Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 25
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 25

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 25

Cyborg aliamua kutumia nguvu na sikutaka kumzuia zaidi ya kumuacha anizagamue japo nilikuwa sina hamu kabisa ya kufanya sex na yeye.

Baada ya kumaliza kunizagumua aliniambia.
"Malaika ina maana utaendelea kununa mpaka lini au umenichoka na unataka tuachane!?"
"Sijakuchoka ila umekuwa ukirudia makosa yale yale karibu kila siku, ina maana nisingewakuta wewe pamoja na huyo mwanamke ulikuwa unamzagamua sindio!?"
nilimuuliza na Cyborg alikiri kweli ningechelewa kidogo tu ningekuta tayari wameshaanza kuzagamuana.

Nilimwambia kuanzia siku hiyo aache kazi ya kuhubiri na atafute kazi nyingine kwani ata kuhubiri kwenyewe ilikuwa ni ilimradi tu ili aweze kujipatia sadaka.

Cyborg alinikubalia, na kwakuwa alikuwa ni mpambanaji alipanga kutafuta kazi nyingine ya kufanya.

Siku iliyofata nilivaa nguo zangu za kiasikari na kwenda kwenye nyumba ya jirani yangu kwa ajili ya kumpiga mkwala, nilienda huku nikiwa nimeshika bastora mkononi.

Nilimwambia jirani yangu asirudie tena kumuwekea mitego Cybrog lasivyo asije kunilaumu kwa maamuzi nitakayoyachukua, jirani aliogopa na baadae aliniahidi hatarudia tena kumtega Cyborg.Tangu siku hiyo jirani alikaa mbali na sisi na hakutufatilia tena.

Siku moja tukiwa tumelala usiku, tulisikia sauti ya mawe yakipondwa kwenye madirisha ya nyumba yetu na kwakuwa madirisha yalikuwa ya vyioo yaliweza kupasuka baada ya kupondwa na mawe.

Mimi na Cyborg tuliamka na kwenda kuangalia mtu aliyefanya tukio hilo ila hatukubahatika kumuona.
"Huyu mjinga gani anayetaka kutuletea michezo ya ajabu!?" Cyborg aliuliza huku akiwa na hasira ata mimi pia nilikuwa kwenye hasira kwani ilikuwa ni hasara kwetu kwa madirisha kupasuliwa.

Usiku huo ulipita na siku iliyofata majira hayo hayo ya usiku tulisikia mtu akilusha jiwe batini, na kutufanya tuamke kwa mara nyingine tena kwa ajili ya kwenda kuangalia.

Tulifika nje lakini hatukuona mtu yoyote yule zaidi ya kukutana na ukimya wa hali ya juu.
"Malaika wewe nenda ukalale mimi nitajificha kwa ajili ya kuangalia ni nani anayetufanyia huu mchezo" Cyborg aliongea na mimi niliamua kurudi ndani nikimuacha Cyborg nje mwenyewe.

Alikaa kwa mda mrefu bira kumuona mhusika. na kwakuwa kulikuwa na kaubaridi Cyborg aliingia ndani na alipofika alinisogelea na kunikumbatia huku akiniandaa kwa ya kufanya sex usiku huo. ile tumeanza kuzagamuana tulisikia jiwe kwa mara nyingine na temu hii halikutupwa moja bali yalitupwa zaidi ya mawe matatu kwa mkupuo.

Cyborg hakutaka kujali kama yupo uchi, alinyenyuka na kuchukua kitenge changu nakutoka mpaka nje, na alipofika alisikia kishindo cha mtu kukimbia.

Cyborg hakutaka kumuacha alianza kumkimbiza huku akiwa ameshika kanga na baadae aliona kanga inamfanya asikimbie vizuri hivyo aliitupa nakuanza kumkimbiza hivyo hivyo akiwa uchi, bahati mbaya hakufanikiwa kumpata.

Cyborg alirudi akiwa uchi na mimi nilipomuuliza aliniambia kuwa hajabahatika kumuona.

"Niachie mimi hiyo kazi mme wangu kesho lazima tumshike na atatueleza vizuri" nilimjibu Cyborg na wote tuliamua kulala.

Siku mbili zilipita bira ya mtu aliyekuwa akituletea usumbufu kuja hivyo tuliamua kuifanyia ukarabati nyumba kwa kuweka vyioo vingine.
Baada ya siku kadhaa kupita tuliweza kupata usumbufu tena na safari hii tulikuwa tumeshajiandaa, mimi na Cyborg tulitoka nje haraka nakuanza kumkimbiza mtu aliyekuwa akileta fujo kwenye nyumba yetu na bahati nzuri Cyborg alifanikiwa kumshika.

Kumbe alikuwa ni yule kijana mvuta bangi niliyempeleka selo wiki kadhaa zilizopita.
"Kumbe wewe ndiyo unayetuletea usumbufu kwenye nyumba yetu?" Cyborg alimuuliza baada ya kumshika.
"Na bado sitaishia hapa tu mpaka malaya wako akubali kunipa kitumbua chake" aliongea na kwakuwa  alikuwa ameshajiandaa alichomoa kisu na kumkata Cyborg kwenye mkono ili amwachie na apate nafasi ya kukimbia.

Mimi ilibidi nichukue siraha yangu na kumpiga risasi ya kichwani kijana aliyemshambulia Cyborg na kufariki hapo hapo.

Sikuwa na wasi wasi wowote ule sababu nilijua nitajitetea vipi kwenye mikono ya sheria.

Nilimuwahi Cyborg na kwenda kuangalia jeraha alilokuwa amelipata.
"Pole mme wangu, huyu mpuuzi ameshakufa tayari" niliongea huku nikijaribu kumpatia huduma ya kwanza Cyborg.

Ilibidi niwapigie simu polisi wenzangu na walipokuja niliwaeleza kila kitu kilichotokea na hakukuwa na kesi tena zaidi ya mwili wa kijana niliyemuua kuchukuliwa na kupelekwa kwa ajili ya kwenda kufanyiwa uchunguzi.

Afande Joel alinipa pole kwa kilichotokea ila aliniambia kuwa ana maongezi na mimi ya private na angeomba tuonane siku nikiwa na mda. sikutaka kumkatilia sababu alikuwa ni mfanyakazi mwenzangu tuliyekuwa tunaheshimiana.
Tulipanga siku ya kukutana kwa ajili ya maongezi kama akivyokuwa akihitaji.

Basi hali ya Cyborg ilitengemaa na siku niliyomuahidi Afande Joel kwa ajili ya kuonana ilifìka.

Nilienda kuonana nae na Afande Joel aliniambia sababu iliyomfanya atake kuonana na mimi.
"Angel utanisamehe kwa hichi nitakachoenda kukwambia" Afande Joel aliongea na nilianza kuhisi kuna kitu alichopanga kuniambia ambacho sio kizuri kwa upande wangu.

Afande Joel aliniambia kuwa ametokea kunipenda na angetamani tuwe kwenye mahusiano ya siri, nilishindwa kuelewa ni kitu gani nilichonacho cha mhimu mpaka ifike hatua karibu kila mwanaume atamani kuwa na mimi huku wakiwa wanajua nimeolewa na nipo kwenye ndoa......ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 25

PENZI LA MHALIFU 25

Cyborg aliamua kutumia nguvu na sikutaka kumzuia zaidi ya kumuacha anizagamue japo nilikuwa sina hamu kabisa ya kufanya sex na yeye.

Baada ya kumaliza kunizagumua aliniambia.
"Malaika ina maana utaendelea kununa mpaka lini au umenichoka na unataka tuachane!?"
"Sijakuchoka ila umekuwa ukirudia makosa yale yale karibu kila siku, ina maana nisingewakuta wewe pamoja na huyo mwanamke ulikuwa unamzagamua sindio!?"
nilimuuliza na Cyborg alikiri kweli ningechelewa kidogo tu ningekuta tayari wameshaanza kuzagamuana.

Nilimwambia kuanzia siku hiyo aache kazi ya kuhubiri na atafute kazi nyingine kwani ata kuhubiri kwenyewe ilikuwa ni ilimradi tu ili aweze kujipatia sadaka.

Cyborg alinikubalia, na kwakuwa alikuwa ni mpambanaji alipanga...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-25

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

710
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

334
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

307
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

280
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

157
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

100
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

93
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

34
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

18

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.41K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.31K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor — both just starting out — probably had no idea they were about to become such huge stars. There’s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. They’re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
@majario LIVE

Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba. "Mama umekuja kufanya nini hapa?" Kila mtu akashtuka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote🥱. Sasa Dada watu akawa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest