Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
na kumpigia kwani nilikuwa nimemiss sana,  simu iliita kwa muda sana,   kisha ilikuja kupokelewa na mdada:



"Hallow"



"Hallow samahani  naweza kuongea na  Ethane?


"Wewe ninani yake"


"Mimi nimpenzi wake"


Yule dada alicheka na kisha akaniambia:


"Ooh! Pole kipenzi  ndio unajidanganya hivyo eeh!?


Kiukweli nilichukia na kukata simu kwa hasira sana huwa nimwepesi wa kupaniki,   nilichukia hadi nilikuwa natetemeka yaani,    nilianza kulia na kujilaumu kwanini nilikurupuka kuingia kwenye mahusiano  na mtu nisiemjua vizuri mimi,    nilichukia sana,    baadae nikiwa nimejipumzisha  huku ninalia tuu simu yangu iliita tena,  kutizama ninamba ya General Ethane,    sikutaka kuipokea  kabisa kwani sikutaka kuumia tena,   hivyo nikaizima kabisa simu na kuiweka kwenye box lake,     kabla ya kulala shangazi huwa anapenda kuja kunitizama, akaniukuta nipo kwenye hali mbaya kabisa yaani nalia sana,  akanikumbatia na kuniuliza:


"Laura kipenzi changu nini tena tulikuwa nafuraha sio muda?


Nilishindwa hata kumjibu nilikuwa nalia tuu,  akaniuliza:


"Simu yako ipo wapi kipenzi"


Nikamuonyesha ipo kwenye box,  na kisha aliichukua na kuiwasha,  akakuta msg kibao zinaingia zilikuwa zinasema:


"Kama ni Laura tafadhari usichukie,  hawa watu hupenda utani tupo nao hapa kambini,   tafadhari washa simu  mimi Ethane nimekumis sana Laura"


Kisha shangazi akanionyesha hiyo msg.   na kuniambia:


"Kwani humuamini mpenzi wako kipenzi?


"Namuamini ila mama simjui sana,   ndio naanza kumzoea kwa mazingira ya nje,   lakini kambini tulipotoka yuko vizuri hana tabia mbaya"


"Ok  basi  kama kweli unampenda usiogope kitu pambania penzi lako kipenzi changu,   na usitake kujua ya nyuma kumuhusu  angalia mwendelezo wa mapenzi yenu tuu sawa kipenzi changu, haya chukua simu mpigie sasa hivi"


"Sawa mama"


Nilichukua simu na kumpigia kisha General alipokea nakusema:


"Hallow"


"Hallow"


"Laura?


"Ndio nimimi Ethane"


"Samahani kwa kilichotokea mpenzi wangu,  ni wenzangu huwa tunataniana hapa,  nisamehe haitojirudia tena"


"Sawa"


Shangazi alitabasam na kunibusu kwenye paji la uso,   kisha akanipungia mkono na kwenda zake  chumbani kwake,  nilibaki pekeangu niongee kwa uhuru:


"Vipi niambie kuhusu mjomba,   nini kilitokea  amekuelewa?


"Shangazi yangu kanisaidia kuongea nae yameisha sasa,   mjomba wangu huwa anahasira sana,  ila usijari yameisha sasa"


"Nashukuru mungu kwa hilo,  haya niambie mpenzi wangu,  maana  ninahamu  ya  kuwa nawewe tuu muda mwingi"



Nilitabasam kusikia hivyo na kisha nilimjibu:


"Unishindi mimi  kiukweli siwezi kukaa mbali nawewe,   mpenzi tafadhari  mimi utani wa namna hiyo mlioniletea leo siuwezi,    mtakuja kuniua mimi nakuambia usijiludie tena"


"Sawa mpenzi wangu"


"Ninakupenda sana Ethane wangu"


"Ninakupenda pia Laura kipenzi,  umeisha lala tayaru"


"Nipo chumbani kwangu tayari kwa kulala vipi wewe"


"Nipo kitandani pia"


"Ehee!  Niambie ulipajuaje nyumbani kwetu,   hadi ukaleta  kadi getini kwa mlinzi"


"Pale mlipoondoka tuu,   nilichukua jukumu la kuwafuatilia hadi nyumbani kwenu,  kiukweli niliwaza sana kukupoteza,  niogopa sana mpenzi wangu,   kesho nitakuja hadi maeneo ya hapo kwenu,  nikuchukue uje hadi kambini kwetu upaone ninapoishi sawa"



"Sawa"


"Vizuri umechoka sana hivyo nikuache upumzike,  tutaongea vitu  vingi sana  ukija kunitembelea sawa"


"Sawa haya by"


"By mpenzi wangu "



Kisha tulikata simu na kisha nililala usingizi,  maana nimechoka sana  kwaajili safari ndefu,   kulikucha tena siku nyingine  alfajiri niliamka na kujiandaa,  mjomba alikuwa hayupo,  hivyo nilimuomba  shangazi,  shangazi aliniruhusu  General akaja   kunipitia tukaenda kambini kwao,  alinitambulisha kwa baadhi ya marafiki zake anaokaa nao hapo kambini,  kisha alinipeleka kwenye nyumba  anayokaa  alinifungulia mlango na kunikaribisha:


"Karibu ndani mpenzi wangu"


"Asante"


Nikaingia ninyumba ndogo lakini ninzuri sana,  alikuwa kaipamba vizuri nisafi kama anaishi na mwanamke,  nilipoingia nikakaa kwenye kochi akaniambia:


"Laura jisikie upo nyumbani,   kuwa huru nikwako,   japo nikinyumba kidogo sana,  lakini siku moja nitakupeleka dodoma kwenye nyumba kubwa,   na ukamuone mamaangu mzazi,  atakupokea vizuri sana  na  atakupa vitu vizuri utafurahia mwenyewe,  anaupendo sana anatamani mno nimpelekee mke wangu,   hivyo jiandae"


Nilibaki nikitabasam huku nikimtizama kwa macho ya huba akanisogelea na kunipapasa uso na kuniambia:


"Laura unajua wewe nimrembo sana,  nakupenda mno"



Alizidi kunichanganya kiukweli nilibaki nikiona aibu kwani ndio uhusiano wangu wakwanza naenda kuuanza ninaaibu sana hata kumtizama usoni namuonea aibu General akaniambia:


"Nikupe kinywaji gani mpenzi kunasoda na juice?


"Usijali nipe maji tu"


"Hapana  baby,   nakuletea juice yamatunda"


Kisha aliinuka na kwenda kunichukulia  juice  akaniletea,  aliwasha TV hapo huku tunatizama muvi  na huku tunazungumza,   wakati tumekaa hapo tunapiga story General alinisogelea karibu na kuanza kunipapasa,    kisha alinisogerea karibu na kuanza kunichum mdomoni  taratibu taratibu,   kisha akaanza kunila romance  nilijikuta nalegea taratibu akanilaza chali,  na  yeye alikuja kwa juu na kuendelea kuninyonya shingoni,   mwisho alishuka hadi kwenye chuchu,  akazishika vizuri na kuanza kuzinyonya  vizuri hadi nilihisi mkojo unataka kunitoka,  nilikuwa nimejiachia nipo tayari kabisa kwa chochote,  akaanza kunivua suluali yangu taratibu huku akininyinya chuchu,  wakati yunaendelea hivyo mala mlango uligongwa.




Je ninani anagonga mlango wa General wakati huo Laura yupo chini na tayari kwa kilakitu nini kitatokea endelea kufuatilia.........
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General

na kumpigia kwani nilikuwa nimemiss sana,  simu iliita kwa muda sana,   kisha ilikuja kupokelewa na mdada:



"Hallow"



"Hallow samahani  naweza kuongea na  Ethane?


"Wewe ninani yake"


"Mimi nimpenzi wake"


Yule dada alicheka na kisha akaniambia:


"Ooh! Pole kipenzi  ndio unajidanganya hivyo eeh!?


Kiukweli nilichukia na kukata simu kwa hasira sana huwa nimwepesi wa kupaniki,   nilichukia hadi nilikuwa natetemeka yaani,    nilianza kulia na kujilaumu kwanini nilikurupuka kuingia kwenye mahusiano  na mtu nisiemjua vizuri mimi,    nilichukia sana,    baadae nikiwa nimejipumzisha  huku ninalia tuu simu yangu iliita tena,  kutizama ninamba ya General Ethane,    sikutaka kuipokea  kabisa kwani sikutaka kuumia tena,   hivyo nikaizima kabisa simu na kuiweka kwenye box lake,    ...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-12-nilipoweka-vocha-kisha-nilienda-chumbani-kwangu-nikachukua

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

577
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

461
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

459
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

383
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

316
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

198
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

82
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

55

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest