Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA 1 - - - - - 5
Gonga94 ยท Stories

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA 1 - - - - - 5

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SEHEMU YA 1
Kwa majina naitwa Lailat Nina miaka 20 nilikuwa naishi Tanzania ila baada ya kumaliza Kidato cha sita wazazi wangu wakanipeleka USA Kwa dadaangu mkubwa. Siwezi sema familia yetu maskini kwasababu nimesoma shule za pesa nyingi sana na sio Mimi tu hata dada zangu wawili wa mwanzo, ambapo mmoja wao alisoma nje ya nchi na akagoma kurudi nyumbani kwasababu alishapata Hadi kazi uko na anaendelea na maisha yake na uyu dadaangu mwengine anaishi Dar es salaam na wazazi wetu yeye ni mkaksi sana Yan sio kama dada Jully ambae yupo marekani uyu Jiana ni yupo serious muda wote ndo maana hata simfagiri Sanaa.

Shule niliosoma Mimi nilichagua masomo kidogo na michezo kwa sana na Nina kabody flani hivi amazing ๐Ÿ˜, alafu Nina karangi mashaAllah Kam mnavyojua sisi kabila letu ni wamburu basi mambo ni๐Ÿ‘Œhatujawai kudisappoint kwenye sekta ya uzuri na pia najua kuzungumza Lugha sita za nchi tofauti tofauti ukiachana na kiingereza maana iyo ni Lugha common sana hata shule tulikuwa tunaitumia kwaiyo izo nyingine ni sita.

Kama nilivyowaambia sasahivi nipo marekani na dada Jully, uyu dadaangu ni mvivu sana Yan hata sijui uko kazini wanamlipa kwanini ๐Ÿคฃ alafu nilisahau kuwaambia uyu dadaangu anafanya kazi kwenye shirika la mambo ya Anga. Siku iyo nilikuwa zangu nyumbani dada kaenda kazini, nimekaa naangalia tv uku nakula popcorn ๐Ÿฟ Nacheka mwenyw na movie kama chizi ๐Ÿคฃdada akapiga simu ghafla nikashangaa maana sio kawaida yake na hata Mimi nikimpigiaga ananifokea anasema kazini kwao haruhusiwi kushika simu ila Leo kanipigia muda wa kazi, somehow nilishangaa ila nikaipokea.

Hata salamu hakuna akaniambia tuu mdogo wangu ingia hapo ndan kwangu chagua nguo nzuri nzuri ya kukushape alafu ivi unaweza kuvaa viatu virefu kwel nikamjibu ndio akasema basi chap vaa hapo kagauni kakukushape vaa na viatu virefu, alafu kaa hapo njee Kuna gari linakuja kukuchukua baada ya dakika 20 kutoka sasa. Yan kabla sijamjibu kashakata simu, aaah nilikasirika ๐Ÿ˜กsababu kamovie kangu kalikuwa kameshanoga Yan mpaka Raha alafu ni vile vipindi kikikupita kishakupita kwaiyo nilikasirika ๐Ÿ˜ก ila sikuwa na budi. Nikafanya kama alivyoniambia nikatoka njee nikakuta hata gar lenyew halijafika nikazidi kukasirika baada ya dakika Tano ndo gari likafika sikutaka hata kuongea nae maana plate number zake nilitajiwa kwaiyo nikafungua mlango akaanza kuendesha na hamna hata aliemuongelesha mwenzie.

Baada ya kama nusu saa tukafika kwenye jengo kubwaa zuri na limedesigniwa kama ndege flani ivi ukiangalia Kwa haraka haraka utasema ilijengo linadondoka, Kwa jinsi nilivyokua nashangaa mpaka yule dereva akaniambia miss funga mdomo ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ nikamuangalia hapo ndo nikaanza kumuuliza Kwan hapa wapi akasema kazini Kwa dadaako, nikamuuliza na wewe Nan maana hata hufananii kama ni dereva upo smart ๐Ÿค“, akasema mm ni mtu tuu ninaejuana na dadaako nikamjibu aaah kumbe akaniambia twende nikupeleke nikamwambia sawa mkaka wawatu akashuka haraka ili aje kunifungulia mlango Mimi sasa na kiherehere changu nikajifungulia mwenyw mlango yule mkaka akaishiwa Hadi pozi ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃmaana nimemkata stimu akaniangalia mpaka nikajishtukia nilivyochizi nikaingia Tena kweny gar ili anifungulie mlango sasa , Yan mpaka yule mkaka akaniuliza Kwan we unamiaka mingapi nikakaa kimya ๐Ÿคฃ maana kaniona mtoto.

Ikambidi anifungulie mlango tu Kisha akaniingiza kweny like jengo, Mimi kazi yangu nikushangaa tuu, mpaka nilivyofika ofisi Kuna watu kama ishirini wabab ndo wengi wamevaa suti na wadada Wachache dadangu akiwa mbele, Yan ni vile mtu anaingia sehemu alafu all eyes on you ๐Ÿคฃ mpaka nikataka kurudi nyuma maybe nimeingilia kikao cha watu ila yule mkaka niliekuja nae akanishika mkono akanipeleka mbele kabisa kweny Ile board ambayo projector ๐Ÿ“ฝ๏ธ inamulikiaga.

Mbaba mmoja akaniuliza kwa kiFaransa Jina lako Nan Binti, hata sikujua kama kauliza kwa kiFaransa nikaitikia vzuri tuu naitwa Lailat, akaniuliza kwa kiphilipino unamiaka mingapi hapo ndo nikajua kumbe mara ya kwanz nimeongea kumbe kiFaransa.

Itaendelea....
SEHEMU YA 2
Nikamjibu kwa kifilipino kama alivyotaka nikamwambia Nina miaka 20. Yule mbaba akaniambia unaweza ukatoka njee. Eeeeh๐Ÿ˜ณ Kwan awa vipi nafika njee nikachukua simu nimpigie dada maana alikuwa kule ndani Bado, kabla hata sijaipiga dada akatoka njee akanishika mkono nikamuuliza Kwan dada Kwan ni Nini kinaendelea akaniambia kuwa na subira mdogo wangu nikamuuliza Tena sasa huku unanipeleka wapi dada Wala hakunijibu akanipeleka kwenye chumba kina vitu kama miti mirefu wakaja wadada watatu nikaambiwa nivue nguo nikawa sitak ila dada akaja akaniambia usiogope bwana na wewe Kwan unadhani wanapanga kukumaliza au embu vua nguo izo nikawa Sina budi nikavua wakaanza kunipima unene wa hips urefu na sijui magonjwa walinipima na kuangalia kama Nina tattoo hata siwaelewi Mimi walivyomaliza nikaruhusiwa kuvaa nguo nikaambiwa nikae njee.

Baada ya dakika 10 dada akaniita kweny kiile chumba nilichoingia mara ya kwanza mpaka wakaniuliza Kwa lugha zingine yule mbaba naona yeye ndo boss sijui maana Kila kitu anaongea yeye akaniambia Lailat Johnson Wambura umeruhusiwa kuanza kazi rasmi na sisi kuwa kama muhudumu wa ndege zetu za air fryer. Nikabaki nimeshangaa tuu sasa walivyomaliza kuongea nikataka niongee na Mimi maana sikupendezwa na kujiamulia kwao ila kabla sijaongea nikaambiwa na dadaangu nisome kwanza mkataba wao nikaona aah ngoja nisome tuu nionekane msomi nakataa kitu baada ya kukielewa.

Nikafika kwenye sehemu ya mshahara sasa, loooooh sijui kwann nilikuwa nawaza kukataaa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ maana nimekuta mshahara Kwa mwezi ni millioni 4.5, kwanza nikaanza kucheka mwenyw na dadaangu alijua tuu kwa jinsi ninavyopenda ela mm, nikaulizwa je upo tayr Mimi ni nani nikatae nikajibu chap na nikauliza naanza kazi lini nikaambiwa kesho alafu Leo utapewa uniform na ratiba zako za kesho nikajibu sawa dada akaniambia nitoke njee mara moja yeye akabaki anaongea nao.

Nilivyotoka njee nikawazaaa nikaona Bora niwajurishe nyumban, baba alifurahi baada ya kusikia hivo akasema Yan Bora watoto wangu wote hawategemei mambo ya urithi wanajimanage na kujiendeshea maisha wenyw, wazazi wangu wakanipa baraka nyingi sana mpaka nikaona kuwa nimefanya uamuzi mzuri. Baada ya kama dakika 5 dada akatoka tukaenda sehemu akanipa begi kubwa la nguo nikamuuliza la Nini akaniambia ni nguo zako za kazi, khaaaa๐Ÿ˜ณ mbona mizito ivo akasema embu acha ushamba na ww sio nguo moja iyo ni nyingi za kuvaa majira tofauti tofauti. Aaaaah kumbe ๐Ÿ˜‚.

Nikabeba mafurushi yangu tukatoka njee na dada yule mkaka alienileta ambae mie namuita dereva akaja nikaona kazubaa zubaa nikamuita we dereva mbona umezubaa ivo siunisaidie kuweka begi kweny buti, dada akanifinya namuuliza Nini sasa akaniambia wewe uyo ni boss wa department ninayofanyia kazi. ๐Ÿ˜ฏ๐Ÿ˜ฏNilikuwa surprised kidogo sasa kama ni boss mbona anajituma hivi Kuna nn hapa kati ya hawa watu ๐Ÿ’, nikamuweka dada kipolo baadae tulivyofika tuu nyumban nikaanza na taarifa za boss wake namuuliza Kuna Nini kati yake na boss wake ๐Ÿ’๐Ÿ˜‚ mbona siwaelewi.

Mimi nimezoeana sana na dadangu kwaiyo mambo yake mengi huwa ananiambia na Mimi yangu mengi huwa namuambia pia so hakuona chakuficha akaniambia uyo boss wake anaitwa Jayson na alishawai kumtongoza nikamuuliza vipi umemkubalia akasema hapana, Hiiiiiii huyu vipi huyu mkaka handsome vile ๐Ÿ‘Œ khaaaa ๐Ÿ˜‚. Nikamuuliza sasa dada wewe unataka mwanaume atoke wapi kama uyu Mungu kamleta ila we bando unamringia sasa unataka Nini weee๐Ÿ˜ณ.

Dada alivyoona mada zinazidi akanikatisha kwakisingizio nikalale kesho kazini nisije nikavimba macho natakiwa nipate usingizi wakutosha ๐Ÿ˜ฉnikamuuliza kwaiyo Leo siangalii movie za usiku, nilivyosema hivo ni kama nilimwambia dada Leo ntaangalia movie usiku kwaiyo toa nyaya zote ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ maana aliinuka akatoa nyaya zote za TV akaingia Nazo chumbani kwake na Mimi nikapelekwa kulala.

Itaendelea...
SEHEMU YA 3
Kesho yake asubuhi na mapema dada akaja kuniamsha Kisha akachukua lile begi langu akanipunguzia nguo akaniwekea vitu muhimu pia akahakikisha nimevaa vizur na make up nikafanyiwa, ila nilipendeza mpaka nikawa najionea wivu, dada akaomba kwanza apige video call nyumbani maana ni siku yangu y kwanza kazini lazima nipate baraka za wazazi na kwel wazazi wakapokea simu nikaongea nao mama akanisisitiza niwe na heshima na niwe mkalimu tu uko kazini nikamjibu sawa, wakaniombea pale maan familia yangu na mambo ya dini ni Pete na kidole. Baada ya kuombewa tukaita Uber mpaka kazini ila nikashangaa dada akanipeleka kwenye ofisi zingine kabisa tofauti na anazofanyia yeye kazi Kisha akataka kuniacha pale njee ya izo ofisi nikamuuliza dada vipi mbona unanitelekeza ๐Ÿ˜‚.


Akanijibu fomu muhimu zote izo hapo we nenda ukajieleze mwenyw uko ndo kazini kwako nenda pale mapokezi mpe izo atakuuliza maswal baadhi Kisha utaruhusiwa Mimi naenda kazini kwangu nshachelewa. ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ hii jamni dada Mimi siwezi kujielezea nilivyomwambia ivo dada Kuna mtu akatusikia mkaka tuu kavaaa kawaida ila ni mzur akaaanza kunicheka nikamgeukia Kwa hasira, nikamuuliza sasa na wewe unacheka Cheka Nini hapa yule mkaka akasema hapana nimefurahi nikamuuliza Kwan umeona Mimi nafurahisha hapa yule mkaka mstaarabu akaniambia basi samahani ila sikupanga nikukwaze dear.

Dada Hapohapo akamuita yule mkaka Kendrick naomba unisaidie kunipelekea mdogo wangu uyo uko mapokezi maana kama unavyomuona Bado mdogo hawezi kujieleza Kendrick akasema sawa. Baada ya kusema hivo dada akaondoka akaniacha na uyo mkaka nisiemjua kwakua nilikuwa mgeni sikuwa na jinsi nikakubali kuwa mnyonge yule mkaka akaniongoza njia mpaka reception. Tumefika pale reception yule mdada wa pale hakuwa na furaha hata, ni kama vile unamkuta mtu na furaha ila baada ya kukuona tuu furaha yote ikakata na sikujua ni kwanini. Nikamsikia anamuuliza Kendrick, boss unajuana na uyo Binti Kendrick akamjibu hapana nimekutana nae tu hapo nje, yule mdada akaguna Kisha akasema sawa nikajua mnajuana.

Baada ya Pale nikapelekwa kweny chumba kimoja hivi cha CEO maana pale njee wameandika CEO kweny kile kibango cha mlangoni nikaingia ndani sasa nikakuta Kuna mkaka mzuri Sanaa Tena zaidi ya Kendrick Yan mpaka nikawa nawaza hii kampuni ni ya majini au mbona Kila mtu ni mzuri hivi, nikasalimiana na yule mkaka akanipa ratiba zangu nikaambiwa nizisome nikpewa na Sheria pia nizisome, nikataka kuondoka ila yule mkaka akakataa akaniambia unaweza ukazisoma hapa hapa tuu. Mmmh sasa yule mkaka anaongea mm namuangalia lips ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ila shetani huyu ๐Ÿ˜‚ alaaniwe na hata yeye pia Kuna muda nilimbamba ananitizama nikawa najichekesha tu kama mlevi mpya. Nikasoma pale ila hamna nilichokielewa zaidi tuu ya taarifa ilioandikwa Ninatakiwa kuwa muhudumu wa ndege ya sikuiyo itakayotoka usiku, maaan muda wote namuangalia yule mkaka Kwa kuibia ibia ๐Ÿ˜‚mpaka nikafumaniwa kwasababu na yeye alikuwa ananiangalia yule mkaka akaniambia unaweza kuniangalia vizur jamani sio sawa kuniangalia Kwa kuibia, daaaah alivyosema ivo akanifanya nipatwe na aibu, nikajitetea hamna bhana nilikuwa sikuangalii wewe akasema mmmh sawa kama ulikuwa huniangaliii Mimi.

Nikasoma zile Sheria Nilivyomaliza akaitwa mdada mmoja hivi ni mzuri uyo na ni mrefu mithili ya twiga, umbo lake sasa Yan inshort she is hot ๐Ÿ”ฅanaitwa Racheal, akaambiwa akanielekeze maana Mimi sijasomea hayo mambo sielewi kitu ni mgeni kabisa na nimechaguliwa kwasababu ya kujua Lugha tofauti tofauti. Nikatoka nae tukaenda kwenye sehemu kuna ndege ya bandia ila kubwa naona ni ya mafunzo ya practical. Yule mdada akawa ananielekeza kupitia Ile ndege ananionyesha ntakavyotakiwa kufanya nianzie wapi na nimalizie wapi. Alikuwa akinifundisha uku tunapiga story akaniuliza Kwan unafahamiana na yule CEO nikamjibu hapana ndo nimemjua Leo akaniambia ujue kwanini nimekuulza ni kwasababu uyo kaka hanaga mazoea na mtu zaidi ya mdogo wake Kendrick ila Leo nimekukuta ofisini kwake na mnapiga story kabisa, nilivyosikia kamtaja Kendrick nikauliza Kendrick gani uyo akasema ni Rubani wa ndege zetu mkaka flani hivi ambae anagombaniwa na anaependwa na wadada wa kampuni nzima. Nikawaza au ndo yule alienileta ila nikajisemea yule mbona haonekani kama ni Rubani nikaamua kupotezea Mimi mambo Yao hayanihusu. Ila nikauliza yule CEO anaitwa nan maana ๐Ÿ˜Œ๐Ÿ˜Œ, Akanijibu anaitwa Freeman ila anamchumba wake tayari.

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Uyu nae kwani nimemuuliza mm mbona anakiherehere. Nikamjibu sawa hongera yake.

Itaendelea..
SEHEMU YA 4
Tulivyomaliza pale nikaambiwa nikapumzike na nile ila sio sana nisije nikaonekana ninakitambi, nikakubali mida ikapita ukafika muda wa kukaribisha abiria nikaja kuamshwa maana mida ya kazi ishaanza Sasa jamani jamani Kuna wadada ni wazuri. Ao wafanya kazi wenzangu duuuh warefu na wanatembea kama twiga Wana madoido Hadi raha na wanajijua ni wazuri Mimi tu wakike binafsi nimeona ni wazuri๐Ÿ˜‚. Wakaja mule ndani nilipo wakabeba mabegi Yao na mie nikafatwa na yule kiongozi tukawa tunaburuza sasa vibegi vyetu kuelekea kweny ndege, hamna moment ambayo mtu unapata bichwa kama hiii, unatamani hata uwapungie watu mkono maana ni mnatembea vizur Kwa madoido alafu Kila mtu anawaangalia unakuwa kama msaanii flani ivi pale airport ๐Ÿ˜‚.

Tukaenda Hadi kwenye ndege mimi kazi yangu haikuwa kuhusu nchi hii, maaana route yetu ilikuwa inaenda France, tukifika huko Mimi ndo nakuwa incharge kweny kuongea kiFaransa, kwaiyo uku wakati wenzangu wanakaribisha abiria na kuwaelekeza, mie nikaambiwa niwahudumie na kuwasikiliza marubani na nikasaidizana na Jane na yeye ni muhudumu mwenzangu yeye alipewa kuhudumia business class, nikaenda sasa kule mbele Kwa marubani nikakuta moja wa Rubani anaepaisha ndege Leo ni Kendrick na uyo mwengine hata simjui nilishangaa ama kwel usimzarau mtu bila ya kumjua maaana mie nilivyomuona muda ule alivyokuwa kavaa baada huwezi zania kama ni rubani, Kendrick alivyoniona tuu akaniambia mrembo vipi ushaweza kujieleza maana upo business class kumbuka, alafu akaanza kucheka.

Yule mwenzie akauliza Kwan hawezi kujieleza Kendrick akamjibu Yan we acha tuu kwanza kaletwa kazini na dadaake, wakaanza kunicheka mie hapo nimefura nikaondoka Kwa hasira nikatoka mpaka alipo Jane uku nimenuna Jane akauliza shida nini kabla sijamjibu nikafatwa na yule alienipa maelekezo Leo akaniambia Rubani anakuita, ๐Ÿ˜กuyu nae Nini. Jane alishangaa nikamuuliza na wewe nini akasema Yan unachukia kwenda kumuhudumia Kendrick nikamuuliza kwani vipi akasema Yan nisikufiche hapa wote sisi hamna asie na crush Kwa uyo Kendrick na hata Mimi ninampenda hatri sema tuu kupewa chance ya kumuhudumia na changamoto na nisikudanganye tumekusema sana kwanini sisi tupo muda wote uo hatujapewa iyo chance na nikwambie za chini chini tunaskia Rubani yeye mwenyw ndo kakuchagua.

Mmmh nilishangaa๐Ÿ˜ณ, nikasema Amna bhan ila ngoja nikawasikilize ao watu uko nikatoka kwend Kwa Kendrick nafika kule nakuta sijui wanamuongelea mschan gani walikuwa hawajaniona, ila nikamsikia Kendrick anasema Yan uyu Binti sijui hata ntampataje Wallahi, napenda sana mabinti wa rangi nyeusi na nahisi ni muafrica Yan Leo ndo nimeamini Kuna love at first sight, mwenzie akaanza kucheka mm mwenyw nikaanza kucheka ndo wakanishtukia Kendrick alishtuka yule mwenzie nae alishtuka mie sasa ndo nshajua Siri ya Kendrick yeye si alikuwa ananitesa na yangu kuwa siwez kujieleza.

Nikamwambia aaaaah Yan mkaka mzuri handsome ila unashindwa kukoconfess feelings zako Kwa mwanamke ๐Ÿซด๐Ÿ˜‚, aibu yako ivi wazazi wako wanajua kwel wamezaa mkaka bwabwa๐Ÿ˜‚ mtu handsome ila kujielezea huwezi khaaaaa shame on you.

Kendrick akaniangalia Kisha akaingiza mkono mfukoni kwake akatoa babrishi akaanza kutafuna Yan kama vile hakupenda ule utani, ila hata sikujali maana yeye mwenyw alikuwa ananitania vile vile kwanini nimtanie Mimi akasirike, nikaondoka zangu hata shida Yao sikuisikiriza.

Itaendelea....
SEHEMU YA 5
Wale ma airhostess wengine wakawa wanatoa maelekezo sijui watu wanatakiwa kufunga mikanda na pia waeke simu zao kweny aeroplane mode nakadharka, mie hata sielewi nipo sehemu ya kuandalia vyakula, Kwa muda ule nilipewa iyo kazi y kuhudumia vyakula ila upande wa kule first class. Yakapita masaa kadhaa na nilikuw nimechoka kama mbwa ๐Ÿ˜‚ jamani izo kazi kweli zina wenywe. Yakapita masaa mengi Tena ndo tukafika France woiiii nilikuwa sitamaniki kwanza nywele zimevurugika maan nilikuwa nimezibana watu wakaanza kushuka, kwenye zile purukushane mie nikaambiwa nimpelekee ruban kahawa maana wao wanashuka kwenye ndege mpaka pale watu wote watakaposhuka.

Nikawa najisemea moyoni uyu Rubani mwenyw sinilikuwa nimegombana nae duuuh mbona mtihani huu, nikaenda nikawa nimekutana nae anaeleka chooni alivyoniona akasimama nikaenda mpaka alipo kabla sijaongea akanivuta chooni alafu akafunga mlango akawa ananiangalia kama mtu aliechoka macho yamelegea alafu anahema polepole, nikamuuliza Nini mbona ivo akanishika kiuno akaniambia sio kama siwez kujieleza Binti ila mambo mengine hayahitaji kuelezewa umeskia, sasa akawa anaongea ivo uku kanigandamiza pembez kweny Kuta moja ya choo nikawa nahemea juu juu aliponimliza akaja Kwa shingoni akawa anaongea sasa Ile hewa yake inatoka ya motomoto Ile ikawa inanitekenya shingoni, duuh Ile Hali mpaka macho yangu yakalegea ila uyu mkaka ni muhuni Sanaa jamni akashusha mkono wake akawa ananipapasa kiuno akawa anaushusha hivi karibu na kweny papuchi kama anaupandisha kiunoni ๐Ÿซข, akamalizia na kunibinya kiuno nilipiga kelele flani ivi, Kendrick akaniachia Kisha akanipa kikaratasi cha chumba cha hoteli ambapo tunaenda kufikia, akaniambia baadae uje tuongee Kisha akaondoka.

Yan kwanza aliacha mule ndani nimekaa kweny choo maana siamini amini nimekaa najishika shingoo sielewi kimentokea Nini nikawa najihisi kama Kuna vitu vinatoka uku kweny papuchi kama mkojo sio mkojo nikashika simu nikataka nimpigie dada nimuulize maana nimezoeana nae sana sema nikapotezea sikumuuliza asije akaona Nina tabia mbaya Bure.

Nikajiweka vizuri nguo nikatoka kama sio Mimi ila Ile Kadi niliiweka kwenye mfuko wa sketi natoka nje nakuta watu washashuka wote wapo wenzangu wanajiandaa wengine washabeba mabegi na Mimi nikawa najiandaa ghafla akapita Kendrick nyuma yangu, nikabaki nimeduwaaa namuangalia tuu Jane akaniuliza vipi bidada mbona wamtizama Sanaa๐Ÿ˜ฌ , nikaona nikamwambia aaah Kuna kitu tuu nimekumbuka sio hata issue kubwa. Akaniambia sawa, baada ya dakika kama Tano akaja mkuu wetu wa kazi Akatuambia muda wa kutoka sasa tukabeba mabegi yetu tukawa tunaondoka, tukaenda kusign maana tupo uwanja wa ndege wa watu baada ya process zote kuisha tukapanda gari kuelekea hotelini ili kujiandaa na safr ya kurudi ya kesho yake usiku Kwa muda up tuliokuwa tumefika ulikuwa ni usiku pia ila sio usiku Sanaa mida ya saa moja.

Tukapelekwa hotelini mule tukapewa vyumba kweny Ile hoteli Sheria zake jinsia moja hawawezi kushare chumba kwaiyo Kila mtu akapewa chumba chake na nilikuwa na kadi ya Pilot Kendrick mkononi ilikuwa imeandikwa chumba namba 390 ya VIP alafu yangu niliopewa pale mapokezi ili namba 300 ya kawaida, Nikaenda tukaweka vitu vyetu Kila mtu akaingia chumbani kwake Mimi sasa nipo nawaza niende au nsiende kwanza nikaenda bafuni kuoga nikajisugua vizuri nikawa nawaza sasa niende au nisiende.

Je nini kItaendelea.....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA 1 - - - - - 5

SEHEMU YA 1
Kwa majina naitwa Lailat Nina miaka 20 nilikuwa naishi Tanzania ila baada ya kumaliza Kidato cha sita wazazi wangu wakanipeleka USA Kwa dadaangu mkubwa. Siwezi sema familia yetu maskini kwasababu nimesoma shule za pesa nyingi sana na sio Mimi tu hata dada zangu wawili wa mwanzo, ambapo mmoja wao alisoma nje ya nchi na akagoma kurudi nyumbani kwasababu alishapata Hadi kazi uko na anaendelea na maisha yake na uyu dadaangu mwengine anaishi Dar es salaam na wazazi wetu yeye ni mkaksi sana Yan sio kama dada Jully ambae yupo marekani uyu Jiana ni yupo serious muda wote ndo...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/pilot-sitaki-inaniogopesha-1-5

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi pilot-sitaki-inaniogopesha
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 13
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 13
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 12
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 12
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 11
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 11
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 14
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 14
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 15
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 15
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 10
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 10
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 8
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 8
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 7
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 7
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 9
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 9
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 6
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68

1.15K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67

1.01K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69

467
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final

378
SHAMIRA 94 Hadi 96

SHAMIRA 94 Hadi 96

307
SHAMIRA 99 na 101

SHAMIRA 99 na 101

298
SHAMIRA 92 kwa 93

SHAMIRA 92 kwa 93

237
SHAMIRA 102 kwa 104

SHAMIRA 102 kwa 104

227
SHAMIRA Sehemu ya 97&98

SHAMIRA Sehemu ya 97&98

218
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35

182

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.79K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.51K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.85K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.34K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.97K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.94K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.77K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.74K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.68K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.61K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Nikasema sawa kama umemfahamu zena sasa, nimemuoa sasa na yeye ni mke wangu pia, jalia akaniangalia sana kisha akasema sawa mimi nimeshajua kuwa umemuoa uyo zena, yeye anajua kuhusu mm,...

SHAMIRA 102 kwa 104 Post Mpya
SHAMIRA 102 kwa 104
@majario LIVE

99. MPK 104 (NARUDIA KUSEMA HURU MEDIA WABABE๐Ÿ˜‚) ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ SHAMIRA Sehemu ya 102 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi walivyomaliza kula love hakuniuliza kitu ata...

JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10
@majario LIVE

๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“ sehemu ya 9 Mwandishi:lissa mwalla Alikua ni Ivan, sikuamin mana sura yake haikubadilika japo alikua amekua, tulitizaman huku mm nikiwa sijui nimsalimie au nimshangililie lkn huyu anajua siri yangu mm nikichofanyiwa kipindi...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Babaaa! Niliita kwa mstuko, baba akasema tayla wee taaaay... Kabla hajamaliza niligeuka nyuma na kuanza kuondoka, kumbe DA frida alikua anatembea na babangu siku zote hizi? Baba kampangia anaishi...

BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "7_8"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ Post Mpya
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "7_8"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Huyu kashaliwa huyu tena usiku kuchaaaa Mama Samson sasa kwa aibu akanipita bila hata kunisalimia Mara zee mapumba hili hapa linatoka likiwa alinafunga xipi yake vzr loooh ๐Ÿคฎ...

SHAMIRA 99 na 101 Post Mpya
SHAMIRA 99 na 101
@majario LIVE

Sehemu ya 99 Mwandishi; lissa wa huru media Mh shoga yenu nikawa ata sijielewi elewi .mala simu yangu ikaingia sms.nikavuata simu .nakuta sms nimetumiwa imeandikwa .asante kwa penzi tamu shamira siajajutia...

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, Post Mpya
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco,
@majario LIVE

Kufuatia uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, mshambuliaji wa Senegal, Sadio Manรฉ, ameonyesha kusikitishwa na...

SHAMIRA Sehemu ya 97&98 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 97&98
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikafika ndani kwake akanmbia kaa kitandani. Mie nikakaa uku sielewi nae akakaa kitandani .kisha akaniangali kwa macho makavu mpka nilishangaa nimemfanya nini...

NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45
@majario LIVE

:36 Sijapenda kabisa, binti alisema wanapika kwao, ina maana wewe huli kabisa huko nje kwasababu una uwezo au ni kwasababu gani. Kumbuka na wewe hapa umeajiriwa kwaajili yangu, kwanini haujali hisia...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68
@majario LIVE

IMETOKAAAAA SEASON YA MWISHOOO SEASON 4 Nikasema ahaa kaka nipo busy sana na nabanwa na kazi, na kuna mda nalala kazini, kka akanmbia au sio unanidanganya na mm mdogo wangu, we...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Mwandiishi; LISSA Na kesho yake mapema sana mimi.niliamkia kazini , na nilipofika tu job,nikaongea na uyo afande mnige, ni mshikaji wangu tu uyu baba ,na huwa ananiitaga boss, mana nimempita...

SHAMIRA 94 Hadi 96 Post Mpya
SHAMIRA 94 Hadi 96
@majario LIVE

SHAMIRA Sehemu ya 94 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana mimi sijawah.akasema basi mimi niliwahi kuza mwenzio ila kwa bahati mbaya nilikosa il uchungu niliuona aswaa. Unauma sana shoga...

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final
@majario LIVE

* * MTUNZI: SMILE SHINE EP 17. Mikononi mwake nilikuwa sarama, siku ya ndoa, ilifika na vicram tulimualika na familia yake, kama wao walivyofanya, ila hii ndoa nilijua kupendeza jamani, nilipaka na Hina yangu...

SHAMIRA 92 kwa 93 Post Mpya
SHAMIRA 92 kwa 93
@majario LIVE

SHAMIRA Mwandishi; lissa wa huru media Sehemu ya 92 Basi bwana siku zikapita kidogo nikawa nipo apa naendelea na kazi zangu ili iki kitoto hapana . Kina tabia mbaya jamani mh...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35
@majario LIVE

:26 Nikacheka na kusema โ€œMuanko ana muda sasa, hacheki na yeyote, yaani tabasamu lake tangu nifike pale sijaliona dada hivi unanielewa.โ€ Alinitazama akisema โ€œeenh chaupole wangu nipe nipe.โ€ Nilimtazama na kusema โ€œwewe tena...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest