Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 30
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 30

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 30

Cyborg alianza kumwambia mambo mengine mengi aliyokuwa akiyajua yeye na kumbe kipindi wao wanaongea boss wao alikuwa nyuma yao akisikiliza mazungumzo yao.

Baadae alikohoa na kuwafanya wageuke nyuma na kusitisha kile walichokuwa wakikizungumza..
"Endeleeni tu na maongezi yenu" boss wao aliwaambia ambae ni mchepuko wa Afande Joel na Cyborg hakutaka kusitisha mazungumzo yao zaidi ya kuendelea kuongea.

Mda wa kazi ulipoisha Cyborg alirudi nyumbani na alipofika alinisimulia kila kitu kilichotokea kazini kwao.

Sikutaka kujali kile alichoniambia kwani niliona ni mambo ya kawaida tu.

Basi Cyborg alipoenda kazi siku iliyofata alishangaa kuona akichangamkiwa na boss wake ambae ni mchepuko wa Afande Joel au kwa jina alikuwa akiitawa Salome na siku iliyofata hivyohivyo napo alichangamkiwa.

Cyborg nae aliamua kujiachia na kutengeneza mazoea na boss wake.

Mimi huku nilikuwa sina habari zozote ya kilichokuwa kikiendelea, siku hiyo nilishuhudia Cyborg akija nyumbani na gari hivyo niliamua kumuuliza.
"Cyborg na hii gari umeitoa wapi!?"
"Hii ni ya boss wangu, sasa ivi napatana nae balaa na ananiamini sana" Cyborg aliongea na mimi niliishia kuguna kwa kile alichokiongea.
Basi siku hiyo ilipita na siku iliyofata Cyborg alikuja na gari kwa mara nyingine kama siku iliyopita.

Niliona kuna kitu hakipo sawa hivyo niliamua kumuuliza Cyborg ni kipi kinachoendelea lakini Cyborg alinitoa wasi wasi nakuniambia hamna chochote kile zaidi ya ukaribu alionao kwa boss wake.

Siku hiyo usiku tukiwa tumelala kwa mara kwanza tangu Cyborg anioe hakunigusa yani hakutaka tutiane kabisa.     

Nilishangaa sana sababu haikuwa kawaida ya Cyborg na ata siku ambazo tulikuwa hatufanyi mapenzi basi ilikuwa ni lazima anikumbatie.
"Cyborg kuna tatizo gani mbona leo hutaki ata kunishika!?" ilibidi nimuulize sababu uvumilivu ulinishinda kabisa.
"Malaika leo nimechoka balaa na kingine sijisikii kufanya mapenzi kabisa"
Cyborg alinijibu na kuendelea kulala, nilishindwa kumwelewa kiukweli kwani haikuwa kawaida ya Cyborg. Basi usiku huo ulipita.

Siku iliyofata nikiwa kazini mimi pamoja na asikari wenzangu nilimuona Afande Joel akiwa bize kuongea na simu na baadae aliondoka bira kumuaga mtu yoyote yule.

Sikutaka kufatilia mambo yake ila baada ya mda kupita nilipigiwa simu huku namba ikiwa ni ya mme wangu na sauti iliyosikika haikuwa ya Cyborg bali ilikuwa ni sauti ngeni kabisa ya mwanaume mwingine kwenye masikio yangu.
"Njoo ushuhudia ugomvi ulioko huku wa mme wako" aliongea na kukata simu bira ata kujitambulisha kwangu.

Nilishindwa kuelewa sababu sikujua nisehemu gani ninayotakiwa kwenda na kingine kilichonichanganya zaidi ni baada ya yeye kuniambia kuna ugomvi.

Niliamua kujiongeza mwenyewe kwa kuelekea sehemu aliyokuwa akifanyia kazi Cyborg. ilibidi nichukue usafiri na kuwahi sehemu husika.

Sikuamini kile nilichokikuta kwani niliwakuta baadhi ya watu wakiwa wanahangaika kuwatuliza Cyborg pamoja na Afande Joel na nilipoangalia kwa umakini nilimuona kijana aliyekuwa ameshika simu ya Cyborg na nilipata uhakika wa karibu asilimia zote kuwa ndiye aliyenipigia simu na kunitaka nifike pale haraka na upesi.

Afande Joel alikuwa akiongea maneno ya kila aina akimtuhumu Cyborg kuwa anatembea na mchepuko wake ambae ni Salome huku akimtishia lazimi ampeleke gerezani na upande wa Cyborg kama ilivyokuwa kawaida yake huwa hatuogopi kabisa sisi maasikari aliamua nae kumpolomoshea kila aina ya maneno na matusi kama msenge tu, utanifanya nini wewe fala na mengineyo.

kwanza niliishiwa nguvu kwa ugomvi uliokuwa ukiendelea pale na nikiwa najiandaa kusogea karibu yao ili Cyborg aweze kuniona alitokea boss wao ambae ni mchepuko wa Afande Joel anayeitwa Salome na kuongea.
"Joel mimi na wewe tumeshamalizana sihitaji ulete ugomvi kwenye ofisi yangu bira kuwa na sababu za msingi na ukizingatia wewe ni asikari polisi tena hapo ulipo umevaa uniform za kazi, naomba uondoke" Salome aliongea na baadae Afande Joel niliona akiondoka huku akiwa ni mwenye hasira na alikuwa akitamka matusi ya kila aina.

Sikutaka tena kusogea alipo Cyborg niligeuka kwa ajili ya kuondoka lakini tayari Cyborg alikuwa ameshaniona, aliamua kuja nilipokuwa mimi na alianza kuongea mwenyewe bira ata kumuuliza.
"Malaika hamna chochote kile kinachoendelea ni wivu wa huyo Afande Joel" Cyborg aliongea huku akiwa ni mwenye mashaka.
"Tutaongea tukiwa nyumbani" nilimjibu na kuamua kuondoka nakumuacha mwenyewe.

Sikujua tena kilichokuwa kikiendelea baada ya mimi kuondoka na kiukweli sikuwa na hamu kabisa ya kurudi kituoni ila sikuwa na namna zaidi ya kwenda na kusubiri mpaka pale mda wa kazi utakapoisha ndipo nitakaporudi nyumbani kwa ajili ya kumuuliza vizuri Cyborg.

Mda wa kazi ulipoisha nilirudi nyumbani na kumsubiri Cyborg kwa hamu.

Siku hiyo Cyborg hakurudi na gari la boss wake na alikuja peke yake tu. Aliingia mpaka ndani na baada ya kumuona kitu cha kwanza nilichomuuliza ni kile kilichotokea kazini kwao......ITAENDELEA.
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 30

PENZI LA MHALIFU 30

Cyborg alianza kumwambia mambo mengine mengi aliyokuwa akiyajua yeye na kumbe kipindi wao wanaongea boss wao alikuwa nyuma yao akisikiliza mazungumzo yao.

Baadae alikohoa na kuwafanya wageuke nyuma na kusitisha kile walichokuwa wakikizungumza..
"Endeleeni tu na maongezi yenu" boss wao aliwaambia ambae ni mchepuko wa Afande Joel na Cyborg hakutaka kusitisha mazungumzo yao zaidi ya kuendelea kuongea.

Mda wa kazi ulipoisha Cyborg alirudi nyumbani na alipofika alinisimulia kila kitu kilichotokea kazini kwao.

Sikutaka kujali kile alichoniambia kwani niliona ni mambo ya kawaida tu.

Basi Cyborg alipoenda kazi siku iliyofata alishangaa kuona akichangamkiwa na boss wake ambae ni mchepuko wa Afande Joel...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-30

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

588
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

482
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

472
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

320
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

215
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

86
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

73

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest