Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  never give up harmonize

BILIONEA NDANI YA HOTELI 45,46,47,48

24th Aug, 2025 Views 225



‘”Elekea sasa hiivi AQ HOSPITAL, abby yupo hapo kamsaidie anaumwa “

“ embu achana na abby nataka tuonane mimi nawewee sasa hivii ,, kuna jambo muhimu sana kuhusu masha inatakiwa ujue”

Alberto alichukia hata kuficha hasira zake alishindwa et achana na abby moja ya kauli iliyo mchefua nafsi halafu tuongee kuhusu mashaa? Alberto alihisii kupasuka kama Rahul angekuwa mbele yake nina uhakikaa angempasua hata na ngumi ……….

“rahulll embu acha upuuzi nenda kamjali abby nipo kwenye kikao ,, sitaki hizo Habari zingine kuzisikia” alifoka akaikata simu hakutaka story zingine Rahul aliguna tu eeh mpaka pombe zikapungua

Watu wote kwenye kikao wakabaki kumshngaa boss wao kawaa mbogo gaflaa ,, Rahul akainuka haraka kuwahi huko …..
Masha kila sec na dakika zilivyosogea ndio maumivu yalizidi kuwa makubwa kila sec maumivu yalikuwa afadhalli sec ile iliyoisha …

Alishindwa kuvumilia damu nyingi sana zilikuwa zinamtoka kwa kasii ,, maria alisikia kelele za uchungu zinatoka ndani kwa bosss wake akawaahi , akajikuta anaziba mdomo kwa anacho kiona kitandani kilikuwa kimetapakaa dam muda huo akaingia boazi nae alizisikia zile kelele ,akamkuta maria ameduwaa hajui anatakiwa kufanya ninii ….

“ nisaidien ,,nisaidien nipelekeni hosptall” boazi alimuinua haraka mpaka ndani ya garii masha alimwambia boazi ampeleke hosptl ambayo vero ndiio anafanya kazi ,, Aliona huko itakuwa rahisi kwake kuhudumiwa ,,

46 na 47 ( SEASON THREE)

Vero hana hili wala lile anashangaa kuona boss wake analetwa hapo mbio mbio ,, alielewa nini kinaendelea maana ni yeye ndie alimwambia dawa za kutolewa
“shog angu chunga mdomo wako usije kuniharibi kibarua ‘”
Vero akamuinamia masha akamwambia kwa sauti ya chini masha alikuwa na hali mbayaa hata hakutoa jibu kwanza Aliona ancheleweshwa kupatiwa hudumaa

Bozi alisubili kwa muda akaletewa majibu ya mgonjwa wake,, akaulizwa ni nani yako akaongopa kuwa ni dada yake akaambiwa dada yako alikuwa anajaribu kutoa ujauzito ametumia dawa kali sana”

Boazi kichwa kikamuuma mimba yangu auuu???,, kama ya mume wake kwanini aitoeee”

Rahul alifika mpaka hospital hamjui recho wala abby lakini baada tu ya kumuona recho pale eneo la kusubiri alihisi ,recho alikuwa na wasi wasi mwingiii na uoga kamsogelea akamwambia habar yako ...recho akajibu salama
“wewe ni ndugu yake na abby”

“ndio,,ndio doctor ni mimiii”

“ooh mimi sio doctor ni ndungu yake mr qassano ,amenituma hapa ,,mgonjwa yupo wapi??

“ooh samahani ,, walimpeleka hukoo bado hawajaja”

“narudi ngoja nikaonane na daktar”

Rahul alienda mpaka kwa doctor akauliza hali na maendeleo na tatizo haswa ni ninii”

Ametumia dawa imepelekea kuharibu mji wa mimba tunampeleka kwenye upasuaji tuone kam tunaweza kunusuru mtoto “

“yaan unataka kunambia doctor alikuwa anataka kuharibu mimba eeh”

“ siwezi kusema hilo moja kwa moja pia sina uhakika mana mimba imekamilika kujifungua kama angehitaji kuharibu nina uhakika angeiharibu kabla hajafika huku ,, inaonesha kuna kimiminika alikunywa ndio sababu “

“ naweza kumuona?”

“haina shida kiongozi yupo katika wodi anaandaliwa Kwenda fyeta ...

Rahul akatoka haraka Kwenda huko wodini kumuwahi huyo abby akamtazame ,, akili yake inamuona labda kweli alitaka kuuwa mtoto mpaka akajikuta anasema wanawake wa huku bwana hawaishiwi vioja

Recho alimuona huyo kaka aliejitambulisha ni ndugu na qassano ikabidi ainuke kumfata mbio akamuita kakaa kakaaa…

Rahul akageuka akamwambia ooh wewe okay naitwa Rahul we unaitwa nani

“naitwa recho ,, umeambiwaje na doctor”

“mlikuwa mnataka kutoa mimba auu??” Rahul alimuuliza badala ya kumjibu swali lake tena aliuliza kama mtu asie jali lolote ,, na pombe alikuwa nazo kichwani bado ndo kabisa walikuwa wanamchanganya tu

“we kaka kuwa mstarabu basii ,, nilijua hata una akili mfyuuu” recho nae alishindwa kuficha hasira zake kauli ya Rahul ilimkera sanaa

“naitwa Rahul”
utajua mwenyewe siongei na wa….. jamani Vicky ‘ “ recho akaacha kuongea na Rahul baada ya kumuona Vicky anatolewa ndani ya wodi

Akakimbia kumfata ,, Rahul alisikia jina la Vicky akamtazama haraka mtu alieitwa Vicky maana yeye anajua mtu aliemfata ni abby

itaendelea

48 ( SEASON THREE)

Macho ya Rahul yalikutana na uso wa mwanamke ambae alimtafuta kwa muda mrefu alimuulizia sana alikuwa na hamu ya kumuona sanaaa

Mwili wote ulimsisimkaa mpaka alihisi kuruka juu sijui kwa furaha au huzuni akaita vickyy ooh Godness Vicky it’s youuu?????

Vicky hakuwa na
shida na Rahul , hakuwahi kumuwaza hata kumkumbuka tu hakuwahi ,,, kumuona Rahul mbele yake alimuona kama mtu anaefahamina nae tuu

Rahul alipiga hatua za haraka haraka akamsogelea Vicky akamwambia ness tafadhali naomba sec kadhaa ness akamwambia “abby sec kaadhaa vumilia “

‘wewe ndio abby,, et huyu ndio abby???” Rahul kendelea kupiga na mishangao isiyoisha Vicky kwenye maumivu hayo hayo aliushika mkono wa Rahul akamwambia
“naomb unisaidie kituu ,, sitamani kumpoeza mwanangu lakini kuna asilimia chache za yeye kupona,, tafadhal sanaa Rahul naomba unisaidie kupata saa yangu kutoka kwa masha hicho ndio kitu pekee baba wa mtoto aliiniachia naweza kuwa namkumbuka mwanangu kupitia hiyo saa sihitaji kusahau niliko pitaa’

“saaa?? Saa ya aina gani unasemea saa za ,,,”

Rhuli akatoa simu yake harakaharaka huku anatetemeka mana kitu alicho kuwa anakiwaza kilikuwa kinammaliza nguvu kabla hajathibitishiwa

“saa hiii” alionesha saa ya Mr alberto , saa ghali sanaa huwezi kuipata wala hakuna mtu Tanzani anaimiliki saa hiyo labda utasema zimefanana

“ndio Rahul naomba unisaidie niipate hiyo ndio kumbu kumbu pekee ya mwanangu’”

“hahh mungu wangu Vicky unasema et haha eeeh”
Recho alishamtoa akili mr Rahul tangu mwanzo na hapa livyocheka ndio kabisaa akona hili baba bure kabisa

“jamani anaumia huyu embu mpelekenii “
Recho Aliona aue mada ,, ma ness walimtazama Rahul mana ndie kiongozi hapo lakini recho hakuwa anajua Rahul alitikisa kichwa kumaanisha wafanye hivyo

Recho alikuwa amekaa kwenye bench kimya akiomba mungu na nafs yake Vicky atoke salama yeye paamoja na mwanae

Rahul hata kiti hakukiona alikuwa anatembea Kwenda na kurudi kordo nzimaa akisimama ananza kuchekaa,,, hakuwa anacheka kwa dhihaka au pombe bado ipo kichwani kam recho alivyokuwa anamchukulia hapanaa,, Rahul alikuwa kachanganyikiwa mpaka anashindwa kuyabeba mambo kichwani

“ kwahiyo alikuwa Vicky na sio mashaa,, hahah daah kwa kipindi chote hichii!!! Kwahiyo mimba ni ya alberto?? Ooh mungu wanguu kwahiyo abby ni Vicky na qassano ni alberto , hahah aisee hii imetulia sanaa hii hahahahahahahahhahaha “

Alicheka kwa sauti mpaka maness walio kuwa karibu walimshangaa huyo recho ndo kabisaa akashindwa kuvumilia akasony huku anajiongelea kumbe ndugu zake shem akili vi…”

“sikia we dadaa!! Kwanin.. ooh no sio hivyoo ,, Vicky alikunywa ninii??”.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BILIONEA NDANI YA HOTELI 45,46,47,48  >>> https://gonga94.com/semajambo/bilionea-ndani-ya-hoteli-45-46-47-48

#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in
Click here to login and comments
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
never give up harmonize
ZETU
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
VERY HANDSOME ?Lover boy??
VERY HANDSOME ?Lover boy??

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest