Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

SIMPENDI MFANYAKAZI WETU  ?EPISODE 1
Gonga94 · Stories

SIMPENDI MFANYAKAZI WETU ?EPISODE 1

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SIMPENDI MFANYAKAZI WETU
?EPISODE 1
?
?Kwa majina naitwa happy adui yangu mkubwa kwenye maisha yangu ni mtu maskini mimi natoka katika familiya ya kitajili sana na nawachukia chukia sana maskini sababu sijuwi nawaonaje ila siwapendi tu nikiwaona naona kama nmeona kinyesi hivi... tena kibaya zaidi nilikuwa nawaona tu mitaani lakini mama akaamua amlete maskini nyumbani kabisa jina lake ni Rashid ametokea ndani ndani uko sijuwi ni mwisho wa upepo lakini nilitokea kumchukia sana haiwezekani nyumba ya matajiri anakuja maskini mmoja .....
?
?
? HISTORIA YA RASHID
??????????????????????
?Maisha ya Rashidi hayakuwa rahisi hata kidogo. Alizaliwa katika familia maskini, kwenye kijiji ambacho kilisahaulika na dunia. Baba yake alifariki akiwa mdogo, na mama yake, mwanamke jasiri lakini aliyekandamizwa na umasikini, alijitahidi kuwalea yeye na wadogo zake.
?
?Alikuwa na ndoto. Alitaka kusoma, kuwa mtu mkubwa maishani, lakini ndoto zake zilivunjwa vipande vipande pale alipomaliza darasa la saba na kukosa kabisa njia ya kuendelea mbele. Baba mdogo wake, aliyepaswa kumlea baada ya kifo cha baba yake, alimchukia na kudiriki hata kumfukuza kwa maneno ya kejeli .....
?"Huna akili, hata kama ningekuwa na pesa,ningekukodia majambazi wakuue unatumalizia hewa ,hewa imekua nzito sababu ya uwepo masikini mbwa taka taka
?," alimuambia siku moja kwa dharau.
?
?Rashidi aliona ndoto zake zikififia. Alijua kuwa hakukuwa na msaada wowote. Hakuna aliyemjali. Kila siku alishuhudia mama yake akihangaika, akienda kwenye mashamba ya watu kulima kwa ujira wa chakula kidogo tu. Wadogo zake walimwangalia kwa macho ya tumaini, wakidhani labda angeweza kuwaokoa kutoka kwenye janga la umasikini.
?
?Lakini angewezaje, wakati hata yeye alikuwa akihangaika?
?Hatimaye, alichukua uamuzi mgumu. Aliamua kuondoka kijijini, kutafuta kazi mjini. Alianza kuuza maji kutembeza tembeza karanga
?
?Bahati mbaya, mjini hakukuwa kama alivyotarajia. Alihangaika mitaani, akifanya vibarua vya hapa na pale kubeba mizigo sokoni, kufagia maduka, na wakati mwingine hata kulala njaa.
?
?Tuanze sasa baada ya kumjua RASHID
????????????????
?
?Siku moja, wakati akiwa amechoka na kukata tamaa, alikutana na mama yangu. Alikuwa akitoka sokoni, mikono yake ikiwa imebeba mifuko mizito ya vyakula. Rashidi, kwa uchovu wake wote lakini aliwaona vijana wakinyemelea mizgo ya yule mama .....
?mara ghafla wale watu walikwapua na kuanza kukimbia
?"msaaada jamaani " mama alipiga ukunga ..na kukaa chini huku kakishikilia kichwa chake .....
?
? Rashid alitoka mbio mbip na kuanza kuwakimbiza walikatisha vichochoro vingi lakini Bado alikuwa yupo nao sambamba alizidi kuwakimbiza waliweza kusalimu amri na kusema chukua vitu vyako na uende tuache na maisha yetu
?
?" kwanini mnaiba sasa?
?" kaka ni maisha tu tunapambana"
?" siku mtachomwa moto "
?" tutabadilika tusamehe kaka"
?"bahati yenu! Haya tokeni hapa"
?Akawatishia walitoka mbio sana yeye akabeba vitu na kurudi navyo ....
?
?Mama akiwa kakata tamaa maana hata pochi yake yenye kadi ya benki pamoja na vitu vingine kama simu na hela vilikuwa vishachukuliwa hivyo ilikuwa kajikatia tamaa tu ...mara akasikia sauti
?" mama pole lakini shukuru mungu nimewakamata chukua vitu vyako "
?
?Mama aligeuka haraka na kumkuta kijana Rashidi akiwa nyuma yake na anamkabidhi vitu vyake mama alifurahi sana ....
?.
?Mama yangu alimshukuru sana Rashid . pia mama Aliona macho yake yalivyochoka, lakini yenye heshima na ujasiri.
?
?"samahani mwanangu unafanya kazi gani"
?"mama maisha ya kuuunga unga popote kambi . Tunapambana angalau mkono uende kinywani ". Mama alimuonea huruma na akakumbuka nyumbani kuna kazi nyingi ambazo mimi siwezi kufanya pekee yangu na kila siku nilikuwa nafanya kizembe zembe sasa akaona amchukue kama fadhila kwa wema alio mtendea ....
?
?
?"Unatafuta kazi?" mama yangu aliuliza.
?
?"Ndiyo, mama. Kazi yoyote, bora nipate mahali pa kulala na chakula," Rashidi alijibu kwa sauti ya unyenyekevu.
?
?Mama yangu alimtazama kwa muda, kisha akatabasamu kwa huruma
?"Njoo nyumbani kwangu," alisema. "Tutakupa kazi."
?
?Na hivyo ndivyo Rashidi alivyoingia kwenywe maisha yetu. Kazi aliyopata ilikuwa ya kuwa mfanyakazi wa ndani house boy. Alikuwa na sehemu ya kulala, chakula cha uhakika, na mazingira salama si unajua sisi matajiri hatuna dogo.
?
?Lakini hakujua kuwa sehemu moja ya maisha yake ingekuwa jehanamu.
?Nilikuja kuwa kama jinamizi lake.
?
?Basi majira ya usiku mama aliingia na mlinzi alifungua geti baada ya kusikia honi. Na nilifurahi sana maana mama sijamuoana takribani siku nzima na navyompenda mama yangu huniambiii kitu
?
?Nilimkimbilia na kumkumbatia mama yangu lakini Ghafla nikasikia mlango ukifunguliwa niligeuka kwa mashaka ghafla akatoka rashidi akiwa kabeba rambo yenye nguo zake alikuwa kapauka usoni kama anafanya kazi dampo ..
?
?"kheeee mama huyu marambo ni nani tena mbona kapauka uso kama anafanya kazi dampooo"
?
?" acha maneno ya hovyo bila huyu kaka sijuwi ningeweka wapi sura yangu.
?
? Nilipolwa vitu vyote hyu ndo malaika mlinzi wangu wa leo "kisha akamwambia rashidi huyu anaitwa Happy ni mwanangu mpendwa akanigeukia
?
?"huyu ni Rashid kuanzia leo atakuwa mfanyakazi wetu hapa . Mkaribishe na muonyeshe mazingira kesho asubuhi atalala kile chumba alichokuwa analala mjomba wako"
?Nilichukia chumba kile ni kizuri jamani na kina tv leo maskini huyu alale kwenye hiki chumba kweli wakati katoka huko na ananuka majasho ya kimaskini leo alale nyumba ya kitajiri kweli .....
?
?Tuliingia ndani lakini mimi sikupendezwa naye hata kidogo kutokana na alivyo ni vile tu damu zetu haziendani hata kidogo .......na kweli namchukia tu.
?Tulipoingia ndani baada ya kumuonyesha chumba
?
?" Rashidi hilo jasho lako la mtaani hutakiwi kuingia nalo kwenye familia hii ya kitajiri ,maana maskini kama nyinyi mnatakiwa mlale dampooooo".
?
?Rashid hakunijibu chochote zaidi zaidi alishukuru na kuniuliza "bafu iko wapi?"
?Nilimlekeza kwa hasira kisha nikaenda kumcheki mama na kuwa na mazungumzo naye ......
?
?CHUMBANI KWA MAMA ......
?????????????????
?"Nina uhakika hata hana elimu ya maana," nilimwambia mama yangu
?
?"Lakini, mwenzako amejituma, na ni kijana mwema na sioni kama ni mtu mbaya," alijibu kwa utulivu.
?
?"sawa mama wewe unasema hivo lakini unaweza kufuga na kulea jambazi likaja kutuua maana wabaya wanajificha kwa watu wema "
?."nenda ukalale tutaongea kesho sawa ,usiku mwema nenda kalale byeee nakupenda mwanangu "
?
?" byeee mom uwe na usiku mwema"nilitoka na kurudi chumbani kwangu nilichukua mitooo na kutupa tupa huku na kule na kun'gata meno
?" huyu maskini nitamkomesha sio siri
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SIMPENDI MFANYAKAZI WETU ?EPISODE 1

SIMPENDI MFANYAKAZI WETU
?EPISODE 1
?
?Kwa majina naitwa happy adui yangu mkubwa kwenye maisha yangu ni mtu maskini mimi natoka katika familiya ya kitajili sana na nawachukia chukia sana maskini sababu sijuwi nawaonaje ila siwapendi tu nikiwaona naona kama nmeona kinyesi hivi... tena kibaya zaidi nilikuwa nawaona tu mitaani lakini mama akaamua amlete maskini nyumbani kabisa jina lake ni Rashid ametokea ndani ndani uko sijuwi ni mwisho wa upepo lakini nilitokea kumchukia sana haiwezekani nyumba ya matajiri anakuja maskini mmoja .....
?
?
? HISTORIA YA RASHID
??????????????????????
?Maisha ya Rashidi hayakuwa rahisi hata kidogo....

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/simpendi-mfanyakazi-wetu-episode-1

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi simpendi-mfanyakazi-wetu-episode
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

580
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

468
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

468
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

318
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

209
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

83
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

67

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest