Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 42
Gonga94 ยท Stories

PENZI LA MHALIFU 42

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 42

Nilikuwa kwenye wakati mgumu kwa wakati huo kwani nilikuwa sitaki kabisa kuwa na mwanaume mwenye watoto wa nje ya ndoa.

Upande wa chumbani Cyborg baada ya kuona nimechelewa kurudi chumbani uvumilivu ulimshinda, aliamua kuvaa nguo zake na kutoka chumbani.

Alimkuta mfanyakazi na alikutana na taarifa kuhusu mtoto aliyekuja nae huku ikisemekana ni mtoto wake.

Cyborg alimchukua mtoto na kujaribu kumwangalia kama watakuwa wanafanana.
Baada ya kumuangalia Cyborg aliongea.
"Wewe huyu sio mtoto wangu, mimi watoto wangu nawajua"
"Ni wako kaka, wewe ndiye baba yake naomba uamini hilo" mfanyakazi wangu wa zamani aliongea na mimi mda huo nilikuwa nikisikiliza maongezi yao kwani nilikuwa na mawazo yangu.

Sikutaka kuongea chochote zaidi ya kuondoka kwani nilizijua vizuri hasira zangu jinsi zilivyo.

Cyborg aliamua kunifata baada ya kuniona nikielekea chumbani.
"Malaika niamini mimi yule sio mtoto wangu, emu kaangalie masikio yake yalivyo makubwa, ivi kweli kwakuniangalia mimi na masikio ya aina ile!?" Cyborg alijaribu kujitetea lakini maneno yake kwangu hayakuwa na maana kwa wakati huo.

Nilimwambia afanye maamuzi haraka kabra sijachukua mimi maamuzi, Cyborg aliamua kumfata mfanyakazi wetu wa zamani na kuamua kukubali kuwa ni mtoto wake kisha baada ya hapo alimpatia pesa na kumwambia kuwa atakuwa akijitahidi kumtumia pesa za matumizi ya mtoto mara moja moja.

Alikubali kuondoka na kutuacha sisi wenyewe ndani.

Nilibaki nikimulaumu Cyborg kwanini aliamua kunifanyia usaliti kipindi kile na Cyborg alibaki akiniomba msamaha.

Maisha yaliendelea huku Cyborg akijitajidi kutuma pesa kwa mtoto wake wa nje na deni alilokuwa anadaiwa la milion 7 alianza kupunguza kidogo kidogo.

Uzuri biashara ya Cyborg iliendelea kuimalika siku hadi siku huku wateja wake wakizidi kuongezeka.

Siku hiyo nilipigiwa simu na sauti iliyosikika ilikuwa ya mdogo wangu Anna nilitamani kumkatia lakini siku zote damu ni nzito kuliko maji, niliamua kumsikiliza ni kitu gani alichopanga kuniambia.

Aliniomba msamaha kwa kile kilichowahi kutokea kwani hatukuwa na mawasiliano mazuri tangu aondoke na ilitokana na kile kilichotokea cha kufanya mapenzi na Cyborg.

Aliniambia kuwa anataka aje anitembele kitu ambacho sikukubaliana nacho kabisa kwani niliamini wanaweza kunyanduana na Cyborg kwa mara nyingine.

Baada ya kumkatalia mama yangu alinipigia simu na kuniambia kwanini nimepunguza mawasiliano nao na mimi nilimjibu ni ubize wa kazi niliokuwa nao hivyo mama aliniambia kama sitaki Anna aje kwangu basi yeye mwenyewe atakuja kunitembelea na kuongea na mimi ili ajue tatizo ni nini.

Nilimkubalia na niliona bora aje mama kunitembelea ila sio mdogo wangu Anna.

Baada ya siku kadhaa kupita mama alikuja kunitembelea na siku hiyo tulishinda wote na aliniuliza sababu ya mimi kutokuwa na mawasiliano mazuri na mdogo wa Anna. sikutaka kumwambia ukweli kuwa alifanya mapenzi na mme wangu zaidi ya kumwambia kuwa mdogo wangu haniheshimu kama dada yake.

Tuliendelea kuongea na mda wa kulala ulipofika nilibaki njia panda huku nikifikiria nini cha kufanya kwani nilimjua vizuri Cyborg anavyopenda kupiga kelele wakati wa kufanya mapenzi.

Sikuwa na nguvu ata za kupanda kitandani kwa wakati huo.
"Malaika mbona umesimama njoo tulale" Cyborg aliniambia bira kujua mawazo niliyokuwa nayo kwenye kichwa changu. kabra sijamjibu niliamua kutoka chumbani na kwenda sebleni kwani kuna wazo nililokuwa nimelipata.

Nilipofika huko nilichomoa waya wa radio na kuibeba na kuipeleka chumbani.

Cyborg alishangaa kuona nikiingia na radio chumbani.
"Angel radio ya nini tena chumbani!?" aliniuliza ila mimi nilienda kuichomeka kwenye switch na kuiwasha na kuweka sauti ya chini.
"Angel sinakuuliza mke wangu radio ya nini humu chumbani!?" aliniuliza kwa mara nyingine.
"Wewe unavyopenda kupiga kelele wakati wa kufanya mapenzi mara useme tamu mara useme fck you na mama yangu yupo siutaniabisha Cyborg!?" nilimwambia na Cyborg alikubaliana na kile nilichokisema kwani sauti ya radio iliyokuwa ikisikika kwenye chumba chetu ilisaidia kwa kiasi flani ata tulipoanza kufanya mapenzi na Cyborg alipokuwa akipiga kelele zake, sauti ya radio ilisaidia sauti ya Cyborg kutokusikika kwenye chumba alichokuwa amelala mama yangu.

Asubuhi ilipofika nilimsalimia vizuri mama na uzuri hakuweza kugundua chochote kile na siku hiyo alishinda nyumbani kwa mara nyingine.

Usiku kama kawaida yetu mimi pamoja na Cyborg tulikuwa kwenye mizagamuo huku nikiwa nimewasha radio.
Bahati mbaya umeme uliweza kukatika na Cyborg alikuwa akiendelea kuninyandua huku akitamka maneno yake.
"Wewe Cyborg acha sauti inasikika" nilimwambia aacha kuendelea kunizagamua ila Cyborg aliongea.
"Siachi siachi siachi malikia wewe mtamuuu" kwa jinsi alivyokuwa akiongea niliamini ata kama mama alikuwa usingizini mda huo lazima angeamka tu.

Kwakuwa nilikuwa nimeshamjua vizuri mme wangu niliamua kumpa style ambayo huwa inamfanya afike haraka kileleni.

Baada ya kumpa style niliyokuwa nikiiamini Cyborg hakuchelewa alipiga bao na baada ya hapo alijitupa pembeni ya kitanda na kuongea.
"Malaika mbona sisikii sauti ya radio!?" Cyborg aliniuliza na ndipo nilipogundua kuwa akili zake zilikuwa pengine kipindi tunafanya mapenzi.
"Wewe kipindi nakuambia uache kunizagamua ulikuwa ukiendelea tu sijapenda kwakweli" niliongea huku nikigeukia upande mwingine na kumtegea mgongo.
"Basi samahani malaika siunajua upwiru ukinishika nakuwa mtu mwingine kabisa na ulivyo mtamu ndiyo kabisa siwezi ata kujizuia"ย  Cyborg aliongea na mimi mawazo yangu yalikuwa mbali kwa wakati huo.
"Mmmh kesho sijui nitamuangaliaje mama usoni" niliongea lakini Cyborg aliniambia ni jambo dogo hilo na mama ni mtu mzima haina haja ya mimi kuwa na aibu.

Basi tulilala huku Cyborg akiwa kanikumbatia kwa nyuma huku akinigusisha mpini wake wake kwa nyuma kwenye makalio yangu.

Nilikuwa nikiombea asiweze kushikwa na hamu na kuhitaji kuendelea kufanya sex.......ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 42

PENZI LA MHALIFU 42

Nilikuwa kwenye wakati mgumu kwa wakati huo kwani nilikuwa sitaki kabisa kuwa na mwanaume mwenye watoto wa nje ya ndoa.

Upande wa chumbani Cyborg baada ya kuona nimechelewa kurudi chumbani uvumilivu ulimshinda, aliamua kuvaa nguo zake na kutoka chumbani.

Alimkuta mfanyakazi na alikutana na taarifa kuhusu mtoto aliyekuja nae huku ikisemekana ni mtoto wake.

Cyborg alimchukua mtoto na kujaribu kumwangalia kama watakuwa wanafanana.
Baada ya kumuangalia Cyborg aliongea.
"Wewe huyu sio mtoto wangu, mimi watoto wangu nawajua"
"Ni wako kaka, wewe ndiye baba yake naomba uamini hilo" mfanyakazi wangu wa zamani aliongea na mimi mda huo nilikuwa nikisikiliza maongezi yao kwani nilikuwa...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-42

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

748
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

344
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

342
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16

316
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

162
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

119
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

117
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

106
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

18

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.41K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.74K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.59K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.43K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.41K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.38K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.33K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor โ€” both just starting out โ€” probably had no idea they were about to become such huge stars. Thereโ€™s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. Theyโ€™re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
@majario LIVE

Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba. "Mama umekuja kufanya nini hapa?" Kila mtu akashtuka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote๐Ÿฅฑ. Sasa Dada watu akawa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest