Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
,  nikagonga mlango,   nakisha  niliitikiwa:


"Ingia"


Nikafungua mlango na kuingia,  kisha nilimkuta muhimu General akiwa kakaa na  raptop take yupo bize kidogo mwenyewe nikamuambia:


"Muheshimiwa,  nimeambiwa unaniita"


"Ndio nimekuita rafiki yangu,  sasa hivi ni mtu na rafiki yake,   tafadhari niite Ethane, usiniite  muheshimiwa sawa"


Aliongea huku macho bize  kwenye kazi aliyokuwa anaifanya,   kwenye raptop yake,   nilitabasam tuu  lakini niliendelea kusimama hapo,   General akaniambia:


"Kaa basi kwenye kiti"


Nilikaa na kisha akaniambia:


"Laura sijakuona kwenye chakula,   vipi  umekula lakini?


"Ndio nimekula"


Nilimjibu  kwa sauti yangu ya upole,   huku nikiwa bado  sina uhakika nae,   nilikuwa namuogopa bado,   japo sio sana kama mwanzo,  aliendelea kuniambia :


"Laura natamani kukujua,   unaweza kuniambia kuhusu wewe"


"Kwanini muheshimiwa"


"Aah! Hapana usiniite muheshimiwa  bwana,  naitwa Ethane,  na kingine kwani nivibaya mtu kumjua rafiki yake?


Nilitabasam tuu kisha nilimjibu:


"Hapana"


"Basi niambie namimi nitakuambia"


"Ok   sawa,  mimi naitwa Laura Lewis nimtoto wakwanza na wamwisho katika familia ya Mr na Mrs Lewis,    ambayo inapatokana mkoa wa dar essalam,    wilaya ya ilala maeneo ya tabata ,   nilimaliza elimu yangu ya secondary mwaka jana,   shule ya  kigurunyembe mkoani morogoro,   nazani umenijua au bado"


"No!  Bado bwana,  hujaniambia unapenda nini,  marafiki zako and everything,  si tayari mimi na wewe nimarafiki,  niambie basi"


"Mmh! Haya mimi napenda kusafiri,   rangi yangu ni blue,   chakula napenda ugali samaki,   kuhusu marafiki sina marafiki kiukweli"


"Mimi si nirafiki yako tayari au hutaki"


Nilitabasam tuu sikumjibu kitu, kisha aliiweka laptop yake pembeni na kuniambia:


"Ngoja nikuambie kuhusu mimi sasa,  mimi naitwa Ethane Deogratias,  ni mtoto wa kwanza kati ya watoto wawili wa mzee Deogratias,  babayangu mzee Deogratias aliaga dunia miaka kumi iliyo pita,   nikiwa bado kijana mdogo,  kabra ya kuaga dunia alikuwa mkuu wa mkoa mstaafu mkoani dodoma,   mpaka leo hii mama yangu yupo mkoani dodoma,   kwani tulisha weka mizizi yetu huko dodoma,  mimi kabila langu ni muhehe,  nina mdogoangu mmoja tu wa kike,   ambae kwa sasa anaishi Canada,    aliolewa huko na mzungu,  namimi ninaishi dodoma na mamaangu,  bado sijaoa,   sina marafiki pia,   ila kwa sasa ninae Laura,  rangi yangu  ni nyeupe,    napenda ugali na nyama,   nakuomba uwe rafiki yangu usiniogope,



Nilimpa pole kwa kumpoteza babaake,    kisha nikamuangalia,   alafu nikajiku natabasam  na kumuitikia,  kisha nilimuuliza:


"Mbona umenichagua mimi,  niwe rafiki yako kwanini?


"Nitakuambia  Laura,  ila sio leo"


"Mmh!  Haya sawa,  na kuhusu mahusiano yako boyfriend  and girlfriend,   maana kwa umli tayari wewe nimtu mzima, hujaniambia kuhusu hilo"


Alikaa kimya kwa muda kidogo hadi niliogopa,   kisha alinijibu :



"Naomba nahilo nalo niweke kiporo, nitakujibu  ila sio leo,  vipi  utakuwa umechoka,   ukapumzike kesho mapema  mazoezi,  nashukuru kwa kampani yako  rafiki yangu"


"Sawa,  usiku mwema na kwako"



Kisha nilisimama na kutaka kuondoka,  aliinika General na kuniita:


"Laura!


Kisha alinisogelea hadi nilipokuwa,  akaniambia:


"Naweza kuku kumbatia"


Huwezi amini nilikuwa naogopa sana,   kwani sijamzoea bado,  nikaanza kujisemea kimoyo moyo:



"Mmh! Mbona anakuja kwa kasi hivi"


Kwakuwa alikuwa tayari mbele yangu,  na yupo tayari kwa hug,  niliona  nisionekane mshamba nilimuambia:


"Unaweza,  kwanini isiwezekane"


Kisha alinikumbatia,  kiukweli sijui alinifanya nini,  nilijikuta ghafla mapigo yangu ya moyo yanadunda  kwa kasi,  niliamua  kumsukuma  kuhofia asije akagundua,  nikafungua mlango na kuondoka mbio, kwenda bwenini,  nilipo fika mlangoni,   nilikutana na mkuu wa kikosi  changu,  akaniuliza:


"Umetoka wapi?


Niliona nikimuambia kuwa nilikuwa kwa General,   sijui atanifikiliaje,  nahivi  muda ulikuwa umeenda sana hivyo niliona nimdanganye, kwa kumuambia:


"Nilikuwa  nafanya mazoezi mwenyewe mkuu"


Kisha nilifungua mlango na kuingia ndani,  mkuu wetu wa kikosi alibaki kama kapigwa na butwaa,   kwani inaonyesha wazi kabisa hakuniamini nilicho muambia kabisa...

Je nini kitafuata ??
Tangazo - Hostinger better 2026
Hostinger better 2026
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General

,  nikagonga mlango,   nakisha  niliitikiwa:


"Ingia"


Nikafungua mlango na kuingia,  kisha nilimkuta muhimu General akiwa kakaa na  raptop take yupo bize kidogo mwenyewe nikamuambia:


"Muheshimiwa,  nimeambiwa unaniita"


"Ndio nimekuita rafiki yangu,  sasa hivi ni mtu na rafiki yake,   tafadhari niite Ethane, usiniite  muheshimiwa sawa"


Aliongea huku macho bize  kwenye kazi aliyokuwa anaifanya,   kwenye raptop yake,   nilitabasam tuu  lakini niliendelea kusimama hapo,   General akaniambia:


"Kaa basi kwenye kiti"


Nilikaa na kisha akaniambia:


"Laura sijakuona kwenye chakula,   vipi  umekula lakini?


"Ndio nimekula"


Nilimjibu  kwa sauti yangu ya upole,   huku nikiwa bado  sina uhakika nae,   nilikuwa namuogopa bado,   japo sio sana kama mwanzo,  aliendelea kuniambia :


"Laura natamani kukujua,   unaweza kuniambia kuhusu wewe"


"Kwanini muheshimiwa"


"Aah!...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-05-hatimae-nilifika-kwa-general

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.14K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.48K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.57K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.31K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.12K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.11K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.04K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

1.96K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest