Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
bwenini,   niliumia kiasi kwamba  nilishindwa hata kula chakula,   nilipofika  bwenini nilipanda kitandani na kulala,  kiukweli Nancy pia alichukizwa na yale maongezi  ya kina Catrine,   ila alijizuia kuwafanyia timbwili  aliwatizama tuu na kisha aliinuka na kuelekea bwenini nilipokuwa nimeenda mimi,  alinikuta nimejilaza hapo kitandani akaniambia:



"Laura tafadhari utafanya kilamtu ajue kuwa unampenda General,   hembu fanya uzifiche hisia zako  japo kidogo tuu"


Nilikaa kimya sikumjibu kitu,   ila Nancy aliendelea kusema:


Naomba shuka chini twende ukale,   haraka twende acha kuwa mjinga"


Nikainuka na kumwambia Nancy huku machozi yakinitoka:


"Unajua Nancy ninavyo mpenda  General Ethane"


"Najua kipenzi changu  lakini  usiwe hivyo,  jikaze  uitengeneze na kesho yako kwanza,   pamoja na kumpenda huyo General,   na je vipi kama ameoa  inamaana maisha yako wewe ndio basi tena eeh!?


Nilikuwa kimya tuu namtizama kisha nilimjibu:


"Lakini aliniambia hajaoa bado"


"Unawezaje kumuamini mtu umekutana nae muda mfupi tuu  Laura  jamani"


"Lakini Nancy mapenzi sikuzote watu huseama niupofu nami nahisi kupofuka kwakweli,  ila nakuahidi nitajitahidi kujituliza,   lakini tulifanyie kazi swala la kumpata General bado moyowangu  unateseka hata nikisikia mtu kamtaja jinalake tuu,  na kuhusu Catrine huwa hanitishi mimi hata kidogo,  na alivyo mpuuzi hawezi kuwa na General hata kwa sekunde moja,   General niwangu mimi pekeangu"


Niliamka tukaenda kumalizia kula chakula nakisha tuliagana na kwenda kulala,  siku zilisonga nilibadilika kwa kujikaza,  lakini ndani ya moyo wangu udhaifu wangu ni General,   lakini Nancy alipambana kuhakikisha nafanikisha, hadi siku tunafanyiwa sherehe ya kuhitim mafunzo yetu ilifika,  kulikuwa nawageni wengi sana pamoja na ndugu jamaa na marafiki,  tukiwa hapo nilikuwa nawaza sana kwani ndio tunatoka na General tangu ameondoka,    nitafanyaje sijaweza hata kuwasiliana nae tangu ameondoka,  niliona nimfuate mkuu wa kikosi changu kuongea nae,  nilimkuta akiwa yupo na viongozi wengine,  lakini nilimuomba kuzungumza nae kidogo pembeni,  alikubali na kutoka nikamuambia:



"Mkuu samahani kwanza kwa kukutoa pembeni"


"Hakuna shida Laura,   ulikuwa unasemaje"


"Mkuu nilikuwa nashida na namba ya General,    tafadhari kama unayo nisaidie"


"General mbona yupo njiani anakuja hapa,    sio muda  atafika  utamuomba mwenyewe akija"


Yaani huwezi amini nilivyosikia hiyo taarifa,    moyowangu ulipata amani hakika ilikuwa ni taarifa nzuri  sana kwangu  haijawahi  kutokea,    nilimshukuru kwa taarifa  hata yeye  alielewa tuu,    kwani nilifurahia sana kisha nilimfuata Nancy na kumuambia:


"Nancy huwezi amini General yupo njiani anakuja"


"Wow!  Achabasiii nani kakuambia"


"Hivii unajua nilijitosa kumfuata mkuu wa kikosi namba saba,  na kumuomba namba ya General Ethane,  akaniambia mbona yupo njiani anakuja na kuhusu namba nitamuomba mwenyewe,  huwezi amini furaha niliyokuwa nayo baada ya kupewa hiyo taarifa kipenzi,  ninafuraha sana yaani sana namsubili kwa hamu,   leo nitamuambia  nitamuambia kilakitu"


"Natumai utafurahi zaidi"


"Kabisa kipenzi asante sana kwa kuwa namimi siku zote,  mungu akulinde"


"Usijali kipenzi"


Nikiwa naongea kwa furaha hapo na rafiki yangu Nancy,   mjomba wangu alikuja karibu yetu na kuniambia:


"Naona unafuraha sana uncle,   leo tunarudi nyumbani wote sindio"


"Kabisa uncle"


"Ok  basi endeleeni kufurahia nipo palee nimekaa sawa?


"Sawa uncle"


Mimi ninakaa na mjomba wangu pamoja na shangazi yangu ,  mamaangu alimkabizi mjomba kwani hakuwa na uwezo wa kunilea na kunisomesha,  na ndio maana mjomba ndio kaja kwenye sherehe za mimi kuhitimu mafunzo ya kijeshi,  mjomba wangu ananilea vizuri sana na kunipa kila nitakacho,  bahati mbaya yeye hana uwezo wa kupata mtoto,    ndio maana hunichukulia mimi kama mtoto wake mwenyewe,    ananidekeza hatari niombe nini mimi napewa kilakitu,  nilitaka mimi kuja jeshini japo kuwa yeye hakutaka alijua nitateseka sana,  lakini alikubali tuu kishingo upande,  basi bwana wakati sherehe zinaendelea  kwa mbali niliona gari ya General Ethane inapaki,  nakisha alishuka na kwenda kwenye siti aliyopangiwa,  nilikuwa natamani hata nikamkumbatie,  lakini sio rahisi mbele za watu hapo hivyo nilijizuia,  hadi  tunamaliza sherehe  na kuruhusiwa tuondoke na wazazi wetu,  General aliinuka na kwenda ofisini  nilimtoroka mjomba na kumfuata  General,  kabla sijaingia walikuja viongozi wengine walikuwa na vikao vyao,   wakati huo mjomba alikuwa ananitafuta  nimeenda wapi  watu walianza kuonfoka,  mjomba alinikuta nipo pembeni ya ofisi  akaniuliza:


"Unafanya nini sasa Laura tuondoke"


"Mjomba nilikuwa namsubili General kunajambo nataka kuongea nae"


"Nilitaka tupitie  kwa bibiako muda unaenda kipenzi"


Nilifikilia kisha nikaona ngoja nimruhusu aende nitamg'ang'ania General atanirudisha tuu,  nikamuambia"


"Mjomba unaonaje utangulie kisha nikisha ongea nae General  tutaondoka wote kwani nae anaenda dar"


Mjomba wangu ananiamini sana hakufikilia kabisa kama kutakuwa na mahusiano,  ananijua mimi  siamini katoka mahusiano,  akakubali nakuamua kuondoka,   mwisho wa siku watu wote walikuwa wameondoka,  na viongozi ndio wakatoka mida ya saa kumi na mbili kwenye kikao,  nilikaa kwenye kigiza hivi  hakuna alieniona mimi ndio nilikuwa nawaona,  General alitoka na alikuwa anaelekea  moja kwa moja kwenye gari yake ili aondoke,   nilimfuata nyuma kwa nyuma alipo fika kwenye gari yake akiwa anafungua mlango wa gari,  nilimkubatia kwa nyuma.






Je  General atafanyaje akijua Laura  kwani alishaamua kusonga mbele baada ya kukataliwa  endeleeni kufuatilia............
WhatsApp 0742133100
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu

bwenini,   niliumia kiasi kwamba  nilishindwa hata kula chakula,   nilipofika  bwenini nilipanda kitandani na kulala,  kiukweli Nancy pia alichukizwa na yale maongezi  ya kina Catrine,   ila alijizuia kuwafanyia timbwili  aliwatizama tuu na kisha aliinuka na kuelekea bwenini nilipokuwa nimeenda mimi,  alinikuta nimejilaza hapo kitandani akaniambia:



"Laura tafadhari utafanya kilamtu ajue kuwa unampenda General,   hembu fanya uzifiche hisia zako  japo kidogo tuu"


Nilikaa kimya sikumjibu kitu,   ila Nancy aliendelea kusema:


Naomba shuka chini twende ukale,   haraka twende acha kuwa mjinga"


Nikainuka na kumwambia Nancy huku machozi yakinitoka:


"Unajua Nancy ninavyo mpenda  General Ethane"


"Najua kipenzi changu  lakini  usiwe hivyo,  jikaze  uitengeneze na kesho yako kwanza,   pamoja na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-09-kisha-niliinuka-taratibu-na-kuondoka-zangu

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

622
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

566
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

473
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

414
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

346
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

118
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

83
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

75
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

69
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

54

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest