Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
bwenini,   niliumia kiasi kwamba  nilishindwa hata kula chakula,   nilipofika  bwenini nilipanda kitandani na kulala,  kiukweli Nancy pia alichukizwa na yale maongezi  ya kina Catrine,   ila alijizuia kuwafanyia timbwili  aliwatizama tuu na kisha aliinuka na kuelekea bwenini nilipokuwa nimeenda mimi,  alinikuta nimejilaza hapo kitandani akaniambia:



"Laura tafadhari utafanya kilamtu ajue kuwa unampenda General,   hembu fanya uzifiche hisia zako  japo kidogo tuu"


Nilikaa kimya sikumjibu kitu,   ila Nancy aliendelea kusema:


Naomba shuka chini twende ukale,   haraka twende acha kuwa mjinga"


Nikainuka na kumwambia Nancy huku machozi yakinitoka:


"Unajua Nancy ninavyo mpenda  General Ethane"


"Najua kipenzi changu  lakini  usiwe hivyo,  jikaze  uitengeneze na kesho yako kwanza,   pamoja na kumpenda huyo General,   na je vipi kama ameoa  inamaana maisha yako wewe ndio basi tena eeh!?


Nilikuwa kimya tuu namtizama kisha nilimjibu:


"Lakini aliniambia hajaoa bado"


"Unawezaje kumuamini mtu umekutana nae muda mfupi tuu  Laura  jamani"


"Lakini Nancy mapenzi sikuzote watu huseama niupofu nami nahisi kupofuka kwakweli,  ila nakuahidi nitajitahidi kujituliza,   lakini tulifanyie kazi swala la kumpata General bado moyowangu  unateseka hata nikisikia mtu kamtaja jinalake tuu,  na kuhusu Catrine huwa hanitishi mimi hata kidogo,  na alivyo mpuuzi hawezi kuwa na General hata kwa sekunde moja,   General niwangu mimi pekeangu"


Niliamka tukaenda kumalizia kula chakula nakisha tuliagana na kwenda kulala,  siku zilisonga nilibadilika kwa kujikaza,  lakini ndani ya moyo wangu udhaifu wangu ni General,   lakini Nancy alipambana kuhakikisha nafanikisha, hadi siku tunafanyiwa sherehe ya kuhitim mafunzo yetu ilifika,  kulikuwa nawageni wengi sana pamoja na ndugu jamaa na marafiki,  tukiwa hapo nilikuwa nawaza sana kwani ndio tunatoka na General tangu ameondoka,    nitafanyaje sijaweza hata kuwasiliana nae tangu ameondoka,  niliona nimfuate mkuu wa kikosi changu kuongea nae,  nilimkuta akiwa yupo na viongozi wengine,  lakini nilimuomba kuzungumza nae kidogo pembeni,  alikubali na kutoka nikamuambia:



"Mkuu samahani kwanza kwa kukutoa pembeni"


"Hakuna shida Laura,   ulikuwa unasemaje"


"Mkuu nilikuwa nashida na namba ya General,    tafadhari kama unayo nisaidie"


"General mbona yupo njiani anakuja hapa,    sio muda  atafika  utamuomba mwenyewe akija"


Yaani huwezi amini nilivyosikia hiyo taarifa,    moyowangu ulipata amani hakika ilikuwa ni taarifa nzuri  sana kwangu  haijawahi  kutokea,    nilimshukuru kwa taarifa  hata yeye  alielewa tuu,    kwani nilifurahia sana kisha nilimfuata Nancy na kumuambia:


"Nancy huwezi amini General yupo njiani anakuja"


"Wow!  Achabasiii nani kakuambia"


"Hivii unajua nilijitosa kumfuata mkuu wa kikosi namba saba,  na kumuomba namba ya General Ethane,  akaniambia mbona yupo njiani anakuja na kuhusu namba nitamuomba mwenyewe,  huwezi amini furaha niliyokuwa nayo baada ya kupewa hiyo taarifa kipenzi,  ninafuraha sana yaani sana namsubili kwa hamu,   leo nitamuambia  nitamuambia kilakitu"


"Natumai utafurahi zaidi"


"Kabisa kipenzi asante sana kwa kuwa namimi siku zote,  mungu akulinde"


"Usijali kipenzi"


Nikiwa naongea kwa furaha hapo na rafiki yangu Nancy,   mjomba wangu alikuja karibu yetu na kuniambia:


"Naona unafuraha sana uncle,   leo tunarudi nyumbani wote sindio"


"Kabisa uncle"


"Ok  basi endeleeni kufurahia nipo palee nimekaa sawa?


"Sawa uncle"


Mimi ninakaa na mjomba wangu pamoja na shangazi yangu ,  mamaangu alimkabizi mjomba kwani hakuwa na uwezo wa kunilea na kunisomesha,  na ndio maana mjomba ndio kaja kwenye sherehe za mimi kuhitimu mafunzo ya kijeshi,  mjomba wangu ananilea vizuri sana na kunipa kila nitakacho,  bahati mbaya yeye hana uwezo wa kupata mtoto,    ndio maana hunichukulia mimi kama mtoto wake mwenyewe,    ananidekeza hatari niombe nini mimi napewa kilakitu,  nilitaka mimi kuja jeshini japo kuwa yeye hakutaka alijua nitateseka sana,  lakini alikubali tuu kishingo upande,  basi bwana wakati sherehe zinaendelea  kwa mbali niliona gari ya General Ethane inapaki,  nakisha alishuka na kwenda kwenye siti aliyopangiwa,  nilikuwa natamani hata nikamkumbatie,  lakini sio rahisi mbele za watu hapo hivyo nilijizuia,  hadi  tunamaliza sherehe  na kuruhusiwa tuondoke na wazazi wetu,  General aliinuka na kwenda ofisini  nilimtoroka mjomba na kumfuata  General,  kabla sijaingia walikuja viongozi wengine walikuwa na vikao vyao,   wakati huo mjomba alikuwa ananitafuta  nimeenda wapi  watu walianza kuonfoka,  mjomba alinikuta nipo pembeni ya ofisi  akaniuliza:


"Unafanya nini sasa Laura tuondoke"


"Mjomba nilikuwa namsubili General kunajambo nataka kuongea nae"


"Nilitaka tupitie  kwa bibiako muda unaenda kipenzi"


Nilifikilia kisha nikaona ngoja nimruhusu aende nitamg'ang'ania General atanirudisha tuu,  nikamuambia"


"Mjomba unaonaje utangulie kisha nikisha ongea nae General  tutaondoka wote kwani nae anaenda dar"


Mjomba wangu ananiamini sana hakufikilia kabisa kama kutakuwa na mahusiano,  ananijua mimi  siamini katoka mahusiano,  akakubali nakuamua kuondoka,   mwisho wa siku watu wote walikuwa wameondoka,  na viongozi ndio wakatoka mida ya saa kumi na mbili kwenye kikao,  nilikaa kwenye kigiza hivi  hakuna alieniona mimi ndio nilikuwa nawaona,  General alitoka na alikuwa anaelekea  moja kwa moja kwenye gari yake ili aondoke,   nilimfuata nyuma kwa nyuma alipo fika kwenye gari yake akiwa anafungua mlango wa gari,  nilimkubatia kwa nyuma.






Je  General atafanyaje akijua Laura  kwani alishaamua kusonga mbele baada ya kukataliwa  endeleeni kufuatilia............
WhatsApp 0742133100
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu

bwenini,   niliumia kiasi kwamba  nilishindwa hata kula chakula,   nilipofika  bwenini nilipanda kitandani na kulala,  kiukweli Nancy pia alichukizwa na yale maongezi  ya kina Catrine,   ila alijizuia kuwafanyia timbwili  aliwatizama tuu na kisha aliinuka na kuelekea bwenini nilipokuwa nimeenda mimi,  alinikuta nimejilaza hapo kitandani akaniambia:



"Laura tafadhari utafanya kilamtu ajue kuwa unampenda General,   hembu fanya uzifiche hisia zako  japo kidogo tuu"


Nilikaa kimya sikumjibu kitu,   ila Nancy aliendelea kusema:


Naomba shuka chini twende ukale,   haraka twende acha kuwa mjinga"


Nikainuka na kumwambia Nancy huku machozi yakinitoka:


"Unajua Nancy ninavyo mpenda  General Ethane"


"Najua kipenzi changu  lakini  usiwe hivyo,  jikaze  uitengeneze na kesho yako kwanza,   pamoja na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-09-kisha-niliinuka-taratibu-na-kuondoka-zangu

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

580
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

467
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

466
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

318
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

208
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

83
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

66

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest