Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 19.
Gonga94 Β· Stories

PENZI LA MHALIFU 19.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 19.

Baada ya kumwambia Cyborg aliniambia nimuachie yeye atajua atakachokifanya. Sikujua Cyborg amepanga kufanya kitu gani.

Siku hiyo ilipita na siku iliyofata Cyborg aliamka asubuhi na mapema bira kuniambia alielekea wapi.

Upande wangu nilisubiri mda wa kazini ufike ili niweze kwenda kazini. Hatimae mda ulifika wa kwenda kazini, niliondoka na siku hiyo tulishangaa asikari karibu wote kutokumuona mkuu wetu kazini baada ya mda wa kazi kuisha pasipo mkuu kuonekana.

Sikutaka kuwaza sana sababu kwa upande wangu ilikuwa ni furaha na nilitamani asiwe anakuja kazini ili niwe naishi kwa amani, niliamua kurudi nyumbani nakuendelea na ratiba zangu.

Cyborg alirudi mida ya saa 4 usiku huku usoni akiwa na tabasamu la kutosha.
"Mbona unatabasamu mme wangu?" ilibidi nilimuulize baada ya kuona tabasamu lake. Cyborg aliongea.
"Kwa sababu mkuu wako nimemshika penyewe hatajaribu tena kukusumbua" Cyborg alinijibu na kunifanya nitamani kujua nini anachomaanisha, Cyborg aliamua kutoa simu yake nakunionyesha.

Cyborg alinionyesha video iliyonifanya nishituke kwani iliwaonesha vijana waliokuwa wamefunika sura zao huku wakimwingilia kinyume na maumbile Mr Robert au mkuu wangu wa kazi aliyekuwa akitoa sauti za malalamishi kwa maumivu aliyokuwa akiyapata.

Nilimwangalia Cyborg maana sikutegemea kama atafanya maamuzi ya aina hiyo.
"Cyborg kwanini mmeamua kumfanyia hivyo!?"
Baada ya kumuuliza Cyborg aliamua kunijibu.
"hiyo ndiyo njia pekee ya watu kama hao, wewe mwenyewe utaona kama atakusumbua tena huko kazini kwako" Cyborg alinijibu na hakuwa na wasiwasi wowote ule.
"Huoni kama unazidi kuongeza matatizo zaidi na kwanini umeamua kurudiana na vijana uliokuwa na urafiki nao zamani!?" nilimuuliza sababu vijana alioshirikiana nao nilihisi ni wale wale waliokuwa wakifanya kazi pamoja ya kukaba watu kipindi cha nyuma.

Cyborg alinitoa hofu kuwa aliwaomba vijana wenzake wamsaidie tu na sio kwamba amerudiana nao.

Cyborg aliniambia kuwa video aliyonayo ndiyo siraha kubwa itakayomfanya Mkuu wangu aache kunisumbua kwani endapo atajaribu tu kunisumbua video ataisambaza na watu wataiona. Kwa upande mwingine nilifarijika maana niliamini nitakuwa huru.

Ilibidi nimuulize Cyborg alifanyeje mpaka kumkamata mkuu wetu na Cyborg aliniambia kuwa mke wa Mr Robert aliamua kuwasaidia kitu kilichonishangaza na nilihisi lazima watakuwa bado wanaendelea na mahusiano.
"Kelvin naomba unieleze vizuri ilikuwaje mpaka mke wake akakubali kukusaidia vinginevyo hatutaelewana kabisa" siku hiyo nilimwita jina lake halisi la Kelvin na sio Cyborg tena kama nilivyokuwa nimezoea kumuita.

"Kwani wewe unataka aendelee kukusumbua?"
Cyborg aliniuliza na mimi nilimjibu.
"Hapana sitaki ila iliwezekanaje kumshawishi mke wake mpaka akakubali kukusaidia au uliamua kufanya nae mapenzi kwanza?"
"Sio hivyo Malaika mimi na yule tumeshamalizana zamani tu ila nilimwambia anisaidie ili nimfanye mme wake asiwe anachepuka hovyo na atulie kwenye ndoa yake, vinginevyo angemletea magonjwa" Cyborg aliongea.
"Kwani anajua kuwa mme wake ameshatolewa marinda?" ilibidi nimuulize kwa mara nyingine.
"hapana hajui chochote kile" Cyborg alianza kunielezea jinsi ilivyotokea.

Aliniambia kuwa Mkewe alimuwekea dawa mmewe kwenye chakula aliyopewa na Cyborg na baadae mmewe alipoteza fahamu hivyo Cyborg pamoja na wenzake walimchukua nakwenda kumfanyia tukio la kumwingilia kinyume na maumbile.

Kiukweli Cyborg kuna mda alikuwa akinichanganya kwani alikuwa akifanya mambo ya kuogopesha lakini kilichokuwa kinanifanya niendelee kuwa nae ni kufanya mambo mengi kwa ajili ya kunitetea na kulinda penzi letu japo mara kadhaa alikuwa akikosea.

Kitu alichokisema Cyborg kilikuwa ni cha kweli kwani tangu mkuu wangu afanyiwe tukio hilo na Cyborg hakuwahi kunisumbua tena wala kunipa kazi za ajabu ajabu kama zamani. Pia ata ule mtindo wake wa kutembea na karibu kila mwanamke aliupunguza na mda mwingi alikuwa akifanya kazi yake kama inavyotakiwa akiwa kama kiongozi wa kituo chetu.

Siku moja tukiwa kwenye kituo chetu cha kazi aliletwa kijana aliyekuwa amekamatwa kutokana na kosa alilokuwa amelifanya la kukaba watu.

Kijana huyo alionekana ni mvuta bangi aliyekuwa akitukana matusi ya kila aina, alikuwa haogopi licha ya yeye kuwa kwenye kituo cha polisi.

Kabra hawajampeleka selo kwa Mbali aliweza kumuona mkuu wetu wa kazi na kumfanya aanze kuongea mbele yetu asikari polisi bira kuwa na aibu yoyote ile.
"Kumbe mke wangu uko hapa wambie vijana wako waniachie haraka lasivyo nitaenda kuwaambia masela wafanye yao" kijana huyo aliongea akimwambia mkuu wetu.

Kila mtu alibaki kwenye mshangao kwani lilikuwa ni kosa kubwa mno la kumwitaΒ  mkuu wetu mke wake......ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 19.

PENZI LA MHALIFU 19.

Baada ya kumwambia Cyborg aliniambia nimuachie yeye atajua atakachokifanya. Sikujua Cyborg amepanga kufanya kitu gani.

Siku hiyo ilipita na siku iliyofata Cyborg aliamka asubuhi na mapema bira kuniambia alielekea wapi.

Upande wangu nilisubiri mda wa kazini ufike ili niweze kwenda kazini. Hatimae mda ulifika wa kwenda kazini, niliondoka na siku hiyo tulishangaa asikari karibu wote kutokumuona mkuu wetu kazini baada ya mda wa kazi kuisha pasipo mkuu kuonekana.

Sikutaka kuwaza sana sababu kwa upande wangu ilikuwa ni furaha na nilitamani asiwe anakuja kazini ili niwe naishi kwa amani, niliamua kurudi nyumbani nakuendelea na ratiba zangu.

Cyborg alirudi mida ya saa 4...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-19

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67

659
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68

557
MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 17 to 18 final

MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 17 to 18 final

287
SHAMIRA 87 MPK. 91      (SEASON FOUR)

SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)

271
SHAMIRA 94 Hadi 96

SHAMIRA 94 Hadi 96

213
SHAMIRA 92 kwa 93

SHAMIRA 92 kwa 93

190
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

182
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6

171
NAKUPENDA BILA  13 - 25

NAKUPENDA BILA 13 - 25

171
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35

136

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.79K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.5K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.85K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.34K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.96K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.93K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.76K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.74K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.68K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.6K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45
@majario LIVE

:36 Sijapenda kabisa, binti alisema wanapika kwao, ina maana wewe huli kabisa huko nje kwasababu una uwezo au ni kwasababu gani. Kumbuka na wewe hapa umeajiriwa kwaajili yangu, kwanini haujali hisia...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68
@majario LIVE

IMETOKAAAAA SEASON YA MWISHOOO SEASON 4 Nikasema ahaa kaka nipo busy sana na nabanwa na kazi, na kuna mda nalala kazini, kka akanmbia au sio unanidanganya na mm mdogo wangu, we...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Na kesho yake mapema sana mimi.niliamkia kazini , na nilipofika tu job,nikaongea na uyo afande mnige, ni mshikaji wangu tu uyu baba ,na huwa ananiitaga boss, mana nimempita...

SHAMIRA 94 Hadi 96 Post Mpya
SHAMIRA 94 Hadi 96
@majario LIVE

SHAMIRA Sehemu ya 94 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana mimi sijawah.akasema basi mimi niliwahi kuza mwenzio ila kwa bahati mbaya nilikosa il uchungu niliuona aswaa. Unauma sana shoga...

MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 17 to 18 final Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 17 to 18 final
@majario LIVE

* * MTUNZI: SMILE SHINE EP 17. Mikononi mwake nilikuwa sarama, siku ya ndoa, ilifika na vicram tulimualika na familia yake, kama wao walivyofanya, ila hii ndoa nilijua kupendeza jamani, nilipaka na Hina yangu...

SHAMIRA 92 kwa 93 Post Mpya
SHAMIRA 92 kwa 93
@majario LIVE

SHAMIRA Mwandishi; lissa wa huru media Sehemu ya 92 Basi bwana siku zikapita kidogo nikawa nipo apa naendelea na kazi zangu ili iki kitoto hapana . Kina tabia mbaya jamani mh...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35
@majario LIVE

:26 Nikacheka na kusema β€œMuanko ana muda sasa, hacheki na yeyote, yaani tabasamu lake tangu nifike pale sijaliona dada hivi unanielewa.” Alinitazama akisema β€œeenh chaupole wangu nipe nipe.” Nilimtazama na kusema β€œwewe tena...

NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA  ​Episode 1 Post Mpya
NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA ​Episode 1
@majario LIVE

​Mvua ya rasha rasha ilikuwa ikidondoka jijini Dar es Salaam, ikichanganyika na moshi wa magari na kelele za wapita njia. Nilikuwa nimesimama kando ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi, nikisubiri...

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“   SEHEMU YA "6"πŸ’“πŸ˜½ Post Mpya
BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“ SEHEMU YA "6"πŸ’“πŸ˜½
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Basi bwana kakabaki ka laki na nusu nikasema hatakama kesho sipiki lazima tu niende road nikatafute chakuniinguzia pesa Mnakuja nn πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ vitoto vya mskini sisi akili ni...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7
@majario LIVE

πŸ“ Mwandishi:lissa mwalla Reyhan kwel ananifanyia mm hiv?niliumia sana huku nikimuangalia ivan anaonfoka zake.reyhan akasema imeisha hio huwez nifanyia mm umalaya ww,unanijua unaskia?sasa uneshakua malaya kweli washkaj malizaneni nae m najikataa.aliongea huku...

NAKUPENDA BILA  13 - 25 Post Mpya
NAKUPENDA BILA 13 - 25
@majario LIVE

MIPAKA:13 β€œKeti tafadhali.” Nilimtazama, yeye hapo hata hajainua uso wake. Nilimeza mate nikaketi hapo moyoni najisemesha β€œwenye hela wana ringa jamani kwani si anitazame hata.” Nilipoketi aliniinua uso wake na kunikabidhi karatasi akisema...

SHAMIRA 87 MPK. 91      (SEASON FOUR) Post Mpya
SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ SHAMIRA Sehemu ya 87 Mwandishi; lissa wa huru media Siku iyo sasa nimeenda kazini. Ile nimefika tu asubuh love akainiita mh nikaogopa nikahisi au nimeharibu sehemu.mana kufika na kufika nimeitwa.nijaenda kisha ...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6
@majario LIVE

πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“ Mwandishi:lissa mwalla Sasa hapo ndio nimekwisha sasa,uwiii,niliogopa nikamsukuma ivan,akasema nani huyo?nikasema ni ticha,akasema ticha wako ndio anakufata mpaka huku?mm nikatoa tu macho,ivan akasema subir hapa,nikasema sawa,akanyanyuka akavaa nguo akatoka mm name...

SHAMIRA 82 MPK  86   Post Mpya
SHAMIRA 82 MPK 86
@majario LIVE

(SEASON FOUR) (HURU MEDIA) πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ SHAMIRA Sehemu ya 82 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shoga yenu maisha yakaanza dodoma sasa. Nikawa nipo na kiakiba changu ndo kinanisapoti naendesha maisha mdogo mdogo. Apo...

ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5 Post Mpya
ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA Ni majira ya jioni ikiwa ni muda mfupi tokea ametoka bafuni kuoga kwa ajiri ya kujiandaa aweze kurudi nyumbani mara baada muda wa kazi kuisha, Isabela akiwa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest