Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


GENERAL alinituliza hapo na kunitoa kwenye hali niliyokuwa nayo,  kisha tulianza kupiga story mbali mbali kutuhusu sisi wenyewe,  kisha nilikumbuka na kumuambia:


"Hayasasa nipe zawadi yangu uliyoniambia umeniandalia"


"Ooh! nikweli ngoja nikupe mpenzi wangu,   unajua  ulinivuruga ulivyokuja,   ulikuwa unahali mbaya sana, sipendi kuona ukilia mpenzi sipendi mtu yeyote akuumize sawa?


"Asante mpenzi wangu "


Kisha alienda kwenye gari na kuja na kimfuko kidogo kizuri,   ndani kuna box nzuri ya zawadi,  kisha alinipa hako kamfuko na kuniambia:



"Haya fungua mpenzi"



Nilifungua kile kifuko na kutoa box iliyokuwepo  ndani yake,  kisha nikatoa  na kuifungua ndani ya box,   nilikuta mkufu mzuri wa gold ambao unakidani chenye herufi yamwanzo ya jinalangu,   nilifurahi sana kwani kwangu ilikuwa ni zawadi nzuri mno,   na yathamani sana,  kisha nilimkumbatia na kumshukuru nikamuambia:


"Ninzuri sana nimeipenda asante"


"Asante wewe kwa kuipenda,  kwani ningumu sana kujua kitu kipi kitakuwa kizuri,    hasa kwa mwanamke umpendae, nafurahi kama nimefanikiwa kuufurahisha moyo wamtu ninaempenda,   Laura nakupenda sana kutoka ndani ya moyo wangu,   wewe ni wathamani mno amini hivyo"


"Asante mpenzi wangu"


"Haya tuagize nini utapenda ili tule"


"Chochote mpenzi wangu,   wewe agiza mimi nitakula"


Kisha General aliagiza mchemsho wa mbuzi na ndizi tulikula ilikuwa tamu sana pamoja na juice ya nanasi nilifurahia nikasahau matatizo yaliyonikuta asubuhi tulipo maliza kula tukaingia kwenyegani na kuanza safari alitaka kunirudisha nyumbani lakini nilimuambia:


"Hapana kwasasa sitaki niwakute wapo macho nataka nifike niwakute wapo chumbani kwao"


"Utwapa wasi wasi lakini kipenzi"


"Hapana hawakuwahi kujali kuhusu mimi baada ya kumjua mama mzazi nitakuwa najisikiaje?


"Basi kipenzi naona bado haupo sawa"


Niliona nibadili mada kwa kumuuliza kuhusu mambo ya kikazi:


"Ethane vipi nikipangiwa kazi mkoa utanifuata au ndio utanitelekeza?


"Nawezaje kuuterekeza moyo wangu kipenzi  siwezi hata kidogo hivyo nitatafuta namna yakuwa karibu nawewe tuu"


"Wow!  Asante mpenzi"


"Unaonaje twende fukweni tukale ice-cream utafurahia huko"


"Kweli eeh!  Basi twende"


Tulienda hadi siku inaisha ilikuwa nisiku ngumu mno,   alinirudisha nyumbani mida ya saa tatu hivi usiku,   nilipofika nilinyata na kuingia chumbani kwangu,  kumbe shangazi aliniona nikiingia,   na kisha nilienda kuoga na baada ya hapo nilipanda kitandani kulala,    baadae shangazi alikuja na kunitizama na kisha aliondoka,    baada ya siku chache tuliyaongea yakaisha,  ila kiukweli sikuwa nataka kumuona mama mzazi kabisa niliamua hivyo,   maisha yalisonga mbele ilifika muda tulipangiwa  vituo vyakazi,   ambapo nilipangiwa hapa hapa dar,   nilifurahi sana nikaanza kwenda kazini nikiwa ndani ya sare za jeshi,  niliweza kuwa karibu na General Ethane pamoja na rafiki yangu Nancy,   tulifurahi mno,  siku moja ilikuwa ni siku ya  weekend,    nilisema nikashinde na General Ethane,   kwani  huwa nammis sana kutokana na ubize wa kazi,  nikiwa nyumbani kwake  niliandaa chakula na kisha tulikula pamoja,  na sikuhiyo nilimis sana shoo,   hivyo Ethane  hakuninyima alinipa tena yamaana niliifurahia sana,  tulipo maliza  tulioga pamoja nakisha tukiwa tunavaa nguo huku tunacheza,  mara simu ya Ethane iliita,   kuitizama ilikuwa inayoka kwa mamaake dodoma,  aliipokea na kuongea nae mamaake,  katka mazungumzo yao  kunajambo naona halikumpendeza Ethane,  hivyo alimuambia mamaake:


"Nitakupigia tutaongea badae sio sasa"


Ila mama nahisi aliendelea kusisitiza kuongea muda huhu,  Ethane aliikata simu na kuizima kabisa,  nikamuuliza:


"Mbona hivyo kwani mama Ethane anataka nini?


"Aah! Wewe achana nae"


"Baby usichukie ndio mzazi unapaswa kumuelewa,  na msikilize kisha  umfanyie kile anataka ili iwe baraka kwako mpenzi wangu"


"Sawa kipenzi"


Niliona ameitikia tu basi ila hakuwa sawa kabisa,   nilitafuta namna yakumfanya afurahi nilikuwa namchekesha chekesha,   ilituu asiwe katika hali aliyikuwa nayo,  tukaenda  sehemu za bich na tukaanza kukimbizana,  ilituu nimfanye awe sawa  nilimchangamsha kiukweli,  kisha muda ulikuwa tayari umeenda,   Ethane alinichukua na kunirudisha nyumbani kwetu,   naye akarudi nyumbani kwake,  ndipo alipopata nafasi ya kuongea na mamaake vizuri,   alimpigia simu na kuanza kuongea:



"Mama hapana mimi tayari ninae mtu ninampenda nae ananipenda,  tafadhari sitaki tena matatizo"


"Nakuambia  huyu anaadabu nimtoto wa rafiki yake babaako,   utafurahi ukimuona kweli nakuambia,  nimrembo sana mwanangu '


"No mama,  achana na  hayo mambo"


Inaonyesha mama tayari anataka Ethane aende kuoa huko dodoma naye hayupo tayari kuniacha  namimi




Je nini kitajiri hapo endelea kufuatilia ..............

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO

SEHEMU YA 18

0742133100

Siku moja Ethane alinichukua na kunipeleka moja kwa moja hadi dodoma yumbani kwao, nilimkuta mamaake alinikaribisha vizuri,  na kisha Ethane alinitambulisha;


"Laura huyu hapa nimamaangu mzazi,   mama huyu ni Laura ndio mwanamke ninae kwenda kumchumbia nampenda sana"


Nilinyoosha mkono kumpa mamaake na kumuambia:


"Nimefurahi kukufahamu mama"


Aliitikia yakutafuna tafuna,  hata sauti haikutoka vizuri nilishindwa kumuelewa kabisa,  nilielewa huenda ndio sauti yake ilivyo,  tukiwa bado tupo hapo dodoma  siku kama yatatu hivii,  Ethane alikuwa katoka kaenda mjini,   walikuja wageni hapo nyumbani alikuwa mmama mmoja na mdada mmoja,  aliwaribisha vizuri na kisha aliniita mimi:


"Laura hembu wasikilize wageni hata kinywaji"


Nilifanya kama alivyosema,   japokuwa kuna wahudumu  hapo nyumbani,  niliwauliza wote nakisha nilienda kuwaletea,  baada ya hapo mama Ethane aliendelea kuongea na wageni wake,  mimi nilienda chumbani kwetu kujipumzidha,  haikuchukua muda Ethane nae aliingia,  alipofika sebreni alimsalimia yule mgeni mmama na binti yake,   kisha alikuja chumbani nilipokuwa mimi aliniletea zawadi nikazipokea kwa furaha,  akaniuliza:


"Uko poa lakini?


"Ndio baby niko poa"


Kisha tukiwa tunaongea ongea alikuja muhudumu yaani mfanyakazi na kuniambia:


"Boss Ethane mama anakuita yupo sebreni "


"Nakuja mpenzi"


Aliniaga na kwenda  kumsikiliza mamaake alichomuitia,  alipofika hapo mamaake alimuambia :


"Hembu kaa hapo nikutambulishe"


"Huyu ni mke wa mzee kilie yule aliekuwa rafiki wa babayako,   unamkumbuka?


"Ndio namkumbuka,  karibu sana mama nyumbani"


Ethane alimpamkono na kumkaribisha huyo mama nyumbani,   kwa heshima na upendo,  kisha yule mama aliitikia:


"Asante sana mwanangu,   umekuwa sana  baba jamani,  nimuda mrefu haupo ndio maana sikuoni"


"Aah!  Nikweli majukumu yakazi  ndio  yanatubana  mama"


Kisha mama Ethane aliendelea kutoa utambulisho:


"Na huyo hapo ni binti yake anaitwa Veronica,    nimrembo anaheshima sana mwanangu,  ndio nimependekeza tukamchumbie kwaajili yako"


Wakati anaongea hilo neno nilikuwa nipo karibunao  kabisa,   kwani niliona Ethane anachelewa kurudi,  nikaona nimfuate hapo hapo uenda wanapiga story tuu namimi nikajumuike nao,  lakini nilichokisikia kiukweli kilinifanya nijihisi vibaya sana,   nilijiona kama nimefosi kuja kwenye hiyo nyumba ambayo hawanitaki,  niligeuka na kuanza kurudi taratibu kwa bahati mbaya nikajikwaa,   kwani nilikuwa natetemeka kwa hasira,   ndio nikawashtua  Ethane alikuwa wa kwanza kuinuka kutizama,   akaniona naishia kurudi chumbani,   hivyo aliona mambo tayari yameharibika hapa  akaanza kunifuata, nilipofika nilichukua begi langu na kupakia kilicho changu,   kisha nilitokea mlango wa nyuma haraka haraka,   hata Ethane alipofika hakunikuta alianza kukimbia kunifuatilia,   nilidandia piki piki  mbio kuelekea stend ya mabasi,  kwa bahati nzuri nilibahatika kukuta gari ndio ilikuwa inatoka tuu,   nikaingia hivyo hivyo hata siti sikupata nilikaa pale mbele karibu na dereva,  tukaondoka  Ethane alipofika stendi akaambiwa nimeingia kwenye gari iliyotoka robo saa iliyopita,  Ethane alijisikia vibaya sana  aliumia mno,   na kisha alitoa simu na kuanza kunipigia sikupokea ile simu,  iliita na kuita sikutaka kabisa kupokea,  kisha Ethane alirudi nyumbani  na kumkuta mamaake pamoja na yule binti Veronica,   ila mamaake Veronica alikuwa kaondoka,  aliingia kimya kimya hadi chumbani kwake, alipofika  alijilaza kitandani chali akiwa anamawazo sana,  yule binti Veronica akaingia huko chumbani na kujikalisha karibu na Ethane,  Ethane alikuwa na hasira sana akamuambia kwa sauti ya chini chini:


"Toka chumbani kwangu"


Yule binti alimtizama na kuzani mzaha akajifanya anamsogelea ili amfanyie masag alipomgusa tu Ethane aliinuka na kumshika mkono kwa nguvu akamuambia:


"Wewe bado mdogo sana,  hivyo tafuta mchumba utakae mpenda nae atakupenda,   acha kusikiliza wale wazee wanakupotosha,   haya inuka nenda kwenu"


"Lakini mimi tayari nimekupenda mbona usihofu kuhusu hilo"


"Wewe nimesema nenda kwenu tafadhari"


Yule binti aliinuka na kuondoka zake alipofika sebreni,  mama Ethane akamuuliza:


"Mbona unaondoka imekuwaje?


"Kanifukuza hataki hata kuniona"


"Usijari twende huko huko,  mimi ndio nimeamua asijifanye anajua sana"


Kisha walienda hadi chumbani kwa Ethane na kumuita:


"Ethane.!  Huyu binti nikwaajili yako nimekuambia,   nausimfukuze atalala nawewe hapa huyu nimkwe wangu mimi"


"Mama mimi ndio mwenye chumba  simtaki mtu chambani kwangu,  kwanza istoshe umefanya hadi Laura kaondoka,  sitaki nasema huyu mtu wako"



Mama Ethane alifosi kumuingiza binti Veronica  kwa Ethane,  mwisho Ethane alichukua begi lake na kutoka,   aliwasha gari yake na kuondoka zake"



Je nini kitajiri kwa Ethane na Laura  endelea kuifuatilia.............
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100



GENERAL alinituliza hapo na kunitoa kwenye hali niliyokuwa nayo,  kisha tulianza kupiga story mbali mbali kutuhusu sisi wenyewe,  kisha nilikumbuka na kumuambia:


"Hayasasa nipe zawadi yangu uliyoniambia umeniandalia"


"Ooh! nikweli ngoja nikupe mpenzi wangu,   unajua  ulinivuruga ulivyokuja,   ulikuwa unahali mbaya sana, sipendi kuona ukilia mpenzi sipendi mtu yeyote akuumize sawa?


"Asante mpenzi wangu "


Kisha alienda kwenye gari na kuja na kimfuko kidogo kizuri,   ndani kuna box nzuri ya zawadi,  kisha alinipa hako kamfuko na kuniambia:



"Haya fungua mpenzi"



Nilifungua kile kifuko na kutoa box iliyokuwepo  ndani yake,  kisha nikatoa  na kuifungua ndani ya box,   nilikuta mkufu mzuri wa gold ambao unakidani chenye herufi yamwanzo ya...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-17-na-18-0742133100

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

642
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

578
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

495
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

430
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

353
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

284
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

213
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

90
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

85
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

70

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest