tukaenda maduka ya nguo nikachagua nguo,viatu na mahitaji mengine,tukazunguka zunguka mjini mchana tukaingia hotel moja kula ,bas mhudumu mmoja akatukaribisha na alimchangamkia aman hatariπ§ umepotea sana amani nini shida?
nipo majukumu tu karibuni sana asante karibu dada asante sio dada ni shem wako huyu ooh umeoa aman ndio aseee mimi nmefurah sana kusikia hivyo maana haikuwa rahisi ,nikawaza mbona kashangaa sana kusikia amani kaoa na haikuwa rahisi niniπ€¨...
dah acha tu mapito ndugu yangu kabisa karibu shem asante yaani uwe unakuja hata bila ata uyu mumeo shemu wako niko hapa utanikuta jisikie upo nyumbani kabisa nashukuru sana π
basi tukaagiza chakula tukala tukaondoka, tulivyofika nyumbani akasema wewe jaribisha tu nguo zako mimi nipo nje sawa nikaingia nikasema huyu mkaka ana matatizo sio bure ..
yaani mtu hana muda nae wala mpango lakini ananihudumia hivi khaaa au ni sh*ga anaficha aibu kwa watu asijulikaneπ³π³
ndo aonekane ana mkeπ§ndomana yule mhudumu kashangaaβΉ nikapanga nguo kwenye kabati sasa ilikuwa usiku tumekaa na aman chumbani nikawa nataman nimuombe simu nimpigie shoga angu betty nimpe umbea,
wazaz ata sikua na hamu naoπ nikasema au niache ntamuomba kesho wifi zuu simu ,
lakini umbea unawasha jamani πππ nikamuomba tu roommate unaweza nisaidia simu yako nimpigie rafiki anguππ amna shida akanipa sasa nkawa nawaza nitamtetaje na mwenyewe yupo nikaghairi nikajifanya haipatikani labda kazima maana muda umeenda saa nne hiiπ€
afu kwanini tulienda mjini ujasema tununue na simu uwe na simu yako mwenyewe na mimi nilisahau kabisa maana Kuna muda naweza taka nikupigie nikwambie kitu nikawaza khaaa makubwa hayaπ€£π€£π€£π kesho nikipata muda ntapita dukani nikununulie sawa? sawa
basi asubuhi mida ya saa tano akaja mgeni nyumbani kuleta simu kwamba ameagizwa na amani,basi amani akampigia zuu kumwambia anipeleke kusajili line ameagiza mtu aniletee simu,
wifi akanipeleka nikasajili line tukarudi nikachaji simu ilivyojaa hapo nishaweka line nikasema ndo muda wa kumpa betty umbea sasaπ€£π€£π€£
nikaingia chumbani hapo nikatafuta namba yake kwanza maana niliiandika kwenye karatasi nikampigia sasa, nikamuadithia alichekaje akasema ila rafiki angu nachokiona mimi huyo kaka sio mzima au pengine hiyo familia sio watu wazuri au wasiwe wakawa na lengo baya usije tolewa kafara shoganguπππ
niliogopaje betty mimi naogopa usiogope bhana ila uwe makini uwasome tu mmmh wewe na huu mji nilivyo mgeni na sina nduguπ€nkapata msaada wapi mimiπakanitia moyo pale ,
nikamwambia bas sawa hiyo ndo namba yangu uisaveπjion aman alivyorudi akaniuliza simu uliipata ndio asante sana ook umeipenda lakini mana ata hujachagua nimeipenda sana sawa ukitaka chochote tu utasema sawa poa unipe namba yako sasa,basi tukabadilishana namba akanambia nimnyooshe nguo zake za kesho kazini,
nikanyoosha nilivyomaliza naingia chumbani nikakuta ameshalala pale kwenye sofaπ€£
nikasema mwaka huu najionea maajabuπ€π€£ nikachukua shuka nikamfunika na mimi nikapanda zangu kitandani nkaanza mumpa mchapo Betty anancheka tuπ€£π€£π€£ nikamwambia naanza kuogopa wasiwe freemasons hawaπ€£π€£π€£π€£πππ ...
asubuhi nikakuta ameondoka nikashtushwa na simu inaita alikuwa ni yeye akanambia kwenye meza nimeacha hela kidogo hapo sijui utanunua nini mwenyewe,
afu nilikwambia ukitaka kitu uwe unaniambia lakini sijaona useme unaniomba hela kwani hunaga shida ya hela wewe?π€π€£nkakuta kaniwekea elfu 50 nikampa asanteh..!
basi nikaenda m_pesa nikamtumia rafiki angu betty elfu20 maana alikuwa ananisaidia sana uko nyumbani na ni rafiki angu sana wa shida na rahaπππnikaona sio mbaya nimpe tu ,elfu 30 nikabaki nayo sikua ata na cha kununua
nakujaπππ
Full story tsh 5000 whatsapp lipia kwa airtel money 0782781603 RAHEL BOO kisha ncheki whatsapp kwa namba hiyohiyo.
Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.
Maoni
Click here to login and comments