Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ Gonga94 Semajambo
Gonga94 ยท Stories
30 Nov -0001
22 views
VYOTE NDANI GONGA94
๐ง๐ฅ๐๐ก๐ฆ๐๐๐ฅ ๐ก๐๐ช๐ฆ, Uongozi wa Simba umemfuata Pacome Zouzoua nchini Ivory Coast kwaajili ya kumpa mkataba wa miaka miwili (2) wenye maslahi mazuri, inaelezwa kuwa Simba imeandaa mshahara mkubwa sana kwaajili ya kumnasa Pacome Zouzoua
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
.
.
Kwa sasa Pacome Zouzoua yupo nchini kwao Ivory Coast kwaajili ya mapumziko pamoja na uzinduzi wa nyumba yake mpya aliyokua anaipambania kuijenga wakati wote akiwa yupo nchini Tanzania.
.
Endapo Simba watamshawishi vizuri Pacome Zouzoua, basi atajiunga nao msimu wa 2025-2026.
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
NILIKUTANA NA BINTI YANGU ALIEFARIKI MIAKA MBILI ILIOPITA AKIUZA MAJI HUKU AMEVALIA NGUO ALIEKUA NAYO SIKU ALIFARIKI Episode 3
Rafiki yangu Angela, Niko teyari kufatana na wewe au kufanya lolote, ili nijue kama mwanangu yuko hai au la, nimechoka ...
๐ง๐ฅ๐๐ก๐ฆ๐๐๐ฅ ๐ก๐๐ช๐ฆ, Uongozi wa Simba umemfuata Pacome Zouzoua nchini Ivory Coast kwaajili ya kumpa mkataba wa miaka miwili (2) wenye maslahi mazuri, inaelezwa kuwa Simba imeandaa mshahara mkubwa sana kwaajili ya kumnasa Pacome Zouzoua
.
.
Kwa sasa Pacome Zouzoua yupo nchini kwao Ivory Coast kwaajili ya mapumziko pamoja na uzinduzi wa nyumba yake mpya aliyokua anaipambania kuijenga wakati wote akiwa yupo nchini Tanzania.
.
Endapo Simba watamshawishi vizuri Pacome Zouzoua, basi atajiunga nao msimu wa 2025-2026.
๐ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/transfer-news-uongozi-wa-simba-umemfuata-pacome-zouzoua-nchini-ivory-coast-kwaajili-ya-kumpa-mkataba
Maoni