande Neema.
Alikuja mkuu wetu wa kazi akiwa kakunja sura na ilionesha ni mtu mwenye hasira.

Alipofika kwenye meza yangu ya kazi alianza kuipiga piga kwa kutumia mikono yake huku akiongea.
"Nenda ukamwambie mme wako aache kutembea na mke wangu lasivyo nitamfanyia kitu kibaya" aliongea na kugeuka kwa ajili ya kuondoka ila niliamua kumuuliza.
"Mme wangu aachane na mke wako!!!?" nilimuuliza lakini hakutaka ata kunijibu zaidi ya kuondoka na kutuacha mimi pamoja na Afande Neema tukimushangaa.

Afande Neema ilibidi aniulize tatizo nini ila nilimjibu sijui chochote kile kilichokuwa kikiendelea.

Nilitamani mda wa kazi uishe haraka ili niweze kwenda nyumbani kwa ajili ya kumuuliza Cyborg.
Hatimae mda wa kazi uliisha na mimi nilirudi nyumbani na kitu cha kwanza nilichotamani kujua nikumuuliza Cyborg ili nifahamu kile kilichokuwa kikiendelea.

Nakumbuka siku hiyo Cyborg alirudi nyumbani mida ya saa 5 usiku, kwanza niliona anataka kunizoea kwa kukaa kimya mbele yangu bira kuniambia sababu inayomfanya akae kimya, nilimfata na kwenda kumkaba.
"Malaika achia shati langu!" Cyborg aliongea akinitaka nimuachie shati lake ila mimi sikutaka kufanya kile alichokuwa akikisema.
"Siwezi kukwachia mpaka uniambie kitu gani kinachoendelea na nani kakupa ruhusa ya kwenda kufanya mapenzi na mke wa mkuu wangu!?" nilimuuliza huku nikiwa namtazama machoni.

Macho yake yalionyesha kuwa ni kweli ameshamzagamua mke wa mkuu wetu sababu hakutaka kuniangalia baada ya kumuuliza vile.

Cyborg aliongea baada ya mimi kumuuliza "mbona wewe umefanya mapenzi na huyo boss wako ila mimi sijakuuliza kitu chochote" Cyborg aliongea kitu kilichonishitua na kunifanya nishangae.
"Mimi Cyborg! lini hiyo nimemvulia chupi yule mpuuzi!?" nilimuuliza na Cyborg hakutaka kuongea sana zaidi ya kuchukua simu yangu nakunionesha picha zilizokuwa kwenye simu yake.

Picha alizonionyesha zilionyesha mimi nikiwa na mkuu wangu wa kazi huku akiwa kanikumbatia na ndipo nilipoikumbuka ile siku mkuu wa kazi aliyokuja ndani ya ofisi yangu nakuanza kulazimisha kunikumbatia.

Ilibidi nimuulize Cyborg "Nani kakutumia izi picha!?"
"Huyo huyo mpuuzi wako na mimi nataka nitembee na mke wake mpaka ajute kufanya mapenzi na wewe haiwezekani ale utamu ninaokula mimi" Cyborg aliongea.
"Niombe msamaha haraka Cyborg kabra sijafanya maamuzi magumu hapa" nilimwambia maana nilikuwa nimeshachukia tayari kwa kitendo cha Cyborg kufanya mapenzi na mke wa boss wangu huku akihisi analipiza kisasi.

Lakini Cyborg alikataa kabisa na kudai yupo sahihi na anafanya vile kwa ajili ya kulipiza kisasi.

Nilimwambia Cyborg kuwa sijafanya chochote kile na mkuu wangu ila hakutaka kunielewa zaidi ya kuendelea kukomalia kuwa nilishafanya nae mapenzi ndiyo maana nilimpa ruhusa ya yeye kunikumbatia.

Nilijikuta nikipata hasira na sikutaka tena kuendelea kukaa nyumbani kwangu.

Niliamua kumchukua mwanangu nakuondoka nae nikibeba na nguo zangu baadhi huku nikimuacha Cyborg pamoja na dada wa kazi nyumbani.

Safari yangu ilinipeleka kwenye nyumba ya wageni, nilienda kuchukua chumba kwa ajili ya kupumzika huku nikiwa na mawazo kutokana na ugomvi uliokuwepo wa ndoa yangu.......ITAENDELEA.

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 15.

PENZI LA MHALIFU 15.

Nakumbuka ilikuwa siku ya jumatano, siku hiyo nilikuwa kazini kwenye ofisi niliyokuwa nikikaa mimi pamoja na Afande Neema. Kwenye chumba hicho cha ofisi yetu Afande Neema hakuwepo zaidi ya mimi peke yangu nilikuwa nimekaa mwenyewe tu.

Nilisikia mtu akigonga mlango na kabra sijaenda kufungua aliingia Mkuu wetu na moja kwa moja alinifata mpaka nilipokuwa nimekaa.

Mkuu baada ya kunifikia alianza kunikumbatia huku akitumia nguvu, kitu kilichoanza kuniogopesha kwani mlango hakuufunga baada ya yeye kuingia kwenye ofisi yetu na mtu yoyote kama angetuona basi lazima angehisi natoka nae kimapenzi.
"Unakichaa mkuu!?" nilimwambia lakini bado alizidi kunikumbatia huku akiniziba nisiweze kuona mlangoni.

Baadae...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

744
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

344
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

341
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16

316
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

162
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

118
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

117
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

106
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

18

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.41K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.74K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.59K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.43K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.41K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.38K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.33K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor โ€” both just starting out โ€” probably had no idea they were about to become such huge stars. Thereโ€™s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. Theyโ€™re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
@majario LIVE

Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba. "Mama umekuja kufanya nini hapa?" Kila mtu akashtuka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote๐Ÿฅฑ. Sasa Dada watu akawa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest