Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



"Laura,  nikuambie kitu?


"Ndio niambie mpenzi"


"Laura,    wewe ni wathamani kubwa sana maishani mwangu,  unajua kuwa siku ya kwanza tuu kukuona pale kambini,  moyowangu uliniambia huyu ndio yule uliekuwa unamtafuta, na nilipo kusogelea  hata mapigo yangu yamoyo yaliniambia kwa inshara kwani yalibadilika gafla,  Laura  nilijaribu kupingana na hiyo hali kwakujaribu kukuweka mbali nami,  lakini hatma pia zilikuwa zinatukutanisha,    kwani ile siku nilipokuambia ukae tule wote,   nilifurahi sana huo muda niliuweka katika kumbu kumbu zangu,  nakupenda  Laura wangu"



"Naje  mbona ulikuwa ukinitesa sana kambin


"Yote hayo niliyafanya ili nikuweke mbali namimi kujaribu kupingana na hatima yangu lakini nilikuwa nakutana tena nawewe hata nilipokutamkia kuwa nakupenda ilitoka ndani ya uvungu wa moyo wangu kabisa Laura"


"Kweli General Ethane?



"Ukweli baby"


"Hata mimi nilijihisi hivyo hivyo kama wewe mpenzi,  nafurahi kama hadi leo hii tumekuwa wapenzi,  nakuahidi sitokuumiza kabisa maishani kwangu,  General Ethane nakupenda sana"


"Asante Laura"


Tuliongea mengi sana,  japo kuwa mwanzo nilikuwa na hasira nae,  lakini katika maongezi yake,  alinifanya nikalegeza maamuzi,  na  kukili upendo wangu kwake,  kiukweli Ethane ni mwanaume mwenye kila sababu yakupendwa na wanawake wengi,  alikuwa nimzuri mwenye kuvutia kwa kila kitu,   muonekano tabia yake  na anajali sana,  baada ya kuongea sana tulilala usingizi,   hadi palipokucha nikiwa nimetoka kuoga navaa nguo ilinitoke,  nilisikia mlango wangu unagongwa,  hivyo nikatoka na kuufungua,  kumbe alikuwa mjomba,  nilimsalimia na kisha akaniuliza:



"Vipi hali yako kipenzi changu?


"Salama mjomba sijui wewe?


"Mimi nipo salama  kabisa '


"Nafurahi kusikia hivyo,   natoka sio muda tupate breakfast pamoja"


"Ok sawa lakini nilitaka nikapate mbele ya safari lakini kama unakuja basi nitapata nawewe nipo nakusubili dining"


"Sikucheleweshi lakini mjomba?


"Hakuna chakuharibu ratiba yangu kama upo wewe kipenzi changu"


"Asante mjomba"


Kisha nilienda kumalizia kujiweka sawa, na  kisha nikatoka na kuelekea  dining,   shangazi nae alikuja na alipotukuta akasema:


"Inawezekanaje  hamunialiki na mimi kwenye hii breakfast nzuri ya pamoja,  eeh! mtu na babaake mna roho mbaya sio?


"Hapana sisi hatuna roho mbaya,   kama upo tayari karibu nawewe ujumuike nasisi,     maana kutokea huwa ni nadra sana,  au sio mjomba?


Aliongea mjomba ila mimi nilibaki nikitabasam kisha nika sema:


"Kabisa mjomba,   naomba iwe ni sheria sasa kilasiku asubuhi,   muda saa moja kamili tukutane mezani itakuwa nzuri sana hasa kwa anaewahi kazini sio mjomba?


"Hakika kipenzi changu,  nitakuwa naondoka na upendo wote duniani,  na  nitakuwa nafuraha sana"


"Wow!  Ninzuri eeh!  Safi sana haya dada naomba niletee maziwa ya moto yenye kahawa"


Aliongea shangazi tulitabasam tuu mimi na mjomba,  kiukweli  ilikuwa niasubuhi yakipekeee, kilammoja alikuwa na furaha haswaa, tulipata breakfast  ya pamoja na kisha mjomba alituaga na kwenda kazini,  tulibaki mimi na shangazi hapo mezani,  shangazi akaniambia:


"Haya kipenzi changu,  niambie kuhusu Ethane wako natamani kusikia"


Nilitabasam na kisha nikamuambia:


"Mama!   Ethane ni mtu mstaarabu sana,   mwenye upendo  wakweli anaejali mno,   na nimtanashati kwelikweli na sijui nimuelezee vipi, lakini nimwanaume aliekamilika kilasifa yupo vizuri"


"Mmh! Kwahiyo yupo vizuri kumzidi baba eeh!?


"Aaah! No hapana mama hafiki kwa mjomba bwana"


Tulicheka wote kwa furaha kisha shangazi akaniambia"


"Nafurahi kukuona unafuraha mpenzi, kiukweli nidua yangu siku zote upate mtu utakae mpenda wewe mwenyewe"


Niliinuka na kumfuata kwenye kiti chake shangazi na kumkumbatia,  kisha nikarudi kukaa na kuendelea kuongea mambo mengine,  tukiwa hapo kwenye viti vya dining,  alikuja  dada wa kazi akamuambia mama kuwa kunamgeni sebreni,  hivyo mama aliniambia:


"Haya kipenzi baadae"


Aliinuka na kuondoka, namimi niliinuka na kwenda chumbani kwangu,  alipofika sebreni shangazi alishangazwa na mgeni aliekuja,  alikuwa ni mamayangu mzazi  nimuda mrefu sana,   leo ndio kakumbuka kama anamtoto ndio  kaja kuniona,  alimsalimia shangazi kisha akamuambia:


"Wifi zasiku nyingi?


"Salama sijui wewe?


"Nisalama kiukweli, sijui nyie pamoja na Laura nae anaendeleaje nisiku sijamuona sijui atakuwaje sasa?


"Mh! Leo ndio umemkubuka?


"Nimambo mengi yameyokea,  ila leo nimeona nije kumuona,  kaka nae hajambo?


"Hajambo, kwani hujawasiliana nae?


"Hapana sijawasiliana nae maana simu yangu haina vocha ndio maana"


"Ok sawa basi ngoja nimfahamishe kuwa upo hapa"


"Sawa lakini niitie Laura  kwanza,   ili nimuone sikunyingi sana jamani sijamuona binti yangu,    atakuwa mdada mkubwa sasa"


Shangazi slibsdilika na kumjibu:


"Naomba twende hatua kwa hatua sawa?


Mama alitia macho hakumuelewa kabisa shangazi kwanini kapaniki namna hiyo.




Je nini kitatokea shangazi yake Laura atamtuhusu Laura akaonane na mama yake kirahisi hovyo baada ya muda mrefu alimfanya Laura kuwa kama binti yake eeh unatamani kujua  endelea kufuatilia...........

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15




"Laura,  nikuambie kitu?


"Ndio niambie mpenzi"


"Laura,    wewe ni wathamani kubwa sana maishani mwangu,  unajua kuwa siku ya kwanza tuu kukuona pale kambini,  moyowangu uliniambia huyu ndio yule uliekuwa unamtafuta, na nilipo kusogelea  hata mapigo yangu yamoyo yaliniambia kwa inshara kwani yalibadilika gafla,  Laura  nilijaribu kupingana na hiyo hali kwakujaribu kukuweka mbali nami,  lakini hatma pia zilikuwa zinatukutanisha,    kwani ile siku nilipokuambia ukae tule wote,   nilifurahi sana huo muda niliuweka katika kumbu kumbu zangu,  nakupenda  Laura wangu"



"Naje  mbona ulikuwa ukinitesa sana kambin


"Yote hayo niliyafanya ili nikuweke mbali namimi kujaribu kupingana na hatima yangu lakini nilikuwa nakutana tena nawewe hata nilipokutamkia kuwa nakupenda...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

420
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

276
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

178
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

9

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.05K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.73K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.12K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.72K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest