Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
na kumpigia kwani nilikuwa nimemiss sana,  simu iliita kwa muda sana,   kisha ilikuja kupokelewa na mdada:



"Hallow"



"Hallow samahani  naweza kuongea na  Ethane?


"Wewe ninani yake"


"Mimi nimpenzi wake"


Yule dada alicheka na kisha akaniambia:


"Ooh! Pole kipenzi  ndio unajidanganya hivyo eeh!?


Kiukweli nilichukia na kukata simu kwa hasira sana huwa nimwepesi wa kupaniki,   nilichukia hadi nilikuwa natetemeka yaani,    nilianza kulia na kujilaumu kwanini nilikurupuka kuingia kwenye mahusiano  na mtu nisiemjua vizuri mimi,    nilichukia sana,    baadae nikiwa nimejipumzisha  huku ninalia tuu simu yangu iliita tena,  kutizama ninamba ya General Ethane,    sikutaka kuipokea  kabisa kwani sikutaka kuumia tena,   hivyo nikaizima kabisa simu na kuiweka kwenye box lake,     kabla ya kulala shangazi huwa anapenda kuja kunitizama, akaniukuta nipo kwenye hali mbaya kabisa yaani nalia sana,  akanikumbatia na kuniuliza:


"Laura kipenzi changu nini tena tulikuwa nafuraha sio muda?


Nilishindwa hata kumjibu nilikuwa nalia tuu,  akaniuliza:


"Simu yako ipo wapi kipenzi"


Nikamuonyesha ipo kwenye box,  na kisha aliichukua na kuiwasha,  akakuta msg kibao zinaingia zilikuwa zinasema:


"Kama ni Laura tafadhari usichukie,  hawa watu hupenda utani tupo nao hapa kambini,   tafadhari washa simu  mimi Ethane nimekumis sana Laura"


Kisha shangazi akanionyesha hiyo msg.   na kuniambia:


"Kwani humuamini mpenzi wako kipenzi?


"Namuamini ila mama simjui sana,   ndio naanza kumzoea kwa mazingira ya nje,   lakini kambini tulipotoka yuko vizuri hana tabia mbaya"


"Ok  basi  kama kweli unampenda usiogope kitu pambania penzi lako kipenzi changu,   na usitake kujua ya nyuma kumuhusu  angalia mwendelezo wa mapenzi yenu tuu sawa kipenzi changu, haya chukua simu mpigie sasa hivi"


"Sawa mama"


Nilichukua simu na kumpigia kisha General alipokea nakusema:


"Hallow"


"Hallow"


"Laura?


"Ndio nimimi Ethane"


"Samahani kwa kilichotokea mpenzi wangu,  ni wenzangu huwa tunataniana hapa,  nisamehe haitojirudia tena"


"Sawa"


Shangazi alitabasam na kunibusu kwenye paji la uso,   kisha akanipungia mkono na kwenda zake  chumbani kwake,  nilibaki pekeangu niongee kwa uhuru:


"Vipi niambie kuhusu mjomba,   nini kilitokea  amekuelewa?


"Shangazi yangu kanisaidia kuongea nae yameisha sasa,   mjomba wangu huwa anahasira sana,  ila usijari yameisha sasa"


"Nashukuru mungu kwa hilo,  haya niambie mpenzi wangu,  maana  ninahamu  ya  kuwa nawewe tuu muda mwingi"



Nilitabasam kusikia hivyo na kisha nilimjibu:


"Unishindi mimi  kiukweli siwezi kukaa mbali nawewe,   mpenzi tafadhari  mimi utani wa namna hiyo mlioniletea leo siuwezi,    mtakuja kuniua mimi nakuambia usijiludie tena"


"Sawa mpenzi wangu"


"Ninakupenda sana Ethane wangu"


"Ninakupenda pia Laura kipenzi,  umeisha lala tayaru"


"Nipo chumbani kwangu tayari kwa kulala vipi wewe"


"Nipo kitandani pia"


"Ehee!  Niambie ulipajuaje nyumbani kwetu,   hadi ukaleta  kadi getini kwa mlinzi"


"Pale mlipoondoka tuu,   nilichukua jukumu la kuwafuatilia hadi nyumbani kwenu,  kiukweli niliwaza sana kukupoteza,  niogopa sana mpenzi wangu,   kesho nitakuja hadi maeneo ya hapo kwenu,  nikuchukue uje hadi kambini kwetu upaone ninapoishi sawa"



"Sawa"


"Vizuri umechoka sana hivyo nikuache upumzike,  tutaongea vitu  vingi sana  ukija kunitembelea sawa"


"Sawa haya by"


"By mpenzi wangu "



Kisha tulikata simu na kisha nililala usingizi,  maana nimechoka sana  kwaajili safari ndefu,   kulikucha tena siku nyingine  alfajiri niliamka na kujiandaa,  mjomba alikuwa hayupo,  hivyo nilimuomba  shangazi,  shangazi aliniruhusu  General akaja   kunipitia tukaenda kambini kwao,  alinitambulisha kwa baadhi ya marafiki zake anaokaa nao hapo kambini,  kisha alinipeleka kwenye nyumba  anayokaa  alinifungulia mlango na kunikaribisha:


"Karibu ndani mpenzi wangu"


"Asante"


Nikaingia ninyumba ndogo lakini ninzuri sana,  alikuwa kaipamba vizuri nisafi kama anaishi na mwanamke,  nilipoingia nikakaa kwenye kochi akaniambia:


"Laura jisikie upo nyumbani,   kuwa huru nikwako,   japo nikinyumba kidogo sana,  lakini siku moja nitakupeleka dodoma kwenye nyumba kubwa,   na ukamuone mamaangu mzazi,  atakupokea vizuri sana  na  atakupa vitu vizuri utafurahia mwenyewe,  anaupendo sana anatamani mno nimpelekee mke wangu,   hivyo jiandae"


Nilibaki nikitabasam huku nikimtizama kwa macho ya huba akanisogelea na kunipapasa uso na kuniambia:


"Laura unajua wewe nimrembo sana,  nakupenda mno"



Alizidi kunichanganya kiukweli nilibaki nikiona aibu kwani ndio uhusiano wangu wakwanza naenda kuuanza ninaaibu sana hata kumtizama usoni namuonea aibu General akaniambia:


"Nikupe kinywaji gani mpenzi kunasoda na juice?


"Usijali nipe maji tu"


"Hapana  baby,   nakuletea juice yamatunda"


Kisha aliinuka na kwenda kunichukulia  juice  akaniletea,  aliwasha TV hapo huku tunatizama muvi  na huku tunazungumza,   wakati tumekaa hapo tunapiga story General alinisogelea karibu na kuanza kunipapasa,    kisha alinisogerea karibu na kuanza kunichum mdomoni  taratibu taratibu,   kisha akaanza kunila romance  nilijikuta nalegea taratibu akanilaza chali,  na  yeye alikuja kwa juu na kuendelea kuninyonya shingoni,   mwisho alishuka hadi kwenye chuchu,  akazishika vizuri na kuanza kuzinyonya  vizuri hadi nilihisi mkojo unataka kunitoka,  nilikuwa nimejiachia nipo tayari kabisa kwa chochote,  akaanza kunivua suluali yangu taratibu huku akininyinya chuchu,  wakati yunaendelea hivyo mala mlango uligongwa.




Je ninani anagonga mlango wa General wakati huo Laura yupo chini na tayari kwa kilakitu nini kitatokea endelea kufuatilia.........
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General

na kumpigia kwani nilikuwa nimemiss sana,  simu iliita kwa muda sana,   kisha ilikuja kupokelewa na mdada:



"Hallow"



"Hallow samahani  naweza kuongea na  Ethane?


"Wewe ninani yake"


"Mimi nimpenzi wake"


Yule dada alicheka na kisha akaniambia:


"Ooh! Pole kipenzi  ndio unajidanganya hivyo eeh!?


Kiukweli nilichukia na kukata simu kwa hasira sana huwa nimwepesi wa kupaniki,   nilichukia hadi nilikuwa natetemeka yaani,    nilianza kulia na kujilaumu kwanini nilikurupuka kuingia kwenye mahusiano  na mtu nisiemjua vizuri mimi,    nilichukia sana,    baadae nikiwa nimejipumzisha  huku ninalia tuu simu yangu iliita tena,  kutizama ninamba ya General Ethane,    sikutaka kuipokea  kabisa kwani sikutaka kuumia tena,   hivyo nikaizima kabisa simu na kuiweka kwenye box lake,    ...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-12-nilipoweka-vocha-kisha-nilienda-chumbani-kwangu-nikachukua

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

621
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

564
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

473
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

413
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

346
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

104
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

83
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

69
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

63
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

54

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest