Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....5 Na Mamuh Mohd  (0716730000)  Tulipoishia.....  "Na iwe kweli laaa sivyo nitakunyonga kwa mikono yangu".  Aliongea kwa hasira na uchungu sana Jarden....  SONGA NAYO.....  Chini ya serikali walifuatilia kesi ile na ukweli ika
Gonga94 ยท Stories

*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....5 Na Mamuh Mohd (0716730000) Tulipoishia..... "Na iwe kweli laaa sivyo nitakunyonga kwa mikono yangu". Aliongea kwa hasira na uchungu sana Jarden.... SONGA NAYO..... Chini ya serikali walifuatilia kesi ile na ukweli ika

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
*CHAGUO SAHIHI*

SEHEMU YA....5
Na
Mamuh Mohd
(0716730000)

Tulipoishia.....

"Na iwe kweli laaa sivyo nitakunyonga kwa mikono yangu".

Aliongea kwa hasira na uchungu sana Jarden....

SONGA NAYO.....

Chini ya serikali walifuatilia kesi ile na ukweli ikagundulika kwamba Jarden ni mtoto wa bwana Msame.

Baba Jarden kupokea majibu yake Palepale alidondoka chini presha ilipanda.
Hata kupelekwa hospital alifikishwa katika wodi ya uangalizi maalum kwani hali haikuwa nzuri kabisa kwake.

Huku nyuma sasa Ndipo bwana msame alimueleza kila kitu kijana wake ilivyokuwa ni kwamba,....

Miaka mingi iliyopita zaidi ya 30 msame akiwa kijana wa miaka 22 alitoka kijijini kwao na kufika mjini kwa ajili ya kutafuta kazi.

Alihangaika huku na kule lakini Baada ya miaka 2 ya shida na tabu alifanikiwa kupata kazi.

Ni katika familia ya kitajiri alipata kazi ya kuwa mtunza bustani wa nyumbani pale.

Alifanya kazi kwa takriban miaka 2 ikafika mahali aliaminika kabisa na familia ile mpaka wakamtuma kutafuta msichana wa kazi kutokea kijijini kwao.

Hapo sasa Ndipo Msame alimkumbuka mpenzi wake ambaye alimuacha kijijini (muna) akaona huo ndio wakati wa yeye kumpa nafasi hiyo ili waweze kuwa karibu.

Msame alifanya jitihada zote na mpaka Muna akafika mjini kufanya kazi katika nyumba hiyo ya kitajiri.
Wakati huo bado walikuwa wakiendelea na mahusiano yao kwani walikuwa na ndoto za kuja kuwa mke na mume.

Mwaka mmoja ulipita ndipo Muna alipata ujauzito na alimueleza ukweli msale kuwa ana mimba yake.
Msale alimtaka wafanye kazi hapo kabla mimba haijafikia hatua ya kujifungua warudi kijijini.

Muna aliendelea kufanya kazi pale lakini kumbe kwa wakati wote huo anafanya kazi ndani pale alikuwa akitumika kimapenzi na mtoto wa familia ile pasina kusema kwa mtu yoyote.

Alibainika kuwa ni mjamzito kwa Boss mama wa nyumba ile na alipouliza kuwa ujauzito ni wa nani, Muna alimtaja mtoto wa nyumba ile.

Kwa kuwa kijana wa familia ile Rich Jarden.
Alimpenda Muna kiukweli hakuwa na lengo la kumdanganya basi alikubali na kuwataka wazazi wake aishi na Muna.

Muna alikubali na neno alilomuambia msame ni kwamba anataka mtoto wao alelewe maisha mazuri.

Msale alishuhudia ndoa ilifungwa ya Muna na Rich Jarden mpaka mtoto anazaliwa kwa shangwe kubwa na kupewa jina Jarden.

Msame alikuwa ni wakilia tu kwani ilifika mahali hata nafasi ya kuzungumza na Muna akawa anaikosa na akiipata muna anamsihi akae mbali nae.

Basi kama haitoshi Muna alimzushia Wizi msame mpaka akafukuzwa kazi kabisa katika familia ile, lengo ni alitaka kuishi kwa amani na mumewe.

*******
"Alinigeuka mama yako maisha mazuri aliyataka pasina kunikumbuka mimi ambaye nilimtoa kijijini tujenge malengo yetu.
Muda wote huu nilikuwa nawafuatilia namna mnavyoishi natafuta kuingia katika familia hii ili wewe jarden unijue lakini haikuwa rahisi.
Tazama ni miaka mingapi imepita zaidi ya 30 ndio leo kupitia hili unanijua mimi nimehangaika kwa miaka mingi sana.

Mwanamke sio kiumbe wa kumuamini hata siku moja mwanangu nimejifunza kupitia mama yako".

Jarden alibaki akilia tu ukweli ule ulikuwa ni wa kuumiza sana kwake.

Akiwa hapo ndipo Jarden alipigiwa simu na binamu yake yule Tizo.

Alipewa habari ambazo zilimshtua sana.

"Baba hatunae amepoteza maisha".

Ndizo habari ambazo alipewa Jarden aliumia sio kawaida.

Saa ngapi asiinuke na kumkaba bwana msame.

"Yote kwa ajili yako umekuja kufanya nini katika maisha yetu ulikataliwa si basi ungeendelea na maisha yako ona sasa ona sasa maafa uliyoleta sitakusamehe kamweee mbwa wewe utaozea jela".

Alipata mchungu Sana Jarden yote yale aliyafanya kwa uchungu na maumivu.

Hata Mama Jarden nae alichanganyikiwa alilia sio kawaida aliumia kupita kiasi.

Ukweli uliojulikana ndio umepelekea hadi Baba Jarden kupata mshtuko na presha kupanda kwa kasi ukawa ndio mwisho wake.

Basi tena familia ilitoneshwa kidonda kingine tena,palepale kwenye mshono wa maumivu ya Kumpoteza Yasinta Ndipo palikuja Kutoneshwa upya baba Mr rich Jarden alipoteza maisha.

Simanzi,huzuni vilitawala lakini ilibidi mipango yote ikamilike na kumuhifadhi mzee huyo.

Upande wa kijana Tizo sasa aliona nae huo ni wakati sahihi wa kujiweka karibu apate mali.

Yeye alikuwa ni mtoto wa dada yake na Rich Jarden kwa maana alikuwa anakaa hapo kwa mjomba wake.

Kitendo cha mjomba kupoteza maisha na ukweli kujulikana kuwa Jarden sio mtoto wa Mr rich Jarden kwa maana alijua urithi wa mali wote utakuwa ni wa binti Joan ambaye sasa tunapata kujua amechangangia mama mmoja na Jarden.

Anatambua kuwa Joan huwaga anampenda sana Kimapenzi ila yeye ndo akawa anamkataa basi akaona kwa wakati huo ni wa yeye kumkubali Joan ili katika mali nae ahusike.

Basi alimfuata Joan ambaye alikuwa amekaa eneo la nnje katika bembea na marafiki zake.

"Joan tunaweza kuzungumza kidogo".
"Yes niambie"
"Faragha".

Joan aliwatazama rafiki zake wale na kuwataka waondoke kwanza pale.

Kweli marafiki wale wakaondoka.

"Pole sana kipenzi kwa kumpoteza baba yako na hata mimi nimempoteza mjomba wangu mlezi Kwaiyo tuna maumivu japo wewe ni zaidi pole sana".

"Usijali Tizo nimeshapoa".

"Mhhh vipi kuhusu Jarden unatakiwa kuwa makini asije kukudhulumu mali hizi sasa ni za kwako peke yako asije kwenda kutajirisha ubabani kwake".

"Mhhh namsubiri sana hapa nasikia yeye ndio kabaki malaloni eti anajiliza hataki kuondoka anadhani akilala pale ndio itabadilika na awe mtoto wa hapa.
Atarudisha kila kitu cha baba yangu naomba uwe nyuma yangu Tizo.
Najua hanipendi ila kwa hili nisaidie ".

"Nakupenda Joan nipo hapa kukupa faraja"

"Unamaanisha nini Tizo tuende hoteli leo ukaniliwaze?"

"Joan itakuwa mapema sana mpenzi ".

"Nani atajua? Tuende plzzz sipo sawa mwili mzima trust me.... mapenzi yanatesa Tizo si unaona Mzee mzima kadondoka kisa mapenzi...akaaa mimi nataka mapenzi yawe dawa kwangu nipone mwili mzima".

"Ok sawa Joan tutaenda".

Basi walikumbatiana pale kinababa kabisa huku wetu wa pembeni waliwaona hawakuisha kunong'ona.

Manga sasa ndio nae anakuja kutoka njje baada ya kumuacha mtoto nafsa amelala chumbani.

Akawaona Tizo na Joan wamekumbatiana wenyewe huku wakiambizana mahaba wetu wanawatazama.

Akaona awafuate ili waachane maana aibu kwa mazingira kama yale.

"Mhhhh mhhhh samahanini Kaka Tizo umemuona boss Jarden yupo wapi?".

"Mhhh anajiliza huko wetu wamerudi yeye anajiliza huko malaloni sijui".
Manga alishangaa alitambua Sehemu ambayo mzee rich Jarden nakwenda kupumzishwa ivyo alikodi boda boda hadi Sehemu hiyo.

Jua lilikuwa limezama lakini akamkuta Jaden analia ameinama peke yake.

Manga akamsogelea hadi pale,

"Boss kulia kutwa nzima hakuwezi kubadilisha ukweli twende nyumbani".

Jarden ndo kama alishtuka maana mwanzo alikuwa amechanganyikiwa.

"Manga umefikaje hapa na wewe "
"Haijalishi ila twende nyumbani tafadhali nafsa anakuita".
Manga aliona aseme ivyo akijua Jarden anampenda sana mwanae ivyo atakubali kwa urahisi.

Manga alimshika mkono boss wake huyo Taratibu walielekea katika boda boda ile wakapanda wote mishikaki kurudi nyumbani.....

Full 1000.

Ianze weekend leo kwa package ya simulizi ya Chaguo sahihi, anana, binti mpelelezi,anana kwa bei ya weekend ofa.

Nichek kwa Whatsapp no 0716730000.

Sijui itakuwaje?
Tukutane Sehemu ya 6

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....5 Na Mamuh Mohd (0716730000) Tulipoishia..... "Na iwe kweli laaa sivyo nitakunyonga kwa mikono yangu". Aliongea kwa hasira na uchungu sana Jarden.... SONGA NAYO..... Chini ya serikali walifuatilia kesi ile na ukweli ika

*CHAGUO SAHIHI*

SEHEMU YA....5
Na
Mamuh Mohd
(0716730000)

Tulipoishia.....

"Na iwe kweli laaa sivyo nitakunyonga kwa mikono yangu".

Aliongea kwa hasira na uchungu sana Jarden....

SONGA NAYO.....

Chini ya serikali walifuatilia kesi ile na ukweli ikagundulika kwamba Jarden ni mtoto wa bwana Msame.

Baba Jarden kupokea majibu yake Palepale alidondoka chini presha ilipanda.
Hata kupelekwa hospital alifikishwa katika wodi ya uangalizi maalum kwani hali haikuwa nzuri kabisa kwake.

Huku nyuma sasa Ndipo bwana msame alimueleza kila kitu kijana wake ilivyokuwa ni kwamba,....

Miaka mingi iliyopita zaidi ya 30 msame akiwa kijana wa miaka 22 alitoka kijijini kwao na kufika mjini kwa ajili ya kutafuta kazi.

Alihangaika huku na kule lakini Baada ya...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chaguo-sahihi-sehemu-ya-5-na-mamuh-mohd-0716730000-tulipoishia-na-iwe-kweli-laaa-sivyo-nitakunyonga-

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chaguo-sahihi-sehemu-ya
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....15
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....15
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....2
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....2
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....11 Na
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....11 Na
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....8 Na 9
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....8 Na 9
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....6
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....6
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....3 Na
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....3 Na
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....4
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....4
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....10
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15

668
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19

626
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

542
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜   SEHEMU YA 18

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 18

535
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20

392
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 3

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 3

119
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

100
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

8

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.46K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.23K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.75K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.21K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.61K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.54K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.46K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.45K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.45K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.4K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee โ€œ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. Heโ€™s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. Heโ€™s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. Itโ€™s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! Youโ€™ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibeโ€ฆ Kajol looking all fiery and expressiveโ€ฆ Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! Youโ€™ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibeโ€ฆ Kajol looking all fiery and expressiveโ€ฆ Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energyโ€ฆ and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest