Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
30 Nov -0001
35 views
VYOTE NDANI GONGA94
BREANKING NEWS π Joshua Mutale agomea matakwa ya viongozi wa Simba. ya kwenda Kwa mkopo katika Klabu ya Singida Black Stars
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Awali Klabu ya Simba ili lenga kumpeleka Joshua Mutale ndani ya Klabu hiyo baada ya kunasa Saini za baadhi ya nyota katika eneo hilo.
Lakini Mutale ameuambia uongozi wa Simba yuko tayari kuondoka ndani ya Klabu hiyo endapo watakuwa tayari kuvunja Mkataba na siyo kwenda Kwa mkopo kama wanavyo taka.
Ikumbukwe Kwa sasa Simba inawachezaji 11 wa kigeni huku Neo Maema na Khadim Diaw wakitajwa kujiunga na timu hiyo.
Nyota ambao wanacheza eneo hilo kwasasa :
Mpanzu, Chasambi, Kibu, Mohamed Bajaber, Mutale, Morice Abraham pamoja na Neo Maema ambaye anatajwa kujiunga na timu hiyo.βοΈ
Unaiona nafasi ya Mutale ndani ya kikosi cha Simba kuelekea msimu ujao.
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
π¨π¨π¨ ALAIN ANICET OURA na ISMAEL TOURE wamekutana tena kwa mara nyingine na SIMBA SPORTS CLUB π¦
Β»Wakati STEVE BARKER anamsajili ndani ya STELLENBOSCH FC haya ndio yalikuwa maneno yake kuhusu ANICET OURA....βπΎππΏ π£οΈβO...
BREANKING NEWS π Joshua Mutale agomea matakwa ya viongozi wa Simba. ya kwenda Kwa mkopo katika Klabu ya Singida Black Stars
Awali Klabu ya Simba ili lenga kumpeleka Joshua Mutale ndani ya Klabu hiyo baada ya kunasa Saini za baadhi ya nyota katika eneo hilo.
Lakini Mutale ameuambia uongozi wa Simba yuko tayari kuondoka ndani ya Klabu hiyo endapo watakuwa tayari kuvunja Mkataba na siyo kwenda Kwa mkopo kama wanavyo taka.
Ikumbukwe Kwa sasa Simba inawachezaji 11 wa kigeni huku Neo Maema na Khadim Diaw wakitajwa kujiunga na timu hiyo.
Nyota ambao wanacheza eneo hilo kwasasa :
Mpanzu, Chasambi, Kibu, Mohamed Bajaber, Mutale, Morice Abraham pamoja na Neo Maema ambaye anatajwa kujiunga na timu hiyo.βοΈ
Unaiona nafasi ya Mutale ndani ya...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/breanking-news-joshua-mutale-agomea-matakwa-ya-viongozi-wa-simba-ya-kwenda-kwa-mkopo-katika-klabu-ya
Maoni