Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
,  nikagonga mlango,   nakisha  niliitikiwa:


"Ingia"


Nikafungua mlango na kuingia,  kisha nilimkuta muhimu General akiwa kakaa na  raptop take yupo bize kidogo mwenyewe nikamuambia:


"Muheshimiwa,  nimeambiwa unaniita"


"Ndio nimekuita rafiki yangu,  sasa hivi ni mtu na rafiki yake,   tafadhari niite Ethane, usiniite  muheshimiwa sawa"


Aliongea huku macho bize  kwenye kazi aliyokuwa anaifanya,   kwenye raptop yake,   nilitabasam tuu  lakini niliendelea kusimama hapo,   General akaniambia:


"Kaa basi kwenye kiti"


Nilikaa na kisha akaniambia:


"Laura sijakuona kwenye chakula,   vipi  umekula lakini?


"Ndio nimekula"


Nilimjibu  kwa sauti yangu ya upole,   huku nikiwa bado  sina uhakika nae,   nilikuwa namuogopa bado,   japo sio sana kama mwanzo,  aliendelea kuniambia :


"Laura natamani kukujua,   unaweza kuniambia kuhusu wewe"


"Kwanini muheshimiwa"


"Aah! Hapana usiniite muheshimiwa  bwana,  naitwa Ethane,  na kingine kwani nivibaya mtu kumjua rafiki yake?


Nilitabasam tuu kisha nilimjibu:


"Hapana"


"Basi niambie namimi nitakuambia"


"Ok   sawa,  mimi naitwa Laura Lewis nimtoto wakwanza na wamwisho katika familia ya Mr na Mrs Lewis,    ambayo inapatokana mkoa wa dar essalam,    wilaya ya ilala maeneo ya tabata ,   nilimaliza elimu yangu ya secondary mwaka jana,   shule ya  kigurunyembe mkoani morogoro,   nazani umenijua au bado"


"No!  Bado bwana,  hujaniambia unapenda nini,  marafiki zako and everything,  si tayari mimi na wewe nimarafiki,  niambie basi"


"Mmh! Haya mimi napenda kusafiri,   rangi yangu ni blue,   chakula napenda ugali samaki,   kuhusu marafiki sina marafiki kiukweli"


"Mimi si nirafiki yako tayari au hutaki"


Nilitabasam tuu sikumjibu kitu, kisha aliiweka laptop yake pembeni na kuniambia:


"Ngoja nikuambie kuhusu mimi sasa,  mimi naitwa Ethane Deogratias,  ni mtoto wa kwanza kati ya watoto wawili wa mzee Deogratias,  babayangu mzee Deogratias aliaga dunia miaka kumi iliyo pita,   nikiwa bado kijana mdogo,  kabra ya kuaga dunia alikuwa mkuu wa mkoa mstaafu mkoani dodoma,   mpaka leo hii mama yangu yupo mkoani dodoma,   kwani tulisha weka mizizi yetu huko dodoma,  mimi kabila langu ni muhehe,  nina mdogoangu mmoja tu wa kike,   ambae kwa sasa anaishi Canada,    aliolewa huko na mzungu,  namimi ninaishi dodoma na mamaangu,  bado sijaoa,   sina marafiki pia,   ila kwa sasa ninae Laura,  rangi yangu  ni nyeupe,    napenda ugali na nyama,   nakuomba uwe rafiki yangu usiniogope,



Nilimpa pole kwa kumpoteza babaake,    kisha nikamuangalia,   alafu nikajiku natabasam  na kumuitikia,  kisha nilimuuliza:


"Mbona umenichagua mimi,  niwe rafiki yako kwanini?


"Nitakuambia  Laura,  ila sio leo"


"Mmh!  Haya sawa,  na kuhusu mahusiano yako boyfriend  and girlfriend,   maana kwa umli tayari wewe nimtu mzima, hujaniambia kuhusu hilo"


Alikaa kimya kwa muda kidogo hadi niliogopa,   kisha alinijibu :



"Naomba nahilo nalo niweke kiporo, nitakujibu  ila sio leo,  vipi  utakuwa umechoka,   ukapumzike kesho mapema  mazoezi,  nashukuru kwa kampani yako  rafiki yangu"


"Sawa,  usiku mwema na kwako"



Kisha nilisimama na kutaka kuondoka,  aliinika General na kuniita:


"Laura!


Kisha alinisogelea hadi nilipokuwa,  akaniambia:


"Naweza kuku kumbatia"


Huwezi amini nilikuwa naogopa sana,   kwani sijamzoea bado,  nikaanza kujisemea kimoyo moyo:



"Mmh! Mbona anakuja kwa kasi hivi"


Kwakuwa alikuwa tayari mbele yangu,  na yupo tayari kwa hug,  niliona  nisionekane mshamba nilimuambia:


"Unaweza,  kwanini isiwezekane"


Kisha alinikumbatia,  kiukweli sijui alinifanya nini,  nilijikuta ghafla mapigo yangu ya moyo yanadunda  kwa kasi,  niliamua  kumsukuma  kuhofia asije akagundua,  nikafungua mlango na kuondoka mbio, kwenda bwenini,  nilipo fika mlangoni,   nilikutana na mkuu wa kikosi  changu,  akaniuliza:


"Umetoka wapi?


Niliona nikimuambia kuwa nilikuwa kwa General,   sijui atanifikiliaje,  nahivi  muda ulikuwa umeenda sana hivyo niliona nimdanganye, kwa kumuambia:


"Nilikuwa  nafanya mazoezi mwenyewe mkuu"


Kisha nilifungua mlango na kuingia ndani,  mkuu wetu wa kikosi alibaki kama kapigwa na butwaa,   kwani inaonyesha wazi kabisa hakuniamini nilicho muambia kabisa...

Je nini kitafuata ??

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General

,  nikagonga mlango,   nakisha  niliitikiwa:


"Ingia"


Nikafungua mlango na kuingia,  kisha nilimkuta muhimu General akiwa kakaa na  raptop take yupo bize kidogo mwenyewe nikamuambia:


"Muheshimiwa,  nimeambiwa unaniita"


"Ndio nimekuita rafiki yangu,  sasa hivi ni mtu na rafiki yake,   tafadhari niite Ethane, usiniite  muheshimiwa sawa"


Aliongea huku macho bize  kwenye kazi aliyokuwa anaifanya,   kwenye raptop yake,   nilitabasam tuu  lakini niliendelea kusimama hapo,   General akaniambia:


"Kaa basi kwenye kiti"


Nilikaa na kisha akaniambia:


"Laura sijakuona kwenye chakula,   vipi  umekula lakini?


"Ndio nimekula"


Nilimjibu  kwa sauti yangu ya upole,   huku nikiwa bado  sina uhakika nae,   nilikuwa namuogopa bado,   japo sio sana kama mwanzo,  aliendelea kuniambia :


"Laura natamani kukujua,   unaweza kuniambia kuhusu wewe"


"Kwanini muheshimiwa"


"Aah!...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-05-hatimae-nilifika-kwa-general

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

420
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

276
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

178
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

9

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.05K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.73K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.12K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.72K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest