Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 19.
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 19.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 19.

Baada ya kumwambia Cyborg aliniambia nimuachie yeye atajua atakachokifanya. Sikujua Cyborg amepanga kufanya kitu gani.

Siku hiyo ilipita na siku iliyofata Cyborg aliamka asubuhi na mapema bira kuniambia alielekea wapi.

Upande wangu nilisubiri mda wa kazini ufike ili niweze kwenda kazini. Hatimae mda ulifika wa kwenda kazini, niliondoka na siku hiyo tulishangaa asikari karibu wote kutokumuona mkuu wetu kazini baada ya mda wa kazi kuisha pasipo mkuu kuonekana.

Sikutaka kuwaza sana sababu kwa upande wangu ilikuwa ni furaha na nilitamani asiwe anakuja kazini ili niwe naishi kwa amani, niliamua kurudi nyumbani nakuendelea na ratiba zangu.

Cyborg alirudi mida ya saa 4 usiku huku usoni akiwa na tabasamu la kutosha.
"Mbona unatabasamu mme wangu?" ilibidi nilimuulize baada ya kuona tabasamu lake. Cyborg aliongea.
"Kwa sababu mkuu wako nimemshika penyewe hatajaribu tena kukusumbua" Cyborg alinijibu na kunifanya nitamani kujua nini anachomaanisha, Cyborg aliamua kutoa simu yake nakunionyesha.

Cyborg alinionyesha video iliyonifanya nishituke kwani iliwaonesha vijana waliokuwa wamefunika sura zao huku wakimwingilia kinyume na maumbile Mr Robert au mkuu wangu wa kazi aliyekuwa akitoa sauti za malalamishi kwa maumivu aliyokuwa akiyapata.

Nilimwangalia Cyborg maana sikutegemea kama atafanya maamuzi ya aina hiyo.
"Cyborg kwanini mmeamua kumfanyia hivyo!?"
Baada ya kumuuliza Cyborg aliamua kunijibu.
"hiyo ndiyo njia pekee ya watu kama hao, wewe mwenyewe utaona kama atakusumbua tena huko kazini kwako" Cyborg alinijibu na hakuwa na wasiwasi wowote ule.
"Huoni kama unazidi kuongeza matatizo zaidi na kwanini umeamua kurudiana na vijana uliokuwa na urafiki nao zamani!?" nilimuuliza sababu vijana alioshirikiana nao nilihisi ni wale wale waliokuwa wakifanya kazi pamoja ya kukaba watu kipindi cha nyuma.

Cyborg alinitoa hofu kuwa aliwaomba vijana wenzake wamsaidie tu na sio kwamba amerudiana nao.

Cyborg aliniambia kuwa video aliyonayo ndiyo siraha kubwa itakayomfanya Mkuu wangu aache kunisumbua kwani endapo atajaribu tu kunisumbua video ataisambaza na watu wataiona. Kwa upande mwingine nilifarijika maana niliamini nitakuwa huru.

Ilibidi nimuulize Cyborg alifanyeje mpaka kumkamata mkuu wetu na Cyborg aliniambia kuwa mke wa Mr Robert aliamua kuwasaidia kitu kilichonishangaza na nilihisi lazima watakuwa bado wanaendelea na mahusiano.
"Kelvin naomba unieleze vizuri ilikuwaje mpaka mke wake akakubali kukusaidia vinginevyo hatutaelewana kabisa" siku hiyo nilimwita jina lake halisi la Kelvin na sio Cyborg tena kama nilivyokuwa nimezoea kumuita.

"Kwani wewe unataka aendelee kukusumbua?"
Cyborg aliniuliza na mimi nilimjibu.
"Hapana sitaki ila iliwezekanaje kumshawishi mke wake mpaka akakubali kukusaidia au uliamua kufanya nae mapenzi kwanza?"
"Sio hivyo Malaika mimi na yule tumeshamalizana zamani tu ila nilimwambia anisaidie ili nimfanye mme wake asiwe anachepuka hovyo na atulie kwenye ndoa yake, vinginevyo angemletea magonjwa" Cyborg aliongea.
"Kwani anajua kuwa mme wake ameshatolewa marinda?" ilibidi nimuulize kwa mara nyingine.
"hapana hajui chochote kile" Cyborg alianza kunielezea jinsi ilivyotokea.

Aliniambia kuwa Mkewe alimuwekea dawa mmewe kwenye chakula aliyopewa na Cyborg na baadae mmewe alipoteza fahamu hivyo Cyborg pamoja na wenzake walimchukua nakwenda kumfanyia tukio la kumwingilia kinyume na maumbile.

Kiukweli Cyborg kuna mda alikuwa akinichanganya kwani alikuwa akifanya mambo ya kuogopesha lakini kilichokuwa kinanifanya niendelee kuwa nae ni kufanya mambo mengi kwa ajili ya kunitetea na kulinda penzi letu japo mara kadhaa alikuwa akikosea.

Kitu alichokisema Cyborg kilikuwa ni cha kweli kwani tangu mkuu wangu afanyiwe tukio hilo na Cyborg hakuwahi kunisumbua tena wala kunipa kazi za ajabu ajabu kama zamani. Pia ata ule mtindo wake wa kutembea na karibu kila mwanamke aliupunguza na mda mwingi alikuwa akifanya kazi yake kama inavyotakiwa akiwa kama kiongozi wa kituo chetu.

Siku moja tukiwa kwenye kituo chetu cha kazi aliletwa kijana aliyekuwa amekamatwa kutokana na kosa alilokuwa amelifanya la kukaba watu.

Kijana huyo alionekana ni mvuta bangi aliyekuwa akitukana matusi ya kila aina, alikuwa haogopi licha ya yeye kuwa kwenye kituo cha polisi.

Kabra hawajampeleka selo kwa Mbali aliweza kumuona mkuu wetu wa kazi na kumfanya aanze kuongea mbele yetu asikari polisi bira kuwa na aibu yoyote ile.
"Kumbe mke wangu uko hapa wambie vijana wako waniachie haraka lasivyo nitaenda kuwaambia masela wafanye yao" kijana huyo aliongea akimwambia mkuu wetu.

Kila mtu alibaki kwenye mshangao kwani lilikuwa ni kosa kubwa mno la kumwita  mkuu wetu mke wake......ITAENDELEA
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 19.

PENZI LA MHALIFU 19.

Baada ya kumwambia Cyborg aliniambia nimuachie yeye atajua atakachokifanya. Sikujua Cyborg amepanga kufanya kitu gani.

Siku hiyo ilipita na siku iliyofata Cyborg aliamka asubuhi na mapema bira kuniambia alielekea wapi.

Upande wangu nilisubiri mda wa kazini ufike ili niweze kwenda kazini. Hatimae mda ulifika wa kwenda kazini, niliondoka na siku hiyo tulishangaa asikari karibu wote kutokumuona mkuu wetu kazini baada ya mda wa kazi kuisha pasipo mkuu kuonekana.

Sikutaka kuwaza sana sababu kwa upande wangu ilikuwa ni furaha na nilitamani asiwe anakuja kazini ili niwe naishi kwa amani, niliamua kurudi nyumbani nakuendelea na ratiba zangu.

Cyborg alirudi mida ya saa 4...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-19

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

601
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

562
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘

536
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

524
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

362
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

329
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

223
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

65
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

37

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest