VYOTE NDANI GONGA94
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
za watu, na kisha nilipewa adhabu hapo hapo, niliambiwa nikimbie bila kupumzika, mpaka atakapo rudi tena hapo kikosi namba saba, kisha aliondoka na kwenda kukagua vikosi vingine, niliendelea kukimbia hapo huku nikiwa nalia kwa hasira, nilijikuta namchukia kwa maramoja tuu ndio kafika tuu, nilikumbuka vile watu walivyokuwa wakisema juu yake, ni mkali sana nikaamini kweli nimkali, alipomaliza kufanya ukaguzi, kisha aliamuru ipigwe firimbi ya kwenda pared, ilipo lia firimbi watu wote walikimbia kuelekea kwenye uwanja tayari kwa pared, walipo fika walijipanga kwa vikosi, na kuesabu namba, ilipo fikia kikosi namba saba, walijipanga na kuhesabu namba, nakisha ilipofikia namba yangu, General aliuliza:
"Huyo namba saba yupo wapi?
Aliuliza kwa sauti ya kufoka, kisha kiongozi wa kikosi namba saba alijibu:
"Mkuu namba saba wetu umempa adhabu, na ulimuambia asitoke mpaka utakapo enda wewe mkuu"
Alipokumbuka akaruhusu;
"Ok, endelea na namba"
Walihesabu namba wote, kisha walianza kufanya pared hapo ya pamoja, huku akiwa anazungukia kila mmoja anakaguliwa, kiukweli watu wote walifanya pared sio kawaida, sio kama ile tuliyofanyaga na viongozi wetu, mara baada ya kumaliza aliongea hapo nakuwaambia:
"Nipo hapa nanyi kwa muda mchache, ila sito waambia lini nitaondoka hapa, ila mtaenda vile nataka mimi muwe sawa?
Wote waliitikia "sawa" nakisha aliruhusu watawanyike, tayari kwenda kupata chakula cha jioni, mimi niliendelea kukimbia nilikuwa nimechoka sana, sikuweza kusimama kwani sikutaka matatizo zaidi, alipotoka pared alikuja moja kwa moja uwanjani, na kuniita:
"Kruta namba saba, haya njoo mbele yangu hapa"
Niliacha kukimbia na kumsogelea, kisha nilisimama mguu upande kwa sarut, kisha akaniambia;
"Kwaleo utaishia hapa nenda kapate chakula cha jioni nawenzio, ila kuanzia kesho machoyangu sito yatoa kwako, unaonyesha wewe ni mzembe mzembe, haya nenda kantini"
Kisha aliondoka nami niliondoka kuelekea bwenini, nilikuwa nimechoka sana na nilikuwa ninahasira vibaya mno, nilioga na kisha nilienda kantini kula chakula, nikiwa huko nakula chakula, alikuja kiongozi wa kikosi changu na kuniambia:
"Laura unajua kazi tuliyokupa wewe na yule mwenzio?
"Ndio mkuu"
"Sasa unafanya nini? Haraka ondoka na ukafanye tulichokuambia"
Niliinuka hata sijala chakula changu vizuri, nimekula matonge mawili tuu, na naambiwa niende tena kumuhudumia General Ethane, niliondoka na hasira sana njia nzima nilikuwa nikijiongelea mwenyewe:
"Yaani wangejua huyu mtu mimi simpendi hata kuiona surayake, yaani mimi sijala kwaajili yake, ninakwenda kumuhudumia mkorofi kama nini, nakuchukia General nakuchukia"
Wakati naongea hivyo, huku machozi yakinitoka yaani, nilienda kubeba chakula na kwenda kukiandaa mezani vizuri kwa General, kisha nilisimama tayari kwa kumkaribisha chakula, na kumuandalia, nilijua nitamkuta yule mwenzangu niliekuwa nae mwanzo, sijamkuta sijui nini nae kimemkuta, wakati nikiwa nawaza hapo huku nikiwa nimesimama, gafla General alitokea akiwa kavaa pensi fupi hivii, na tishet ambayo imekatwa mikono tunaiita singrend tuu, ananukia vizuri hatari, na chini kavaa slipaz, nilipo muona nilishtuka nikatoa sarut hapo, alitabasamu na kuniambia:
"Inatosha sasa"
Nilimtizama tuu, sikuwa na tabasam wala nini, ninamuogopa sana, alipo sogea karibu na meza nikamvutia kiti ili akae, na kisha nilifunua vyakula na kumkaribisha chakula kwa kumuambia:
"Karibu chakula"
"Asante, unaitwa nani?
"Naitwa Laula, muheshimiwa"
"Wewe ndio niliekupa adhabu sio?
"Ndio muheshimiwa"
"Haya njoo unichotee chakula hapa"
Nilisogea na kumchotea chakula, huku nikiwa namtizama kwa hasira, alinielewa ila hakutaka kuongea kitu, alichukua kijiko na kuanza kula, akaniuliza:
"Hauli?
Nilimjibu
"Tayari nimesha kula muheshimiwa"
Nilijibu tuu hivyo sikutaka kabisa kula nae meza moja, kwani ninahasira nae alinitazama, na mimi nilikuwa namtizama tuu, kisha akaniambia:
"Umekula saangapi, kaachini ni amli"
Nilianza kutetemeka, nikihofia anaweza kunipa adhabu kwa kumdanganya, nakisha nilikaa haraka, alivuta sahani yeye mwenyewe, na kunichotea chakula akaniambia:
"Haya kula"
Nilichukua chakula, nakuanza kula, alipomaliza kula aliinuka na kuniambia:
"Usiku mwema"
Akaondoka na kuelekea chumbani kwake, nilipo ona kaondoka, nilivuta sahani na kufakamia nyama ya kuku yakukaanga, haraka haraka kisha nilitoa vyombo na kuelekea bwenini kwetu, nilipoingia bwenini kwetu, niliwakuta wengine tayari wamesha lala, kasoro group la Catrine na wenzie, wanapenda sana umbea hivyo waliponiona tuu wakaniita:
"Laura hembu njoo utuambie"
Nikawauliza:
"Niwaambie!, niwaambie nini?
"Aah! Nawewe, kwani usichokielewa nini sasa?
Nilikuwa sielewi anaongelea nini, nilibaki meduwaa tu, alikuja Catrine na kunivuta mkono, kisha akanisogeza kwa wenzie, na kuendelea kusisitoza niwaambie, kiukweli nilishindwa kuwaelewa, nikawaambia:
"Tafadharini naomba mniache, kwani siwaelewi mimi mnataka nini?
"Tuambie kuhusu General Ethane tafadhari"
Niliwatizama kwa hasira, na kisha nikawaputa mkono wangu waliokuwa wameushikilia, kisha nilienda kitandani kwangu kupumzika, alikuja Catrine mwenyewe na kuniambia:
"Ndio maana ulipewa adhabu, wewe nijeuri sana, kwanza sijui upoje"
Nilijisikua hasira sana, na kisha nikamsogerea na kumpiga kofi moja, nikamuambia:
"Jua mipaka yako, mimi sio wakuchezea"
Alivyo nae mkorofi, akanivaa tukavaana, kilichofuatia tukapigana hapo haswaa, hadi alienda kuitwa mkuu wa kikosi chetu namba saba, alikuwa yupo na wenzie kwenye kikao na General, sindio General akaona aje yeye na mkuu wetu wakikosi, wewe acha tuu:
Endelea kufuatilia.....
"Huyo namba saba yupo wapi?
Aliuliza kwa sauti ya kufoka, kisha kiongozi wa kikosi namba saba alijibu:
"Mkuu namba saba wetu umempa adhabu, na ulimuambia asitoke mpaka utakapo enda wewe mkuu"
Alipokumbuka akaruhusu;
"Ok, endelea na namba"
Walihesabu namba wote, kisha walianza kufanya pared hapo ya pamoja, huku akiwa anazungukia kila mmoja anakaguliwa, kiukweli watu wote walifanya pared sio kawaida, sio kama ile tuliyofanyaga na viongozi wetu, mara baada ya kumaliza aliongea hapo nakuwaambia:
"Nipo hapa nanyi kwa muda mchache, ila sito waambia lini nitaondoka hapa, ila mtaenda vile nataka mimi muwe sawa?
Wote waliitikia "sawa" nakisha aliruhusu watawanyike, tayari kwenda kupata chakula cha jioni, mimi niliendelea kukimbia nilikuwa nimechoka sana, sikuweza kusimama kwani sikutaka matatizo zaidi, alipotoka pared alikuja moja kwa moja uwanjani, na kuniita:
"Kruta namba saba, haya njoo mbele yangu hapa"
Niliacha kukimbia na kumsogelea, kisha nilisimama mguu upande kwa sarut, kisha akaniambia;
"Kwaleo utaishia hapa nenda kapate chakula cha jioni nawenzio, ila kuanzia kesho machoyangu sito yatoa kwako, unaonyesha wewe ni mzembe mzembe, haya nenda kantini"
Kisha aliondoka nami niliondoka kuelekea bwenini, nilikuwa nimechoka sana na nilikuwa ninahasira vibaya mno, nilioga na kisha nilienda kantini kula chakula, nikiwa huko nakula chakula, alikuja kiongozi wa kikosi changu na kuniambia:
"Laura unajua kazi tuliyokupa wewe na yule mwenzio?
"Ndio mkuu"
"Sasa unafanya nini? Haraka ondoka na ukafanye tulichokuambia"
Niliinuka hata sijala chakula changu vizuri, nimekula matonge mawili tuu, na naambiwa niende tena kumuhudumia General Ethane, niliondoka na hasira sana njia nzima nilikuwa nikijiongelea mwenyewe:
"Yaani wangejua huyu mtu mimi simpendi hata kuiona surayake, yaani mimi sijala kwaajili yake, ninakwenda kumuhudumia mkorofi kama nini, nakuchukia General nakuchukia"
Wakati naongea hivyo, huku machozi yakinitoka yaani, nilienda kubeba chakula na kwenda kukiandaa mezani vizuri kwa General, kisha nilisimama tayari kwa kumkaribisha chakula, na kumuandalia, nilijua nitamkuta yule mwenzangu niliekuwa nae mwanzo, sijamkuta sijui nini nae kimemkuta, wakati nikiwa nawaza hapo huku nikiwa nimesimama, gafla General alitokea akiwa kavaa pensi fupi hivii, na tishet ambayo imekatwa mikono tunaiita singrend tuu, ananukia vizuri hatari, na chini kavaa slipaz, nilipo muona nilishtuka nikatoa sarut hapo, alitabasamu na kuniambia:
"Inatosha sasa"
Nilimtizama tuu, sikuwa na tabasam wala nini, ninamuogopa sana, alipo sogea karibu na meza nikamvutia kiti ili akae, na kisha nilifunua vyakula na kumkaribisha chakula kwa kumuambia:
"Karibu chakula"
"Asante, unaitwa nani?
"Naitwa Laula, muheshimiwa"
"Wewe ndio niliekupa adhabu sio?
"Ndio muheshimiwa"
"Haya njoo unichotee chakula hapa"
Nilisogea na kumchotea chakula, huku nikiwa namtizama kwa hasira, alinielewa ila hakutaka kuongea kitu, alichukua kijiko na kuanza kula, akaniuliza:
"Hauli?
Nilimjibu
"Tayari nimesha kula muheshimiwa"
Nilijibu tuu hivyo sikutaka kabisa kula nae meza moja, kwani ninahasira nae alinitazama, na mimi nilikuwa namtizama tuu, kisha akaniambia:
"Umekula saangapi, kaachini ni amli"
Nilianza kutetemeka, nikihofia anaweza kunipa adhabu kwa kumdanganya, nakisha nilikaa haraka, alivuta sahani yeye mwenyewe, na kunichotea chakula akaniambia:
"Haya kula"
Nilichukua chakula, nakuanza kula, alipomaliza kula aliinuka na kuniambia:
"Usiku mwema"
Akaondoka na kuelekea chumbani kwake, nilipo ona kaondoka, nilivuta sahani na kufakamia nyama ya kuku yakukaanga, haraka haraka kisha nilitoa vyombo na kuelekea bwenini kwetu, nilipoingia bwenini kwetu, niliwakuta wengine tayari wamesha lala, kasoro group la Catrine na wenzie, wanapenda sana umbea hivyo waliponiona tuu wakaniita:
"Laura hembu njoo utuambie"
Nikawauliza:
"Niwaambie!, niwaambie nini?
"Aah! Nawewe, kwani usichokielewa nini sasa?
Nilikuwa sielewi anaongelea nini, nilibaki meduwaa tu, alikuja Catrine na kunivuta mkono, kisha akanisogeza kwa wenzie, na kuendelea kusisitoza niwaambie, kiukweli nilishindwa kuwaelewa, nikawaambia:
"Tafadharini naomba mniache, kwani siwaelewi mimi mnataka nini?
"Tuambie kuhusu General Ethane tafadhari"
Niliwatizama kwa hasira, na kisha nikawaputa mkono wangu waliokuwa wameushikilia, kisha nilienda kitandani kwangu kupumzika, alikuja Catrine mwenyewe na kuniambia:
"Ndio maana ulipewa adhabu, wewe nijeuri sana, kwanza sijui upoje"
Nilijisikua hasira sana, na kisha nikamsogerea na kumpiga kofi moja, nikamuambia:
"Jua mipaka yako, mimi sio wakuchezea"
Alivyo nae mkorofi, akanivaa tukavaana, kilichofuatia tukapigana hapo haswaa, hadi alienda kuitwa mkuu wa kikosi chetu namba saba, alikuwa yupo na wenzie kwenye kikao na General, sindio General akaona aje yeye na mkuu wetu wakikosi, wewe acha tuu:
Endelea kufuatilia.....
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha kisha nilienda chumbani kwangu, nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu, lakini nikajisemea kama kweli