Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 25
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 25

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 25

Cyborg aliamua kutumia nguvu na sikutaka kumzuia zaidi ya kumuacha anizagamue japo nilikuwa sina hamu kabisa ya kufanya sex na yeye.

Baada ya kumaliza kunizagumua aliniambia.
"Malaika ina maana utaendelea kununa mpaka lini au umenichoka na unataka tuachane!?"
"Sijakuchoka ila umekuwa ukirudia makosa yale yale karibu kila siku, ina maana nisingewakuta wewe pamoja na huyo mwanamke ulikuwa unamzagamua sindio!?"
nilimuuliza na Cyborg alikiri kweli ningechelewa kidogo tu ningekuta tayari wameshaanza kuzagamuana.

Nilimwambia kuanzia siku hiyo aache kazi ya kuhubiri na atafute kazi nyingine kwani ata kuhubiri kwenyewe ilikuwa ni ilimradi tu ili aweze kujipatia sadaka.

Cyborg alinikubalia, na kwakuwa alikuwa ni mpambanaji alipanga kutafuta kazi nyingine ya kufanya.

Siku iliyofata nilivaa nguo zangu za kiasikari na kwenda kwenye nyumba ya jirani yangu kwa ajili ya kumpiga mkwala, nilienda huku nikiwa nimeshika bastora mkononi.

Nilimwambia jirani yangu asirudie tena kumuwekea mitego Cybrog lasivyo asije kunilaumu kwa maamuzi nitakayoyachukua, jirani aliogopa na baadae aliniahidi hatarudia tena kumtega Cyborg.Tangu siku hiyo jirani alikaa mbali na sisi na hakutufatilia tena.

Siku moja tukiwa tumelala usiku, tulisikia sauti ya mawe yakipondwa kwenye madirisha ya nyumba yetu na kwakuwa madirisha yalikuwa ya vyioo yaliweza kupasuka baada ya kupondwa na mawe.

Mimi na Cyborg tuliamka na kwenda kuangalia mtu aliyefanya tukio hilo ila hatukubahatika kumuona.
"Huyu mjinga gani anayetaka kutuletea michezo ya ajabu!?" Cyborg aliuliza huku akiwa na hasira ata mimi pia nilikuwa kwenye hasira kwani ilikuwa ni hasara kwetu kwa madirisha kupasuliwa.

Usiku huo ulipita na siku iliyofata majira hayo hayo ya usiku tulisikia mtu akilusha jiwe batini, na kutufanya tuamke kwa mara nyingine tena kwa ajili ya kwenda kuangalia.

Tulifika nje lakini hatukuona mtu yoyote yule zaidi ya kukutana na ukimya wa hali ya juu.
"Malaika wewe nenda ukalale mimi nitajificha kwa ajili ya kuangalia ni nani anayetufanyia huu mchezo" Cyborg aliongea na mimi niliamua kurudi ndani nikimuacha Cyborg nje mwenyewe.

Alikaa kwa mda mrefu bira kumuona mhusika. na kwakuwa kulikuwa na kaubaridi Cyborg aliingia ndani na alipofika alinisogelea na kunikumbatia huku akiniandaa kwa ya kufanya sex usiku huo. ile tumeanza kuzagamuana tulisikia jiwe kwa mara nyingine na temu hii halikutupwa moja bali yalitupwa zaidi ya mawe matatu kwa mkupuo.

Cyborg hakutaka kujali kama yupo uchi, alinyenyuka na kuchukua kitenge changu nakutoka mpaka nje, na alipofika alisikia kishindo cha mtu kukimbia.

Cyborg hakutaka kumuacha alianza kumkimbiza huku akiwa ameshika kanga na baadae aliona kanga inamfanya asikimbie vizuri hivyo aliitupa nakuanza kumkimbiza hivyo hivyo akiwa uchi, bahati mbaya hakufanikiwa kumpata.

Cyborg alirudi akiwa uchi na mimi nilipomuuliza aliniambia kuwa hajabahatika kumuona.

"Niachie mimi hiyo kazi mme wangu kesho lazima tumshike na atatueleza vizuri" nilimjibu Cyborg na wote tuliamua kulala.

Siku mbili zilipita bira ya mtu aliyekuwa akituletea usumbufu kuja hivyo tuliamua kuifanyia ukarabati nyumba kwa kuweka vyioo vingine.
Baada ya siku kadhaa kupita tuliweza kupata usumbufu tena na safari hii tulikuwa tumeshajiandaa, mimi na Cyborg tulitoka nje haraka nakuanza kumkimbiza mtu aliyekuwa akileta fujo kwenye nyumba yetu na bahati nzuri Cyborg alifanikiwa kumshika.

Kumbe alikuwa ni yule kijana mvuta bangi niliyempeleka selo wiki kadhaa zilizopita.
"Kumbe wewe ndiyo unayetuletea usumbufu kwenye nyumba yetu?" Cyborg alimuuliza baada ya kumshika.
"Na bado sitaishia hapa tu mpaka malaya wako akubali kunipa kitumbua chake" aliongea na kwakuwa  alikuwa ameshajiandaa alichomoa kisu na kumkata Cyborg kwenye mkono ili amwachie na apate nafasi ya kukimbia.

Mimi ilibidi nichukue siraha yangu na kumpiga risasi ya kichwani kijana aliyemshambulia Cyborg na kufariki hapo hapo.

Sikuwa na wasi wasi wowote ule sababu nilijua nitajitetea vipi kwenye mikono ya sheria.

Nilimuwahi Cyborg na kwenda kuangalia jeraha alilokuwa amelipata.
"Pole mme wangu, huyu mpuuzi ameshakufa tayari" niliongea huku nikijaribu kumpatia huduma ya kwanza Cyborg.

Ilibidi niwapigie simu polisi wenzangu na walipokuja niliwaeleza kila kitu kilichotokea na hakukuwa na kesi tena zaidi ya mwili wa kijana niliyemuua kuchukuliwa na kupelekwa kwa ajili ya kwenda kufanyiwa uchunguzi.

Afande Joel alinipa pole kwa kilichotokea ila aliniambia kuwa ana maongezi na mimi ya private na angeomba tuonane siku nikiwa na mda. sikutaka kumkatilia sababu alikuwa ni mfanyakazi mwenzangu tuliyekuwa tunaheshimiana.
Tulipanga siku ya kukutana kwa ajili ya maongezi kama akivyokuwa akihitaji.

Basi hali ya Cyborg ilitengemaa na siku niliyomuahidi Afande Joel kwa ajili ya kuonana ilifìka.

Nilienda kuonana nae na Afande Joel aliniambia sababu iliyomfanya atake kuonana na mimi.
"Angel utanisamehe kwa hichi nitakachoenda kukwambia" Afande Joel aliongea na nilianza kuhisi kuna kitu alichopanga kuniambia ambacho sio kizuri kwa upande wangu.

Afande Joel aliniambia kuwa ametokea kunipenda na angetamani tuwe kwenye mahusiano ya siri, nilishindwa kuelewa ni kitu gani nilichonacho cha mhimu mpaka ifike hatua karibu kila mwanaume atamani kuwa na mimi huku wakiwa wanajua nimeolewa na nipo kwenye ndoa......ITAENDELEA
Tangazo - General kumbe ulinipenda kweli eee
General kumbe ulinipenda kweli eee
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 25

PENZI LA MHALIFU 25

Cyborg aliamua kutumia nguvu na sikutaka kumzuia zaidi ya kumuacha anizagamue japo nilikuwa sina hamu kabisa ya kufanya sex na yeye.

Baada ya kumaliza kunizagumua aliniambia.
"Malaika ina maana utaendelea kununa mpaka lini au umenichoka na unataka tuachane!?"
"Sijakuchoka ila umekuwa ukirudia makosa yale yale karibu kila siku, ina maana nisingewakuta wewe pamoja na huyo mwanamke ulikuwa unamzagamua sindio!?"
nilimuuliza na Cyborg alikiri kweli ningechelewa kidogo tu ningekuta tayari wameshaanza kuzagamuana.

Nilimwambia kuanzia siku hiyo aache kazi ya kuhubiri na atafute kazi nyingine kwani ata kuhubiri kwenyewe ilikuwa ni ilimradi tu ili aweze kujipatia sadaka.

Cyborg alinikubalia, na kwakuwa alikuwa ni mpambanaji alipanga...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-25

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.14K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.48K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.57K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.31K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.12K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.11K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.04K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

1.96K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest