Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
za watu,  na kisha nilipewa adhabu  hapo hapo,  niliambiwa  nikimbie bila kupumzika,   mpaka atakapo rudi tena hapo  kikosi namba saba,  kisha aliondoka  na kwenda kukagua  vikosi vingine,  niliendelea kukimbia hapo huku nikiwa nalia kwa hasira,   nilijikuta namchukia kwa maramoja  tuu ndio kafika tuu,  nilikumbuka vile watu walivyokuwa wakisema  juu yake,  ni mkali sana nikaamini kweli nimkali,  alipomaliza kufanya ukaguzi,  kisha aliamuru ipigwe firimbi ya kwenda pared,   ilipo lia firimbi watu wote walikimbia kuelekea kwenye uwanja tayari kwa pared,  walipo fika walijipanga kwa vikosi,   na kuesabu namba,   ilipo fikia kikosi namba saba,   walijipanga na kuhesabu namba,  nakisha ilipofikia namba yangu,  General aliuliza:


"Huyo namba saba yupo wapi?


Aliuliza kwa sauti ya kufoka,  kisha kiongozi wa kikosi namba saba alijibu:


"Mkuu namba saba wetu umempa adhabu,  na ulimuambia asitoke mpaka utakapo enda wewe mkuu"


Alipokumbuka  akaruhusu;


"Ok,  endelea na namba"


Walihesabu namba wote,   kisha walianza kufanya pared hapo ya pamoja,   huku akiwa anazungukia kila mmoja  anakaguliwa,   kiukweli watu wote walifanya pared sio kawaida,  sio kama ile tuliyofanyaga na viongozi wetu,  mara baada ya kumaliza aliongea hapo nakuwaambia:


"Nipo hapa nanyi kwa muda mchache,  ila sito waambia lini nitaondoka  hapa,   ila mtaenda vile nataka mimi muwe sawa?


Wote waliitikia "sawa"  nakisha aliruhusu  watawanyike,  tayari kwenda kupata chakula cha jioni,  mimi niliendelea kukimbia nilikuwa nimechoka sana,  sikuweza  kusimama kwani sikutaka matatizo zaidi,  alipotoka pared alikuja moja kwa moja uwanjani,  na kuniita:


"Kruta namba saba,  haya njoo mbele yangu hapa"


Niliacha kukimbia na kumsogelea, kisha nilisimama mguu upande kwa sarut, kisha akaniambia;


"Kwaleo  utaishia hapa nenda kapate chakula cha jioni nawenzio,  ila kuanzia kesho machoyangu sito yatoa kwako,  unaonyesha wewe ni mzembe mzembe,  haya nenda kantini"


Kisha aliondoka nami niliondoka kuelekea bwenini, nilikuwa nimechoka sana na nilikuwa ninahasira vibaya mno,  nilioga na kisha nilienda kantini kula chakula,  nikiwa huko nakula chakula,  alikuja kiongozi wa kikosi changu na kuniambia:


"Laura  unajua kazi tuliyokupa wewe na yule mwenzio?


"Ndio mkuu"


"Sasa unafanya nini? Haraka ondoka na ukafanye tulichokuambia"


Niliinuka hata sijala chakula changu vizuri,    nimekula matonge mawili tuu,   na naambiwa niende tena kumuhudumia General Ethane,   niliondoka na hasira sana njia nzima nilikuwa nikijiongelea mwenyewe:


"Yaani wangejua huyu mtu mimi simpendi hata kuiona surayake,   yaani mimi sijala kwaajili yake,   ninakwenda kumuhudumia mkorofi kama nini,   nakuchukia General nakuchukia"


Wakati naongea hivyo,  huku machozi yakinitoka yaani,  nilienda kubeba chakula na kwenda kukiandaa mezani vizuri kwa General,   kisha nilisimama tayari kwa kumkaribisha chakula,   na kumuandalia,  nilijua nitamkuta yule mwenzangu niliekuwa nae mwanzo,   sijamkuta sijui nini nae kimemkuta,  wakati nikiwa nawaza hapo huku nikiwa nimesimama,  gafla General alitokea akiwa kavaa pensi fupi hivii,   na tishet ambayo imekatwa mikono tunaiita singrend tuu,   ananukia  vizuri hatari,   na chini kavaa slipaz,  nilipo muona nilishtuka nikatoa sarut  hapo,  alitabasamu na kuniambia:


"Inatosha sasa"


Nilimtizama tuu,  sikuwa na tabasam wala nini,  ninamuogopa  sana, alipo sogea karibu na meza nikamvutia kiti ili akae, na kisha nilifunua vyakula na kumkaribisha chakula kwa kumuambia:


"Karibu chakula"


"Asante,  unaitwa nani?


"Naitwa  Laula,  muheshimiwa"


"Wewe ndio niliekupa adhabu sio?


"Ndio muheshimiwa"


"Haya  njoo unichotee chakula hapa"


Nilisogea na kumchotea chakula,   huku nikiwa namtizama kwa hasira, alinielewa  ila hakutaka kuongea kitu, alichukua kijiko na kuanza kula, akaniuliza:


"Hauli?


Nilimjibu

"Tayari nimesha kula muheshimiwa"

Nilijibu tuu hivyo sikutaka kabisa kula nae meza moja,  kwani ninahasira nae   alinitazama,  na mimi nilikuwa  namtizama tuu,  kisha akaniambia:


"Umekula saangapi,  kaachini ni amli"


Nilianza kutetemeka,   nikihofia anaweza kunipa adhabu kwa kumdanganya,   nakisha nilikaa haraka, alivuta sahani yeye mwenyewe,   na kunichotea chakula akaniambia:


"Haya kula"


Nilichukua chakula, nakuanza kula, alipomaliza kula aliinuka na kuniambia:


"Usiku mwema"


Akaondoka na kuelekea chumbani kwake,  nilipo ona kaondoka,  nilivuta sahani na kufakamia nyama ya kuku yakukaanga,  haraka haraka kisha nilitoa vyombo na kuelekea bwenini kwetu,  nilipoingia bwenini kwetu,  niliwakuta wengine tayari wamesha lala, kasoro group  la Catrine na wenzie,  wanapenda sana umbea  hivyo waliponiona tuu wakaniita:


"Laura hembu njoo utuambie"


Nikawauliza:

"Niwaambie!,  niwaambie nini?


"Aah! Nawewe,  kwani usichokielewa nini sasa?

Nilikuwa sielewi anaongelea nini,   nilibaki meduwaa tu,  alikuja Catrine na kunivuta mkono,  kisha akanisogeza kwa wenzie,  na kuendelea kusisitoza niwaambie, kiukweli nilishindwa kuwaelewa,  nikawaambia:


"Tafadharini naomba mniache,  kwani siwaelewi mimi mnataka nini?


"Tuambie kuhusu General Ethane tafadhari"

Niliwatizama kwa hasira,  na kisha nikawaputa mkono wangu waliokuwa wameushikilia,  kisha nilienda kitandani kwangu kupumzika,  alikuja Catrine mwenyewe na kuniambia:


"Ndio maana ulipewa adhabu,   wewe nijeuri sana,  kwanza sijui upoje"


Nilijisikua hasira sana,  na kisha  nikamsogerea na kumpiga kofi moja,  nikamuambia:


"Jua mipaka yako,  mimi sio wakuchezea"


Alivyo nae mkorofi,   akanivaa tukavaana, kilichofuatia  tukapigana hapo haswaa,   hadi alienda kuitwa mkuu wa kikosi chetu namba saba,   alikuwa yupo na wenzie kwenye kikao na General,  sindio General akaona aje yeye na mkuu wetu wakikosi, wewe acha tuu:




Endelea kufuatilia.....
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele

za watu,  na kisha nilipewa adhabu  hapo hapo,  niliambiwa  nikimbie bila kupumzika,   mpaka atakapo rudi tena hapo  kikosi namba saba,  kisha aliondoka  na kwenda kukagua  vikosi vingine,  niliendelea kukimbia hapo huku nikiwa nalia kwa hasira,   nilijikuta namchukia kwa maramoja  tuu ndio kafika tuu,  nilikumbuka vile watu walivyokuwa wakisema  juu yake,  ni mkali sana nikaamini kweli nimkali,  alipomaliza kufanya ukaguzi,  kisha aliamuru ipigwe firimbi ya kwenda pared,   ilipo lia firimbi watu wote walikimbia kuelekea kwenye uwanja tayari kwa pared,  walipo fika walijipanga kwa vikosi,   na kuesabu namba,   ilipo fikia kikosi namba saba,   walijipanga na kuhesabu namba,  nakisha ilipofikia namba yangu, ...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-02-asikuambie-mtu-nilijisikia-vibaya-kweli-kufokewa-mbele

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

514
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

434
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

407
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

295
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

130
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

87
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

80
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

72
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

65
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15

58

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest