Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA  SEHEMU YA: 09
Gonga94 ยท Stories

FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 09

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


SONGA NAYO.........

Nikaita

"Benny "

Benny akuamini aliponiona nilikuwa na muonekano tofauti na wa mwanzo, kila mtu alikuwa akiniongelea wapo walionichukia gafla na kujenga wivu na chuki ya gafla.

Tukaongozana mpaka kwenye viti ambavyo vilikuwa peke

" Saada mbona kama siamini ninachokiona...?"

"Kwanini....??"

"Betty ndo amekuvesha hivi na kukwambia ubadilishe na mwendo "

"Ooooh acha utani Basi nimevaa mwenyewe na kila kitu nimefanya Mwenyewe hata Betty ajaniona ila madam wenu naona ndo kachanganyikiwa kuliko ninyi"

" Hi inamaanisha umekubali kabisa kufanya hi kazi mapema hivi"

" Kazi gani....??"

" Iliyokuleta hapa"

"Kwani Kuna kazi gani hapa ...??"

"Anyway tuongee mambo mengine achana na hayo "

Tulipiga story nyingi Sana Benny alikuwa mvulana flani hivi amaizing, charming sana.

Majila ya saa 9 tuliitwa ndani Benny akaniambia

"Baada ya kukaa na Mimi siku nzima hivi utapata maadui wengi kuliko wanaokupenda "

"Kwanini....??"

" Wai wewe tumeitwa na madam , ila saada unaonekana mmbea mmbea sana "

Tukacheka na kwenda sebleni

"Saada njoo hapa "

Aliniita madamu akiwa na tabasamu la kutosha, nikaachia tabasamu langu na Mimi yaani nilikuwa najishauwa siku hiyo nilishaona hakuna anayejifikia kwa umbo zuri, na niligundua wote walikuwa washamba ujanja wa kufundishwa tuh.

"Jamani hivi mnamuona saada Kama ninavyomuona Mimi au Mimi naona vibaya jamani she's so beautiful"

Alinisifia madamu na kunifanya niongeze malingo

"Anyway nimewaita hapa kwasababu nataka tuandaae vizuri tutakuwa na Patty usiku wa leo wa kumpokea saada kama ilivyo kawaida yetu.

Nilifurahi sana alimaliza kutoa maelezo Kisha akaomba nimfuate chumbani kwake, aisee chumba chake Ni hatari ya mwisho kabisa kizuri Sana full AC kina nukia vizuri akanikaribisha

"Karibu ukae "

Nikakaa kwenye kiti kilichopo pembeni aliningalia kisha akasema

"Saada leo umejua kumchanganya kila mtu umekuja Jana tu leo Ni kila kuchwa kinawaka Moto kwaajili yako, nishajua we Ni mtoto wa mjini, sitaki kujua historia yako lakini nitakuambia direct mambo ya hapa "

"Unafikili hata ungetaka historia yangu ningekupa Sasa "

Nilijibu hivyo lakini nilishaanza kumkumbuka mama lakini sikutaka kuonesha uzuni yangu nikatabasamu

"Sasa sikia kazi iliyoko humu haina tofauti na kujiuza isipokuwa sisi Ni tofauti na wale wanaosimama brabarani halafu sisi tuna maisha mazuri mno sijui unaelewa, nilikuwa nimepanga kukwambia haya baada ya kuzoea mazingira lakini nimeona wewe ni mtoto wa mjini kabisa "

Hapo nilipata wasiwasi Niliona kabisa narudi kwenye maisha yangu ya mwanzo ambayo sikutaka kurudi maana nilikuwa nikibadilisha sana wanaume kipindi iko, sikutaka kumkatisha tamaa nikakubali, ingawa kwa shingo upande.

Usiku Patty ilikuwa kubwa sana watu walikuwa bize na mziki lakini nilikuwa na mawazo Sana sikuwa na furaha au malingo Kama niliyoyaonesha mchana, Benny akanifuata nilipo

"Mmmmh Kuna mtu ameshajua Nini kimemleta hapa Sasa "

"Please benny naitaji kuwa mwenyewe "

Benny akujibu kitu Zaidi aliondoka niliingia chumbani na kuwaza sana lakini sikuwa na majibu sahihi mwisho nikajiambia

"Kuliko kurudi mtaani ambako sijui naenda kuanzia wapi wacha nikubali maana sio Mara yakwamza haya mambo ingawa mwanzo nilikuwa nikifanya kwaajili ya ucharuko wangu ila Sasa hivi maisha "

Nikarudi chini, nikaingia Kati na kuanza kucheza mziki, Benny akaja tukawa tunacheza

"Hivi itaisha saa ngapi hi sherehe...??"

"Ahahah Hadi asubuhi yaani na hautakuja kuamini hakuna mtu ataenda kulala kila yaani usingizii Amna kabisa kukiwaga na sherehe.

Lakini sikuzoea mambo ya kukesha na nililewa sana nilimuomba Benny anisaidie kuingia ndani maana zile ngazi zilikuwa ndefu kwa pombe niliyokunywa.

Sijui kilitokea Nini lakini nilikuja kuamoa asubuhi Benny akiwa pembeni yangu na wote tulikuwa watupu, nikamuamsha kwa kumtikisa, akainuka

"Uwiii nimelala mpaka mda huu Ni saa mbili uwiii nikionekan huku nimeisha "

"Unalalamika tuu SI utoke nje Sasa "

Benny alitoka nje lakini alikutana uso kwa uso na Betty nikasema msala huu Sasa

Betty aliingia ndani akiwa na hasira Sana

" Umejisikiaje kunilaza sebleni, Tena unathubutuje kulala na mwanaume kwenye chumba chetu, kumbe unijui Mimi nani eeeh kwa taarifa yako Mimi ndio kiongozi wa hapa na nilipewa chumba Cha peke angu wako wenzio uko wanalaa mpaka 6, ulivyovuka mipaka ukalala na mtu ambaye nampenda mno "

Nikaona huyu Sasa anataka kunipanda kichwani nikimuangalia Sana mwisho nikainuka na kwenda kuoga, nilipotoka nilimkuta akiwa na madamu grace

"Oooh madam shikamoo"

Nilimsalimia madam Grace

"Betty naomba utupishe niongee na saada "

Betty akatoka madam akafunga mlango

" Ni kweli umelala na Benny ??"

Ilo lilikua swali la kwanza kutoka kwa madamu, niliangalia chini kwa aibu Kisha nikatikisa kichwa kwa kukubali

"Lakini maadam Ni bahati mbaya tuu nililewa Sana Jana na sijui kwanini nimefanya hivyo sikumbuki vizuri Kama nimakosa naomba unisamehe sana "

"Ni makosa makubwa Seema adhabu yako atabeba Benny anajua Sheria za umu ndani kuwa haturuhusu mahusiano baina yetu, kwa Leo nakusamehe wewe"

"Aaaah madam Mimi ndio nilimlazimisha Benny "

Madam akafungua mlango na kuondoka nilibaki nikijilaumu kwanini nimefanya hivyo.

Nilipokuja kutoka nje nilimkuta benny akisafisha swimming pool nikamsalimia ingawa nilikua naona aibu

"Ukanisababisha matatizo umefurahi eeeh ?"

Kabla sijajibu madam akaniita nikaondoka.

"Jiandae Kuna mgeni kwaajili yako Sasa hivi naomba umuhudumie Kama ulivyomuhudumia Benny "

Nilihisi kuishiwa nguvu niliona kabisa haya maisha yanaenda kunishinda niliona yaani Kama na Mimi napewa adhabu baada ya kulala na Benny, baada ya muda alifika mgeni wangu alikuwa Ni kijana ambaye nilimuona siku ya kwanza kabisa nilipofika na alihudumiwa na Betty , sikuwa wa jinsi nilimuhudumia vizuri Kama ambavyo ilitakiwa ingawa sikuwa nimependa nilikuwa na hasira Sana siku hiyo nilishinda ndani nikiwa time fungia tu .

Majila ya usiku madam alikuja akiwa na mfuko pembeni na kunikabidhi,

"mteja wako wa kwanza amefurahi sana leo amelipa pesa nyingi mno sikuwa na budi but kukununua iPhone X Kama zawadi"

Kusikia I phone Tena nilifurahi hatari hatari yaani nikamkumbatia madamu.

" Laini nimeweka nimekuwekea namba za wenzio wa humu na Mimi tu uruhusiwi kuwa na mawasiliano na watu wa nje "

Kisha madam akaondoka nje nikaanza heka heka zangu nikaingiza account zangu za mtandaoni nilizokuwa natumia Jana nilikutana na sms jingi Sana za rafiki zangu wakiuliza nimepotelea wapi, nikaanza kujibu Mona baada ya nyingine huku nikiwadanganya kuwa Niko marekani ๐Ÿ˜‚ yaani nilikuwa na akili fupi Mimi mmmh lakini nilikuwa na uhakika kuwa hatutakuja kuonana kwani umu ndani kutoka sio rahisi.

Nikiwa nimekaa zangu bize na simu nilimkumbuka Benny nikatoka nje ili nimuone

"Naona leo umeshinda ndani...??"

"Yaaah we SI ulikuwa unanifokea mda wote yaani Kama nimekufanyia Jambo kubwa Sana "

Nilijibu uku nikisubili atasema Nini

"I love you saada "

Uwiii nilistuka nikaangalia uku na uku kama hakuna mtu anaangalia maana haturuhusiwi kuwa na mahusiano

"Tutafanya siri niamini "

Aliendelea Benny sikuwa na budi kukubali nikampa namba zangu tukawa tunapiga picha.

Muda ulienda Sana Kama miezi minne nikiwa mzoefu Sana wageni pia waliendelea kuja, nilikuwa nikiteseka pale tu wateja wa kike wakina na kumchagua Benny nilikuwa natamani niwameze ๐Ÿ˜.

Basi nilipata na rafiki wa kike aliyeitwa Sabrina alikuwa mtaratibu Sana na hakuwa akipenda kazi hiyo, na alikuwa na sababu zilizomfanya kufika hapo, wakati huo madam alikuwa akinipenda sana Mimi kwani ndio nilikuwa nikimuingizia pesa nyingi kuliko wengine.

Nikiwa chumbani na Sabrina tunaongea alionekana hayuko sawa kabisa

"Una shida gani....??"

"Yaani hata sielewi nimepima leo nimegundua ni mjamzito na kumbuka Sheria za umu ndani "

"Uwiii Sabrina sijui tunafanyaje, lakini subili usimwambie mtu mwingine Wala maadam iache ikue ikiwa kubwa atakuacha tuu uzae atotoa"

Nikubwa nahisi miezi sita Sasa huu mwili ndo unanisaidia kuficha tumbo"

Tulistuka baada ya mlango kufunguliwa na aliingia bettty ambaye ndio adui yangu mkuu katika jumba Hilo akaanza kucheka Kisha akasema

" Unaitwa Kuna mgeni wako...."

ITAENDELEA.....


FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 09



SONGA NAYO.........

Nikaita

"Benny "

Benny akuamini aliponiona nilikuwa na muonekano tofauti na wa mwanzo, kila mtu alikuwa akiniongelea wapo walionichukia gafla na kujenga wivu na chuki ya gafla.

Tukaongozana mpaka kwenye viti ambavyo vilikuwa peke

" Saada mbona kama siamini ninachokiona...?"

"Kwanini....??"

"Betty ndo amekuvesha hivi na kukwambia ubadilishe na mwendo "

"Ooooh acha utani Basi nimevaa mwenyewe na kila kitu nimefanya Mwenyewe hata Betty ajaniona ila madam wenu naona ndo kachanganyikiwa kuliko ninyi"

" Hi inamaanisha umekubali kabisa kufanya hi kazi mapema hivi"

" Kazi gani....??"

" Iliyokuleta hapa"

"Kwani Kuna kazi gani hapa ...??"

"Anyway tuongee mambo mengine achana na hayo "

Tulipiga story nyingi Sana Benny alikuwa mvulana flani...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/forgive-me-mom-nisamehe-mama-sehemu-ya-09

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi forgive-me-mom-nisamehe-mama-sehemu-ya
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama  SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama  SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

1.1K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43

1.07K
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*

474
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

243
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

233
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

231
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

226
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

128
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5

110
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*

102

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.39K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.81K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.3K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.82K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.68K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.63K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS ๐Ÿฅฐ yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. ๐Ÿ”ด Maamuzi yaliyotangazwa: ๐Ÿ’ต Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL โšฝ. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL โšฝ.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest