Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦__; π‰π€πŒπ€ππˆ π’π€π‹πŒπ€ 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️    𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š    SEHEM YA 01
Gonga94 Β· Stories

π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦__; π‰π€πŒπ€ππˆ π’π€π‹πŒπ€ 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️ 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEM YA 01

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

ANZA NAYO

Ni Jumapili Siku Tulivu sana Majira ya Sakumi na Mbili Jioni kijana Sky Akiwa Jiani Kuelekea Nyumbn kwa mpenz wake

Sky hakumwambia Mpenz Wake kama Anaenda Jioni ile Alitaka iwe Surprise Baada Ya Kufika Maeneo ya Tabata Alipak gari mbalii Kidogo Kisha akatembea Uku akitabasam Kabla Hata Haijafika Eneo Lile
Baada ya Kufika Aliona Geti limerudishwa Tu Ikawa Rahis Kwake kuingia Bila kusumbua Wenyeji

Sky na Mary Ni Wapenz wa Muda SΓ sa Walikutana Chuo Wote walisomea Udaktar Na Kumaliza Mwaka Mmoja Uliopita sΓ sa Wakiw na Mwaka Mmoja Tu tangu waajiliwe Sky Siku ya Leo aliamua Kumsuprs marry KWA Kumvisha Pete ya Uchumba Na Amuombe Kumuoa Aliamua Kwenda Bila Hata Kumpa Taarifa

Baada Ya Kusukuma Geti Sky Alichokiona Kwanza Hakuyaamin Macho yake Ilikua Gafla Sana Hata Marry alishtuka Ni Baada Ya Kumkuta Akiwa na Baba Mtu mzima Wamepakatana Huku wakipeana Mabusu ya Maana Sky Ikabidi asogee Karibu Kuhakiki anacho kiona "Marry What's Doing??(Marry Unafanya Nini)"
"Ndo Nini SΓ sa Kuingia KWA Watu bila Hata Hodi" aliuliza Huku akionesha Kuchukizwa sana Na Kile Kitendo "Afadhar Umekuja Muda Muafaka Huyu ndio mume wangu mtarajiwa" Marry aliendelea Kumpa Habar Sky kana Kwamba Sio Mpenz Wake "Marry Mbona skuelew " "Ambacho huelewi Nini Sky Mimi nawew Ilikua Enzi zile Za Utoto now KILA Mtu ajitafute Hayaa Unaweza Kwenda mimi nawew Tumeshamaliza" Sky alishuka Chini Na Magoti Na Kushika Miguu ya Marry Akilia na Kuomba msamaha "Marry Kama Kuna Sehem Nmeteleza Mpnz Wangu Naomba πŸ™πŸ™ Unisamehe Kumbuka Tulipo Toka😭Ona Mwenzio Nmekuja Kukuvesha Pete hiii Tafadhali Naomba Upokee Uchumba Wangu Marry Siezi Mie Bila Wewe Marry Plzz My Girl"πŸ™πŸ™ "Oya Dogo kwani Husikiii Mwanamke hakutak I Mwanaume unalia Lia Vipi Embu Nenda Usituharibie Ck Aiseee" Hayo yalikua Maneno ya Sponsor wa marry ambae Alikua Kimyaa Muda Mwingi Lkn Sky Ndo kama Alikua Katiwa Msumali Upyaa Alizidi Kuomba Na Kulia Hapo Ikabidi Mwanaume wa Marry amakokote Mpk Nje ya Geti Na Kumsukuma Nje Sky hakujari alilia Na Kuomba Sana Msamaha kama Yeye ndo kafumaniwa Marry alimfata na kuanza Kumtokomeza Maneno Bila Kujali

Wakati Yote Yakiendelea Hapo Nje Kuna Dada Alikua Pembeni akiangalia Iyo Drama Nzima Alimuonea Huruma Sana Sky Pale Chini Mwisho Marry Alifunga Geti na Kurudi Ndani Lkn Sky Hata nguvu za kuinuka Hakua Nazo Akiwa Kainama Anajilila Akahisi Kashikwa Mkono Akainua Uso na Kukutana Uso na Mwanadada Akiwa anatabasam☺️

Huuu ni Mwanzo Ukisoma Tafadhali Like Comment na share Kunipa support Asantee πŸ™
ITAENDELEA...............
π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦__; π‰π€πŒπ€ππˆ π’π€π‹πŒπ€ 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️
𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š
SEHEM YA 02
SONGA......

Sky Alishikwa Mkono na Mwanadada ambae Hataa Hajawah Kumuona wala hamtambui Dada Huyo Alikua anatabasam kama Hajari Hali ya Sky Wala Machozi yake
"Kwahy huwezi Kunyenyuka Hapo mpk nikibebe Au??" Dada Uyo aliuliza sky Ndo kama Alizinduka sΓ sa Alipozama "Ww nani" Ilibidi aache Kulia Tena aulize "Unainukaa au Utabak Unaniuliza Uliza Hayo Maswali Embu Inuka Bana" Heee Sky Akabak Hajui Tena ainuke Akae Au Aulize Haelewi Huyu nani na Kwanini anamuongelesha Kama Mtu anaemjua Sana Akili Yake Ikamwambia Itakua Walishakutana Mahali ILa Kamsahau lbd Au aliwah kumtibu Mana Anasaidia Watu Wengi sana Ilibidi ainuke Pale Chini Yule Dada akaita Boda Sky akazidi Kushangaa Hata La Kusema Akakosa "Unaanza Kukaa Au Nikae Mimi" Mwanadada Akauliza "Tunaenda wapi" Ikabidi Sky Aulize "Nakupeleka Sehem ambayo Hautalia Wala Kuhuzunika Nakupeleka Mbali na Hapa Unakaa Au Tunaendelea Kubishana??" KWA Upole Hakua Hata anajua Cha Kufanya KWA Wakat Huo Sky Alipanda Kwenye piki Piki asijue Hata Lipi ni Lipi KWA Wakat Uwo akili yake Iliacha Kufanya Kazi KWA Muda Yule Dada Akamuelekeza Boda Mitaa ya Kwenda Na Wakafika Mitaa Ilionekana Ni Uswahilini Kidogo Wakafika Kwenye Nyumba Ya Kawaida Dada Yule akalipa akamshika Mkono sky Na Wakaingia Ndani Sky Alikua anafata Tu Hajui Lipi ni Lipi na Kwanini Anaenda Uko
Dada Huyu ambae Hata Mimi ckumjua Ni nani KWA Wakat Huo Alikua Na Chumba Kimoja Kapanga Uswahilini Tu Chumba chake ndani Kipo vzr Yaan Kitanda sofa za Kisasa Tv Na KILA Kitu alijitosha Kw Kiasi chake Alikua Bint wa Miaka 26 Tu
"karibu Hapa Ndo napowwka Fuvu langu Mwaya" Sky Alijikuta anatabasam Mana Huyo dada anaongea kama Watu wanaojuana Mda Mrefu Kumbe wap "Heee Umetabasam Haya Nenda Kaoge KWanza Uje Hapa Alafu Nijitambulishe Usije Hisi Mimi Chinja Chinja Buree" yule Dada aliongezea
Sky akaoneshwa Pa Kuongea Bafu Lipo Nje Ya Nyumba "Hee Mbona wamejazana Hvyo mlangoni Pa Kuongea Napita wapi" Sky Baada ya Kuona Wamama Wamekaa Karibu kabisa Na Mlango wa Bafu Ikabidi Aulize "We waluke Luke hapo kaoge Watakupisha Wenyew"
"mmmh Hapana Siwezi" " Hee Kwahy Unataka Kulala Hvyo hvyo BASI Subir watoke wakiingia Kulala We Utaenda Kuoga" "Kwani Nalala Hapa" "Unaogopa Au" "mh"
Hayo yalikua Maongez ya sky na Dada Huyo Alikua Mcheshi na Muongeaj Kiasi Kwamba Hata Sky alikuta anamzoe na Kuona Kama Wanaojuana Tu
Walipiga sana Stor Mpk sky Alijikuta anasahau Hata Yaliotokea Mda Mchache Uliopita Mwanadada Alikua na Stor Nyingi za Mtaan za Kuchekesha Mambo ya Uswahilini Yote akamuhadisia mpk sky akapitiwa Usingiz bila Hata Kwenda Kuoga Mwanadada Akamlaza Vizur "Maskin kaka wa watu Handsome mwenyew Afu anakatiliwa Dunia Ya Mapenz Inakiza Sana Mapenz Ni Ujinga Ambao Shule Yake Haijapatikana Ooppsss Ni UJINGA tuπŸ€”" Mwanadada Alijiongelea Uku akimtazama Usoni Sky Wakat Huo Sky Akiwa Kalala Hana Analojua

ITAENDELEA.......
Soma mpaka mwisho wa simulizi kwa kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦__; π‰π€πŒπ€ππˆ π’π€π‹πŒπ€ 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️ 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEM YA 01


ANZA NAYO

Ni Jumapili Siku Tulivu sana Majira ya Sakumi na Mbili Jioni kijana Sky Akiwa Jiani Kuelekea Nyumbn kwa mpenz wake

Sky hakumwambia Mpenz Wake kama Anaenda Jioni ile Alitaka iwe Surprise Baada Ya Kufika Maeneo ya Tabata Alipak gari mbalii Kidogo Kisha akatembea Uku akitabasam Kabla Hata Haijafika Eneo Lile
Baada ya Kufika Aliona Geti limerudishwa Tu Ikawa Rahis Kwake kuingia Bila kusumbua Wenyeji

Sky na Mary Ni Wapenz wa Muda SΓ sa Walikutana Chuo Wote walisomea Udaktar Na Kumaliza Mwaka Mmoja Uliopita...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/story__-jamani-salma-wangu-burudan-simulizi-sehem-ya-01

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi story__-jamani-salma-wangu-burudan-simulizi-sehem-ya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

577
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

502
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

252
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

237
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

230
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

224
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

144
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21

93

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.05K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.72K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.15K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.55K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.44K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.35K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 11
@majario LIVE

β€œhivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamika… β€œ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

β€œ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema β€œ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hivi…. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, πŸ₯° nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest