Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ Gonga94 Semajambo
Gonga94 ยท Stories
27 Nov 2025
58 views
VYOTE NDANI GONGA94
BARAZA LA MICHEZO (BMT) imejibu barua ya Simba
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
na imeweka masherti kadhaa Katiba ifanyiwe maboresho ya kutamka bayana kuwa Mwenyekiti wa Simba Sports Club ndiye Kiongozi Mkuu wa Chombo cha Utawala ndani ya Klabu na hivyo awe na mamlaka ya kuitisha Mikutano Mkuu wa wanachama kwa kuwa masuala yanayojadiliwa juu ya uanachama na maendeleo ya Klabu yanaathiri moja kwa moja maslahi ya wanachama na hayategemei uamuzi wa uwekezaji wa Kampuni
BMT wakaendelea kuwa Mwenyekiti huyo ndiye awe Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba Sports Club Company Limited kwa kuzingatia kuwa wanachama kupitia Klabu ndio wenye umiliki wa hisa nyingi (51%), na hivyo viongozi wote walio chini ya Katiba ya Klabu
watawajibika kwake katika kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria, Katiba na kanuni zinazoongoza Klabu.
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Ibrahim Konate alikosekana kwenye michezo baadhi ya Liverpool baada ya kifo cha baba yake..
Kwenye ushindi wa magoli 4-1 wa Liverpool dhidi ya New Castle United Ibrahim Konate alirejea kikosini .. Sio kurejea tu...
na imeweka masherti kadhaa Katiba ifanyiwe maboresho ya kutamka bayana kuwa Mwenyekiti wa Simba Sports Club ndiye Kiongozi Mkuu wa Chombo cha Utawala ndani ya Klabu na hivyo awe na mamlaka ya kuitisha Mikutano Mkuu wa wanachama kwa kuwa masuala yanayojadiliwa juu ya uanachama na maendeleo ya Klabu yanaathiri moja kwa moja maslahi ya wanachama na hayategemei uamuzi wa uwekezaji wa Kampuni
BMT wakaendelea kuwa Mwenyekiti huyo ndiye awe Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba Sports Club Company Limited kwa kuzingatia kuwa wanachama kupitia Klabu ndio wenye umiliki wa hisa nyingi (51%), na hivyo viongozi wote walio chini ya Katiba...
๐ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/baraza-la-michezo-bmt-imejibu-barua-ya-simba
Maoni