Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



"Laura,  nikuambie kitu?


"Ndio niambie mpenzi"


"Laura,    wewe ni wathamani kubwa sana maishani mwangu,  unajua kuwa siku ya kwanza tuu kukuona pale kambini,  moyowangu uliniambia huyu ndio yule uliekuwa unamtafuta, na nilipo kusogelea  hata mapigo yangu yamoyo yaliniambia kwa inshara kwani yalibadilika gafla,  Laura  nilijaribu kupingana na hiyo hali kwakujaribu kukuweka mbali nami,  lakini hatma pia zilikuwa zinatukutanisha,    kwani ile siku nilipokuambia ukae tule wote,   nilifurahi sana huo muda niliuweka katika kumbu kumbu zangu,  nakupenda  Laura wangu"



"Naje  mbona ulikuwa ukinitesa sana kambin


"Yote hayo niliyafanya ili nikuweke mbali namimi kujaribu kupingana na hatima yangu lakini nilikuwa nakutana tena nawewe hata nilipokutamkia kuwa nakupenda ilitoka ndani ya uvungu wa moyo wangu kabisa Laura"


"Kweli General Ethane?



"Ukweli baby"


"Hata mimi nilijihisi hivyo hivyo kama wewe mpenzi,  nafurahi kama hadi leo hii tumekuwa wapenzi,  nakuahidi sitokuumiza kabisa maishani kwangu,  General Ethane nakupenda sana"


"Asante Laura"


Tuliongea mengi sana,  japo kuwa mwanzo nilikuwa na hasira nae,  lakini katika maongezi yake,  alinifanya nikalegeza maamuzi,  na  kukili upendo wangu kwake,  kiukweli Ethane ni mwanaume mwenye kila sababu yakupendwa na wanawake wengi,  alikuwa nimzuri mwenye kuvutia kwa kila kitu,   muonekano tabia yake  na anajali sana,  baada ya kuongea sana tulilala usingizi,   hadi palipokucha nikiwa nimetoka kuoga navaa nguo ilinitoke,  nilisikia mlango wangu unagongwa,  hivyo nikatoka na kuufungua,  kumbe alikuwa mjomba,  nilimsalimia na kisha akaniuliza:



"Vipi hali yako kipenzi changu?


"Salama mjomba sijui wewe?


"Mimi nipo salama  kabisa '


"Nafurahi kusikia hivyo,   natoka sio muda tupate breakfast pamoja"


"Ok sawa lakini nilitaka nikapate mbele ya safari lakini kama unakuja basi nitapata nawewe nipo nakusubili dining"


"Sikucheleweshi lakini mjomba?


"Hakuna chakuharibu ratiba yangu kama upo wewe kipenzi changu"


"Asante mjomba"


Kisha nilienda kumalizia kujiweka sawa, na  kisha nikatoka na kuelekea  dining,   shangazi nae alikuja na alipotukuta akasema:


"Inawezekanaje  hamunialiki na mimi kwenye hii breakfast nzuri ya pamoja,  eeh! mtu na babaake mna roho mbaya sio?


"Hapana sisi hatuna roho mbaya,   kama upo tayari karibu nawewe ujumuike nasisi,     maana kutokea huwa ni nadra sana,  au sio mjomba?


Aliongea mjomba ila mimi nilibaki nikitabasam kisha nika sema:


"Kabisa mjomba,   naomba iwe ni sheria sasa kilasiku asubuhi,   muda saa moja kamili tukutane mezani itakuwa nzuri sana hasa kwa anaewahi kazini sio mjomba?


"Hakika kipenzi changu,  nitakuwa naondoka na upendo wote duniani,  na  nitakuwa nafuraha sana"


"Wow!  Ninzuri eeh!  Safi sana haya dada naomba niletee maziwa ya moto yenye kahawa"


Aliongea shangazi tulitabasam tuu mimi na mjomba,  kiukweli  ilikuwa niasubuhi yakipekeee, kilammoja alikuwa na furaha haswaa, tulipata breakfast  ya pamoja na kisha mjomba alituaga na kwenda kazini,  tulibaki mimi na shangazi hapo mezani,  shangazi akaniambia:


"Haya kipenzi changu,  niambie kuhusu Ethane wako natamani kusikia"


Nilitabasam na kisha nikamuambia:


"Mama!   Ethane ni mtu mstaarabu sana,   mwenye upendo  wakweli anaejali mno,   na nimtanashati kwelikweli na sijui nimuelezee vipi, lakini nimwanaume aliekamilika kilasifa yupo vizuri"


"Mmh! Kwahiyo yupo vizuri kumzidi baba eeh!?


"Aaah! No hapana mama hafiki kwa mjomba bwana"


Tulicheka wote kwa furaha kisha shangazi akaniambia"


"Nafurahi kukuona unafuraha mpenzi, kiukweli nidua yangu siku zote upate mtu utakae mpenda wewe mwenyewe"


Niliinuka na kumfuata kwenye kiti chake shangazi na kumkumbatia,  kisha nikarudi kukaa na kuendelea kuongea mambo mengine,  tukiwa hapo kwenye viti vya dining,  alikuja  dada wa kazi akamuambia mama kuwa kunamgeni sebreni,  hivyo mama aliniambia:


"Haya kipenzi baadae"


Aliinuka na kuondoka, namimi niliinuka na kwenda chumbani kwangu,  alipofika sebreni shangazi alishangazwa na mgeni aliekuja,  alikuwa ni mamayangu mzazi  nimuda mrefu sana,   leo ndio kakumbuka kama anamtoto ndio  kaja kuniona,  alimsalimia shangazi kisha akamuambia:


"Wifi zasiku nyingi?


"Salama sijui wewe?


"Nisalama kiukweli, sijui nyie pamoja na Laura nae anaendeleaje nisiku sijamuona sijui atakuwaje sasa?


"Mh! Leo ndio umemkubuka?


"Nimambo mengi yameyokea,  ila leo nimeona nije kumuona,  kaka nae hajambo?


"Hajambo, kwani hujawasiliana nae?


"Hapana sijawasiliana nae maana simu yangu haina vocha ndio maana"


"Ok sawa basi ngoja nimfahamishe kuwa upo hapa"


"Sawa lakini niitie Laura  kwanza,   ili nimuone sikunyingi sana jamani sijamuona binti yangu,    atakuwa mdada mkubwa sasa"


Shangazi slibsdilika na kumjibu:


"Naomba twende hatua kwa hatua sawa?


Mama alitia macho hakumuelewa kabisa shangazi kwanini kapaniki namna hiyo.




Je nini kitatokea shangazi yake Laura atamtuhusu Laura akaonane na mama yake kirahisi hovyo baada ya muda mrefu alimfanya Laura kuwa kama binti yake eeh unatamani kujua  endelea kufuatilia...........
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15




"Laura,  nikuambie kitu?


"Ndio niambie mpenzi"


"Laura,    wewe ni wathamani kubwa sana maishani mwangu,  unajua kuwa siku ya kwanza tuu kukuona pale kambini,  moyowangu uliniambia huyu ndio yule uliekuwa unamtafuta, na nilipo kusogelea  hata mapigo yangu yamoyo yaliniambia kwa inshara kwani yalibadilika gafla,  Laura  nilijaribu kupingana na hiyo hali kwakujaribu kukuweka mbali nami,  lakini hatma pia zilikuwa zinatukutanisha,    kwani ile siku nilipokuambia ukae tule wote,   nilifurahi sana huo muda niliuweka katika kumbu kumbu zangu,  nakupenda  Laura wangu"



"Naje  mbona ulikuwa ukinitesa sana kambin


"Yote hayo niliyafanya ili nikuweke mbali namimi kujaribu kupingana na hatima yangu lakini nilikuwa nakutana tena nawewe hata nilipokutamkia kuwa nakupenda...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

578
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

465
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

464
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

383
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

317
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

200
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

83
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

61

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest