Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

*EX ULINIACHA ILA SASAIV NATOKA NA BABAAKO* *1-3* *_________________________________________*  *SEHEMU YA KWANZA*  Mimi Naitwa Jane ni mwanafunzi wa chuo kilichopo jijini Dar es salaaam  ,nasomea  kozi ya procurement
Gonga94 ยท Stories

*EX ULINIACHA ILA SASAIV NATOKA NA BABAAKO* *1-3* *_________________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Mimi Naitwa Jane ni mwanafunzi wa chuo kilichopo jijini Dar es salaaam ,nasomea kozi ya procurement

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
and supply management .
Nina miaka 19 ,Nina boyfriend wangu uyo ni handsome na yeye nasoma nae sema yeye yupo kwenye kozi nyingine .
Siku hii ya Leo tunamtihan Niseme ni mid semester test na ndo kwanz nipo njiani sasaiv natafuta usafiri ,uyo lecturer mwenyewe ni mkali hatri sijui kisa hajaoa๐Ÿคฃ .Ila Mungu ni mwema nilifanikiwa kufika Kwa wakati Yan naingia Mimi tu na mtihani umekuja kuanzishwa dakika Tano mbele utasema nilimpanga aje muda gani.Mmmmh jamn ule mtihani ni mgumu au kisa Jan tulienda club ,๐Ÿคฃ Yan Jana tuu tumetoka kuruka majoka tukasahau kama Kuna mtihani mie na mashoga zangu ao ,apa ninavyoongea iv tupo kweny mtihan tunafanya kazi ya kuangaliana tu kama makobe ๐Ÿคฃ.Yan yule lecture mshenzi sana yule ni ana roho mbaya limtiani gani ili katutungia jamn ,Yan nilikuwa namlahani lecturer Kwa mambo anayotufanyia ,maaan sio mara ya kwanz hii sijui hapend watu wafaulu .

Muda ukapita tukamaliza na yule lecture Hana ata maneno mengi ye ni kufanya actions tu ,akabeba test zake akaondoka zake .Nilivyotoka tu kweny mtiani moja Kwa moja nikaend Kwa boyfriend wangu anaitwa Allen .
Nilimtafuta Kwa muda mrefu Kisha baadae ndo akili ikaja kuwa Allen mara nyingi anakaaa kweny vimbweta au kanteeen ,basi nikawa najongea upande wake ili aniliwadhe Kwa kufeli mtihan kabla ata matokeo hayjaja.
Chakushangaza sasa Kwa mbali nikiwa nakaribia canteen nawaona watu wawili wamenipa mgongo mie naend Kwa nyuma Yao uyo mmoja ni Allen kabisa Yan maaana nguo zake nazijua ,na uyo mdada wapembeni yake simjui ila anasoma kozi moja na Allen Yan nimewakuta wanalishana chakula ,sikuamini macho yangu maaan Kwa ninavyompenda Allen naweza nikaua mtu maaan kwanz Allen ni handsome alafu anaela sanaaaa ata sijui anafanya kazi gani .

Sasa nilivyokaribia nikamuita ,Allen akageukia chakushangaza kageuka ila ata hakushtuka alivyoniona ndo kwanza akaendelea na akamshika kabisa yule mdada kiuno ,yule mdada akawa ananiambia ooooh Allen uyu ndo yule mpenz wako mpya ,Allen akaniangali Kwa dharau Kisha akamjibu mpenz wangu ndio babe ,Yan uyu ndo yule maskini niliekwambia toleo la mwisho katoka uko vijijini badala aiwazie familia yake inayomsomesha anajitongozesha Kwa wanaume.Yan nilikuwa na hasira ,ila Mimi nipo ivi kuongea sijui na sipend maugomvi na watu ,ila sipend mtu aniseme vibaya alafu vitu vya uongo uyo Allen anaesema nimejitongozesha yeye alinifuata tukawa marafiki ,sasa tukawa tukichat ananionesha kabisa ananipenda ila alikuwa hasemi ,mie nikaonaga ana Chelewesha mambo nikaanza kuconfess my feelings ,Yan baada tu ya Allen kulala na mie akaanza kubadilika Sanaa ndo mpaka Leo nimemfunia alafu anaongea Kwa kujiamini iv.

Ile ilikuwa ni aibu yangu ya mwaka maaan Kila mtu alikuwa kakaaa pale canteen aliskia nimemtongoza Allen ,watu wakaanza kunong'ona mara wengine wanasema nilikuwa nataka pesa mara wengine wananiambia taamaa za kimwili tuu ,Nilivyoona nazidi kuumia na maneno ya watu nikatoka eneo lile ukunakimbia ,Nilikuwa hata sijui ninapo elekea ila nilichokuwa najui ni sikutaka kukaa lile eneo ,maaaan najua ningeanz kulia kama Nina msiba ,sababu ata mama angu ananijua sipend kusemwa vibaya alafu vitu vy uongo Bora ata ingekuwa kweli.

Nikakimbia Kisha nikafika sehemu ya kupakia magari ,pale hamna watu ivo nikakaa chini ili nilie sasa Kwa kujiachia ๐Ÿคฃ na Kwanguvu ili maumivu yanitoke ,
Nililia Kwa nguvu sanaaa apo nalia mbele yangu Kuna gari aina ya V8 ,Nikiwa nalia pale alikuja mbaba mmoja ni handsome uyoo ,Yan yule sio Mzee nikwamba tu aliwai kuzaliwa .Maaan sio Kwa handsome uo jamn,Yan ukimuangalia tuu ananukia pesa adi nikaacha kulia Kwa muda .

Itaendelea.....


SEHEMU YA 2

Kwanz nikastuck kulia Kwa muda ๐Ÿคฃ,adi nikajisahau yule mbaba akaniambia vipi mrembo mbona unalia ,Yan alivoniuliza tu iv nikama aliniambia mrembo mbona unalia Kwa sauti ndogo maaan nilipiga yoe ilo ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ adi akashangaa handsome boy wawatu๐Ÿคฃ.

Eeeeh akaona yasiwe mengi akaniinua akafungua mlango wagari lake ,jamn kumbe Ile V8 ilikuwa pale mbele yangu ndo gari ya uyu Mzee handsome ๐Ÿ‘Œ,alivoningiza kweny gar nikazidi kulia jamn ,Yan nililia kama sitolia Tena ,Yule baba akaondosha Gari sijui ata alikuwa ananipeleka wapi, Nikaona sehemu nzuri nibonge la mjumbaa n nzur nikaacha kwanz kulia ,pale njee kibango kimeandikwa LA CASA DE DAVID,tunaingia ndan nakuta Kuna mamaid karibia kumi ,nikamuuliza yule mbaba apa nikwako kacheka Kisha akanijibu ndio hii ni moja ya nyumba zangu .

Eeeeeeeh ,kumbe hii ni moja tuu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ nikaacha kulia kabisa nikaamuulz nyingine zikowapi ,akajibu kawapa wanae mtoto wake mmoja yupo marekani mwengine anasoma chuo .sikutaka kuuliza Tena maswal maaan nilijishtukia ๐Ÿคฃ ,Yan maswal mengi kaam namtaka .Tukashuka kweny gar kuelekea ndani sasa Yan mie kichwa kibovu kwel Yan apo napelekwa ndani Kwa mtu ambae ata simjui Yan ,nikawa najitia moyo hawezi kunifanya chochote anasura ya kiustaarabu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ.Iv mnanielewa Mimi watu Kam sisi ndo huwa tunatekwa asubuhi peupee๐Ÿคฃ.

Yule mbaba akanipeleka chumba kimoja ,mmmh iv mshawai ona mtu amejenga disco ๐Ÿชฉ ya nyumbn kwake mwenyew ndo uyu Mzee sasa ,akanikalisha Kisha akawasha mziki wa kiasi wakizungu ,Ile ya huzuni mtu ukiskia unalia ๐Ÿคฃ,akaniwekea Kisha akanipa wine ๐Ÿท,akaniambia Aya malizia hasira zako .

Nikaanza kulia upya ๐Ÿคฃ ,sasa mara hii nilikuwa nalia uku naonge nasema wanaume wote ni mbwa ,hawana akili nililia wee baadae nikakaa sawa .Akaend kupunguza sauti ya mziki Kisha akaniafata na kuniambia Aya baada ya kutukana unampango gani na wewe mwenyw unarud Kwa uyo mpuuuz wako au .
Apo nikabaki namkodolea macho nisijue Nini chakujibu maaana Bado nampend Allen ,nikaanza kulia Tena ๐ŸคฃYan akinikumbusha mtu lazima nilie ,yule baba Kwa busara zake akanikombatia uku ananiongelesha masikioni .

Sasa ule umotoumoto ule wa pumzi yake na kama mnavoijua pombe haina adabu ,Ile wine ilikuwa nakilevi ,nikaona nshapat Kwa kumalizia hasira zangu maana niligeuke nikamtizama usoni yule baba nikampa juice ya matikiti ๐Ÿ’‹ ,na yeye hakuwa kazubaaa akarudishia ,ikawa nipe nikurudishie mmmh jamn Kwa yoyote aliemuacha uyu baba alaaniwe .Mzee anayaweza mambo Yan anakuna Kila idara ,na vile ilikuwa kitambo sijacheza aka kamchezo .

Yule Mzee akawa ananiambia naomba nikuoe we mtoto , apo Mimi sielewi ninakazi y kugugumia tuu Kwa utamu ulivyokolea adi kweny kisogo ,sasa muda ukapita akaniweka kwenye kiti staili ya CEO najua hamuijui ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ hii anaijua mubaba wangu pekeake mie mwenyew sijui ๐Ÿคฃ.Yan apo nikamuona Allen ni fala kama mafala wengine maaan kumbe hawezi kitu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ baadae alivyomaliza yule Mzee adi nikawa siwezi kutembea vizur nikiinuka nakuwa Kam natetemeka miguu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ mmmmh jaman pongezi ziende kwake๐Ÿ™Œ

Itaendelea...


SEHEMU YA 3

Yan adi nilisahau Kam nilikuwa nalia Alivyo gentleman uyo mbaba akawa ananibembeleza eti Kwa madai yake ameniumiza mpaka siwezi kutembea ,eeeeh Yan kwel wanaume wapo wengi tuu ni sisi tu wanawake tunaharakia maisha ,akaniambia embu inuka basi tukaoge nikawa nikiinuka natembea hatua moj alafu na naima Kam nilikuwa nimewekewa vibration๐Ÿคฃ .

Gentleman wangu akaona usiwe shida ,akaniambia kwanini uteseke malkia wakati Mimi nipo akanibeba ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐmoja Kwa moja adi bafuni alafu ,nilichokigundua uyu baba han tamaaa alafu anauvumilivu maana wakat ananiogesha hata hakutaka tufanye Tena na hakunitamkia maneno ya kunitamani Tena Yan sio kama liallen lenyewe linamitamaaa kutwa anataka anipinde mtoto wa mwanaume mwenzie.Basi jamn yule Mzee akaniogesha Kisha tukaenda chumbani ,ila nikakaaa nikawaza akili yangu na moyo vikawa vinanisuta baada ya kuona picha ya mmama mzur pia na Binti wakike pale chumbani .Wakat uyo yule mbaba alafu Jina lake ni David .wakati David alivyoenda kuoga maan muda ule alikuwa akaniogesha Mimi tuu .

Nilivyoona Ile picha ,roho yangu ikaniuma Sanaa nikawa nasema kwel wanaume wote wapo sawa uku nalia nikavaa chap Kisha nikabeba virago vyangu nikaondoka zangu uku njiani nalia ,nilizani nimepata kumbe nimepatikana .
Nikatoka nikaend hostel nikakuta mashoga zangu wapo wamkaaa kihasarahasara nikaingia nikamuita Shoga angu yule kindakindaki ,msiri wangu nikawa namwambia alchokifanya allen ,akaniambia Yan shoga angu haina ya kunielezea sana maaan Kila mtu anajua .

๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ nikamuuliza Yan chuo chote ,akasema hapana ila kweny hostel watu wanajua karibia wote ,nikaanza kulia upya sasapo nalia na mengi ๐Ÿคฃ ,Shoga angu Anita yeye anajua namlilia Allen ,nililia usiku kucha.
Asubui yake nikaamka Sina mawazo Tena Yan ndo ninachokipenda Yan mie nikishalia Kwa muda kuhusu kitu kesho yake lazima nitakusahau kile kitu maumivu yote yanaisha kweny kulia ๐Ÿคฃ .

Kesho yake Ile siku nilivokuwa nalia Yan ukiniona kama sio mimi vile kilizi ๐Ÿคฃ,nimefika chuo mchan ule nikapitia canteen kula kwanz nikaawaona mtu na boy wake ni yule Allen na mbuz wake ,wanajichekesha wenywe Kam machiz fresh ๐Ÿคฃ .Ila karoho kalikuwa kananiuma .
Tukiwa pale nikaanza skia vidada vinaongea mmmh jamn yule lecturer mpya hapana kwakwel mbona yupo vile ,very handsome ,ni Mzee ila mmmmh .Mwenzie akaitikia sio Mzee bwan yule nikijana kabisa Yani ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ.
Nikatamani niwape ushuhuda wangu wa jna ,nikawa najisemea Yan awa wazee wasikuiz ,sijui ujanaa wao walikuwa wap wanakuja kuonekana uzeeeni ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Itaendelea ..

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*EX ULINIACHA ILA SASAIV NATOKA NA BABAAKO* *1-3* *_________________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Mimi Naitwa Jane ni mwanafunzi wa chuo kilichopo jijini Dar es salaaam ,nasomea kozi ya procurement

and supply management .
Nina miaka 19 ,Nina boyfriend wangu uyo ni handsome na yeye nasoma nae sema yeye yupo kwenye kozi nyingine .
Siku hii ya Leo tunamtihan Niseme ni mid semester test na ndo kwanz nipo njiani sasaiv natafuta usafiri ,uyo lecturer mwenyewe ni mkali hatri sijui kisa hajaoa๐Ÿคฃ .Ila Mungu ni mwema nilifanikiwa kufika Kwa wakati Yan naingia Mimi tu na mtihani umekuja kuanzishwa dakika Tano mbele utasema nilimpanga aje muda gani.Mmmmh jamn ule mtihani ni mgumu au kisa Jan tulienda club ,๐Ÿคฃ Yan Jana tuu tumetoka kuruka majoka tukasahau kama Kuna mtihani mie na mashoga zangu...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ex-uliniacha-ila-sasaiv-natoka-na-babaako-1-3-_________________________________________-sehemu-ya-kw

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi ex-uliniacha-ila-sasaiv-natoka-na-babaako
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 100

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 100

770
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 103

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 103

708
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 101 na 102

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 101 na 102

610
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 65๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 65๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

500
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 54 na 55

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 54 na 55

459
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 51

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 51

439
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 53

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 53

397
REALLY LOVE* Chapter 17

REALLY LOVE* Chapter 17

180
REALLY LOVE* Chapter 18

REALLY LOVE* Chapter 18

159
REALLY LOVE* Chapter 19

REALLY LOVE* Chapter 19

138

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.19K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.92K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.69K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.09K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.48K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.42K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.32K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.31K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REALLY LOVE* Chapter 19 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 19
@majario LIVE

muda ulisonga mbele hatimae jioni ya saa kumi ilifika seven akiwa ofisini alinza kujiandaa kitoka kisha akapitia ofisi ya john, aliingia na kumkuta yuko bize na compyuta ""nakuona upo bize jamaa...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 54 na 55 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 54 na 55
@majario LIVE

54 MPAKA 55 ๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก Aseeeee, nikaanza kuelezea mm. Akaja yeye. Ahaa akasema tu.mimi uyu sijazaa nae . Mh yupo serious. Akasema sijazaa nae kabisa. Kama alivyosema mwenyewe . Alinipa pesa nikatoe mimba...

MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON Post Mpya
MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON
@majario LIVE

Mamlaka ya mawasiliano ya Gabon (HAC), imepiga marufuku huduma za Mitandao ya kijamii kote nchini humo hadi ilani nyingine itakapotolewa. Uamuzi huo unalenga kuzuia unyanyasaji unaofuata na matumizi mabaya ya...

๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ทโค๏ธโ€๐Ÿฉน Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr. Post Mpya
๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ทโค๏ธโ€๐Ÿฉน Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr.
@majario LIVE

โ€œThe CBF stands in solidarity with Vinรญcius Jรบnior, victim of yet another act of racism this Tuesday, after scoring for Real Madrid against Benfica in Lisbon." "Racism is a CRIME. It...

Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu.  Kutoka milima ya Anatolia Post Mpya
Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu. Kutoka milima ya Anatolia
@majario LIVE

hadi milango ya Ulaya, kutoka Baghdad mpaka Cairo, bendera ya Uislamu ilipeperushwa juu ya majumba, masoko, na misikiti mikubwa iliyojengwa kwa fahari. Watu waliamini kuwa dola hii ingedumu milele...

REALLY LOVE* Chapter 18 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 18
@majario LIVE

huku sebleni walipo calor walisikia ugomvi wa wazazi wao wanagomben sana chumbani, calor alihisi kabisa itakuwa kuna tatizo tena sio dogo "kwani kun nini jaman cathe mbona kelel nyingi sielewi nimerudi hakuna...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 53 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 53
@majario LIVE

Basi bwana ikabidi nifate ushauri wa mzeee Kesho yake mapema sana .mimi niliamkia ustawi wa jamii posta. Makao makuu kabisa. Nilivyofika pale nikakuta na mwanamama pale . Anaitwa...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 103 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 103
@majario LIVE

Nimeingia natetemeka mnoo. Mh kulikuwa na taa ya chemli pale. Mlmi na yeye tulionana vizuri. Akanmbia njoo ukae apa nataka tuongee. Kweli mm nikasoge nikaenda kukaa pale. Akaningalia sana yani...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 101 na 102 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 101 na 102
@majario LIVE

Nikasema ni kweli yusta nimemfanyia mengi mabaya. Najutia na naumia . Ukipata mda mwambie anisamehe sana. Yusta akasema wee wala sitaki kumtibua mume wangu kipenzi. Yani mume wangu akisikia jina...

MY CRAZY BOSS 1 - 5 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 1 - 5
@majario LIVE

MWANZO "Nikiwa nimeketi kwenye benji mimi pamoja na wenzangu kama ishirini hivi nnje ya kampuni ya All Over iliyopo Mikocheni B , ikiwa ni majira ya saa moja kamili asubuhi ambapo...

๐Ÿšจ ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinรญcius Jรบnior Post Mpya
๐Ÿšจ ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinรญcius Jรบnior
@majario LIVE

AKIWA UWANJANI. โš ๏ธ๐Ÿšซ Mchezaji wa Benfica alimwita NYANI!!! โ€ผ๏ธ VINI AKATAA KUCHEZA!! ๐Ÿ˜คโŒ

WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO....... Kazi ya ualimu inahitaji moyo sana jamani, msione kwamba watoto wenu wanafaulu vizuri tu lakini upande mwingine huwa wanapitishwa ๐Ÿ˜‚ Sijui mnanielewa bandugu, yani kama sisi walimu wa...

๐†๐€๐‹๐€๐“๐€๐’๐€๐‘๐€๐˜ ๐Œ๐€๐Š๐„ ๐ˆ๐“ ๐…๐ˆ๐•๐„! โค๏ธ๐Ÿ’›๐Ÿ–๐Ÿผ  ๐–๐‡๐€๐“ ๐€ ๐†๐€๐Œ๐„! ๐Ÿฟ Post Mpya
๐†๐€๐‹๐€๐“๐€๐’๐€๐‘๐€๐˜ ๐Œ๐€๐Š๐„ ๐ˆ๐“ ๐…๐ˆ๐•๐„! โค๏ธ๐Ÿ’›๐Ÿ–๐Ÿผ ๐–๐‡๐€๐“ ๐€ ๐†๐€๐Œ๐„! ๐Ÿฟ
@majario LIVE

Juventus hoi huko kipogo Cha maana kabisaaa hichi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 65๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 65๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

Mmmhhh kwa hiyo hemed kumbe ni kamalaya๐Ÿ˜ฃ๐Ÿ˜ฃ hebu ngoja nimpigie simu nimuulize yuko wapi๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’ au niende nikamfumanie ili nipate sababu ya kuachana naye kaishaanza kuniudhi et bora niondoke kwake nimuache...

REALLY LOVE* Chapter 17 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 17
@majario LIVE

alisema mama cathe kwa mama usiseme mimba mama huwenda homa tu alisema cathe huku analia sana kwakweli alijutia sana mpumbavu mkubwa wewe hivi unayaona hayo matapishi mjinga mkubwa wewe cathe unatutia aibu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest